MWL. BENARD MUKASA AWEKA WAZI MAHALI ALIPOZALIWA NA KIWANGO CHA ELIMU ALICHONACHO, ELIMU NI MUHIMU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 21 окт 2024

Комментарии • 34

  • @shahkibiki8966
    @shahkibiki8966 3 года назад +3

    Mwenyezi mungu akulinde na mabaya yote.AMINA

  • @sasinematinda9273
    @sasinematinda9273 3 года назад +4

    Hongera Sana Kaka Benard Mukasa Kweli Nyimbo zako zina ujumbe na zinagusa Moja kwa Moja nyoyo zetu Mungu azidi kukujalia hicho kipaji uendelee na kaz yake Binafsi napenda Sana nyimbo zako pamoja na familia yako Barikiwa sana

  • @happyallon38
    @happyallon38 3 года назад +2

    Mukasa hongera kwa kipaji mungu akubariki maisha yako yote

  • @mhojamsafiri2273
    @mhojamsafiri2273 3 года назад +7

    Mtunzi bora wa nyimbo bora kabisa kuwahi kutokea Tz hongera sana Mkasa

    • @wizmmanhaling3167
      @wizmmanhaling3167 3 года назад +1

      Upo vizur mwalim mkasa nyimbo zako zimeenea Kila mikoa yote ata nje ya tanzania

  • @mgonasipapune1383
    @mgonasipapune1383 3 года назад +2

    Nimeonja Pendo Communication (NPC) Mungu abariki this company ikazalishe zaidi.

  • @steventilubuza9247
    @steventilubuza9247 3 года назад +2

    Safi sana kijana, the future is promised... Don't worry...we love you... Olige! Mshaija.

  • @MosMan444
    @MosMan444 3 года назад +5

    Safi sana nyimbo zake ni nzuri!! Siku nyingine mumuhoji John Maja pia itapendeza!!

  • @mitaocamilliusthegreatest9068
    @mitaocamilliusthegreatest9068 3 года назад +1

    Mwenyez Mungu akubariki sana kaka Benard Mukasa

  • @zedianagasper9475
    @zedianagasper9475 3 года назад +2

    Mwenyez MUNGU akuongoze katika uinjilishaji

  • @trifoniambilo2400
    @trifoniambilo2400 3 года назад +2

    Hongera sana kwa kipaj ulichopata kutoka kwamuumba wetu

  • @nyakatopaschal9341
    @nyakatopaschal9341 3 года назад +2

    Mungu akubariki

  • @renatusswai1743
    @renatusswai1743 3 года назад +2

    Ubarikiwe sana mwalimu

  • @mgonasipapune1383
    @mgonasipapune1383 3 года назад +2

    Hongera Mukasa kwa hatua hiyo tuko nyuma

  • @renataraymond1545
    @renataraymond1545 2 года назад +1

    Hongera

  • @renatusmatungwa6800
    @renatusmatungwa6800 3 года назад +2

    Nakufahamu kwa utunzi wa nyimbo zako nzuri

  • @swenyavitalisi6049
    @swenyavitalisi6049 3 года назад +3

    Kwa uimbaji tu mukasa upo vizuri sana

  • @eliasnganira7661
    @eliasnganira7661 3 года назад +1

    Mukasa hongera na Mungu akusaidie

  • @blandinakimbe4019
    @blandinakimbe4019 3 года назад +1

    Ongea sasna na familia yako kwa kujitambua na kujiweka ndani ya Mungu mnafaa mbarikiwe saana

  • @gerardgulayi1982
    @gerardgulayi1982 3 года назад +3

    Amina

  • @mediusmwangi6612
    @mediusmwangi6612 3 года назад +2

    Huyo mzee nakumbuka ijaya yao ya kwanza #uganda namugongo wakiwa na mr bishaki na late veneranda kaulugwa

  • @thomasbutingo17
    @thomasbutingo17 3 года назад +3

    kwa utunzi Benard mkasa uko vzr xn napend xn Bukoba ipo sk ntafka bukoba

  • @thomasbutingo17
    @thomasbutingo17 3 года назад +2

    waooo kumbe msomi kwel kwel

  • @matildaleonard8860
    @matildaleonard8860 3 года назад +3

    Mungu abariki kaz yako

  • @jimmyerick4021
    @jimmyerick4021 3 года назад +1

    Mwandishi Bado ujaiva kidogo ongeza utundu jinsi ya kuuliza maswali unajua ila uongeze juhudi

  • @zedianagasper9475
    @zedianagasper9475 3 года назад +2

    Aminaa

    • @levinakato7629
      @levinakato7629 2 года назад

      Unafanya kazi kubwa sana. Mungu akubariki