Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Kindly like this video guys, ikiwa munataka video zaidi za biashara.. comment hapa chini👍
Dada hutii chumvi hata kidogo
Nimeipenda
Izo take away ndogo unatoa ngap kwa mpiko wa kilo moja? Naomba nijibu tafadhal
Ma Sha Allah Shukrn 😍 dada yng,
maji kias ghn my
Finally nimepata nlichokitafuta miaka miwili iv....thank you...Allah akutunze
Asante dada Kwa dalasa lako ni zuli nimelipenda nitalifanyia kazi mungu hakulipe kila lakher
Dada Asantee ,,,naomba nisaidie kutengeneza ule ubuyu wa vipande ninaunga WA manikin kilo Moja nisaidie vipimo vya sukar na maji
Asante my love allah akuweke mpenzi.
Asante kwa ujuzi dada God bless you
Nmeipenda will try it...swali lang ni unga wa MABUYU jumla unafaa uwe kiac gan
Asante dada kufundisha kilo moja inatoa vikopo vingapi
Wakati unasubili ukauke je unautoa humu kwenye sufuria uliyopikia au unauacha humo humo?
Your the best asante nimesoma kitu leo
Ilete TU hii najla jamaniiiiii....biashara biashara🔥🔥🔥🥰🥰
Inakuja kaa Kwa kutumia🤣
Hongera sn mungu akubariki mamii
Thanks kwa kunipa unuzi
Asante kwa somo zuri kipimo cha maji hicho kikombe ni nusu au robo nisaidie na namba ya simu
Hongera sana mpambanaji. Naomba kuuliza ukiwa unaweka ubuyu jiko unalizima ?
Asante sana uko vizuri Leo najaribu
Mashallah ubuyu huo naweza kula wote dear 😄
Asante kwa darasa zuri nimeelewa Sana.
Hongera sana dada nimekupenda kwasababu siyo mchoyo
Naomba kuuliza Nikitaka kujumlisha Lita Moja Bei gan
Baking powder ile ya maandaz au kuna ya ubuyu
Asante sana❤❤❤
Shukran 🙏
Jmn mbona mie ukikaa unaweka uvundo nakosea wapii
Love yout work ❤
Samahani dada kwausubufu mm mbona natengeza mabuyu rakini aya kauki nisaidie kipenzi nakosea wap
Mashaallah Allah akuhifadhi
Shukrani nimekuelewa sana
Hongera kazi nzuri nimepika ubuyu kupitia fmula yako mungu akubariko umetoka Bomba rehema ,_arusha
Shukran ❤
Unatumia mda gani kukauka Mbona Mimi nimepika hapa haukauki 😢
Umepaki kwa izo take away au mifuko? Km ni take away za mia5 umetoa ngap?
Asante kwa darasa zuri...naomba kuuliza baada ya ubuyu kuiva unakauka wenyewe au unafunikwa ili ukauke??
Unaishi wapi
ahsante sana
Asante kipenzi kwa kusema ukweli, maana nimetafuta sana hii asante kwa kutufundisha
Asante Kwa video hii
Asante kwa somo sukari ni hii ya kawaida au
Mpenz huo ubuyu nautaman niule wote,😋😋
Mungu akubariki zaidi mpnz.
Amazing 👏
Waoh thank you dear barikiwa
Thank you too
Asante sana
Assalam aleykum After ushatia mabuyu huwashi tena moto kabisa
Thnx kipenz ubarikiwe zaidi na zaidi
Asante sana Kwa darasa
Shukrani sana najla
I noticed that your mabuyu is wet ? Will it go bad if it stays on the shelf for one month?
Containers wenye tuko mombasa tutapata wapi
kg Moja unatoa vikopo vingapi
Hivi vikopo unannua wapi vya kupekia ubuyu
Does your mabuyu turn red all the way to the seed's
Shukran dada,hii imenisaidia Sana sahii napika ubuyu mtamu sana.mungu akulinde inshallah
Ameen inshallah
Nzuri Sana kipenzi
Ni mzur sana
Ubarikiwe
Hivyo vikopo vya kupakia ubuyu shingapi?
Vyengne 7000
Mungu akubari
Amin
Hiyo baking powder inasaidia nini kwenye ubuyu na nilazima uweke?
Nimejaribu Leo na yakatoka matamu
Nimependa sana video yako
Asante
Unautunzaje ili usivunde???
Ivyo vikontena vinauzwa maduka gan samahan mfano jwa kaliakoo
Mashaallah ubuyu mzuri sanaaaa
Hiyo arki wanauza madukani?
