MAUAJI YA KUTISHA DODOMA, BABA ASIMULIA KWA UCHUNGU WATOTO WALIVYOUAWA "WALIMPIGA AKAZIMIA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2024

Комментарии • 87

  • @vailethmbulule8339
    @vailethmbulule8339 2 дня назад +13

    Eee Mungu turehemu, tusamehe tulipokukosea amen

  • @cesiliajoseph1649
    @cesiliajoseph1649 2 дня назад +8

    Poleni sana ndugu zetu mungu awatie nguvu ktk kipindi hichi kigum

  • @MajidNkinzo-wp5oz
    @MajidNkinzo-wp5oz День назад +3

    Pole Sana Kaka mwenyezi mungu akutie nguvu katika kipindi hiking kigumu aamin.

  • @MjinjaCharlesmareges
    @MjinjaCharlesmareges День назад +4

    polen sana mungu yupo pamoja nasi

  • @kabujeasukile5462
    @kabujeasukile5462 День назад +3

    Pole sana ndugu mungu akutie nguvu

  • @natashaschlegel3238
    @natashaschlegel3238 День назад +3

    Eeeh Mungu 😢😢😢 kwa kweli hakuna maneno yatakayotosha kumfariji huyu baba. Ni Mungu tuu

  • @Sajad255-j3l
    @Sajad255-j3l 9 часов назад +1

    Eh mwenyez mungu baba wa upendo baba wa huruma tujalie hekima tuondole mioyo ya mauaji kwenye mioyo yetu tumekosa sana mbele yako tumekukosea sana tunaomba utusameh kwa makosa tunayo kumbuka na tusiyo kumbuka tuliyotend kwa bahat mbaya na pia kwa makusud tunakiri mbele zako maumivu nimakubwa yanayotupata tujilie mwisho ulio mwema 😢😢😢😢😢😢😢

  • @ubuntubantu2404
    @ubuntubantu2404 2 дня назад +3

    Pole sana mwanaume mwenzetu

  • @vickshekia7265
    @vickshekia7265 День назад +1

    Mungu tusamee tulipo kosea 🙏 matukio y kutisha kila kukicha
    Mungu akawe faraja kwenu

  • @KabujeFulaha
    @KabujeFulaha День назад +1

    Pole sana bro mungu akufunge mkanda

  • @SaraSimonNyamayagwa
    @SaraSimonNyamayagwa День назад

    Polesana brother.Mungu awe faraja kwako.Wapumzike kwa amani marehemu wote

  • @JokhaJokhaabla
    @JokhaJokhaabla День назад +1

    Inna Lillah wainna ilayhi rajioun Allah awape subra wafiwa poleni sn

  • @esterpaul5856
    @esterpaul5856 2 дня назад +1

    Pole sna..Mungu akutie nguvu🙏😭

  • @annamussa185
    @annamussa185 2 дня назад +9

    Huyo jirani yako wa kwanza alikupigia tu from no were amakuambia kuwa kwako hapaelewielewi yani inamaana yeye huwa anakazi za kuchunguza kwako bila ya sababu wala kuagizwa😮

    • @JosephineMegora
      @JosephineMegora День назад

      Umeona huyo ndo mtuhumiwa no,,1 wew umeamka tu unawaza jirani awajatoka ndani kweli

    • @zenamshana8140
      @zenamshana8140 День назад +2

      Huenda ikawa, alisikia watu walikuwa wanaomba msaada lakini akanyamaza asubuhi ilipofika ndio anajifanya kusema

    • @josephatwillness3132
      @josephatwillness3132 День назад

      Sasa mtu asitoe taarifa mnatak mpka wanze kunuka ndo mjue kuna tatizo...
      Kama unauwezo wakuona watt wajiran wakicheza kila siku nje usipowaona lazm huojiiii

    • @Babaharvey3624
      @Babaharvey3624 День назад

      Nyie ndiyo mnafanya watu wasitoe ushirikiano kama majirani maana ulivyoandika kama vile anahusika

  • @zainajirani5296
    @zainajirani5296 2 дня назад +3

    Aya mauwaji sijui yatazuiliwa na nini!! İli yasiemdelee nchini kwetu!

  • @gloryleonard1563
    @gloryleonard1563 День назад +1

    Ee Mungu usiyelala mfariji wetu mtie nguvu baba huyu hiki ni kipindi kigumu sana kwake.

