NACHA - Mdahalo (Official Music Video)
HTML-код
- Опубликовано: 5 фев 2020
- #MDAHALO #NACHA #NGOMMATZ
An East African Talented Rapper NACHA,Come Up With His Music Video "MDAHALO" Video Was Shot & Directed By Vipper ™Multi Motion Films Works in MWANZA TANZANIA, Audio Track Produced By Bear Beats Kiri Records Studios in DAR_ES_SALAAM TANZANIA.
Watch More Videos
Hadithi▪ • Nacha - Hadithi (offic...
Aah Wapi▪ • Nacha - Aah Wapi [Offi...
Mnachanganya▪ • Nacha - Mnachanganya (...
Subiri Kwanza▪ • NACHA x STAMINA - SUBI...
Boss Mpya▪ • Nacha Ft Gnako // Boss...
Mnawashwa▪ • Nacha MNAWASHWA Offici...
Follow Nacha on socials :
/ nacha_ousam
/ nacha_ousam
For Booking Contact: nachaousam17@gmail.com Видеоклипы
Leo ndio nimehamia kwa nacha mazima naomba like zangu usajili mpya
Ubunifu wa huyu Jamaa ni Wa sayari ya mbali sana,,,,,,,Your the best Nacha ever seen before ngoma anasikiliza ata mtoto aliyezaliwa Leo,,,OG%%%%%
✊
After professa Jay the next one is Nacha Fanya kama Unagombea Jimbo sisi jimbo la Kiwalani bombom umepita bila pingamizi
Mdogo wake Roma mkatoliki Anatembea kwenye Nyao za brother Ake Anajuwa sanaaa,
✊
@@Nacha_ousam Wew Mwanzo tyu unaingia kwa Game nilishaona Mistar yako, Kama mtu ubongo wake Unaitirafu awezi Elewa nini unazungumza big up sana, Mosa mossile from +27 S.A
Ni mdogo wake real
fundi wa muziki kama unakubal gonga like
✊
Nakubar san nacha
Nacha hii pia zaidi
Another R.O.M.A, maudhui ya kijamii zaidi. Hiphop ni sauti ya mtaani
✊
Ubunifu wakugusa kila nyanja siasa, Jamii na uchumu. Kwa mashairi mnastahili pongezi👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾
✊
Mmetisha sana
Vipper Vipper Vipper nimekuita Mara 3 narudia tena Vipper popote ulipo wewe ni MTU mbayaaaaa daaaaaa Best video Director kutoka Rockcity
Nacha kaumiza sana Director Vipper kaua yaani daaaaaa
Ubunifu wa hali ya juu !!! Hapa Kenya ninaupenda sana wimbo huu !!! Kongole Nacha.
Its sound good
"Wamemchokoza Bear 🐻"
Shusha like sasa kama mvua
👊
Hatari sanaaaaaaaa sina lakuongezea Nyasubi texas mmeua balaa Nacha mdogo wngu 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
✊
nancha yupo mmoja tu dunia nzima gonga like twende pamoja kama team nacha
Hom boy mwenye skills zake be blessed blood👊
✊
Sema jamaa anakosa kupewa airtime tu kwenye media ila anajua sana style yake ya kipekee mnoo creativity kubwa sana 🔥🔥🔥
Tatiizo Bongo wivuu mnoo
@Matata Hamza sijui watz tunakwama wapi aisee angalia singeli ya harmonize itapewa promo wakati ya kawaida sana
👊
@@Nacha_ousam kaka
@@Nacha_ousamupo vizuri sana ndugu🔥🔥🔥
Mtoto wa Nyasubi Pastor TD nimeona kazi njema dogo Amen
✊
Tuliosikiliza zaidi ya mara moja nyoosha kidole juu
✊
👆
Mnyamaa nakukubal sana usingekuwepo hii dunia ingekuwa ya kibwege sana
Kama unamkubal nacha like hapo
Nimependa hapo , ... Hivi walimu na madokta nani mshahara waongezewe " bora wali ila madokta nao wenyewe"
✊
Wejamaa unanifurahishaga sna na creative zako be blessed bro #Nacha
✊
Nacha bosi mpya..nacha subiri kwanza ujipange..nacha hadithi hadithi..nacha mdahalo ww jamaa noma sana yani izo ngoma zote kali halafu vilevile unasaut ya rap kabisa
✊✊✊
Sulut bro kwa hi ngoma
Nimejifunza mengi sana hapa... May God Bless your ways brother...