SHUKRANI 😘😘🤲
Waweka mabuyu ikiwa moto pls naomba jibu
Nataka kupika mabuyu ya sukari kilo moja
Nimependa ngoja nami nijalibu nitakupa mlejesho dada angu
Shukrani ma
Jmn mie unavunda ukikaa
Mashallah mashallah tnx
Mambo nipendayo ❤
Naomba kuuliza nawezaje kukausha ubuyu
Shukran Sana!
MashaAllah,Najla ntapata wapi mbegu za mabuyu..Kwa wingi?
Nauza mabuyu meupe
@@mwamzfamily5983 wauzaje? Maana nahitaji mabuyu fresh zenye unga mwingi.
Asantee
Shukrani
Nimependa xan
Mashallah
Dada mm nataka uko wap
Binti yangu katengeneza mtamu sana
Kumbe sio lazma kuutwanga?!
@@ashumohd2192 yeah sio lazima
Yangu hayakuwi makavu ...niongeze unga ama
Thanks
Kilo moja ya ubuyu utoa vikombe gapi za kuuza
Ety dada unapatikana wapi?
Kilo moja unatoa vikopo vingapi?
Maashallah ❤❤❤
Manshallah
Apo umezma jiko or umewaxha Mana ujaxema
MashAllah 🔥🔥🔥🔥
Waoooo mashaallah
Dada samahani nahitaj msaada zaidi naomba nisaidie hata WhatsApps
5kg unatumia sugar kiasi gani na maji pls
Nahis kilo 10 na nusu
Habari naomba namba nikucheki wasap unifundishe zaidi haka kwa kiasi hela
+254740797748
@@najlaskitchen1572 hii namba haiko wasap nimekuchek
Naomba nifundishe ubuyu was kipande
Hiyo rangi ndo nn ambayo imebadilisha rangi
Aa habipty Niko na swali how long does it take kukauka mabuyu yangu naiyona hayajashikana
❤
Ubuyu wa kilo tano naeza weka sukari kiasi gani
Piga hesabu kama kilo moja ni sukari kilo na nusu jee kilo tano NJ ngapi
Put on gloves or plastic papers when packaging…….🧤
I trust my hand more than those so called gloves
😋😋😋😋😋😋
Byeeeee
Ubuyu unatumia mda gan kukauka
Hello
Kindly like this video guys, ikiwa munataka video zaidi za biashara.. comment hapa chini👍
Dada hutii chumvi hata kidogo
Nimeipenda
Izo take away ndogo unatoa ngap kwa mpiko wa kilo moja? Naomba nijibu tafadhal
Ma Sha Allah Shukrn 😍 dada yng,
maji kias ghn my
Finally nimepata nlichokitafuta miaka miwili iv....thank you...Allah akutunze
Asante dada Kwa dalasa lako ni zuli nimelipenda nitalifanyia kazi mungu hakulipe kila lakher
Dada Asantee ,,,naomba nisaidie kutengeneza ule ubuyu wa vipande ninaunga WA manikin kilo Moja nisaidie vipimo vya sukar na maji
Asante my love allah akuweke mpenzi.
Asante kwa ujuzi dada God bless you
Nmeipenda will try it...swali lang ni unga wa MABUYU jumla unafaa uwe kiac gan
Asante dada kufundisha kilo moja inatoa vikopo vingapi
Wakati unasubili ukauke je unautoa humu kwenye sufuria uliyopikia au unauacha humo humo?
Your the best asante nimesoma kitu leo
Ilete TU hii najla jamaniiiiii....biashara biashara🔥🔥🔥🥰🥰
Inakuja kaa Kwa kutumia🤣
Hongera sn mungu akubariki mamii
Thanks kwa kunipa unuzi
Asante kwa somo zuri kipimo cha maji hicho kikombe ni nusu au robo nisaidie na namba ya simu
Hongera sana mpambanaji. Naomba kuuliza ukiwa unaweka ubuyu jiko unalizima ?
Asante sana uko vizuri Leo najaribu
Mashallah ubuyu huo naweza kula wote dear 😄
Asante kwa darasa zuri nimeelewa Sana.
Hongera sana dada nimekupenda kwasababu siyo mchoyo
Naomba kuuliza Nikitaka kujumlisha Lita Moja Bei gan
Baking powder ile ya maandaz au kuna ya ubuyu
Asante sana❤❤❤
Shukran 🙏
Jmn mbona mie ukikaa unaweka uvundo nakosea wapii
Love yout work ❤
Samahani dada kwausubufu mm mbona natengeza mabuyu rakini aya kauki nisaidie kipenzi nakosea wap
Mashaallah Allah akuhifadhi
Shukrani nimekuelewa sana
Hongera kazi nzuri nimepika ubuyu kupitia fmula yako mungu akubariko umetoka Bomba rehema ,_arusha
Shukran ❤
Unatumia mda gani kukauka Mbona Mimi nimepika hapa haukauki 😢
Umepaki kwa izo take away au mifuko? Km ni take away za mia5 umetoa ngap?
