Mt. Kizito Makuburi - Ngoja Nicheze (Live Performance)
HTML-код
- Опубликовано: 23 авг 2021
- Huu ni wimbo uliotungwa na Mwl Bernard Mukasa na kurekodiwa na kwaya ya Mt Kizito Makuburi mwaka 2005 katika album maalumu ya kusanyiko la nyimbo za Bernard Mukasa iitwayo Ngoja nicheze.
Wimbo huu unaelezea shukrani, furaha na neema tunazojaaliwa katika maisha yetu.
Karibu uungane nasi kumshukuru Mungu kwa kuimba na kucheza kwa shukrani. Hapa ukiimbwa live na KMK kwenye Tamasha la KMK GALA 2021.Channel Administered by Huru Digital
Instagram: / hurudigital Видеоклипы
Wakwanza kabisa kuitazama like zenu
This is undeniably the most successful Catholic choir in the whole world.big up brothers n sisters,am truly influenced.keep it up.
Like Za kwa master zikam he always do a good job.
Am sure this choir will be among those entertaining in heaven siku hizo
Conductor has really impressed me. The parents of that gentleman if they are watching they should be very grateful. And if he is married the wife should be envious coz so many are watching
🙏🏼🙏🏼
Nice one.Malawi loves it very much.One catholic family ,i can sing this in chichewa version lol
This choir is a masterclass, energy and passion iko over the bar, wanakubaliana na mimi bonyeza like
More love from Kenya....all time favourite choir
Ukiachana na Album ya Mimina... Album zote za nyuma ni kali sanaaaaaaaaa...zirudiwe zirudiweeeeeeeeww
Waaaooooo hongereni Wana kawaya nawapenda sana. God bless you allways. From Qatar but Kenya
Wow mwaaaaa
Inabidi tufanye juhudu tumchogee kiongozi wa kwaya kimeza cha kusimamia
Mungu awabariki sana kwa kurudia huu wimbo. ❤❤❤❤
Acha ni cheze nanyi💃💃💃
Mbarikiwe sana hakika mna kipaji na mnakitumia vyema, conductor nmempenda bure yuko vizuri😘😘😘
the choir master is such a hypeman.much love from kenya
Nice song ,nice dance and Angelic voices. Tanzanian Catholic choir respect to all of you. Good pianist. May God bless you more.
Huu wimbo umenikumbusha kwaya ya Mt. Martin de paris parokia ya mwananyamala waliimba hii nyimbo enzi hizo ilikuwa hit sana kwenye top ten za radio tumaini.
Hakika
Walifanya vizuri sana wakati ule
Awesome choir...THE PIANIST THANKS FOR REPRESENTING TZ & KENYA
ONE A CATHOLIC ALWAYS A CATHOLIC .
Honestly, this choir is a blessing, l love you KMK members, keep the fire burning in praising and glorying the name of the most high, our Saviour Lord Jesus Christ.
Nimefurahi kumuona mkude na mshobozi pamoja
My goodness I feel in I am in heaven listening to the Angels singing. God bless you
Naona fundi katulia pembeni anamcheki fundi wa long sembuli anavyotiririka mhuu hatari hakika mbarikiwe sana
Yanikumbusha yule mzee akicheza shambani kwa migomba
Hahaaa!!
😂😂😂😂
Daaaaaah!!! Nawapenda mnoo...napenda sana namna mnaimba jmn!! Be blessed
Tazam ninavyo pumuaa ❤️❤️❤️❤️❤️❤️ your the best choir always 🙏🙏
Weeh one day tuu si mkaribie hii nairobi weeh 🙏🙏
Huu wimbo ni mzuri bara umeutendea nimeuona nimekumbuka parokia yetu ya vyawa duuuuh ilikuwa ni noma ulikuwaga unatuamusha parokia nzima
Napenda hii sana ❤️. Kwanza hiyo choirmaster...and the pianist. 🙊🙊 They actually know their job 😘
😂😂
hongereni makuburi hongera bernard mukasa
Wimbo %100
Kinand%100
Waimbaji%100
Hongeren sana
Haki Ngoja nimalizie bando Langu hapa🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌
♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️Ni Mibaraka tuuuuuuuuuuuuuu
Nice to see Mkude Carlos..my long time inspiration in Catholic Music !
