{ Sifa na utukufu vyote ni kwa Mungu hee heee Sifa na utukufu vyote ni kwa Mungu hee hee } *2 { Utukufu nakupa wewe, utukufu nakupa wewe, Sifa na heshima nakupa we, Ewe mwenyezi unaweza } *2 Nguzo ya moto aliwasha, nilindwe usiku, Nayo ya wingu akashusha nipite mchana Nakumbuka mapito yote, niliyopitia, Nakumbuka na njia zote, nilizopitia Tazama Mungu tazama wewe, Tazama Mungu tazama wewe Tazama Mungu tazama wewe unatimiza ahadi yako Tazama Mungu tazama wewe, (tazama Mungu ) ni mwaminifu Tazama Mungu tazama wewe unatimiza ahadi yako Utukufu nakupa . . . Jemedari mwenye maguvu, yule Goliathi, Akamlaza kwa kombeho, mkononi mwangu Nakumbuka alikemea, mawimbi ya maji, Nakumbuka yalimtii, nikafika ng'ambo Tazama Mungu tazama . . . Utukufu nakupa . . . ~ ~ ~ a) Bahari haiwezi kutuzuia - Tunatembea bila mitumbwi Na maji yanageuka kuwa ukuta - Mungu mwenyewe ni mtumbwi wetu tunavuka b) Maana amesema tumfuate - Mizigo itulemeayo tukampe - c) Muhimu tumwendee tukiamini - Na hata juu ya maji tutakanyagaa - ~ ~ ~ { Alimkumbuka Daudi mtumishi wake Akamkweza akawavusha waisrael katika maji bila mitumbwi } *2 Apewe, apewe, apewe sifa kuu Mungu apewe, apewe, milele milele Apewe apewe, apewe sifa kuu Mungu apewe, apewe Sifa na utukufu vyote ni kwa Mungu hee hee
Sifa na utukufu ni kwako Mungu e eee utukufuuu nakupaaaa,proudly Catholic, naupenda ukatoliki,Asante Mungu nakurudishia sifa na utukufu vyooooote ni vyako aminaaaa
Oooh! My God l love the song, l heard this song with students of The University of Nairobi and l was like, l can't mis this song, lazima nikegekuja kutafuta this song hapa, Nyimbo na sauti zenyu zatubariki sana hapa Kenya.
Do you have Kwaya ya Mt Kizito Makuburi consent to have their project on your account, don't rip where you didn't invest, this is God's and Church work and you pay for it painfully, don't be ignorant. Evangelising is important but seek for consent. You are exploiting this choir for your your own personal gain.
Hakika kila nisikilizapo hii nyimbo nafarijika sana.
Mbarikiwe sana kizito
{ Sifa na utukufu vyote ni kwa Mungu hee heee
Sifa na utukufu vyote ni kwa Mungu hee hee } *2
{ Utukufu nakupa wewe, utukufu nakupa wewe,
Sifa na heshima nakupa we,
Ewe mwenyezi unaweza } *2
Nguzo ya moto aliwasha, nilindwe usiku,
Nayo ya wingu akashusha nipite mchana
Nakumbuka mapito yote, niliyopitia,
Nakumbuka na njia zote, nilizopitia
Tazama Mungu tazama wewe,
Tazama Mungu tazama wewe
Tazama Mungu tazama wewe unatimiza ahadi yako
Tazama Mungu tazama wewe,
(tazama Mungu ) ni mwaminifu
Tazama Mungu tazama wewe unatimiza ahadi yako
Utukufu nakupa . . .
Jemedari mwenye maguvu, yule Goliathi,
Akamlaza kwa kombeho, mkononi mwangu
Nakumbuka alikemea, mawimbi ya maji,
Nakumbuka yalimtii, nikafika ng'ambo
Tazama Mungu tazama . . .
Utukufu nakupa . . .
