NACHA_BARUA (Official Music Video)
HTML-код
- Опубликовано: 14 июн 2020
- #Nacha #Barua #Ngomma
Audio Produced by Ghost Kifaa & Bear Beats
Video Directed By Vipper
Watch More Videos
Hodi• • NACHA _ HODI (Official...
My God▪ • NACHA_MY GOD (Official...
Grow Up▪ • NACHA - Grow Up (Offic...
Mdahalo ▪ • NACHA - Mdahalo (Offic...
Hadithi▪ • Nacha - Hadithi (offic...
Aah Wapi▪ • Nacha - Aah Wapi [Offi...
Mnachanganya▪ • Nacha - Mnachanganya (...
Subiri Kwanza▪ • NACHA x STAMINA - SUBI...
Boss Mpya▪ • Nacha Ft Gnako // Boss...
Mnawashwa▪ • Nacha MNAWASHWA Offici...
Follow Nacha on socials :
/ nacha_ousam
/ nacha_ousam
For Booking Contact: nachaousam17@gmail.com - Видеоклипы
ASANTENI SANA WATU WA MUNGU KWA MAPOKEZI NA SAPOTI YENU KUBWA MBARIKIWE SANA....🙏🙏🙏 CHA MSINGI UKIPATA NAFASI NI VIZURI KUMSAMBAZIA LINK MWENZAKO ILI TUPATE WOTE ELIMU NA BURUDANI #NyasubiNdaniYaMbanyu
Hii ngoma lzm ku share na wana
Ajibu
Mo wa Simba
Lowassa
Shishi
Sifa za kuonekana rijali..
Nyihogo kwa mama njunju !😂😂😂hy mistar utatumaliza kaka, wakilisha vyema sna nyasubi ndani ya mbanyu🙏🙏🙏
Nacha jewel hyo naiona naipatajee mwananguu?!0714003527
Umetisha chal wangu
Nacha napenda mistari yako nakukubalisana nawewe kama una mkubali nacha gonga like yako.
🙏🙏🙏🙏
Mwamba unajua ball Sana
Siachi kukufuatilia
NACHA .......254....LOVES YOU MUCH....... BECAUSE YOUR CREATIVITY IS BEYOND IT ALL............and the instrumentals on point
🙏🙏
Mulla records ama ??🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@@maskartedu2422 yeah
@@MULLAMUSICWORLDWIDE Big up Bro #mstic pale 👊🏾👊🏾
Oyaa we jamaa unajua xanaaa mzee nakukubali miaka buku
*Kama una mkubali Nacha gonga like*
skuping apo✊✊👏
🙏🙏🙏🙏
We in this togeher..
Kaka unabalaa sana
Ukimtegemea mwarabu akinuna anapost twitter🇹🇿
Yap Yeya Broo Nacha Ousam Nakusikiliza Tangu Day One ✌🏾✌🏾.
🙏🙏🙏🙏
Nacha nashindwaa kukuelewa kichwa ni kidogo umri pia mdogo lkn umemeza madini makubwa kaka tunaokuelewa tupo wengi tnapenda mziki wako xio utaniii Ny@subi ndani ya mbanyoooo......wana gongeni like tuifikishee bas
🙏🙏🙏🙏
Kbsa ndgu ulichokiandika nacha ipo cku watu watamuelewa
Ezekiel Evarest kaka tunamuelewa huyu jamaaa ni wachache sana lkn anachokfanya kinaeleweka vzr xana ipo xku na imekalibia ndgu
Nakulewa mpk kesho brooo👏👏👏👏 unaweza mpk umepitiliza
@@Nacha_ousam mbingun nicpokukuta shetani naenda mshitaki kwa mungu!!
Nacha kiukwel nimekuwa shabiki yako namba moja kwa wasan wa tz kwa sasa hongera sana
Dah!! Nacha noma SNA et unatumia darubini unataka kuiona pepo kama unamkubali honga like nying nying
🙏🙏🙏🙏
Gud bro big up
I love this song..Watanzania wanajua kuandika nyimbo, sio siri..rich in flow and a great voice. Beats zimeweza..ever on repeat mode
Best all the time, unajua sanaaa #Nacha
KAMA UMEIELEWA BARUA WEKA LIKE HAPA.
