NACHA_BARUA (Official Music Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 июн 2020
  • #Nacha #Barua #Ngomma
    Audio Produced by Ghost Kifaa & Bear Beats
    Video Directed By Vipper
    Watch More Videos
    Hodi• • NACHA _ HODI (Official...
    My God▪ • NACHA_MY GOD (Official...
    Grow Up▪ • NACHA - Grow Up (Offic...
    Mdahalo ▪ • NACHA - Mdahalo (Offic...
    Hadithi▪ • Nacha - Hadithi (offic...
    Aah Wapi▪ • Nacha - Aah Wapi [Offi...
    Mnachanganya▪ • Nacha - Mnachanganya (...
    Subiri Kwanza▪ • NACHA x STAMINA - SUBI...
    Boss Mpya▪ • Nacha Ft Gnako // Boss...
    Mnawashwa▪ • Nacha MNAWASHWA Offici...
    Follow Nacha on socials :
    / nacha_ousam
    / nacha_ousam
    For Booking Contact: nachaousam17@gmail.com
  • ВидеоклипыВидеоклипы

Комментарии • 1,7 тыс.

  • @Nacha_ousam
    @Nacha_ousam  4 года назад +249

    ASANTENI SANA WATU WA MUNGU KWA MAPOKEZI NA SAPOTI YENU KUBWA MBARIKIWE SANA....🙏🙏🙏 CHA MSINGI UKIPATA NAFASI NI VIZURI KUMSAMBAZIA LINK MWENZAKO ILI TUPATE WOTE ELIMU NA BURUDANI #NyasubiNdaniYaMbanyu

    • @salmoncharles6485
      @salmoncharles6485 4 года назад +2

      Hii ngoma lzm ku share na wana

    • @rosemarycharles190
      @rosemarycharles190 4 года назад +2

      Ajibu
      Mo wa Simba
      Lowassa
      Shishi
      Sifa za kuonekana rijali..

    • @omarympondo2281
      @omarympondo2281 4 года назад +2

      Nyihogo kwa mama njunju !😂😂😂hy mistar utatumaliza kaka, wakilisha vyema sna nyasubi ndani ya mbanyu🙏🙏🙏

    • @jurmainezaidi739
      @jurmainezaidi739 4 года назад

      Nacha jewel hyo naiona naipatajee mwananguu?!0714003527

    • @amanmsemo2498
      @amanmsemo2498 4 года назад

      Umetisha chal wangu

  • @mzwnpubggaming3772
    @mzwnpubggaming3772 4 года назад +110

    Nacha napenda mistari yako nakukubalisana nawewe kama una mkubali nacha gonga like yako.

  • @MULLAMUSICWORLDWIDE
    @MULLAMUSICWORLDWIDE 4 года назад +34

    NACHA .......254....LOVES YOU MUCH....... BECAUSE YOUR CREATIVITY IS BEYOND IT ALL............and the instrumentals on point

  • @njimbwjr7354
    @njimbwjr7354 4 года назад +2

    Oyaa we jamaa unajua xanaaa mzee nakukubali miaka buku

  • @Makavelithedon2086
    @Makavelithedon2086 4 года назад +350

    *Kama una mkubali Nacha gonga like*

  • @Gomsrap
    @Gomsrap 4 года назад +57

    Yap Yeya Broo Nacha Ousam Nakusikiliza Tangu Day One ✌🏾✌🏾.

  • @Awlacew
    @Awlacew 4 года назад +162

    Nacha nashindwaa kukuelewa kichwa ni kidogo umri pia mdogo lkn umemeza madini makubwa kaka tunaokuelewa tupo wengi tnapenda mziki wako xio utaniii Ny@subi ndani ya mbanyoooo......wana gongeni like tuifikishee bas

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  4 года назад +3

      🙏🙏🙏🙏

    • @ezekielevarest9215
      @ezekielevarest9215 4 года назад

      Kbsa ndgu ulichokiandika nacha ipo cku watu watamuelewa

    • @Awlacew
      @Awlacew 4 года назад

      Ezekiel Evarest kaka tunamuelewa huyu jamaaa ni wachache sana lkn anachokfanya kinaeleweka vzr xana ipo xku na imekalibia ndgu

    • @dalljusnan7643
      @dalljusnan7643 4 года назад

      Nakulewa mpk kesho brooo👏👏👏👏 unaweza mpk umepitiliza

    • @ibrahimkube739
      @ibrahimkube739 3 года назад

      @@Nacha_ousam mbingun nicpokukuta shetani naenda mshitaki kwa mungu!!

