SIKIA - KWAYA YA MTAKATIFU KIZITO MAKUBURI | TAMASHA LA UKWAKATA DAR ES SALAAM 2019

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 фев 2025
  • Tumsifu Yesu Kriso,
    Karibu kutazama Perfomances mbalimbali zilizofanyika katika tamasha la kuadhimisha mwaka wa umisionari lililoandaliwa na UKWAKATA jimbo kuu la Dar es Salaam. Tamasha hilo lilifanyika katika viwanja vya msimbazi center tarehe 13 mwezi wa kumi. tamasha hilo lilihusisha kwaya Takribani 16 kutoka pande mbalimbali za jimbo kuu la dar es salaam. kwaya hizo ni kama kwaya ya familia takatifu st joseph cathedra, kwaya ya mtakatifu kizito makuburi, kwaya ya dami takatifu ya yesu tegeta, kwaya ya mtakatifu cesilia mavurunza, kwaya ya mtakatifu stephano kipawa, kwaya ya mtakatifu augustino ukonga, kwaya ya maria goreth mbagala, kwaya ya bikira maria mama wa mungu yombo vituka, kwaya ya bmm kimara na kwaya nyingine nyingi. tafadhali endelea kufuatilia channel yetu kwani tunakuwekea yote hapa.

Комментарии • 199

  • @tadeimallya7302
    @tadeimallya7302 3 года назад +1

    Hii kwaya mbinguni watakaa siti za vvip, wanatisha sana! Mbarikiwe

  • @oyaMorogoro-d1m
    @oyaMorogoro-d1m 3 месяца назад +2

    Jaman mbona uyo jamaa apo mbele apewe maua uake🎉🎉🎉

  • @annwangeci9997
    @annwangeci9997 3 года назад +5

    The drummist is giving me goosebumps,,, love you so much ,,,from Kenya ,,,,Born Catholic die Catholic

  • @janekhaemba4383
    @janekhaemba4383 4 года назад +3

    Drum beat boy mbinguni ukifika pewa degree✅✅✅✅✅ Catholic my church

  • @OmaGd-m3n
    @OmaGd-m3n 2 месяца назад

    Kwakweri kiogozi apewe mauwa🎉🎉🎉❤❤

  • @georgenyasudi4060
    @georgenyasudi4060 5 лет назад +5

    Mwenyezi Mungu anijalie siku moja nifike Bongo kwa madhumuni tu ya kuiona hii kwaya. Kutoka Kenya, nawaombea baraka zake Mwenyezi Mungu.👏👏👏

  • @ngailelubanza7415
    @ngailelubanza7415 5 лет назад +29

    Hakika hiyo ndiyo hazina ya catholic! najivunia kua Mkatoliki.Asante Mwenyez Mungu.

    • @loemagidaycha5286
      @loemagidaycha5286 5 лет назад +1

      natamn dini ya catholic maan napnd nyimbo zao

    • @JugoMedia
      @JugoMedia  5 лет назад

      Karibu sana

    • @zachariagerald
      @zachariagerald 4 года назад

      Loema Gidaycha karibu sana, tunakupenda sana, karibu ujiunge nasi

  • @LucyMKyalo
    @LucyMKyalo 5 лет назад +18

    I love this choir hadi sijiezi...mwenyezi mungu awazidishie ...cant go a day without listening to your songs
    Mob love from Kenya

  • @henryirungu9059
    @henryirungu9059 4 года назад +15

    The choir,the choirmaster, the drummists and the pianist normally makes me to go crazy kudos Tz from Kenya

  • @idarakatekesi4211
    @idarakatekesi4211 5 лет назад +19

    Mushobozi hicho Kinanda, Drums iyo ngoma, Conductor hiyo mikono Bravooooo sana wote

  • @judykemunto3208
    @judykemunto3208 5 лет назад +18

    Kwaya ya Mt. Kizito Makuburi,nimewaita mara tatu.... Kenya hatutachoka kutazama hizi talanta

  • @esterntondo3663
    @esterntondo3663 5 лет назад +5

    Asante saaaaana mpiga ngoma..... Mungu azidi kuwainua zaidi waimbaji wote

  • @elizabethwanjiku8779
    @elizabethwanjiku8779 5 лет назад +20

    Love you all makuburi kwaya, listening from Spain, God bless you always

  • @thadeusmassoy7891
    @thadeusmassoy7891 5 лет назад +9

    Huu ni upako wa pekee kwa kweli. Hongereni sana watumishi wa Bwana, kweli Mungu yupo!

