VITU MUHIMU KUANDAA KWENDA NAVYO ULAYA ,CANADA, MAREKANI AU AUSTRALIA (Maishayaughaibuni)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 окт 2022
  • #Calvin #RTLPlus #temptationislandvip#mamafranjovlogs
    kwenye channel yangu Naongelea mambo mblimbali , maisha ya ughaibuni ulaya, kazi , schoraship ,mapishi ,elimu , urembo, vlogs , interviews , stori za maisha na mambo mengii msisahau kusubscribe hapa
    www.youtube.com/watch?v=XcONB...
    Maoni , ushauri , kutangaza nasi tuandikie instagram Mama Franjo Vlogs
    email: franjomulato@gmail.com
    SOCIAL MEDIA
    INSTAGRAM @ / granate_ros. .

Комментарии • 92

  • @mamafranjovlog72
    @mamafranjovlog72  Год назад +6

    HABARI GANI WAPENDWA LEO NIMESHEA NA NYINYI BAADHI YA VITU MUHIMU MTU ANAFAA KUVIANDAAA KWA AJILI YA KUJA NAVYO UGAHIBUNI NAAMINI ITAWASAIDIA WATU WANAOSAFIRI NCHI YOYOTE NJE YA AFRIKA

  • @binaljabirmshihirzanzibar8369
    @binaljabirmshihirzanzibar8369 8 месяцев назад

    Safi sana my sister 🤝🏼

  • @rosedaud4834
    @rosedaud4834 Год назад +1

    waooh asante Sana dear 😘 Mungu azidi kukuweka jaman you are amazing dada yetu.🙏🇹🇿 tujivunia wewe

  • @stellacosmas6047
    @stellacosmas6047 Год назад +1

    Asante sana mama franjo kwa elimu zuri sana mungu akubaliki

  • @samiagewe5684
    @samiagewe5684 Год назад +1

    Habari dada kwanza nashukuru kwa kuelewa na kingine ndoto yangu ni kwenda kufanya kaz ulaya japo nafanya kaz Oman dad pls I need ur help🥺

  • @joycenose2356
    @joycenose2356 11 месяцев назад

    Naomba unisaidie niende ulaya 😢😢 kikazi za ndani😢 Kwa sasa Niko OMAN

  • @gracekisenene1106
    @gracekisenene1106 Год назад +1

    Asante sana kwa taarifa mungu akubariki

  • @vidaayi6320
    @vidaayi6320 Год назад +1

    ❤you're doing a great job

  • @angelasenga796
    @angelasenga796 Год назад +1

    Asante mamii Anjo🙏

  • @mussakapinga1262
    @mussakapinga1262 Год назад +2

    Asante kwa elim tumejifunza tena leo

  • @MaryTravelsandLifestyle
    @MaryTravelsandLifestyle Год назад +1

    Somo zuri Sana kipenzi 😊

  • @shanizyusuf8210
    @shanizyusuf8210 Год назад +1

    Thnx my kwa kutuelewesha

  • @magrethpeter1918
    @magrethpeter1918 Год назад +1

    You look so beautiful my dear friend

  • @harunsarafu508
    @harunsarafu508 Год назад +1

    Mimi nataka tu michongo ndugu yetu.asante sana

  • @mariamswedy4291
    @mariamswedy4291 Год назад +1

    Nakupenda ccy

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад +1

      Uuu alafu nisamehe nimesahau kijibu mesage yako nicheki basi instagram tuongee nilikuwa na mambo mengi mengi nimetulia sasa mdogo wangu jina la @granaterosemary

    • @mariamswedy4291
      @mariamswedy4291 Год назад

      Ayaaa dada yangu kipenzi

  • @mrapple5038
    @mrapple5038 Год назад +2

    nashukuru kuna vitu vingi nimevifahamu dada angu

  • @rehemahramadhani3428
    @rehemahramadhani3428 Год назад +1

    ❤❤❤❤

  • @MahirambonaOman-zs3ff
    @MahirambonaOman-zs3ff Год назад

    Abari mimi na taka kwenda canada ila sikusoma ila nipo omani mya 12 ujuzi wangu kupika kuleya waze vyote na weza paspot ninayo pesa piya

  • @GodiGodi-im5wi
    @GodiGodi-im5wi Год назад

    dada nakk bali pamoja najiandaa nakuja

  • @agneshandida1620
    @agneshandida1620 Год назад +2

    Mama franjo tupe guide ya manesi kuja loland

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад +1

      Huko lugha tu kama ujerumani nchi nyingi kazi zipo ila lazima usome lugha zao kwanza

  • @angelasenga796
    @angelasenga796 Год назад

    Nikifika huko naeza nyoa tu roho Safi walahi maana hata mabutu tu sijui😂😂😂

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      Hahhha kuna wenzio alisema hivyo hivyo kufika tu kapata mzungu anahaha na twende kilioni zake hajui wigi akanunue wapi🤣🤣🤣🤣we beba wigi bwana upendeze lol hujui njiani utakutana nani🤣🤣🤣🤣🤣