  • @hassanwcb8190
    @hassanwcb8190 4 года назад +1

    Nacha kiukwel nimekuwa shabiki yako namba moja kwa wasan wa tz kwa sasa hongera sana

  • @majaboytz2491
    @majaboytz2491 4 года назад +59

    Dah!! Nacha noma SNA et unatumia darubini unataka kuiona pepo kama unamkubali honga like nying nying

  • @baariumicky6216
    @baariumicky6216 2 года назад +8

    I love this song..Watanzania wanajua kuandika nyimbo, sio siri..rich in flow and a great voice. Beats zimeweza..ever on repeat mode

  • @rommyKhalifa
    @rommyKhalifa 4 года назад +1

    Best all the time, unajua sanaaa #Nacha

  • @johnmwambasi2299
    @johnmwambasi2299 4 года назад +54

    KAMA UMEIELEWA BARUA WEKA LIKE HAPA.

  • @stephanowillium7367
    @stephanowillium7367 4 года назад +3

    Kwann huwi star 🌟 at mm ni mwezi siwez kuwa star

  • @chrissjoel7752
    @chrissjoel7752 4 года назад +16

    😂😂😂😂😂😂😂😂 Kama umesikia *"Mwenye mmvi katolewa kule kapokelewa ukooooo"* gonga like za LOWASSA 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 Nacha unajua aisee wewe ni Icon kwa watu wenye uelewa 💪💪💪💪

  • @jonathantemba6653
    @jonathantemba6653 4 года назад +7

    Msilie masister wabishi mliukataa mama ntilie leo mnampa heshima shishi 🔥

  • @njiletungu7988
    @njiletungu7988 4 года назад +1

    Be blessed msukuma

  • @Bongo_gossip
    @Bongo_gossip 4 года назад +12

    Ukisikia sanaaa ndio hiki anachokifanya Nacha , Big Up sana

  • @ngomatz6932
    @ngomatz6932 4 года назад +5

    N.A.C.H.A 🔥 🔥 🔥 🔥 Barua kazi nzuri kaka Mwenyezi mungu azidi kukutia nguvu kwenye safari yako ya music 🎶

  • @wasajo
    @wasajo 4 года назад +2

    Masister duu wabishi waliukataa umamantilie leo wanamkubali Shishi umetisha sana NACHA