Kwann huwi star 🌟 at mm ni mwezi siwez kuwa star
😂😂😂😂😂😂😂😂 Kama umesikia *"Mwenye mmvi katolewa kule kapokelewa ukooooo"* gonga like za LOWASSA 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 Nacha unajua aisee wewe ni Icon kwa watu wenye uelewa 💪💪💪💪
🙏🙏🙏🙏
Msilie masister wabishi mliukataa mama ntilie leo mnampa heshima shishi 🔥
🙏🙏🙏🙏
Be blessed msukuma
Ukisikia sanaaa ndio hiki anachokifanya Nacha , Big Up sana
N.A.C.H.A 🔥 🔥 🔥 🔥 Barua kazi nzuri kaka Mwenyezi mungu azidi kukutia nguvu kwenye safari yako ya music 🎶
Masister duu wabishi waliukataa umamantilie leo wanamkubali Shishi umetisha sana NACHA
🙏🙏🙏
Bro unatisha ngoma Kali sana watakuelwa tyu mungu akuongoze kweny safar yako
🙏🙏🙏🙏
Leo ni wa kwanza to comment kutoka kenya
Own style,
Creative
Tarented
Nachart is💥💥💥
Nakubali
🙏🙏🙏🙏
Nakubali ngoma kaliii sana big gap nami nimo ila sjapata nafas
nakubari katika uwezo wako kaka BIG UP XANA Nyasuby stand up
unyama bruh✊👏👏
Nacha nakukubali sana tz shy, khm, nyasubi🙌🙌🙌🙌
Nacha hujawahi niangusha since day one naskiliza nyimbo zako
🙏🙏🙏🙏
Kahama stand up like za nacha hap
Kama unamkubali NACHA gonga like hapa 🔥🔥
Daaah mbona tunachelewa kukupa heshima kubwa
Kwel sio vizur kumtukuz mwan adam mwenzio Na Zaid Kumuita Yesu
🙏🙏🙏🙏
Nacha Anaudai Sana Mziki wa Bongo, Big Up Bro 👊🏽
Sijachelewa 🔥🔥🔥
hujawai kukosea mdau wangu nakubali kichwa yko Ina mistari kuntu
Nyasubi ndani ya mbanyu Atari Sana nacha
Daah kama umeielewa ngoma twende sawa nyasubi ndani mbanyu
🙏🙏🙏🙏
Naomba like 20 hapa please, show love
🙏🙏🙏🙏
Uko juuuuuu
@@seifmunguamlazemaalypemada8150 🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Aaa wapi, hodi, subili kwanza, barua 👏👏👏 nacha umeua sana kaka
Nacha ni msaniii ambae Sanaa yake haito kuchosha unampo m kiliza anapotoa tungo zake maana tungo za nacha ni darasa wenngi tunaisoma Mimi namuita teacher wa kiswahili like zionyeshe kama kweli mmemkubali nacha
Naacha historia Zaid ya Mbozi na kimondo wanyiha tunaelewa🔥🔥🔥🔥💪
Sema nn bro cjawahi kukupinga 😂😂😂 ambao walikuwa hawakuelewi sahv naona wana tune notifications kwa account yako ili waone unafanya nn daily 🔥🔥🔥
🙏🙏🙏🙏
Nyansubi ndani ya mbanyu we jamaa unajua sana nakubali sana mwanangu kazi kazi kama unamkubali nacha dondosha like hapo chini
🙏🙏🙏🙏
🔥🔥🔥dah ngoma nzuri san big up NACHA
Wa Tanzania like zangu apa 😁✊🏾
Nani anaangalia hii video huku akisoma comments kama mm tujuane please❤🌸
🙏🙏🙏
🙌npo.nafanya hvyo na mm
Mimi apa♥️♥️
Mm
#SIO UTAn blood EndeleA kuamsha 🌍🌍🙏🏾💪🏾☄
NACHA PULL UP BRUH ✊ #Kutoboa kupo palepale Kama ilivyoandikwa
Nakukubali bure bro kama cku zngekuwa znaongezwa nngekuongezea zangu ili uendelee kuishi mana una funza jamii kuliko ao wengne wasiojua chochote kaz yao kupotosha tamaduni za kitanzania.....respect kwako Mungu yupo kwaajl yako tofaut na yule😁😁...gonga lyk kama unamkubali NACHA✊✊
🙏🙏🙏🙏
@@Nacha_ousam support moja bro....kazi na ubunifu mwema
Hamna kinachoshindikana kwa mungu we muombe 2 siku zako zipunguzwe halafu apewe nacha
@@triplejsportstv9411 nakubali
Duh amevaa vitu vya kuesabia esabu shingoni ubunifu mzuri sana nacha we mtu bady sana
🙏🙏🙏
Ngoja leo niwe wa kwanza na mimi kusifia kazi nzuri ya mwanangu Nacha. Hongera sana, naamini katik kipaji chako. Ujawahi tuangusha watu tunaokufuatilia katika tungo zako!
