Mt. Kizito Makuburi - Ngoja Nicheze (Live Performance)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 авг 2021
  • Huu ni wimbo uliotungwa na Mwl Bernard Mukasa na kurekodiwa na kwaya ya Mt Kizito Makuburi mwaka 2005 katika album maalumu ya kusanyiko la nyimbo za Bernard Mukasa iitwayo Ngoja nicheze.
    Wimbo huu unaelezea shukrani, furaha na neema tunazojaaliwa katika maisha yetu.
    Karibu uungane nasi kumshukuru Mungu kwa kuimba na kucheza kwa shukrani. Hapa ukiimbwa live na KMK kwenye Tamasha la KMK GALA 2021.Channel Administered by Huru Digital
    Instagram: / hurudigital
  • ВидеоклипыВидеоклипы

Комментарии • 141

  • @zakwetuupdate3387
    @zakwetuupdate3387 2 года назад +26

    Wakwanza kabisa kuitazama like zenu

  • @martinakatch398
    @martinakatch398 2 года назад +18

    This is undeniably the most successful Catholic choir in the whole world.big up brothers n sisters,am truly influenced.keep it up.

  • @wambohnganga6513
    @wambohnganga6513 2 года назад +7

    Like Za kwa master zikam he always do a good job.

  • @munuve100
    @munuve100 11 месяцев назад +3

    Am sure this choir will be among those entertaining in heaven siku hizo

  • @frednasamaka2099
    @frednasamaka2099 2 года назад +19

    Conductor has really impressed me. The parents of that gentleman if they are watching they should be very grateful. And if he is married the wife should be envious coz so many are watching

  • @sergioharawa865
    @sergioharawa865 2 года назад +15

    Nice one.Malawi loves it very much.One catholic family ,i can sing this in chichewa version lol

  • @mommytakes
    @mommytakes Год назад +2

    This choir is a masterclass, energy and passion iko over the bar, wanakubaliana na mimi bonyeza like

  • @jamesgichuhi8070
    @jamesgichuhi8070 2 года назад +9

    More love from Kenya....all time favourite choir

  • @jovinusjulius9840
    @jovinusjulius9840 2 года назад +3

    Ukiachana na Album ya Mimina... Album zote za nyuma ni kali sanaaaaaaaaa...zirudiwe zirudiweeeeeeeeww

  • @janemwangi6065
    @janemwangi6065 2 года назад +8

    Waaaooooo hongereni Wana kawaya nawapenda sana. God bless you allways. From Qatar but Kenya

  • @juliethhouseofdesigns147
    @juliethhouseofdesigns147 2 года назад +2

    Inabidi tufanye juhudu tumchogee kiongozi wa kwaya kimeza cha kusimamia
    Mungu awabariki sana kwa kurudia huu wimbo. ❤❤❤❤

  • @lucynyaguthii7956
    @lucynyaguthii7956 2 года назад +2

    Acha ni cheze nanyi💃💃💃

  • @beatrisikimario8233
    @beatrisikimario8233 2 года назад +4

    Mbarikiwe sana hakika mna kipaji na mnakitumia vyema, conductor nmempenda bure yuko vizuri😘😘😘

  • @Njeripaulyne
    @Njeripaulyne 2 года назад +6

    the choir master is such a hypeman.much love from kenya

  • @adrienndimurukundo5560
    @adrienndimurukundo5560 Год назад +1

    Nice song ,nice dance and Angelic voices. Tanzanian Catholic choir respect to all of you. Good pianist. May God bless you more.

  • @nkrumahkatagira8921
    @nkrumahkatagira8921 2 года назад +4

    Huu wimbo umenikumbusha kwaya ya Mt. Martin de paris parokia ya mwananyamala waliimba hii nyimbo enzi hizo ilikuwa hit sana kwenye top ten za radio tumaini.

  • @samindegwah84
    @samindegwah84 2 года назад +10

    Awesome choir...THE PIANIST THANKS FOR REPRESENTING TZ & KENYA

    • @samindegwah84
      @samindegwah84 2 года назад +3

      ONE A CATHOLIC ALWAYS A CATHOLIC .

