Eh mwenyez mungu baba wa upendo baba wa huruma tujalie hekima tuondole mioyo ya mauaji kwenye mioyo yetu tumekosa sana mbele yako tumekukosea sana tunaomba utusameh kwa makosa tunayo kumbuka na tusiyo kumbuka tuliyotend kwa bahat mbaya na pia kwa makusud tunakiri mbele zako maumivu nimakubwa yanayotupata tujilie mwisho ulio mwema 😢😢😢😢😢😢😢
Huyo jirani yako wa kwanza alikupigia tu from no were amakuambia kuwa kwako hapaelewielewi yani inamaana yeye huwa anakazi za kuchunguza kwako bila ya sababu wala kuagizwa😮
Sasa mtu asitoe taarifa mnatak mpka wanze kunuka ndo mjue kuna tatizo... Kama unauwezo wakuona watt wajiran wakicheza kila siku nje usipowaona lazm huojiiii
Hii nchi aliiweza magufuli tu na usalama ulipatikana Kwa asilimia 98 lakini Hawa wengine hamna kabisa mauaji ndiyo yanazidi kutokea kila siku hivi tunaelekea wapi
Eee Mungu turehemu, tusamehe tulipokukosea amen
Poleni sana ndugu zetu mungu awatie nguvu ktk kipindi hichi kigum
Pole Sana Kaka mwenyezi mungu akutie nguvu katika kipindi hiking kigumu aamin.
polen sana mungu yupo pamoja nasi
Pole sana ndugu mungu akutie nguvu
Eeeh Mungu 😢😢😢 kwa kweli hakuna maneno yatakayotosha kumfariji huyu baba. Ni Mungu tuu
Eh mwenyez mungu baba wa upendo baba wa huruma tujalie hekima tuondole mioyo ya mauaji kwenye mioyo yetu tumekosa sana mbele yako tumekukosea sana tunaomba utusameh kwa makosa tunayo kumbuka na tusiyo kumbuka tuliyotend kwa bahat mbaya na pia kwa makusud tunakiri mbele zako maumivu nimakubwa yanayotupata tujilie mwisho ulio mwema 😢😢😢😢😢😢😢
Pole sana mwanaume mwenzetu
Mungu tusamee tulipo kosea 🙏 matukio y kutisha kila kukicha
Mungu akawe faraja kwenu
Pole sana bro mungu akufunge mkanda
Polesana brother.Mungu awe faraja kwako.Wapumzike kwa amani marehemu wote
Inna Lillah wainna ilayhi rajioun Allah awape subra wafiwa poleni sn
Pole sna..Mungu akutie nguvu🙏😭
Huyo jirani yako wa kwanza alikupigia tu from no were amakuambia kuwa kwako hapaelewielewi yani inamaana yeye huwa anakazi za kuchunguza kwako bila ya sababu wala kuagizwa😮
Umeona huyo ndo mtuhumiwa no,,1 wew umeamka tu unawaza jirani awajatoka ndani kweli
Huenda ikawa, alisikia watu walikuwa wanaomba msaada lakini akanyamaza asubuhi ilipofika ndio anajifanya kusema
Sasa mtu asitoe taarifa mnatak mpka wanze kunuka ndo mjue kuna tatizo...
Kama unauwezo wakuona watt wajiran wakicheza kila siku nje usipowaona lazm huojiiii
Nyie ndiyo mnafanya watu wasitoe ushirikiano kama majirani maana ulivyoandika kama vile anahusika
Aya mauwaji sijui yatazuiliwa na nini!! İli yasiemdelee nchini kwetu!
Ee Mungu usiyelala mfariji wetu mtie nguvu baba huyu hiki ni kipindi kigumu sana kwake.
