Nabarikiwa na nyimbo zenu Mwenyezi Mungu azidi kuwapa upeo na nguvu kwa kumtumikia Mungu .Mtumishi wa Mungu anayewaongoza hapo mbele Bwana azidi kumpa nguvu na afya ya kuendelea ya kuwaongoza na viongozi wote kwa jumla Mungu aendelee kuwabariki KMK Amina.
Those who ever believes in what this great choir delivers kindly let's gather here ❤❤❤
Mzidi barikiwa kwa Utume uliotukuka....
It is high time this choir-MKM Makuburi made more Catholic songs by Bernard Mukasa. Alphonce
Much respect kwa mzee flani pale nyuma na shirt ya blue. He knows the song very well hana hitaji la kusoma hata kidogo. Abarikiwe sana.
Tumshukuru Mungu Kwa ajili yenu kmk kutujaza neema Kila iitwapo leo
Asante Mungu tumpe sifa Mungu
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤no@@MarthaSangira
Mnaimba jaman na huyo kakaa anav piga mkono mpaka raha kweli nawapenda sana
Mgandu things 🔥.. Great performance guys..
Organist ako top top
Makuburi mmeleta mapinduzi katika Muzik mtakatifu , hakika nabarikiwa sana nikiwasikiliza
Utukufu Kwa mungu
Huu wimbo tazama nimekuja umenikumbusha nikiwa mtt Yesu,wakati wa maandamano❣❣
Wow glory to God.
Beautiful voices 🎉🎉 the drum guy 😊😊kudos
Mwalimu wangu uwanakupenda saaana unapo hongoza nyimbo,huwa nafarijika saaana nakukuhiga saaana hata hapa kwetu congo DRConcgo
Congratulations to you all. It is so lit.
Mubarikiwe sana jamani
Nabarikiwa na nyimbo zenu Mwenyezi Mungu azidi kuwapa upeo na nguvu kwa kumtumikia Mungu .Mtumishi wa Mungu anayewaongoza hapo mbele Bwana azidi kumpa nguvu na afya ya kuendelea ya kuwaongoza na viongozi wote kwa jumla Mungu aendelee kuwabariki KMK Amina.
Wa kwanza hapa. Napenda huu wimbo sana. Nimebarikiwa. Pokea salamu kutoka kenya 🇰🇪 ❤
fire fire good peformance
Classic and amazing
Mbarikiwe sana
Nice songi
Nice one we sang also but dynamics imeweza hapa
Balaaa ni zitoo
Hongeren San
Good performance ❤
Kwaya pendwa ya parokia yangu pendwa,nimewamis sana hakika
this choir though proud of it .they give us what we really need cheers
Nice one
This is so good 🫶
Wimbo mzuri ❤umenibariki sana,bless you people 🙏🙏
Mmeutendea haki
Amen 🙏🙏🙏🙏🙏
Wanamakuburi katika ubora wao wakiongozwa na Zacharia Gerald😊
Hongereni mno wadau,ktk utume wenu huu.
Hongereni kwa uinjilishaji kwa njia ya uimbaji.
What a live performance ❤🎉 my all time KMK
HOngera sana katika kipaji chaunjilishaji
KMK 🎉 zach na wajakoya 😅😅
Hongereni sana wapendwa kwa kazi nzuri
What's the name of the choir master he is the best
Hawa watumishi wa mungu ni balaa
Okay....
Alright Alright! You have made my new year
Makuburi ni hatari unstoppable
Nice song .... excellent performance kmks 👏👏👏
Nafurahi sana nyimbo za katholic
❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤❤
❤❤❤❤
All the best to u with the greatest performance❤❤
This choir 😊 so Amazing 🎉
Mpiga ngoma yupo on fire
aisee hongeren sana kazi nzuri
Hongereni San wapendwa
❤ tunabarikiwa sansaa
Mmeimba vzr jaman❤❤❤
❤Nice Composition of the song 🎵
#👏👏👏
🎉❤
Huu wimbo umetungwa na nani?
Ni wimbo mzuri sana
John Mgandu
Organist ako top top
❤❤❤