  • @florencem.5620
    @florencem.5620 2 года назад +10

    Honestly, this choir is a blessing, l love you KMK members, keep the fire burning in praising and glorying the name of the most high, our Saviour Lord Jesus Christ.

    • @rmherbs9075
      @rmherbs9075 2 года назад +1

      Nimefurahi kumuona mkude na mshobozi pamoja

  • @frednasamaka2099
    @frednasamaka2099 2 года назад +3

    My goodness I feel in I am in heaven listening to the Angels singing. God bless you

  • @josephmassawe161
    @josephmassawe161 2 года назад

    Naona fundi katulia pembeni anamcheki fundi wa long sembuli anavyotiririka mhuu hatari hakika mbarikiwe sana

  • @richardkingi660
    @richardkingi660 2 года назад +5

    Yanikumbusha yule mzee akicheza shambani kwa migomba

  • @avelinawella3472
    @avelinawella3472 2 года назад +3

    Daaaaaah!!! Nawapenda mnoo...napenda sana namna mnaimba jmn!! Be blessed

  • @rosechristopher9231
    @rosechristopher9231 2 года назад +2

    Tazam ninavyo pumuaa ❤️❤️❤️❤️❤️❤️ your the best choir always 🙏🙏

  • @saimalyedaniel5852
    @saimalyedaniel5852 2 года назад +1

    Weeh one day tuu si mkaribie hii nairobi weeh 🙏🙏

  • @veronikamwampashe7739
    @veronikamwampashe7739 2 года назад

    Huu wimbo ni mzuri bara umeutendea nimeuona nimekumbuka parokia yetu ya vyawa duuuuh ilikuwa ni noma ulikuwaga unatuamusha parokia nzima

  • @LardKE
    @LardKE 2 года назад +7

    Napenda hii sana ❤️. Kwanza hiyo choirmaster...and the pianist. 🙊🙊 They actually know their job 😘

  • @benedictmukasa9322
    @benedictmukasa9322 9 дней назад

    hongereni makuburi hongera bernard mukasa

  • @calvinsilayo2052
    @calvinsilayo2052 2 года назад +1

    Wimbo %100
    Kinand%100
    Waimbaji%100
    Hongeren sana

  • @catholicvibemusic3151
    @catholicvibemusic3151 2 года назад +1

    Haki Ngoja nimalizie bando Langu hapa🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌

  • @mumyhendry2919
    @mumyhendry2919 2 года назад +1

    ♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️Ni Mibaraka tuuuuuuuuuuuuuu

  • @FilbertsJoabMr
    @FilbertsJoabMr 2 года назад

    Nice to see Mkude Carlos..my long time inspiration in Catholic Music !

  • @wyckliffenyangaresithebest
    @wyckliffenyangaresithebest 2 года назад +3

    Asante wimbo mzuri Sana 💥 barikiwa

  • @suziemgata8925
    @suziemgata8925 2 года назад

    Huyu Kaka nampendaga mimi yaaani anamvhezeaga mingunkutoka moyoni❤️❤️❤️huyo wa mbele naimisi makuburi na kabisa langu🥰🥰🥰😍

    • @suziemgata8925
      @suziemgata8925 2 года назад

      Yaani nawapenda sna na nalimisi kanisa langu makuburi,,hakika nyinyi hamna mpizani 🥰🥰🥰❤️

  • @zachariahchacha9474
    @zachariahchacha9474 2 года назад +1

    I love this song. Na the kwaya pia💥💥💥kazi nzuri

  • @marioandrefocas3580
    @marioandrefocas3580 6 месяцев назад

    Magnífico
    Exaltação ao pai celestial com ritmo,dança africana nossa tradição.

  • @stevelastborn4670
    @stevelastborn4670 2 года назад +3

    Mbarikiwe aki, every time i listen to ur songs i feel blessed

  • @georgeziboni
    @georgeziboni 2 года назад +3

    Wimbo mzuri ,naomba mshoot tena video, na pia "nmeonja upendo lako"

  • @paulinelokuruka7598
    @paulinelokuruka7598 Год назад

    One feels very delighted to listen to st. Kizito choir keeps praising the Lord always

  • @janekariuki2373
    @janekariuki2373 2 года назад +4

    Waooh what a song...feeling blessed.