Asante kwa darasa zuri...naomba kuuliza baada ya ubuyu kuiva unakauka wenyewe au unafunikwa ili ukauke??
Unaishi wapi
ahsante sana
Asante kipenzi kwa kusema ukweli, maana nimetafuta sana hii asante kwa kutufundisha
Asante Kwa video hii
Asante kwa somo sukari ni hii ya kawaida au
Mpenz huo ubuyu nautaman niule wote,😋😋
Mungu akubariki zaidi mpnz.
Amazing 👏
Waoh thank you dear barikiwa
Thank you too
Asante sana
Assalam aleykum After ushatia mabuyu huwashi tena moto kabisa
Thnx kipenz ubarikiwe zaidi na zaidi
Asante sana Kwa darasa
Shukrani sana najla
I noticed that your mabuyu is wet ? Will it go bad if it stays on the shelf for one month?
Containers wenye tuko mombasa tutapata wapi
kg Moja unatoa vikopo vingapi
Hivi vikopo unannua wapi vya kupekia ubuyu
Does your mabuyu turn red all the way to the seed's
Shukran dada,hii imenisaidia Sana sahii napika ubuyu mtamu sana.mungu akulinde inshallah
Ameen inshallah
Nzuri Sana kipenzi
Ni mzur sana
Ubarikiwe
Hivyo vikopo vya kupakia ubuyu shingapi?
Vyengne 7000
Mungu akubari
Amin
Hiyo baking powder inasaidia nini kwenye ubuyu na nilazima uweke?
Nimejaribu Leo na yakatoka matamu
Nimependa sana video yako
Asante
Nimeipenda
Unautunzaje ili usivunde???
Ivyo vikontena vinauzwa maduka gan samahan mfano jwa kaliakoo
Mashaallah ubuyu mzuri sanaaaa
Hiyo arki wanauza madukani?
SHUKRANI 😘😘🤲
Waweka mabuyu ikiwa moto pls naomba jibu
Nataka kupika mabuyu ya sukari kilo moja
Nimependa ngoja nami nijalibu nitakupa mlejesho dada angu
Shukrani ma
Jmn mie unavunda ukikaa
Mashallah mashallah tnx
Mambo nipendayo ❤
Naomba kuuliza nawezaje kukausha ubuyu
Shukran Sana!
MashaAllah,Najla ntapata wapi mbegu za mabuyu..Kwa wingi?
Nauza mabuyu meupe
@@mwamzfamily5983 wauzaje? Maana nahitaji mabuyu fresh zenye unga mwingi.
Asantee
Shukrani
Nimependa xan
Mashallah
Dada mm nataka uko wap
Binti yangu katengeneza mtamu sana
Kumbe sio lazma kuutwanga?!
@@ashumohd2192 yeah sio lazima
Yangu hayakuwi makavu ...niongeze unga ama
Thanks
Kilo moja ya ubuyu utoa vikombe gapi za kuuza
Ety dada unapatikana wapi?
Kilo moja unatoa vikopo vingapi?
Maashallah ❤❤❤
Manshallah
Apo umezma jiko or umewaxha Mana ujaxema
MashAllah 🔥🔥🔥🔥
Waoooo mashaallah
Dada samahani nahitaj msaada zaidi naomba nisaidie hata WhatsApps
5kg unatumia sugar kiasi gani na maji pls
Nahis kilo 10 na nusu
Habari naomba namba nikucheki wasap unifundishe zaidi haka kwa kiasi hela
+254740797748
@@najlaskitchen1572 hii namba haiko wasap nimekuchek
Naomba nifundishe ubuyu was kipande
Hiyo rangi ndo nn ambayo imebadilisha rangi
Aa habipty Niko na swali how long does it take kukauka mabuyu yangu naiyona hayajashikana
❤
Ubuyu wa kilo tano naeza weka sukari kiasi gani
Piga hesabu kama kilo moja ni sukari kilo na nusu jee kilo tano NJ ngapi
Put on gloves or plastic papers when packaging…….🧤
I trust my hand more than those so called gloves
😋😋😋😋😋😋
Byeeeee
Ubuyu unatumia mda gan kukauka
Hello