  • @ambrosleo3012
    @ambrosleo3012 4 года назад +2

    Bro unatisha ngoma Kali sana watakuelwa tyu mungu akuongoze kweny safar yako

  • @lakitanoofficial1138
    @lakitanoofficial1138 4 года назад +12

    Leo ni wa kwanza to comment kutoka kenya

  • @barakaisack9776
    @barakaisack9776 4 года назад +59

    Own style,
    Creative
    Tarented
    Nachart is💥💥💥

  • @samirycitizen5898
    @samirycitizen5898 4 года назад +1

    Nakubali ngoma kaliii sana big gap nami nimo ila sjapata nafas

  • @magangalucas9573
    @magangalucas9573 4 года назад +1

    nakubari katika uwezo wako kaka BIG UP XANA Nyasuby stand up

  • @kimbudahog7865
    @kimbudahog7865 4 года назад +6

    unyama bruh✊👏👏

  • @SalSa-ny3tj
    @SalSa-ny3tj 4 года назад +3

    Nacha nakukubali sana tz shy, khm, nyasubi🙌🙌🙌🙌

  • @emmanuelmashauri8949
    @emmanuelmashauri8949 4 года назад +1

    Nacha hujawahi niangusha since day one naskiliza nyimbo zako

  • @kizaziogtv3486
    @kizaziogtv3486 4 года назад +20

    Kahama stand up like za nacha hap

  • @barakashula7508
    @barakashula7508 3 года назад +5

    Kama unamkubali NACHA gonga like hapa 🔥🔥

  • @rizzykida7772
    @rizzykida7772 4 года назад +1

    Daaah mbona tunachelewa kukupa heshima kubwa

  • @suleimanmuhammad8766
    @suleimanmuhammad8766 4 года назад +1

    Kwel sio vizur kumtukuz mwan adam mwenzio Na Zaid Kumuita Yesu

  • @cleverphd7158
    @cleverphd7158 4 года назад +6

    Nacha Anaudai Sana Mziki wa Bongo, Big Up Bro 👊🏽

  • @hassanihanzel
    @hassanihanzel 4 года назад +6

    Sijachelewa 🔥🔥🔥

  • @baydankruzchanyendo2762
    @baydankruzchanyendo2762 4 года назад +1

    hujawai kukosea mdau wangu nakubali kichwa yko Ina mistari kuntu

  • @isakeyokayombo5347
    @isakeyokayombo5347 4 года назад +2

    Nyasubi ndani ya mbanyu Atari Sana nacha

  • @hr_VIP
    @hr_VIP 4 года назад +18

    Daah kama umeielewa ngoma twende sawa nyasubi ndani mbanyu

  • @hugfiyvhj
    @hugfiyvhj 4 года назад +28

    Naomba like 20 hapa please, show love

  • @jjdamimi7234
    @jjdamimi7234 4 года назад +1

    Aaa wapi, hodi, subili kwanza, barua 👏👏👏 nacha umeua sana kaka

  • @sideboyndende9781
    @sideboyndende9781 4 года назад +1

    Nacha ni msaniii ambae Sanaa yake haito kuchosha unampo m kiliza anapotoa tungo zake maana tungo za nacha ni darasa wenngi tunaisoma Mimi namuita teacher wa kiswahili like zionyeshe kama kweli mmemkubali nacha

  • @jamesmwawalo3029
    @jamesmwawalo3029 4 года назад +3

    Naacha historia Zaid ya Mbozi na kimondo wanyiha tunaelewa🔥🔥🔥🔥💪

  • @josephmlunza427
    @josephmlunza427 4 года назад +27

    Sema nn bro cjawahi kukupinga 😂😂😂 ambao walikuwa hawakuelewi sahv naona wana tune notifications kwa account yako ili waone unafanya nn daily 🔥🔥🔥

  • @godwinrobert3210
    @godwinrobert3210 4 года назад +1

    Nyansubi ndani ya mbanyu we jamaa unajua sana nakubali sana mwanangu kazi kazi kama unamkubali nacha dondosha like hapo chini

  • @edwardnelson335
    @edwardnelson335 4 года назад +1

    🔥🔥🔥dah ngoma nzuri san big up NACHA

  • @Ninjaboytz57
    @Ninjaboytz57 4 года назад +11

    Wa Tanzania like zangu apa 😁✊🏾

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 4 года назад +20

    Nani anaangalia hii video huku akisoma comments kama mm tujuane please❤🌸

  • @poolboypoolboymanstrong8570
    @poolboypoolboymanstrong8570 3 года назад +1

    #SIO UTAn blood EndeleA kuamsha 🌍🌍🙏🏾💪🏾☄

  • @isaacbarnabas9608
    @isaacbarnabas9608 2 года назад +1

    NACHA PULL UP BRUH ✊ #Kutoboa kupo palepale Kama ilivyoandikwa

  • @isodaxmedia8585
    @isodaxmedia8585 4 года назад +23

    Nakukubali bure bro kama cku zngekuwa znaongezwa nngekuongezea zangu ili uendelee kuishi mana una funza jamii kuliko ao wengne wasiojua chochote kaz yao kupotosha tamaduni za kitanzania.....respect kwako Mungu yupo kwaajl yako tofaut na yule😁😁...gonga lyk kama unamkubali NACHA✊✊

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  4 года назад

      🙏🙏🙏🙏

    • @isodaxmedia8585
      @isodaxmedia8585 4 года назад

      @@Nacha_ousam support moja bro....kazi na ubunifu mwema

    • @triplejsportstv9411
      @triplejsportstv9411 4 года назад +1

      Hamna kinachoshindikana kwa mungu we muombe 2 siku zako zipunguzwe halafu apewe nacha

    • @isodaxmedia8585
      @isodaxmedia8585 4 года назад

      @@triplejsportstv9411 nakubali

  • @mataamiry6720
    @mataamiry6720 4 года назад +1

    Duh amevaa vitu vya kuesabia esabu shingoni ubunifu mzuri sana nacha we mtu bady sana

  • @erickgulayi2089
    @erickgulayi2089 4 года назад +3

    Ngoja leo niwe wa kwanza na mimi kusifia kazi nzuri ya mwanangu Nacha. Hongera sana, naamini katik kipaji chako. Ujawahi tuangusha watu tunaokufuatilia katika tungo zako!