  • @ruthwanyonyi352
    @ruthwanyonyi352 2 года назад +1

    Nice song, be blessed much Love 😘😘😘 from Kenya...

  • @fredmhiche3614
    @fredmhiche3614 2 года назад +1

    Naona kamanda Mkude kaibukia kipande hio!

  • @calvinadolph-ky5ft
    @calvinadolph-ky5ft 8 месяцев назад

    Mtunzi-Mukasa.. organist-mkude... Kwaya- Makuburi combination safi

  • @josephkamau4272
    @josephkamau4272 2 года назад +2

    Great spirit blessing songs mwaja kenya lini...

    • @ernestmadzivanyika8704
      @ernestmadzivanyika8704 2 года назад +1

      This choir lifts me high in my prayer life all their songs make pray keep it with your noble mission of touching souls. KMK you are great. From Zimbabwe

  • @joachimlevi7202
    @joachimlevi7202 2 года назад

    Dah hii imenibariki kwa kweli Mungu aendelee kuwainua

  • @paulmukhwana5181
    @paulmukhwana5181 2 года назад

    Kazi nzuri. Huyu no Mkude kwenye mtambo

  • @michaelkithembe
    @michaelkithembe 2 года назад +3

    One of my favorites...be blessed ❤️🔥

  • @melaniachambala3499
    @melaniachambala3499 2 года назад

    Nawapenda Sana wapendwa,Mungu awape kibali zaidi Cha kuendelea kumwimbia Mungu wetu aliye mkuu kuliko vyote mbinguni na duniani

  • @kafulyawilson8567
    @kafulyawilson8567 Год назад

    Mkude! Mkude! Mkude! Nakuita mara tatu.

  • @marselinamalemba3436
    @marselinamalemba3436 2 года назад +1

    Love this choir god bless you good work nabarikiwa sana from kenya

  • @Tuikong
    @Tuikong 2 года назад +1

    What a performance! Mkude Sekulu on the deck. Good stuff KMKM!

  • @wanyonyirobert2735
    @wanyonyirobert2735 2 года назад +1

    You are the real people of God. Pls make the long one like one hour.

  • @clousgabriely6376
    @clousgabriely6376 2 года назад

    Huu wimbo unanipa nguvu kubwa mno kiroho mbarikiwe nyote waimbaji na waandaaji

  • @rufashunja8541
    @rufashunja8541 Год назад

    Woooow so marvelous,,,,keep the fire burning everytime,,,nimependezwa na choir conductor joh♥️♥️

  • @alexaliphonce4517
    @alexaliphonce4517 2 года назад

    Hongereni sana jamani mnanifurahisha sana. Pongezi kwako kwaya master upo vizuri.

  • @user-is8hg1xh9x
    @user-is8hg1xh9x 7 месяцев назад

    very amazing choir😊

  • @vincentnyaenya8433
    @vincentnyaenya8433 2 года назад +1

    Kinanda chazungumza😋😋👏👏

  • @justproductions
    @justproductions 2 года назад +1

    I love this choir💯

  • @kargiyoarizona3030
    @kargiyoarizona3030 2 года назад

    Nawapenda Sana! Mungu awainue milele. ❤️🙏

  • @christianpesambili9709
    @christianpesambili9709 2 года назад

    Big up sanaaaa kmkmakuburi
    Hakika mnastahili pongezi
    Mungu awabariki

  • @belindananjala8844
    @belindananjala8844 2 года назад

    Wooow, I tell u the sweetness of the song runs through my veins,I really love u♥️😘🥰especially the passion of the choir master

  • @elyhillary2000
    @elyhillary2000 Год назад

    Aminaiii

  • @musicheals1545
    @musicheals1545 2 года назад

    Mkude kama Mkude..! bravooo

  • @wilbertdilunga1657
    @wilbertdilunga1657 2 года назад

    Hadi raha

  • @philyaphilipo291
    @philyaphilipo291 2 года назад

    Wow!!!!!!!!

  • @wemazai8358
    @wemazai8358 8 месяцев назад

    Hatari Sana.