  • @shamtenyambega2944
    @shamtenyambega2944 День назад

    Allah akupe subrah sana
    mke na watoto kuvamiwa poleni sana

  • @gladnesswazir-zz9lk
    @gladnesswazir-zz9lk День назад +1

    Pole sana baba😭😭😭😭😭😭🙌🇹🇿🤲🙏

  • @HenrickMgimba
    @HenrickMgimba 20 часов назад

    Daaa mungu akutie wepes katka hiilii

  • @MathaMalopa
    @MathaMalopa День назад

    Pole dada lusajo na familia nzima

  • @user-lf4ep2kh6u
    @user-lf4ep2kh6u День назад +2

    Chanzo ni huyu mama yenu msipomtoa mtakufa Sanaa watu saiv wanakufa Kam kuku wa broiler

  • @ellensamson6787
    @ellensamson6787 22 часа назад

    Pole sana kaka kwa yaliyotokea

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 День назад

    Nchi ipo salama 🤐.!? Pole sana kaka Mungu akupe faraja wakat huu mgumu

  • @SumaeMeyani
    @SumaeMeyani 2 дня назад

    Inaumaa sana, pole sana baba

  • @rosemsafiri7568
    @rosemsafiri7568 2 дня назад

    😢😢pole sana Mungu akutie nguvu

  • @AnnaNyangu-x3z
    @AnnaNyangu-x3z День назад

    Jamani poleni sana na msiba mkubwa mungu awatie nguvu

  • @rithadonatus8110
    @rithadonatus8110 День назад

    Dakhaaa polen sana

  • @LamekiMichael-pz7rv
    @LamekiMichael-pz7rv 2 дня назад

    Mungu awatie nguvu wafiwa wote

  • @brysonmchau9384
    @brysonmchau9384 День назад

    Pole sana bro more than pain

  • @savelaEmmanuel-xw4zf
    @savelaEmmanuel-xw4zf 12 часов назад

    Pole sana kaka

  • @mbaxtv7119
    @mbaxtv7119 14 часов назад

    Poleni sana

  • @user-vm1vu4hu5j
    @user-vm1vu4hu5j 2 дня назад +2

    Omba yasikukute mtihani sana

    • @esterpaul5856
      @esterpaul5856 2 дня назад

      Kwan huyu aliomba yamkute? Sijui unaongea nini ww

    • @user-vm1vu4hu5j
      @user-vm1vu4hu5j 16 часов назад

      @@esterpaul5856 ndo maana kasema omba yasikukute yaani ni mazito kamuonea huruma anafilikia yakimkuta yy

  • @JosephineMegora
    @JosephineMegora День назад +1

    Sikutegemea kama Tanzania itafikia hii steji dah,,,R I,P magufuri.

  • @avitusmichael5
    @avitusmichael5 2 дня назад

    Pole sana ndg yangu ila binadamu

  • @user-vm1vu4hu5j
    @user-vm1vu4hu5j 2 дня назад

    Pole sana

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar День назад

    Pole sana baba

  • @AgathaKomba-qk7pz
    @AgathaKomba-qk7pz 2 дня назад +2

    Unyama huu jaman tunaenda wap hii nchi? Da inaniuma

  • @floramlowe7078
    @floramlowe7078 2 дня назад

    Du inaumiza tumekuwa na Roho ya kishetani kiasi hiki inaumiza sanaaa Mungu atusaidie hii ni hatari

  • @ManenoBulemela
    @ManenoBulemela День назад

    Mungu awarehem.R.l.P

  • @stephenrwaich1078
    @stephenrwaich1078 День назад

    ukisikia mambo kama hayo daah sana sana ni masuala yanayohusiana na ushirikina .watanzania huamini ushirikina mno

  • @williammwalimu768
    @williammwalimu768 День назад +1

    Siwafahamu, ila machozi yamenitoka. Sipati picha maumivu kias gani anapitia huyu ndugu.😢

  • @ThomasMmary-r7w
    @ThomasMmary-r7w 11 часов назад +1

    Poreni sana wafiwa 😢so sad

  • @charlesjumanne1996
    @charlesjumanne1996 День назад +1

    Hii nchi aliiweza magufuli tu na usalama ulipatikana Kwa asilimia 98 lakini Hawa wengine hamna kabisa mauaji ndiyo yanazidi kutokea kila siku hivi tunaelekea wapi

  • @Zaynab-ny6gr
    @Zaynab-ny6gr День назад

    Pole sana kaka 😢😢 insuma kwakweli why lakini

  • @RoseJoseph-z6y
    @RoseJoseph-z6y День назад

    Pole xana

  • @ZaituniMonko
    @ZaituniMonko 6 часов назад

    Daah!!!