  • @brendaachola3527
    @brendaachola3527 Год назад

    The drumist anaskia hiyo drum weeee🎉🎉🎉🎉...

  • @matinderyoba6159
    @matinderyoba6159 4 года назад +2

    Really choir master nakupenda bure,daima usiache kumshukuru mungu kwa talent alokujaliaa,am blessed nawapenda sana makuburiii,drumist duh umeniacha hoiii

  • @johnrington3015
    @johnrington3015 4 года назад +1

    Mshobozi wa Moto mpiga Ngoma wa Moto kwaya master wa Moto kwaya ndio usiseme duuuuuh

  • @mwesigacredius9852
    @mwesigacredius9852 5 лет назад +10

    My goodness on top of well arranged voices and musical instruments..Conductor alinogesha zaidi na kinachofurahisha zaidi choir nzima inafata huo mwongozo wa conductorwhat a talent...Asante Makuburi

  • @marksenior8901
    @marksenior8901 2 года назад +1

    Hi kwaya ni balaah jamani mnaimba hadi kwaya zetu hatuzielewi tenaa...Your the best ever na uyo jamaah wa drums ndo funga kazi

  • @franklaurent1274
    @franklaurent1274 4 года назад +1

    1st in Tanzania

  • @bestmalya325
    @bestmalya325 3 года назад +2

    Choirmaster anaumnyama mwingi

  • @winfredkobia3008
    @winfredkobia3008 5 лет назад +9

    How does God feel... I know He is happy...this makes me shed tears. Lots of love guys in Kenya

  • @patrickcosmas2431
    @patrickcosmas2431 5 лет назад +4

    Salute kwenu makuburi nawakubali xn mnaweza mno sijaona wakuwafananisha na nyinyi kbs jpo na Mimi ni naimba lkn cjaona kwaya kama yenu

  • @susanraphael5894
    @susanraphael5894 5 лет назад +3

    Ee Mungu nisaidie nidumu ktk imani yangu asante Mungu kwa ukatoliki wangu

  • @josephyust2783
    @josephyust2783 5 лет назад +3

    Hataa watu wamataifu hakika wakiyaona haya Mungu lazima atukuzwe hongereni sana ila huyo mshobozi mpaka sasa sijaona mcheza kinanda mashohuri namana mh

  • @timdovecool7202
    @timdovecool7202 5 лет назад +5

    Wimbo mtamu kama asali...kinanda, sauti ya ninga, mpiga ngoma acha tu! Mwelekezi ...dereva wa kweli..alikua makini mno...sop and tenor voices....well balanced. Generally hongera sana makaburi choir...chaguo langu.

    • @suzyclaud4725
      @suzyclaud4725 5 лет назад

      mmenikumbusha sn nikiwa DSM mabibo huwa napenda kusali misa ya zamu yenu penda sana nyie

  • @felisterligwa
    @felisterligwa 5 лет назад +10

    The pianist,the drumist,the conductor ndo usiseme plus wapiga ala zoote na waimbaji nyote mko vizuri.Utume mwema

  • @ceciliamhumba7349
    @ceciliamhumba7349 5 лет назад +3

    👏👏👏
    Mpiga ngoma.

  • @gastonkizundu4216
    @gastonkizundu4216 4 года назад +3

    Najivunia kuwa Mkatoliki sanaa. Naomba uucheze wimbo wa '"Nimeona maji yakitoka Hekaluni".