Asante wimbo mzuri Sana 💥 barikiwa
Huyu Kaka nampendaga mimi yaaani anamvhezeaga mingunkutoka moyoni❤️❤️❤️huyo wa mbele naimisi makuburi na kabisa langu🥰🥰🥰😍
Yaani nawapenda sna na nalimisi kanisa langu makuburi,,hakika nyinyi hamna mpizani 🥰🥰🥰❤️
I love this song. Na the kwaya pia💥💥💥kazi nzuri
Magnífico
Exaltação ao pai celestial com ritmo,dança africana nossa tradição.
Mbarikiwe aki, every time i listen to ur songs i feel blessed
Wimbo mzuri ,naomba mshoot tena video, na pia "nmeonja upendo lako"
One feels very delighted to listen to st. Kizito choir keeps praising the Lord always
Waooh what a song...feeling blessed.
Nice song, be blessed much Love 😘😘😘 from Kenya...
Naona kamanda Mkude kaibukia kipande hio!
Mtunzi-Mukasa.. organist-mkude... Kwaya- Makuburi combination safi
Great spirit blessing songs mwaja kenya lini...
This choir lifts me high in my prayer life all their songs make pray keep it with your noble mission of touching souls. KMK you are great. From Zimbabwe
Dah hii imenibariki kwa kweli Mungu aendelee kuwainua
Kazi nzuri. Huyu no Mkude kwenye mtambo
One of my favorites...be blessed ❤️🔥
Nawapenda Sana wapendwa,Mungu awape kibali zaidi Cha kuendelea kumwimbia Mungu wetu aliye mkuu kuliko vyote mbinguni na duniani
Mkude! Mkude! Mkude! Nakuita mara tatu.
Love this choir god bless you good work nabarikiwa sana from kenya
That song is very nice. Bravooo.
What a performance! Mkude Sekulu on the deck. Good stuff KMKM!
You are the real people of God. Pls make the long one like one hour.
Huu wimbo unanipa nguvu kubwa mno kiroho mbarikiwe nyote waimbaji na waandaaji
Woooow so marvelous,,,,keep the fire burning everytime,,,nimependezwa na choir conductor joh♥️♥️
Hongereni sana jamani mnanifurahisha sana. Pongezi kwako kwaya master upo vizuri.
very amazing choir😊
Kinanda chazungumza😋😋👏👏
I love this choir💯
Nawapenda Sana! Mungu awainue milele. ❤️🙏
Big up sanaaaa kmkmakuburi
Hakika mnastahili pongezi
Mungu awabariki
Wooow, I tell u the sweetness of the song runs through my veins,I really love u♥️😘🥰especially the passion of the choir master
Aminaiii
Mkude kama Mkude..! bravooo
Hadi raha
Wow!!!!!!!!
Hatari Sana.
Hongereni sana, Naomba mshoot tena video ya huu wimbo
This is choir for me i say 😘😘😘😘😘
Huu wimbo ulikuwa kwenye albamu ipi? Naomba kukumbushwa
Albam ya nane
Great choir.watching from Kenya
Ooooh my God!!! Real talent here. Great.
🎉mziki mtakatifu
Great works
Nimejikuta Tu nairudia rudia hii video
Waaao !!! Bravo Bravo Bravo 💞💞💞💞💞
Ni neema Mungu
Waaau Napeda sana nyimbo zenu asanteni
nyimbo zenu zinanibariki
Laha Sana
Am always inspired by your songs May God bless you all
Waaoh it's so good and nice one love U more
I love this song , love the swt voice's.
Kali sana,mungu awajalie nguvv
Nice one ...thanks to kmk makuburi....always enjoying your songs😘🤗
Wow hongereni sna kwa kazi nzuri
Tamu Sana
Mbarikiwe🙏🏻🙏🏻
Wow...nyc one
Absolutely amazing ❤️
What a wonderful performance!!! Lovely !
Coming bcz of tiktok
Mmetisha aloo kitambooo
😍😍
❤❤❤❤
Mkude hicho kinanda umekitendea haki mkuu kama ulivyo piga mwanzo
Nice song indeed it makes my day great
Old is good
Mkuu juu sana ....
Wimbo mzuri na unabariki, Mbarikiwe kwa uinjilishaji
tamu sana
nice one i love it