✊
We Jamaa noma sana ngoma zako haziishi hamu, ila Hauna bahati ila time itafika na watu watakuelewa maze, Big up kwako
Gud kk nacha kaza kama namuona#mkatoliki kwa mbaliii📢📢
✊✊✊
Nimerud tena kusikiliza mdahalo kwann tusisapot good music .Nacha you deserve
Umepangilia vizuri sana
Haya madude kila unalotoa moto sana
Duuuh umetisha San #nacha
upo vzr brooo 👍👍👍
nyasubiiiii on their map🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
✊
Iko wap
Nacha, Nyasubi ndani ya mbanyu🔥🔥🔥
Daaah huyuuu mwamba anajuwa sana
Bonge la mbunifuuuuu kwambali namwona #Manengooooo
✊✊
Dah nacha uko sawa kinoma ebu mwambie huyo jamaa akuongezee kahawa moja nakuja kulipa
🤝
Nimeshindwa cha kuandika ngoma imesisimamia kucha sio vidole
Pure talented huyu jamaa and charismatic fella big up asee
Asante Sana ✊
Wewee fundiii narudia tena @NACHA fundiii 🔥 🔥
Hadi rahaaa yani mashairi na #bear kweny mashine bonge la biti
Hii creativity ni kubwa sanaa-sjui nan aone na afanye kitu kwa NACHA ..wakubwa tafadhalini !!
👊
Ngoma Kali sanaaaaaaaaa
✊
Nakukubali sana Nacha hujawahi kutuangusha sisi shabiki zako
👊
Huu wimbo na wa leo #barua ,grow up , kat ya track zakoo bas hiz kwangu ni the Beeeeeest , mbal na nyingne nyingii
It is time to support such mature lines.... Representing caoital of Africa, Kenya254
jamaa anajua ahsante roma kunileta huku
Nacha noma sana
Unacho kifanya bro it's another level
Nomaaa sanaaa🔥🔥🔥🔥🤙
✊
Nacha...nyasubi ninja..unajua mzee baba..bonge la idea
✊
dah,,,ina umiza sana mziki mzuri mashairi yenye mvuto lakini bado like azitoshi jamani
Uyu mwenzake na roma kabisa gongalike kama unakubali
HUWA KILA NGOMA UNAKUJA TOFAUTI KABISA MIMI NAAMN KUNA SIKU WATAKUELEWA KUWA HUKUWA WAKAWAIDA KAMA WALIVYOZOEAA KEEP IT UP
✊
Duuh nacha nakukubali
Nyasubi,, Nyasubi,, Nyasubi
Nenda bro ww ni mteule💣💥💥🎤🎤🎤
Nipe Like yangu hapa kama una mkubali nacha
✊
Nishidah
Umefanya poa xana toa goma jingine ka hilo
Eeee3eeeeeeee
Umetisha Sana ngoma nikali Sana 💯💯💪🏻💪🏻
✊
Kwel bro nacha umetixha
✊✊
D country nacha unatisha mister
More than what we call innovation and creative ,
✊
This man is going places...🔥🔥🔥🔥
Nacha Mie Shabiki Yako Bro We Jamaa Unajua Sanaaaa
✊
Mawazo kuntu namuelewa sana nacha
wanao pewaga promo hata robo hawakufikiii ss kwnn tusikupe promo mashabiki...umetishaaaa
✊✊✊
Hii sasa ndio hip hop. Sio matusi Kama umekubali gonga like
✊✊
Ahhh na Cha brother wew ni jamaa una Tisha sana kwenye game