  • @dominamsonge3088
    @dominamsonge3088 5 лет назад +14

    Hongera kwa mpiga drum. Hadi zimeimba po👍🤗🙏

  • @paulinasemindu1498
    @paulinasemindu1498 5 лет назад +4

    dah yn wanaoimba hd nywele zinawasisimuka hakika👏👏

  • @sabinambaabu1474
    @sabinambaabu1474 Год назад

    Good job wapendwa Tumeni full song

  • @paulinasemindu1498
    @paulinasemindu1498 5 лет назад +5

    hakika mungu ni.mwema.😭najikuta nawaza mengi hd nalia

  • @elsonchinchembere2524
    @elsonchinchembere2524 5 лет назад +16

    Mt kizito makuburi simply the best lots of love from Malawi

    • @JugoMedia
      @JugoMedia  5 лет назад +1

      Thank you malawi for following us

    • @elsonchinchembere2524
      @elsonchinchembere2524 5 лет назад +1

      @@JugoMedia my pleasure continues to upload more songs and to keep us blessed asante nashukulu Sana mungu wakibariki jungo media

    • @JugoMedia
      @JugoMedia  5 лет назад +1

      Thanks a lot. Be blessed

  • @fadhildaniel2141
    @fadhildaniel2141 5 лет назад +3

    Nimemuelewa saaaana mpiga tumba

  • @emanueljunior2996
    @emanueljunior2996 2 года назад

    Mungu awabariki sana wapendwa wangu

  • @veromugo3481
    @veromugo3481 5 лет назад +6

    This choir drives me crazy,blessings are flowing may you live long na msizeeke haraka.

  • @mumyhendry2919
    @mumyhendry2919 4 года назад +4

    This is my breakfast,my lunch,my supper ,my kila kituuuuuu, nawapenda had naumwaaa

  • @pielinamalata1305
    @pielinamalata1305 2 года назад

    Nabarikiwa sanaaaa na uimbaji

  • @anordjohn3372
    @anordjohn3372 5 лет назад +2

    mshoboz kaka mshoboz duuuuh

  • @jamesgichuhi8070
    @jamesgichuhi8070 4 года назад +4

    The love I have for you guys... Can't stop watching your songs from Kenya... Real talents.,wait and the drummist drives me crazy

  • @edgermandimu4671
    @edgermandimu4671 4 года назад +1

    Kwaya ya mt: KIZITO wanaweza sana mungu awape uzima ktk Nazi zao! Tumsifu mungu milele

  • @wambohnganga6513
    @wambohnganga6513 4 года назад +2

    My all time favourite choir listening from kenya

  • @kabaiyukyasnider6797
    @kabaiyukyasnider6797 5 лет назад +5

    Wao this choir can sing for Africa
    Mpangilio wa vyombo sauti mbarikiwe sana

  • @benedictawanza369
    @benedictawanza369 3 года назад

    Lovely songs .....mpaka the last song ya kitui choir that had accident at enziu was this song# sikia bwana
    Love u much from kenya
    Bravo mukasa Mungu akujalie maisha marevu

  • @johnngonyani6894
    @johnngonyani6894 5 лет назад +3

    Haya ndio mapinduzi uamuziki wa injili safi sana wa catholiki yatuoasa kuwa wabunifu ilikwenda sambamba na mahitajio ya mioyoyawatu

  • @johnizoboy
    @johnizoboy 5 лет назад +1

    Barikiweni sanaaaaa

  • @mlangafuadolph9542
    @mlangafuadolph9542 3 года назад

    All in all jamani mpiga ngoma namuona mimi tu jaman maana sichoki kumuangalia mungu amzidishie kipawa

  • @Birir
    @Birir 4 года назад +2

    Nimebarikiwa for real. Catholic this is my home. Iam proud and ever proud...

  • @emmanuelabel2265
    @emmanuelabel2265 5 лет назад +6

    Makuburi sio wa sayari hii! Hatar sana! Huyu mpiga tumba mwambie shikamoo! Big thumb!

    • @lucymushi328
      @lucymushi328 5 лет назад +2

      Kwa kweli si wa nchi hii. Na mpiga ngoma sijui alisomea wapi? Big up sana.