  • @Paula-zo2ev
    @Paula-zo2ev 11 месяцев назад

    Naomba kukuona private

  • @minzaikekashololo5862
    @minzaikekashololo5862 Год назад +2

    Nimeanza kusoma lugha ya kijerumani, lengo ni kuwa na nafasi zaidi ya kuhamia German

  • @ibrahimundabita1816
    @ibrahimundabita1816 Год назад +1

    Mimi naomba unisaidi nataka kujakanada nifanye kazi yoyote hatakama nizavibarua vya ujenzi au shambani nisaidie dada

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      Kwa canada kwa sasa sina fursa ila nikizipata tutafanya

  • @mariamathuman4237
    @mariamathuman4237 Год назад +1

    ❤️❤️❤️

  • @nemesjosephat5612
    @nemesjosephat5612 Год назад +1

    Najiandaa kwa poland

  • @fatmaalmujhairu1977
    @fatmaalmujhairu1977 Год назад +1

    Dada mm sijasoma nimeishia lasaba ila naweza kujitambulisha kijeruma na akusalimia je naweza kupata kz ata shamba la vijitebo au usafi mashulen au usafi majumban pls nisaidie😢

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      Mlioishia lasaba kuna video nyingi humu nimezielezea sikiliza zitakufaa kama hii chini ruclips.net/video/MiE78rDYv1Q/видео.html

  • @gracejohn9406
    @gracejohn9406 Год назад +1

    Tunashukuru kwa taarifa

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад +1

      shukrani dear

    • @gracejohn9406
      @gracejohn9406 Год назад +1

      Ninaanza kusoma B1 mwezi ujao nataka kuja Ujerumani kupitia BFD program, nitahitaji msaada wako nikimaliza kusoma lugha

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад +1

      Usijali ukimaliza tu we nicheki utapata tu

    • @gracejohn9406
      @gracejohn9406 Год назад

      Sawa, nashukuru

  • @zafaranimrisho2111
    @zafaranimrisho2111 Год назад +2

    Daahhhh nimecheka et koti la karume 😂😂😂😂😂😂

  • @faithyfrank3242
    @faithyfrank3242 Год назад +2

    Niwe Mimi mfano kuja huko,mbona Niko full lakini kila siku tunapiga story tu dah 😂

    • @gladysjohn6414
      @gladysjohn6414 Год назад +1

      Mama franjo kama nakuja kikazi Poland naweza Kuja na biashara kama wigi, rasta,?

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад +1

      @@gladysjohn6414 yes unaweza ila vitu kwenye kubeba unapewa kilo za kubeba sasa zikizidi kilo utaambiwa ulipie

  • @mrapple5038
    @mrapple5038 Год назад +1

    dada nilichukua namba ako kweny vidio ya saidi ila hadi leo nakutumia text naona kmy dada nahitaji kazi huko poland nisaidie dada

  • @bettygeorge4161
    @bettygeorge4161 Год назад +1

    Natamani kupata kazi huko dada naomba niunganishe plz

  • @salmasaidi5359
    @salmasaidi5359 Год назад +1

    Habari yako dada mm Nataka kujua process za Canada adi kupata visa inagharimu dollars ngapi?

  • @hafidhaly2390
    @hafidhaly2390 Год назад +1

    Mam frajo namba yko muhim namb ile nyengin nadhan hutumii Tena skupati

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад +1

      Hapana situmii wasapu . Nicheki instagram @granaterosemary

    • @hafidhaly2390
      @hafidhaly2390 Год назад

      @@mamafranjovlog72 tayar nimefollow

  • @tumainituma7691
    @tumainituma7691 Год назад +2

    Dada statement ya bank nikitaka kuja kutembea inatakiwa iwe na kiasi gani?

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад +1

      Bank statement kwenda kutembea nchi gani mana kila nchi ina vigezo vyake so angalia kwenye website zao utaweza ona vigezo vya nchi unaotaka kwenda kuembelea

    • @tumainituma7691
      @tumainituma7691 Год назад

      @@mamafranjovlog72 Poland or hungry

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      @@tumainituma7691 angalia kwenye website zao maelezo yote yapo mrembo embasy of poland in Tanzania

  • @grahamshadeer
    @grahamshadeer Год назад +1

    Habari dada mbona namba zako WhatsApp sikuoni nashida ya kuongea nawewe dada

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      Mbona komenti zote hapo chini nimejibu nimewambia situmii tena wasapu mnicheki instagram @granaterosemary

    • @grahamshadeer
      @grahamshadeer Год назад

      @@mamafranjovlog72 umeweka private nimekufollow tayari

  • @satarmohammed5533
    @satarmohammed5533 Год назад

    Hey dada naomba uweke namba yako tuwasiliane naomba kukuuliza ndio maana naitaji namba yako

  • @kisagentabirage6693
    @kisagentabirage6693 Год назад +1

    Mama Franjo nimekutext WhatsApp yako laminitis hujibu tafadhali naomba unijibu

    • @mamafranjovlog72
      @mamafranjovlog72  Год назад

      Situmii wasapu ndugu ndo hapo nimewambia mnicheki instagram tu