  • @abdulykarim1136
    @abdulykarim1136 4 года назад +3

    Nacha ukiwatajaa marapper bora Tz nacha naye yupo✌️ best rapper in Tz🎬. #Bless#Broo

  • @khadijasaid3462
    @khadijasaid3462 4 года назад +1

    yani nakukubali sana nacha sijui kwa nn sichukii kuskiliza mziki mzuri ... allah akusimamie bro

  • @mussachitemo
    @mussachitemo 4 года назад +1

    nouma sana mzee baba umeua

  • @beesmarttv3792
    @beesmarttv3792 4 года назад +4

    Kaz nzuri bro 👐

  • @MbogweUpdates
    @MbogweUpdates 4 года назад +3

    🔥🔥Daaaaaaa My people believe kuna hawa vijana wawili @Nacha &@Manengo_tz wanapswa kupewa tuzo bila upendeleo kabixa....tuwaamin they can take hipop to the next level na huitazama🇹🇿kwa nicho la3......big up My Brother #Nacha salute kwake bearbeatz_tz na @ghostkifaa🤝

  • @quincychiti7020
    @quincychiti7020 4 года назад +1

    Nacha bwana kenya nakukubali sanaaaa nyasubi ndani ya mbanyu

  • @yasinmkindi8654
    @yasinmkindi8654 4 года назад +2

    Nakubali haukoseagi alafu Nacha una massage sanaa kwenye ngoma zakoo nyingii piaa najifunzaga vingii alafu naendaga kutamba school kwetuu

  • @waasidancecrewkenya4407
    @waasidancecrewkenya4407 4 года назад +8

    Nyasubi For Life 🇰🇪

  • @kinglayzwakuchana
    @kinglayzwakuchana 4 года назад +134

    Wanaomkubali nacha acheni like zenu hapa tujuane

  • @omarympondo2281
    @omarympondo2281 4 года назад +1

    Una kipaji cha hali ya juu sana wa mashairi yako✍✍✍✍, Ila ucjali utafanikiwa tu endelea kupambana tu .👍👍👍👍👍

  • @mohdfearless2116
    @mohdfearless2116 3 года назад +1

    dah alo wee brother yan unajua mpak bac big up

  • @sadiqiramadhani8613
    @sadiqiramadhani8613 4 года назад +6

    NACHA🔥

  • @KastoneDigital
    @KastoneDigital 4 года назад +5

    NACHA,
    You just killed it
    I love your music

  • @boscosalvatory3430
    @boscosalvatory3430 4 года назад +1

    Brother kichwa yako imetulia sana,,,safi sana ,,,nimekubaliii

  • @mohamedchundu801
    @mohamedchundu801 4 года назад +1

    Hujawahi nuangushaaa..... Ipo siku watakubali na watalitaja jina la nacha kama best hiphop in tz

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  4 года назад +1

      Asanteeee saaanaa mkuu Amina

  • @alhoodtech634
    @alhoodtech634 4 года назад +3

    Huyu jamaa anajua sanA.......kama umeuelewa huu wimbo uko na akili za kutosha💥💥

  • @joshuajoseph908
    @joshuajoseph908 4 года назад +39

    Sjawai pata like leo naomba mana nmewahi ngoma ya mwaka

  • @jostamzxkaole3113
    @jostamzxkaole3113 4 года назад +1

    Braza@#ukovizuriiiSANAAAA.. Unafundishasanaaaa... ❤❤👍🏻👍🏻Goos song..mziki unao ima ni mzurisanaaaa🙏🏻🙏🏻🦅 Usibadilishe mziki..

  • @lusajodaimon2780
    @lusajodaimon2780 4 года назад +1

    Hajawahi kukosea mwandishi mzuri bro japo co superstar,huyu ndo msanii mashairi yanaeleweka

  • @hazardjr6810
    @hazardjr6810 4 года назад +4

    Kama unaangalia hii video huko unasoma comment gonga like APA #barua#nyasubi..ndani..ya.mbanyu

  • @bernardbinbelyjeshi7748
    @bernardbinbelyjeshi7748 4 года назад +6

    Wale ambao wameona vyakuesabia tujuane hapa

  • @juniorjully3341
    @juniorjully3341 4 года назад +1

    Bonge La Ngoma Na Maneno Kuntu Mzee Kazaa Ni Ngoma Yakuelimisha Jamii💥💣💣💣💣💣💣

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  4 года назад

      🙏🙏🙏🙏

    • @juniorjully3341
      @juniorjully3341 4 года назад

      Blessed blood kikubwa kumuomba mungu dua kila saaa....Amina

  • @fadhilimnyambara3473
    @fadhilimnyambara3473 4 года назад +1

    Barua "...Bongo bhna kazi kubwa kutafuta kazi..."

