BILIONI 2.2 BAJETI YA TARURA WILAYA YA CHUNYA, SERIKALI TUNASHUKURU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 июн 2024
  • Kuna ongezeko kubwa la Bajeti wilaya ya Chunya Kutoka Milioni mia saba mpaka bilioni mbili na milioni mia mbili, Wananchi wa Chunya tunaishukuru Serikali ya awamu ya sita kwa kuendelea kututendea haki wananchi wa wilaya ya Chunya kwenye Miundombinu ya Barabara
    Imani yetu kwa Serikali ni kwamba Serikali Chini ya Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan itaendelea kuitazama Chunya kwa upekee sana

Комментарии • 1