VITU MUHIMU KUANDAA KWENDA NAVYO ULAYA ,CANADA, MAREKANI AU AUSTRALIA (Maishayaughaibuni)
HTML-код
- Опубликовано: 27 окт 2022
- #Calvin #RTLPlus #temptationislandvip#mamafranjovlogs
kwenye channel yangu Naongelea mambo mblimbali , maisha ya ughaibuni ulaya, kazi , schoraship ,mapishi ,elimu , urembo, vlogs , interviews , stori za maisha na mambo mengii msisahau kusubscribe hapa
www.youtube.com/watch?v=XcONB...
Maoni , ushauri , kutangaza nasi tuandikie instagram Mama Franjo Vlogs
email: franjomulato@gmail.com
SOCIAL MEDIA
INSTAGRAM @ / granate_ros. .
HABARI GANI WAPENDWA LEO NIMESHEA NA NYINYI BAADHI YA VITU MUHIMU MTU ANAFAA KUVIANDAAA KWA AJILI YA KUJA NAVYO UGAHIBUNI NAAMINI ITAWASAIDIA WATU WANAOSAFIRI NCHI YOYOTE NJE YA AFRIKA
Dada naitaji msaada wako nipo tayar kwasafari
Nakupataje
@@coolestbooy3739 nicheki instagram kwa jina la granaterosemary
nimekufollow n mm dada
Dada mwenyezi MUNGU akubariki asante kwa kutufahamisha. Dada naomba namba yako
Safi sana my sister 🤝🏼
waooh asante Sana dear 😘 Mungu azidi kukuweka jaman you are amazing dada yetu.🙏🇹🇿 tujivunia wewe
Shukrani sana
Asante sana mama franjo kwa elimu zuri sana mungu akubaliki
Amen Amen atubariki wote
Habari dada kwanza nashukuru kwa kuelewa na kingine ndoto yangu ni kwenda kufanya kaz ulaya japo nafanya kaz Oman dad pls I need ur help🥺
Naomba unisaidie niende ulaya 😢😢 kikazi za ndani😢 Kwa sasa Niko OMAN
Asante sana kwa taarifa mungu akubariki
Asante my sisi tutaongea badae naenda saizi swiming
❤you're doing a great job
Thanks my sis
Sante pamoja
Asante mamii Anjo🙏
Shukraniii
Asante kwa elim tumejifunza tena leo
shukrani
Somo zuri Sana kipenzi 😊
shukrani my sis
Thnx my kwa kutuelewesha
shukrani
You look so beautiful my dear friend
thanks much dear
Mimi nataka tu michongo ndugu yetu.asante sana
ushindwe wewe tu
Nakupenda ccy
Uuu alafu nisamehe nimesahau kijibu mesage yako nicheki basi instagram tuongee nilikuwa na mambo mengi mengi nimetulia sasa mdogo wangu jina la @granaterosemary
Ayaaa dada yangu kipenzi
nashukuru kuna vitu vingi nimevifahamu dada angu
shukrani
❤❤❤❤
Abari mimi na taka kwenda canada ila sikusoma ila nipo omani mya 12 ujuzi wangu kupika kuleya waze vyote na weza paspot ninayo pesa piya
dada nakk bali pamoja najiandaa nakuja
Mama franjo tupe guide ya manesi kuja loland
Huko lugha tu kama ujerumani nchi nyingi kazi zipo ila lazima usome lugha zao kwanza
Nikifika huko naeza nyoa tu roho Safi walahi maana hata mabutu tu sijui😂😂😂
Hahhha kuna wenzio alisema hivyo hivyo kufika tu kapata mzungu anahaha na twende kilioni zake hajui wigi akanunue wapi🤣🤣🤣🤣we beba wigi bwana upendeze lol hujui njiani utakutana nani🤣🤣🤣🤣🤣
Naomba kukuona private
Nimeanza kusoma lugha ya kijerumani, lengo ni kuwa na nafasi zaidi ya kuhamia German
Hongera sana iyo ni hatua kubwa umepiga
Mimi naomba unisaidi nataka kujakanada nifanye kazi yoyote hatakama nizavibarua vya ujenzi au shambani nisaidie dada
Kwa canada kwa sasa sina fursa ila nikizipata tutafanya
❤️❤️❤️
mambo
@@maurusgervase7017 salama gervas vipi ww
😍😍😍
Najiandaa kwa poland
tunakusubiri
Dada mm sijasoma nimeishia lasaba ila naweza kujitambulisha kijeruma na akusalimia je naweza kupata kz ata shamba la vijitebo au usafi mashulen au usafi majumban pls nisaidie😢
Mlioishia lasaba kuna video nyingi humu nimezielezea sikiliza zitakufaa kama hii chini ruclips.net/video/MiE78rDYv1Q/видео.html
Tunashukuru kwa taarifa
shukrani dear
Ninaanza kusoma B1 mwezi ujao nataka kuja Ujerumani kupitia BFD program, nitahitaji msaada wako nikimaliza kusoma lugha
Usijali ukimaliza tu we nicheki utapata tu
Sawa, nashukuru
Daahhhh nimecheka et koti la karume 😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🙈🙈🙈
Niwe Mimi mfano kuja huko,mbona Niko full lakini kila siku tunapiga story tu dah 😂
Mama franjo kama nakuja kikazi Poland naweza Kuja na biashara kama wigi, rasta,?
@@gladysjohn6414 yes unaweza ila vitu kwenye kubeba unapewa kilo za kubeba sasa zikizidi kilo utaambiwa ulipie
dada nilichukua namba ako kweny vidio ya saidi ila hadi leo nakutumia text naona kmy dada nahitaji kazi huko poland nisaidie dada
sipo online wasapu nipo instagram tu
Natamani kupata kazi huko dada naomba niunganishe plz
karibu
Habari yako dada mm Nataka kujua process za Canada adi kupata visa inagharimu dollars ngapi?
Canada sifahamu fursa za huko mrembo . Angalia video zangu zingine
Sawa ahsante
Mam frajo namba yko muhim namb ile nyengin nadhan hutumii Tena skupati
Hapana situmii wasapu . Nicheki instagram @granaterosemary
@@mamafranjovlog72 tayar nimefollow
Dada statement ya bank nikitaka kuja kutembea inatakiwa iwe na kiasi gani?
Bank statement kwenda kutembea nchi gani mana kila nchi ina vigezo vyake so angalia kwenye website zao utaweza ona vigezo vya nchi unaotaka kwenda kuembelea
@@mamafranjovlog72 Poland or hungry
@@tumainituma7691 angalia kwenye website zao maelezo yote yapo mrembo embasy of poland in Tanzania
Habari dada mbona namba zako WhatsApp sikuoni nashida ya kuongea nawewe dada
Mbona komenti zote hapo chini nimejibu nimewambia situmii tena wasapu mnicheki instagram @granaterosemary
@@mamafranjovlog72 umeweka private nimekufollow tayari
Hey dada naomba uweke namba yako tuwasiliane naomba kukuuliza ndio maana naitaji namba yako
situmii wasapu nicheki instagram
Sawa
Mama Franjo nimekutext WhatsApp yako laminitis hujibu tafadhali naomba unijibu
Situmii wasapu ndugu ndo hapo nimewambia mnicheki instagram tu