"MJASIRIAMALI NI LAZIMA UWE NA UWEZO WA KUZIBADILISHA CHANGAMOTO KUWA FURSA"-Prof. Ngowi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024

Комментарии • 25

  • @gregorychogelo2013
    @gregorychogelo2013 5 лет назад +4

    Tunahitaji ma professor watekelezaji kama ww...!
    God Bless u Prof!!

  • @isikesamike
    @isikesamike 2 года назад +2

    Pumzika kwa amani mwamba Prof Ngowi 🙏

  • @goodluckmachangu5941
    @goodluckmachangu5941 5 лет назад +2

    Hawa ndio ma professa tunaowataka sasa. Wanaishi wanachokiongea thumb up Professor👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @joshuambwile2938
    @joshuambwile2938 5 лет назад +3

    Prof. Ngowi, hata vitabu vyako sasa naweza kusoma! Maana najua ninacho gain ni practically sio nadharia tu! Hongera sana kwa kazi nzuri. Najipanga nami siku moja niweze kuwekeza katika bwawa kama hilo, eneo langu linashabihiiana sana na lako, hasa kwa mkondo wa maji unaokatiza pembezoni mwa shamba.

  • @jonathanmnyone4003
    @jonathanmnyone4003 2 года назад +2

    R.I.P. Prof. Ngowi

  • @jesusnetworkministry
    @jesusnetworkministry 5 лет назад +2

    Daah namkubali sana Professor Ngowi

  • @mrsmartfarm1313
    @mrsmartfarm1313 5 лет назад +3

    Nafurah sana baada yakumwona my professor akiwa field

    • @gabrielngowi7511
      @gabrielngowi7511 2 года назад

      You have gone prof..but your legacy remains.

  • @lemameasi1723
    @lemameasi1723 4 года назад +1

    kaka ngowi naomba kupata namba yako ili nikupigie kwa ushauri

  • @anafisuleimani7083
    @anafisuleimani7083 5 лет назад +2

    Safi profesa ngowi

  • @lemameasi1723
    @lemameasi1723 4 года назад +1

    na naweza kupataje vitabu vyko kwa hapa arusha?

  • @agustinokagoroba6116
    @agustinokagoroba6116 5 лет назад +2

    Wanaokaa na elimu bila kuweka kwenye matendo ni mizigo watatembea na vyeti wakitafuta kazi mungu usiwape nimizigo.

  • @edwardmwampaka8320
    @edwardmwampaka8320 5 лет назад +2

    saafi sana professor

  • @lucydamson4240
    @lucydamson4240 2 года назад

    Dah pumzika kwa aman professor

  • @goodluckmachangu5941
    @goodluckmachangu5941 5 лет назад +1

    Asante sana kwa makala nzuri kama hizi

  • @malalezengo4405
    @malalezengo4405 5 лет назад +1

    Dah safi sana

  • @babalois7240
    @babalois7240 5 лет назад +3

    Fantastic

    • @mcluciana4554
      @mcluciana4554 5 лет назад

      Hongera sana pf Ngowi hakika Darasa tosha

    • @philipomrutu2022
      @philipomrutu2022 4 года назад

      Hongera sana Prof. H.Ngowi kwa kutufundisha kwa vitendo zaidi. Ahsante sana, bado najifunza.

  • @aggy_cakeandbites
    @aggy_cakeandbites 5 лет назад +3

    safi Sana.
    tunajifunza mengi zaidi.

  • @almachiusrweyongeza5159
    @almachiusrweyongeza5159 2 года назад

    Daah pumzka kwa Aman ,nimekumbuka mjomba wa Dr Justinian bamanyisa nae marehmu lakn ndoto Kama zako

  • @edinamutakyawa6872
    @edinamutakyawa6872 5 лет назад +1

    hongera prof

  • @meddygregory9038
    @meddygregory9038 5 лет назад +1

    Inspirational

  • @pilimsangeni8668
    @pilimsangeni8668 5 лет назад

    Naomba namba ya cm ili kujifunza zaid

  • @yudaphillip7523
    @yudaphillip7523 2 года назад

    Rest in peace Prof Prospa Honest Ngowi mafunndisho yako ya ujasiliamali yataishi ingawa wewe haupo tena katika hii dunia