UFAULU MZURI KIDATO CHA SITA CHUNYA, VIONGOZI WA SERIKALI NA WAZAZI WATAJWA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 июл 2024
  • Halmashauri ya wilaya ya Chunya imefanya vizuri Matokeo ya mtihani wa Kidato cha Sita 2024 ambapo wanafunzi nane tu wamepata daraja la tatu huku wengine wote wakipata daraja la kwanza na daraja la pili
    Mkuu wa Shule ya Sekondari Kiwanja amesema Viongozi wa Serikali akiwepo Mkurugenzi Mtendaji na Mwenyekiti wa Halmashauri wana Mchango wao Mkubwa katika Matokeo hayo
    Aidha uboreshaji wa miundombinu ya kujifunzia na Kufundishia imetajwa pia kuongeza chachu katika ufaulu wa wanafunzi, Shule ya Sekondari Kiwanja sasa yajipanga kufanya vizuri zaidi Matokeo ya Kidato cha Sita 2025

Комментарии •