Sautu kwako kaka nacha mm nimsani wakahama bado naombeni sapoti kwenu kaka zagu
Yeeh baba linimtafuzu kombe ka dunia🤭🤭🤭hata kocha angekuwa morinyooo😁😁😁😁
More creative Bro... Your talent is immeasurable keep on you have big potential use it up it will pay much that's we call innovation broo yaani hata asiwaze ya stamina umeikaba koo
✊
Swa swa
Ygdndd
Creative sana huyu jamaa
✊✊
UMETISHA SANA NDANI YA MBANYUUUUUUUUU YANI UMEKALISHA KIJIJI
✊
Dope sana🔥🔥🔥
✊
Wa 2 Leo naomba like mapema
Noma sana bro nacha
Nice sanaa home boy nacha ngoma kali sanaa
Aa eeeh! Fundi nacha nakbl sana nyasubi ndo nimbanyu
👊
Daaah acha kabisa yani
Ok sawa kwa unaye penda PITIA HAPA KUONA UBUNIFU WA MAPAMBO YA NDANI kwenye bofya kapicha kushoto kisha SUBSCRIBE channel hii
huwa naumia sana kuona kijana Kama huyu hapati nafsi kabisa ya kusikilizwa maredio daaah too sad ila nacha trust my words ur the best ever seen in Tanzania. Ur have something very unique keep it up... Ipo siku tu........
Nakubali saana ila punguza UTOPOLO fc kwenye nyimbo zako
Love from Sweden bro you did
👊
WANAOAMINI NACHA AMEFUNIKA KOMBE MWANAHARAMU APITE BASI TUJUANE HAPA HAIWEZEKANI AGUSE GUSE ASIISEME SERIKALI YETU MAKOSA YAKE
Mbn kasemaaa
👊
Nakubali sana mzee... Kitu kikali sana mpangilio makini
✊✊✊
Huyu jamaa anajua sana100%
Budaaaa i real like your content
✊
Nyasubiiii tenaaa
🔥🔥nakubaliii mkuu....
Nacha Mwanangu Fanya Ngoma na Roma Mzee Itakuwa moto sanaa
✊✊
Dah bro wewe nomaa sanaaa
👊
Kuna wengi watakosa lizik jamn
_mnao mkubali dogo tupia like kwanza ndio tuwende sawa_
✊
@@Nacha_ousam _mwanangu piga ngoma kama hizi kila ngoma yako unayo toa uwa ni kali mkuu piga kaz mana siku hizi mziki ni kazi_
Bonge la ubunifu aiseee...superdupa!
Ongeza juhudi kaka tutafika tuu👍👍👍
Uyuu jamaa anaandika sana
👊
BEAR ANAJUA SANA BUT BEAT ZAKE KAMA ZINAFANANA NGOMA NI KALI ILA HII NGOMA ALIPASWA IPIGWE NA #ROSTAM
hapana kiongozii..si kila #rostam tu..jamaa kajitahid sana
Ahahahah et nchi ishauzwa nipen mm nika lewe🔥🔥🔥🔥🔥🔥💪💪💪
Kali sana hiii.
👊
Gonga like zako hapa kama unamuelewa nacha
👊
Nakubaliana Na Ww Duke
Tatizo wanaponzwa na chipss😄😄😄😂😂🏃🏃
✊
Sema we jamaa unajua sana tena snaaaa
Asante Sana
Afu Mjuba yupo Zake Nyasubi Hana Noma
Nakubarii kaka
Kama umeukubalii like hapaa
Aliyevaa jezi ya Yanga mbona kama ni MANENGO? AU wazee hamjaliona hilo kweny Draft hapo?
Bando mc
Mo Baisa niyeye
Yaap manengo mzeee...
Very creative nimependa idea
🤝🤝
Uyu jamaa bana
Namkubal san bigup brother
Wekeni like za #Nacha apa
✊