  • @poncegk5263
    @poncegk5263 2 года назад

    Hongereni sana, Naomba mshoot tena video ya huu wimbo

  • @veronicamugo3487
    @veronicamugo3487 2 года назад

    This is choir for me i say 😘😘😘😘😘

  • @stereosingasinga856
    @stereosingasinga856 2 года назад +2

    Huu wimbo ulikuwa kwenye albamu ipi? Naomba kukumbushwa

  • @samindegwah84
    @samindegwah84 2 года назад

    Great choir.watching from Kenya

  • @estherkirigo8427
    @estherkirigo8427 2 года назад

    Ooooh my God!!! Real talent here. Great.

  • @euniceakinyi3188
    @euniceakinyi3188 7 месяцев назад

    🎉mziki mtakatifu

  • @joelmwangangi9489
    @joelmwangangi9489 6 месяцев назад

    Great works

  • @immanueltimothy1873
    @immanueltimothy1873 2 года назад

    Nimejikuta Tu nairudia rudia hii video

  • @terrymuchiku7865
    @terrymuchiku7865 2 года назад

    Waaao !!! Bravo Bravo Bravo 💞💞💞💞💞

  • @mercymburu8227
    @mercymburu8227 2 года назад

    Ni neema Mungu

  • @michaelmutiso6272
    @michaelmutiso6272 2 года назад

    Waaau Napeda sana nyimbo zenu asanteni

  • @izidorijohn234
    @izidorijohn234 2 года назад

    nyimbo zenu zinanibariki

  • @salomemlingano6604
    @salomemlingano6604 Год назад

    Laha Sana

  • @angelasteve4287
    @angelasteve4287 2 года назад

    Am always inspired by your songs May God bless you all

  • @emmanuelmunishi557
    @emmanuelmunishi557 2 года назад

    Waaoh it's so good and nice one love U more

  • @beatricekinyua6977
    @beatricekinyua6977 2 года назад

    I love this song , love the swt voice's.

  • @charlesokwako5935
    @charlesokwako5935 2 года назад

    Kali sana,mungu awajalie nguvv

  • @adrian_hamadii
    @adrian_hamadii 2 года назад

    Nice one ...thanks to kmk makuburi....always enjoying your songs😘🤗

  • @francymbinya3834
    @francymbinya3834 2 года назад

    Wow hongereni sna kwa kazi nzuri

  • @charlesmaluni5854
    @charlesmaluni5854 2 года назад

    Tamu Sana

  • @philipinaurio9383
    @philipinaurio9383 2 года назад

    Mbarikiwe🙏🏻🙏🏻

  • @annngina1652
    @annngina1652 2 года назад

    Wow...nyc one

  • @bornfasayako9939
    @bornfasayako9939 Год назад

    Absolutely amazing ❤️

  • @terrymuchiku7865
    @terrymuchiku7865 2 года назад

    What a wonderful performance!!! Lovely !

  • @asbetawambuche7411
    @asbetawambuche7411 2 месяца назад

    Coming bcz of tiktok

  • @petermboro8973
    @petermboro8973 2 года назад

    Mmetisha aloo kitambooo

  • @corazonmulambe9637
    @corazonmulambe9637 2 года назад

    😍😍

  • @jaredtheorganist937
    @jaredtheorganist937 7 месяцев назад

    ❤❤❤❤

  • @emmanueltemba3533
    @emmanueltemba3533 Год назад

    Mkude hicho kinanda umekitendea haki mkuu kama ulivyo piga mwanzo

  • @user-dm2si2eg8k
    @user-dm2si2eg8k 2 года назад

    Nice song indeed it makes my day great

  • @sebastianmutuvimuendo5215
    @sebastianmutuvimuendo5215 2 года назад

    Old is good

  • @jessiewanjohi3300
    @jessiewanjohi3300 2 года назад

    Mkuu juu sana ....

  • @joycemushi8187
    @joycemushi8187 2 года назад +1

    Wimbo mzuri na unabariki, Mbarikiwe kwa uinjilishaji

  • @Arati896
    @Arati896 3 месяца назад

    tamu sana

  • @symonblackie7665
    @symonblackie7665 2 года назад

    nice one i love it