Allah akupe subrah sana
mke na watoto kuvamiwa poleni sana
Pole sana baba😭😭😭😭😭😭🙌🇹🇿🤲🙏
Daaa mungu akutie wepes katka hiilii
Pole dada lusajo na familia nzima
Chanzo ni huyu mama yenu msipomtoa mtakufa Sanaa watu saiv wanakufa Kam kuku wa broiler
Pole sana kaka kwa yaliyotokea
Nchi ipo salama 🤐.!? Pole sana kaka Mungu akupe faraja wakat huu mgumu
Inaumaa sana, pole sana baba
😢😢pole sana Mungu akutie nguvu
Jamani poleni sana na msiba mkubwa mungu awatie nguvu
Dakhaaa polen sana
Mungu awatie nguvu wafiwa wote
Pole sana bro more than pain
Pole sana kaka
Poleni sana
Omba yasikukute mtihani sana
Kwan huyu aliomba yamkute? Sijui unaongea nini ww
@@esterpaul5856 ndo maana kasema omba yasikukute yaani ni mazito kamuonea huruma anafilikia yakimkuta yy
Sikutegemea kama Tanzania itafikia hii steji dah,,,R I,P magufuri.
Pole sana ndg yangu ila binadamu
Pole sana
Pole sana baba
Unyama huu jaman tunaenda wap hii nchi? Da inaniuma
Du inaumiza tumekuwa na Roho ya kishetani kiasi hiki inaumiza sanaaa Mungu atusaidie hii ni hatari
Mungu awarehem.R.l.P
ukisikia mambo kama hayo daah sana sana ni masuala yanayohusiana na ushirikina .watanzania huamini ushirikina mno
Siwafahamu, ila machozi yamenitoka. Sipati picha maumivu kias gani anapitia huyu ndugu.😢
ata mimi 😢
Poreni sana wafiwa 😢so sad
Hii nchi aliiweza magufuli tu na usalama ulipatikana Kwa asilimia 98 lakini Hawa wengine hamna kabisa mauaji ndiyo yanazidi kutokea kila siku hivi tunaelekea wapi
Pole sana kaka 😢😢 insuma kwakweli why lakini
Pole xana
Daah!!!
😢
Nmaumivu yanamna Gani poleni sna😭😭
Dah 😢😢
Halafu Mama Samia anasimama hadharani anasema kufa ni kawaida Tu Aiseee ,,
Polen xana Wana ndugu sisi wote tunaumia
Dah!😢😢😢😢
Tanzania unakwenda wapi mambo tuliyo kuwa tukiyaona congo somalia nk Leo yaishi Tanzania mh inatisha nakuhuzunisha saana 😢😢😢🤲
Asee yaani dah
Innan lillahi waina illayhi rajiunu 😪😪
Poleeee kaka anguuu😢😢😢😢
Sijui niseme Nini Mungu unisamehe Baba uliweza kuendesha Gari police aze na familia husika maana Binadamu sisi sijui tumekua je
Jamani msitaje hospitali wasije mludia huyo mama ili asitoe ushahidi
Daah😭😭😭😭🙌🇹🇿🙌🤲🙏
Tanzania 😭😭😭😭😭😭
Mauaji yataendelea maana hatua kali hazichukuliwi mtu yeyote anaweza fanya imekuwa kawaida kwanini miaka ya nyuma Tanzaniia haikuwa hivi
😢🙏
Hasbina Allah wanema wakili 😪😪
Ila jmn mbona haya mambo ndo km yamechochewa?
Mi kwa roho yangu n̈singeweza kuonge au ungekuta nshakufa kwa presha😢😢😢
Amelia sana lkn
allah akupe subrah sana mwwname mwenzangu
😢mungu awatie nguvu
Hii nchi imekua ya kifala sana
😢😢😢😢😢poleni da
Jamani watu tumegeuka kuwa simba
Hivi Kuna Nini katika Nchi yetu
Jamani😭😭
Na was was na huyu mzazi
Kwnn
Uyo jilani ndomtumiwa ndomfanya mchongo wote make alijua ww aupo nailo angalia
umeona ee
Poleni xaana Kwa msiba mzito huu pia SS Busanda tumepokea Taarifa Kwa masikitiko makubwa
Inahuzunisha sanaaaaa
😭😭😭