Kwaya ya Mt. Kizito Makuburi Walivyoimba kwa Mbwembwe katika Sherehe ya Masista Baraza la Maaskofu
HTML-код
- Опубликовано: 30 сен 2024
- Tafadhali Subscribe, Like, Comment na Share tone hili la upendo kwa ndugu jamaa na marafiki.
Jumuika nasi katika mitandao mingine ya Kijamii:
Instagram: / jugo_media
Facebook: / jugomedia2019
Mawasiliano:
JUGO MEDIA,
Sokoine Drive, Posta
P. O. BOX 34014,
Dar es Salaam.
For Bookings and other Enquiries
Phone Number +255757560764/657790405
#jugomedia #kanisakatoliki #familiatakatifu #wawata #uwaka #viwawa #australia #unitedstates #canada #america
Mt.kizito,wenye sauti sambamba.vizuri sana kwa uinjilishaji wa neno kwa njia ya nyimbo.Ray,
👍👍👍 an by the way,good entrance
Kwaya mastar nampiga kinanda nikiwapata kwenye harusi ya mdogo wang itakuwa fresh san nimependa
Mubarikiwe watumishi wa Bwana kwa kazi njema ya utume
Kwanza Huyo choirmaster,, share his contact
I love the choir Master. God bless you sana, for praising him
naona mnamwagilia na moyo 😂😂
Niko kenya nawapata mim ni mtz mwenzenu dada yangu fulolentina animba na nyinyi nawapata vizuri safi
Grup langu la whatsap limepotea naomba mnis
aidie lirudi
Penda sana
Kazi ya kufana
hii choir aki ni kiboko yao
From Kenya.
Catholic my great church.
Thanks my brothers and sisters from Tanzania
Nice voices. I admire hii choir. Organist Ako poa and choirmaster Ako sawa. Barikiweni sana.
ther is co-ordination between them.Big thumbs up for them👍
Mwalimu kiongozi unajua kutuliza kwaya. lakini pia unatumia stage yako vizuri
Kwaya yangu bora ya muda woote
NICE
nitakosa vipi kukipenda kibao kama hichi
Nafarijika na nyimbo zenu, mbarikiwe
Kizazi hatakizazi jinalake lihimidiwe,Aminaa
Mungu awabariki kwa utume wa uimbaji mwema hongereni sana
❤️❤️🔥🔥from Kenya
Wimbo ulio bora sana
Wakatoliki bhana hmna mambomengi cheki mezani natubalimi waametuacha
Mungu awabariki sana kwa kulitangaza neno la Mungu kwa njia ya uimbaji🙏
You do very nice
God bless you 🙏
Wameimba vizuri sana hadi raha
Kwaya master hongera sana
Ok
Safi sana Mungu awabariki
Mungu awabariki na kuwalinda siku zote za maisha yenu na kuwajalia nguvu za Roho mtakakatifu ili mpate kumtumikia siku zote za maisha yenu amina
Utume mwema katika Bwana wetu Yesu Kristu
Nimebarikiwa xana mungu azidikuwainua muwe imara ktk kulitangaza jinalake!
Jehovah!i can see two ladies i spotted during music festivals at Nairobi.
❤❤
Nice songs
♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
Kwaya master God have given u a good talent
Ahsante kwa huu wito wenu mbarikiwe
Hongereni wanakwaya wa kizito
Pendeza sana
Uinjirishaji mwema
ö