Nacha ukiwatajaa marapper bora Tz nacha naye yupo✌️ best rapper in Tz🎬. #Bless#Broo
🙏🙏🙏🙏
yani nakukubali sana nacha sijui kwa nn sichukii kuskiliza mziki mzuri ... allah akusimamie bro
🙏🙏🙏🙏
nouma sana mzee baba umeua
Kaz nzuri bro 👐
🙏🙏🙏🙏
🔥🔥Daaaaaaa My people believe kuna hawa vijana wawili @Nacha &@Manengo_tz wanapswa kupewa tuzo bila upendeleo kabixa....tuwaamin they can take hipop to the next level na huitazama🇹🇿kwa nicho la3......big up My Brother #Nacha salute kwake bearbeatz_tz na @ghostkifaa🤝
Nacha bwana kenya nakukubali sanaaaa nyasubi ndani ya mbanyu
🙏🙏🙏🏼
Nakubali haukoseagi alafu Nacha una massage sanaa kwenye ngoma zakoo nyingii piaa najifunzaga vingii alafu naendaga kutamba school kwetuu
🙏🙏🙏🙏
Nyasubi For Life 🇰🇪
Wanaomkubali nacha acheni like zenu hapa tujuane
Una kipaji cha hali ya juu sana wa mashairi yako✍✍✍✍, Ila ucjali utafanikiwa tu endelea kupambana tu .👍👍👍👍👍
🙏🙏🙏
dah alo wee brother yan unajua mpak bac big up
NACHA🔥
NACHA,
You just killed it
I love your music
Brother kichwa yako imetulia sana,,,safi sana ,,,nimekubaliii
🙏🙏🙏🙏
Hujawahi nuangushaaa..... Ipo siku watakubali na watalitaja jina la nacha kama best hiphop in tz
Asanteeee saaanaa mkuu Amina
Huyu jamaa anajua sanA.......kama umeuelewa huu wimbo uko na akili za kutosha💥💥
🙏🙏🙏🙏
Sjawai pata like leo naomba mana nmewahi ngoma ya mwaka
Braza@#ukovizuriiiSANAAAA.. Unafundishasanaaaa... ❤❤👍🏻👍🏻Goos song..mziki unao ima ni mzurisanaaaa🙏🏻🙏🏻🦅 Usibadilishe mziki..
🙏🙏🙏🏼
Hajawahi kukosea mwandishi mzuri bro japo co superstar,huyu ndo msanii mashairi yanaeleweka
🙏🙏🙏🙏
Kama unaangalia hii video huko unasoma comment gonga like APA #barua#nyasubi..ndani..ya.mbanyu
Wale ambao wameona vyakuesabia tujuane hapa
Bonge La Ngoma Na Maneno Kuntu Mzee Kazaa Ni Ngoma Yakuelimisha Jamii💥💣💣💣💣💣💣
🙏🙏🙏🙏
Blessed blood kikubwa kumuomba mungu dua kila saaa....Amina
Barua "...Bongo bhna kazi kubwa kutafuta kazi..."
Tunao mkubali Nacha ebu gongeni like apa
Nan anakubali kuwa nacha anachana kama roma gonga like hapa tujuane
Hakuna wimbo haujaiimbia Jamii, bonge moja la mwandishi Hongera kazi zako nzuri
🙏🙏🙏
Uandishii bolaa kbx......!!! Kila cku unakuja kitofautiii
You deserve more attention bro 🔥🔥🔥🙏🙌
Asanteeee saaanaa
Kusema ukweli huyu dogo anajuwa sana
True
@@nassirsaid682Calling him dogo is disrespectful to me that’s a grown man
Muda utaongea mdogo wetu,we ni bonge la msanii💪💪
🙏🙏🙏🙏
Much respect kk uandish wako uko deep sana!!!!
Kama na wew umerudia zaid ya x2 gonga like
🔥🔥🔥🔥🔥
Big up sana bro kwa creativity 🔥🔥
Hunaga mbaya kaka bigup sana
I have listened and watched again and again and i can say this is pure talent.creativity√
Another Level Bro💯💯🔥🔥🔥
🙏🙏🙏🙏
naimani broo ipo cku utatoboa mzee kazana sana mungu wa diamond ndio mungu wako inshallah ipo cku cku zamu yako itawadia🙏🙏🙏
🙏🙏🙏🏼
nliwah kucoment kweny ngoma nastamin Asee still ankuelw xnaa nacha big up broo watakupa2 crown
Mtaalamu nacha like kama unakubaliana na mimi
CR 7 🔥
Huyu muhuni ili kumwelewa inabidi ule ushibee mamaee 🙌🏾
🙏🙏🙏🏼
Barua ya wazi
Nacha kama Roma
🙏🙏🙏
Wanapewa Crown Na Wakati Hawajafuzu
Hii Ndo Tz Yetu Bro..
Trickson knowlege nae mjua mm au
@@WakujaTech Yes Kak, Kwani from 255 Geita Na Mbeya My Home..
🙏🙏🙏🙏
Trickson Knowledge Yaan chupa ya bia mnabebea maji ya uzu 😂😂
Hili jamaa linaweza sana!
OyA broo hii ngoomaaa ni zaidi ya nomaaaaa...👏👏👏👏
🙏🙏🙏🙏
Since day one i believe in ur talent en creativity
🙏🙏🙏🙏
Bless nacha #BARUA hii....kma unakubali gonga like kma zote
Kk nacha mm sijawai kukupinga ww
Nacha only you boy unajua mpaka unakera
Ebhana eeh daah Bonge moja langoma bonge moja la ujumbe 👏👏
🙏🙏🙏🙏