  • @leonardngoga7019
    @leonardngoga7019 День назад +1

    😢

  • @user-rs3rc4nn7y
    @user-rs3rc4nn7y 7 часов назад

    Nmaumivu yanamna Gani poleni sna😭😭

  • @philiponuru2371
    @philiponuru2371 День назад

    Dah 😢😢

  • @ommythetruth5449
    @ommythetruth5449 День назад

    Halafu Mama Samia anasimama hadharani anasema kufa ni kawaida Tu Aiseee ,,

  • @koyesandatuya5422
    @koyesandatuya5422 13 часов назад

    Polen xana Wana ndugu sisi wote tunaumia

  • @RebeccaZakaria-yp5ob
    @RebeccaZakaria-yp5ob 2 дня назад

    Dah!😢😢😢😢

  • @user-nb6yh2bn9y
    @user-nb6yh2bn9y 12 часов назад

    Tanzania unakwenda wapi mambo tuliyo kuwa tukiyaona congo somalia nk Leo yaishi Tanzania mh inatisha nakuhuzunisha saana 😢😢😢🤲

  • @HumphreyNyiti
    @HumphreyNyiti День назад

    Asee yaani dah

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 2 дня назад

    Innan lillahi waina illayhi rajiunu 😪😪

  • @MwanahamisiBwanga
    @MwanahamisiBwanga 2 дня назад

    Poleeee kaka anguuu😢😢😢😢

  • @RosemaryMalya
    @RosemaryMalya День назад

    Sijui niseme Nini Mungu unisamehe Baba uliweza kuendesha Gari police aze na familia husika maana Binadamu sisi sijui tumekua je

  • @AvrilMegan
    @AvrilMegan День назад

    Jamani msitaje hospitali wasije mludia huyo mama ili asitoe ushahidi

  • @gladnesswazir-zz9lk
    @gladnesswazir-zz9lk День назад

    Daah😭😭😭😭🙌🇹🇿🙌🤲🙏

  • @Shufaashabani-u6w
    @Shufaashabani-u6w День назад

    Tanzania 😭😭😭😭😭😭

  • @SaraSara-i1l
    @SaraSara-i1l День назад

    Mauaji yataendelea maana hatua kali hazichukuliwi mtu yeyote anaweza fanya imekuwa kawaida kwanini miaka ya nyuma Tanzaniia haikuwa hivi

  • @estersamwel-oo1ck
    @estersamwel-oo1ck День назад

    😢🙏

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 2 дня назад

    Hasbina Allah wanema wakili 😪😪

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 9 часов назад

    Ila jmn mbona haya mambo ndo km yamechochewa?

  • @RajabuMkonje
    @RajabuMkonje День назад +1

    Mi kwa roho yangu n̈singeweza kuonge au ungekuta nshakufa kwa presha😢😢😢

  • @shamtenyambega2944
    @shamtenyambega2944 День назад

    allah akupe subrah sana mwwname mwenzangu

  • @EliechiKimario
    @EliechiKimario День назад

    😢mungu awatie nguvu

  • @KefaKitutu-wd8wj
    @KefaKitutu-wd8wj День назад

    Hii nchi imekua ya kifala sana

  • @FatinaSalumu
    @FatinaSalumu День назад

    😢😢😢😢😢poleni da

  • @Christinachidyaka
    @Christinachidyaka 13 часов назад

    Jamani watu tumegeuka kuwa simba

  • @ZakariaMnzava-q1v
    @ZakariaMnzava-q1v 11 часов назад

    Hivi Kuna Nini katika Nchi yetu

  • @aishajuma7813
    @aishajuma7813 2 дня назад

    Jamani😭😭

  • @josephjeremiah4990
    @josephjeremiah4990 День назад +1

    Na was was na huyu mzazi

  • @aminahamadi7198
    @aminahamadi7198 День назад

    Uyo jilani ndomtumiwa ndomfanya mchongo wote make alijua ww aupo nailo angalia

  • @ManenoBulemela
    @ManenoBulemela День назад

    Poleni xaana Kwa msiba mzito huu pia SS Busanda tumepokea Taarifa Kwa masikitiko makubwa

  • @Nonkojr
    @Nonkojr 2 дня назад

    Inahuzunisha sanaaaaa

  • @MariyaAntooni
    @MariyaAntooni День назад +1

    😭😭😭