~ ~ ~
a) Bahari haiwezi kutuzuia -
Tunatembea bila mitumbwi
Na maji yanageuka kuwa ukuta -
Mungu mwenyewe ni mtumbwi wetu tunavuka
b) Maana amesema tumfuate -
Mizigo itulemeayo tukampe -
c) Muhimu tumwendee tukiamini -
Na hata juu ya maji tutakanyagaa -
~ ~ ~
{ Alimkumbuka Daudi mtumishi wake
Akamkweza akawavusha waisrael
katika maji bila mitumbwi } *2
Apewe, apewe, apewe sifa kuu
Mungu apewe, apewe, milele milele
Apewe apewe, apewe sifa kuu
Mungu apewe, apewe
Sifa na utukufu vyote ni kwa Mungu hee hee
Sifa na utukufu ni zako bwana🙌🏻
Amina Sana mungu nimwemae
mungu mwenyewe ni mtumbwi wetu tunavuka
aha godbless kizito and mkasa da mnatubaliki kwa nyimbo zenu asanteni sana
Naukimbiaje ukatoliki kwa raha hiziiiii,,,,,!!!???? Makuburi mnankosha sanaaaa
😀😀😀🤳
Raha sana yaaani nyimbo tamu canaaa%%%%
Had mm siezi Hama rc
Hii nyimbo inanibariki sana
Acha kabisa Kama vile napapaa hv
kristu tumaini letu mt kizito mungu awabariki sana
nymb zenu r very fyn God bless u guys😘😘😘💗💖💗
Jaman karibunii tunduma wanawakubali sana
Ama kwli mt kizito mpoo vizur munguu awabarikii mnoo
Elzabeth Cyprian ama kweli mt kizito mnavibaji mungu awabaliki
Nyimbo nzuri saana....karibu Diwopa Catholic church..Nairobi Kenya
Hakika nikisikiliza huu wimbo nafajika mno na namwona MUNGU kiroho. Hakika Utukufu Apewe Mungu
God bless you so much for me
Nyimbo nzuri sana mbarikiwe na Mungu aendelee kukuza kipawa chenu cha uimbaji
Hakika nabalikiwa Sana kwa nyimbo zenu..hakika sifa na utukufu wakupewa Ni mungu
xafi xna, , , bt natamani kufika TZ niwaone kwa macho ak ak
tazama mungu tazama ww unatimiza ahadi yako, NYC song
Mmetisha
🎹🎼💯💯💯💯💯💯
God I love you sifa na utukufu in kwako
Me to God is the one who created as we most sing and worship Him
Mnanibarik saaan na huu wimbo...Mungu azid kuwalinda ili mtuinjilishe wakristu kwa nyimbo kam hiz...🙏🙏🙏
Sifa na utukufu ni kwako Mungu e eee utukufuuu nakupaaaa,proudly Catholic, naupenda ukatoliki,Asante Mungu nakurudishia sifa na utukufu vyooooote ni vyako aminaaaa
Sifa na utukufu zote ni Kwa Mungu
Naanzaje kutoka ucatholic,, big up sana makubur,,
He is great . Sifa na heshima nizake milele
Watu wangu Nawapendaaaaaa
Amen mbarikiwe sana
Oooh! My God l love the song, l heard this song with students of The University of Nairobi and l was like, l can't mis this song, lazima nikegekuja kutafuta this song hapa, Nyimbo na sauti zenyu zatubariki sana hapa Kenya.
Saut ya pili nawasikiaa Hongereniii kizito Mbezi mshikamano twawasalimuuuu Karibuni tena tuzid kujifunza kupitia ninyi
This so amazing 🎉❤
mpo vizuri
Hongereni
❤❤❤
❤❤
Sifa apewe MUNGU mtakatifu wa Israel
Rendisheni ya vokali menibamba sana. Vocal rendition.
Huu wimbo naupenda sana aisee.Yaan najikutaga nauimba peke angu na najikuta nafurah hata kama nilikuwa nimekasirika
Enjoy it so much 😃😃😃
My all time choir,your songs bless me so much.Be blessed and keep it up!
Utukufu nakupa Ee Yesu Wangu
So nice
Fantastic
Closing 2019 with my favorite song
Stimulation inside my body, beautiful song
Such a blessing song
I don’t know what the song is talking about yet I can’t go without playing it 💝💝💝💝hand on repeat every time 👌👌
Nyimbo nzuri ya kumsifu Mungu
This song is full of annointing .God bless our Choir KMK.
God is great forever
Safi sana
Félicitations à la chorale. Je voudrais la collection de tous les chants de cette chorale que j'aime bien mais sans vidéo. Merci beaucoup
Très parfait,
Un chant fait pour la gloire de Dieu
You are blessed......
Amina Kwa mungu
A very nice song, I love it
Great voices there!
Nyimbo zenu zinagusa moyo sana.
I'm blessed 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Brilliant...🔥🔥🔥🔥🔥🔥
RIP dear cousin! I miss you Ignatius
best song
so blessing
Asante sana
Utukufu nakupa wewe
Nice song
So nice song
Haki i love this song very much...proud to be catholic
Naomba lyrics please
Bless you
Co
Do you have Kwaya ya Mt Kizito Makuburi consent to have their project on your account, don't rip where you didn't invest, this is God's and Church work and you pay for it painfully, don't be ignorant. Evangelising is important but seek for consent. You are exploiting this choir for your your own personal gain.