    • @yustogembege1910
      @yustogembege1910 5 лет назад

      yaani kama hilo ni tamasha mpiga mkono yaani conducter ana sifuri kabisa

  • @lilianraymond5399
    @lilianraymond5399 4 года назад +1

    Love you with passion from kenya

  • @tigerchristmas5491
    @tigerchristmas5491 5 лет назад +2

    My all time fav choir ever , mbarikiweer zaid na zaid

  • @wairimumwaniki5963
    @wairimumwaniki5963 4 года назад +1

    Vizuri kabisa

  • @morinemuonja3382
    @morinemuonja3382 Год назад

    Naomba Jina na huu wimbo naupenda sana

  • @materdeimusema9939
    @materdeimusema9939 4 года назад

    asante sana kwa wimbo mutamu sana ni mimi wanu rafiki materdei musema

  • @philomenasjohn9083
    @philomenasjohn9083 5 лет назад +2

    Yaan mnatupa utamu usioelezeka, organist, mpiga drum, conductor, na waimbaji wote shikamoni

  • @neemavawa17
    @neemavawa17 3 года назад

    MUNGU AWABARIKI SAANA 🙏🙏🙏

  • @anithajoseph9753
    @anithajoseph9753 5 лет назад +1

    Haki huwa nikisikilza nyimbo kama hzi huwa nahisi kubarikiwa sana 🙏🙏 Nalipenda kanisa langu Makuburi

  • @morinemuonja3382
    @morinemuonja3382 5 лет назад +1

    Mwapendeza sana st kizito

  • @madamesampa4231
    @madamesampa4231 5 лет назад +1

    Hakika kuwa mkatoliki raha saaana Asante Yesu

  • @morinemuonja3382
    @morinemuonja3382 Год назад

    Hii kwaya ni nzuri naipenda tafadhali niambiwe Jina la huu wimbo

  • @josephgeofrey1899
    @josephgeofrey1899 3 года назад

    God bless you St.Makubuli Choir

  • @juliusoboya7745
    @juliusoboya7745 4 года назад

    hakina kila mtu hapa yuapenda kazi yake ya utume.Mungu awabariki sana

  • @lazkoech4679
    @lazkoech4679 5 лет назад +1

    Nyimbo yenye baraka na kuburudisha hongera sana

  • @Fabius_Septimo
    @Fabius_Septimo 5 лет назад +2

    Eehh Bwana sikia sauti yangu!!!!

  • @agnesemmanuel3374
    @agnesemmanuel3374 5 лет назад +2

    Yani siku hii nilijisikia kupaa kabisaa makuburi juu

  • @hamisimkwizu9707
    @hamisimkwizu9707 5 лет назад +2

    Jamani safariyetu moja kwaya gani imeimba naitafta mnoo nipate hiyo nyimbo hngr sana makuburi

  • @emmanuelmperu8983
    @emmanuelmperu8983 5 лет назад +1

    Mmmh,Jamami Hatari,,Huku Ni Kuvitendea Haki Vipawa tulivyopewa na Mungu,.

  • @benedictawanza369
    @benedictawanza369 3 года назад

    Allah barik amin

  • @frankkapaya5265
    @frankkapaya5265 5 лет назад +1

    Nawapenda mpaka basi

  • @mariammwambungu3174
    @mariammwambungu3174 4 года назад +1

    Kizito very nice

  • @st.vincentdepaulboysboardi222
    @st.vincentdepaulboysboardi222 3 года назад +1

    The choir is superb. I love this choir so much. Keep it up.

  • @pendotitu7754
    @pendotitu7754 5 лет назад +2

    Alililiiiiiiiiiiiiiiiii aiiaiaaiiiiiiiiii 😍😍😍😍😍😍😍😂😂😂😂😂😂😂lililiiiiiiiiiiiiii

  • @richardchaula1860
    @richardchaula1860 5 лет назад +1

    Hongereni sana Waimbaji wetu.