  • @achawanunetv1167
    @achawanunetv1167 4 года назад +6

    Tunao mkubali Nacha ebu gongeni like apa

  • @khailu_alawa8564
    @khailu_alawa8564 4 года назад +3

    Nan anakubali kuwa nacha anachana kama roma gonga like hapa tujuane

  • @evanceburton4364
    @evanceburton4364 4 года назад +1

    Hakuna wimbo haujaiimbia Jamii, bonge moja la mwandishi Hongera kazi zako nzuri

  • @footballhighlights724
    @footballhighlights724 4 года назад +1

    Uandishii bolaa kbx......!!! Kila cku unakuja kitofautiii

  • @hamed_nassoro
    @hamed_nassoro 4 года назад +61

    You deserve more attention bro 🔥🔥🔥🙏🙌

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  4 года назад +1

      Asanteeee saaanaa

    • @nassirsaid682
      @nassirsaid682 4 года назад +1

      Kusema ukweli huyu dogo anajuwa sana

    • @KingKalulu
      @KingKalulu 4 года назад +1

      True

    • @allansk1035
      @allansk1035 4 месяца назад

      @@nassirsaid682Calling him dogo is disrespectful to me that’s a grown man

  • @kijokombao5345
    @kijokombao5345 4 года назад +1

    Muda utaongea mdogo wetu,we ni bonge la msanii💪💪

  • @saidantugwa7671
    @saidantugwa7671 4 года назад +1

    Much respect kk uandish wako uko deep sana!!!!

  • @musahasani8585
    @musahasani8585 4 года назад +6

    Kama na wew umerudia zaid ya x2 gonga like

  • @dullahsimbaulanga6472
    @dullahsimbaulanga6472 4 года назад +3

    🔥🔥🔥🔥🔥

  • @salumuissa8501
    @salumuissa8501 3 года назад +1

    Big up sana bro kwa creativity 🔥🔥

  • @madungusitta5973
    @madungusitta5973 4 года назад +1

    Hunaga mbaya kaka bigup sana

  • @evance_tm2288
    @evance_tm2288 2 года назад +3

    I have listened and watched again and again and i can say this is pure talent.creativity√

  • @yusuframtu8234
    @yusuframtu8234 4 года назад +3

    Another Level Bro💯💯🔥🔥🔥

  • @abubakariferuzi206
    @abubakariferuzi206 4 года назад +1

    naimani broo ipo cku utatoboa mzee kazana sana mungu wa diamond ndio mungu wako inshallah ipo cku cku zamu yako itawadia🙏🙏🙏

  • @abubakarsalimu6930
    @abubakarsalimu6930 4 года назад +1

    nliwah kucoment kweny ngoma nastamin Asee still ankuelw xnaa nacha big up broo watakupa2 crown

  • @hajikishuwa1078
    @hajikishuwa1078 4 года назад +7

    Mtaalamu nacha like kama unakubaliana na mimi

  • @rajabukasuka
    @rajabukasuka 4 года назад +5

    CR 7 🔥

  • @hitmanhunter9557
    @hitmanhunter9557 4 года назад +1

    Huyu muhuni ili kumwelewa inabidi ule ushibee mamaee 🙌🏾

  • @kassimissa4612
    @kassimissa4612 4 года назад +2

    Barua ya wazi

  • @georgeludakulo6848
    @georgeludakulo6848 4 года назад +3

    Nacha kama Roma

  • @Gomsrap
    @Gomsrap 4 года назад +22

    Wanapewa Crown Na Wakati Hawajafuzu
    Hii Ndo Tz Yetu Bro..

    • @WakujaTech
      @WakujaTech 4 года назад

      Trickson knowlege nae mjua mm au

    • @Gomsrap
      @Gomsrap 4 года назад

      @@WakujaTech Yes Kak, Kwani from 255 Geita Na Mbeya My Home..

    • @Nacha_ousam
      @Nacha_ousam  4 года назад

      🙏🙏🙏🙏

    • @antanation4995
      @antanation4995 4 года назад

      Trickson Knowledge Yaan chupa ya bia mnabebea maji ya uzu 😂😂

  • @stivejayngoga1403
    @stivejayngoga1403 4 года назад +1

    Hili jamaa linaweza sana!

  • @khaleed_salim5418
    @khaleed_salim5418 4 года назад +2

    OyA broo hii ngoomaaa ni zaidi ya nomaaaaa...👏👏👏👏

  • @kajisijaona
    @kajisijaona 4 года назад +13

    Since day one i believe in ur talent en creativity

  • @youngkevoodestabwoiy8308
    @youngkevoodestabwoiy8308 4 года назад +9

    Bless nacha #BARUA hii....kma unakubali gonga like kma zote

    • @mtegwamo3456
      @mtegwamo3456 4 года назад

      Kk nacha mm sijawai kukupinga ww

  • @ngalambemzulu3062
    @ngalambemzulu3062 4 года назад +1

    Nacha only you boy unajua mpaka unakera

  • @ibrahimumduma1583
    @ibrahimumduma1583 4 года назад +1

    Ebhana eeh daah Bonge moja langoma bonge moja la ujumbe 👏👏