  • @stephenmusembi7776
    @stephenmusembi7776 3 года назад

    Bravos

  • @Cles254
    @Cles254 5 лет назад +6

    The drummist and the conductor are on point.good job and keep it up.i love listening to your songs....may God bless you all.

    • @francismatsiri6663
      @francismatsiri6663 5 лет назад +3

      And mshobozi the organist yeye ni Moto sana

    • @janemlesi5932
      @janemlesi5932 4 года назад

      Hakika bwana anafanya kazi yake kwani unaimba Mimi najisikia kusisimuka mwili wangu bilasha kunauepo ndani ya hiyo kwaya Ee Mungu wazishien Rehema zako na utukufu waendelee kuwa na umoja huohuo Mbarikiwe sana

  • @paulinelokuruka7598
    @paulinelokuruka7598 Год назад

    Beautiful voices keep praising the gracious lord you will be blessed

  • @queenm1875
    @queenm1875 5 лет назад +1

    Mwili hadi unasisimuka mko vizur

  • @layajen1615
    @layajen1615 5 лет назад +1

    Huyu mwalimu akiooo pokea mwaaaaah

  • @kabulahenga2318
    @kabulahenga2318 5 лет назад +1

    Tunamshukuru Mungu kwa kwaya hii

  • @robaimayeku2216
    @robaimayeku2216 4 года назад +2

    Actually you people are so blessed even the mode of dressing is a blessing from God

  • @julietakathure5135
    @julietakathure5135 5 лет назад +1

    Love your variety of songs of which God Almighty is pleased and happy. Keep 👆

  • @abinanyanchama9561
    @abinanyanchama9561 5 лет назад +3

    I love this choir God direct you.. no day will pass without me listening to yua songs... so amazing...❤

  • @Esperance-y6e
    @Esperance-y6e 14 дней назад

    Kwer

  • @emilyoteri2492
    @emilyoteri2492 3 года назад

    The drumiest is something else

  • @pauljuma6154
    @pauljuma6154 3 года назад

    Superb... Congratulations Tanzania

  • @mebolinsnjowoka8628
    @mebolinsnjowoka8628 5 лет назад +1

    Mwenyezi Mungu awe nanyi muda wote nawapenda

  • @jennymrema6473
    @jennymrema6473 5 лет назад +2

    Eoooow! Am proud to be Catholic

  • @michaelmutinda7654
    @michaelmutinda7654 3 месяца назад +1

    Drummiest nishukishie hapo...

  • @titusimoli927
    @titusimoli927 5 лет назад +4

    Drums guy.. 👌👌🙏I can hear the song through the drums 🥁 keep it up man

  • @hanspeterrullmann729
    @hanspeterrullmann729 5 лет назад +2

    Wow!!!!! You guys are just amazing.been your fun all through.i feel lucky n blessed to be a Catholic.

  • @fabiangeorge616
    @fabiangeorge616 5 лет назад +1

    Hakika mko vizuri.Zaburi ya 150 mmeitendea haki.Mbarikiwe sana. Mkebezi uko njema.

  • @mufindits3807
    @mufindits3807 5 лет назад +1

    Nawakubari sana makubiri wooh

  • @mariambai9361
    @mariambai9361 3 года назад

    All this is incredible 👍👍👍....good job guys👏👏

  • @revocatuskatto7293
    @revocatuskatto7293 5 лет назад +1

    Hongera San mko vizur

  • @rajabumsonga6871
    @rajabumsonga6871 5 лет назад +2

    Kwaya master baba umevunjaaa,asanteee,MTU mfupi nae ngoma mmmmh

  • @risperjamesk2602
    @risperjamesk2602 2 года назад

    I love this song 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @scolasticashirima8692
    @scolasticashirima8692 3 года назад

    You guys are my guys.. You add rays of hope into my life through your songs.. I love you KMK.

  • @magrethgeorge679
    @magrethgeorge679 5 лет назад +1

    All de best kwa kwl....so fantastic

  • @murimingari1709
    @murimingari1709 5 лет назад +3

    Drummer man is out of this world