SIKIA - KWAYA YA MTAKATIFU KIZITO MAKUBURI | TAMASHA LA UKWAKATA DAR ES SALAAM 2019
HTML-код
- Опубликовано: 5 фев 2025
- Tumsifu Yesu Kriso,
Karibu kutazama Perfomances mbalimbali zilizofanyika katika tamasha la kuadhimisha mwaka wa umisionari lililoandaliwa na UKWAKATA jimbo kuu la Dar es Salaam. Tamasha hilo lilifanyika katika viwanja vya msimbazi center tarehe 13 mwezi wa kumi. tamasha hilo lilihusisha kwaya Takribani 16 kutoka pande mbalimbali za jimbo kuu la dar es salaam. kwaya hizo ni kama kwaya ya familia takatifu st joseph cathedra, kwaya ya mtakatifu kizito makuburi, kwaya ya dami takatifu ya yesu tegeta, kwaya ya mtakatifu cesilia mavurunza, kwaya ya mtakatifu stephano kipawa, kwaya ya mtakatifu augustino ukonga, kwaya ya maria goreth mbagala, kwaya ya bikira maria mama wa mungu yombo vituka, kwaya ya bmm kimara na kwaya nyingine nyingi. tafadhali endelea kufuatilia channel yetu kwani tunakuwekea yote hapa.
Hii kwaya mbinguni watakaa siti za vvip, wanatisha sana! Mbarikiwe
Jaman mbona uyo jamaa apo mbele apewe maua uake🎉🎉🎉
uyo mwamba, aaaaah confidence anayo.
The drummist is giving me goosebumps,,, love you so much ,,,from Kenya ,,,,Born Catholic die Catholic
Drum beat boy mbinguni ukifika pewa degree✅✅✅✅✅ Catholic my church
Kwakweri kiogozi apewe mauwa🎉🎉🎉❤❤
Mwenyezi Mungu anijalie siku moja nifike Bongo kwa madhumuni tu ya kuiona hii kwaya. Kutoka Kenya, nawaombea baraka zake Mwenyezi Mungu.👏👏👏
Amina
Karibu sana
Hakika hiyo ndiyo hazina ya catholic! najivunia kua Mkatoliki.Asante Mwenyez Mungu.
natamn dini ya catholic maan napnd nyimbo zao
Karibu sana
Loema Gidaycha karibu sana, tunakupenda sana, karibu ujiunge nasi
I love this choir hadi sijiezi...mwenyezi mungu awazidishie ...cant go a day without listening to your songs
Mob love from Kenya
The choir,the choirmaster, the drummists and the pianist normally makes me to go crazy kudos Tz from Kenya
Mushobozi hicho Kinanda, Drums iyo ngoma, Conductor hiyo mikono Bravooooo sana wote
Kwaya ya Mt. Kizito Makuburi,nimewaita mara tatu.... Kenya hatutachoka kutazama hizi talanta
Asante saaaaana mpiga ngoma..... Mungu azidi kuwainua zaidi waimbaji wote
Love you all makuburi kwaya, listening from Spain, God bless you always
Huu ni upako wa pekee kwa kweli. Hongereni sana watumishi wa Bwana, kweli Mungu yupo!
Hakika
@@JugoMedia Kama huyo mpiga ngoma ametisha kweli
The drumist anaskia hiyo drum weeee🎉🎉🎉🎉...
Really choir master nakupenda bure,daima usiache kumshukuru mungu kwa talent alokujaliaa,am blessed nawapenda sana makuburiii,drumist duh umeniacha hoiii
Mshobozi wa Moto mpiga Ngoma wa Moto kwaya master wa Moto kwaya ndio usiseme duuuuuh
My goodness on top of well arranged voices and musical instruments..Conductor alinogesha zaidi na kinachofurahisha zaidi choir nzima inafata huo mwongozo wa conductorwhat a talent...Asante Makuburi
Hi kwaya ni balaah jamani mnaimba hadi kwaya zetu hatuzielewi tenaa...Your the best ever na uyo jamaah wa drums ndo funga kazi
😄🤣😂😆😄
1st in Tanzania
Choirmaster anaumnyama mwingi
How does God feel... I know He is happy...this makes me shed tears. Lots of love guys in Kenya
Salute kwenu makuburi nawakubali xn mnaweza mno sijaona wakuwafananisha na nyinyi kbs jpo na Mimi ni naimba lkn cjaona kwaya kama yenu
Ee Mungu nisaidie nidumu ktk imani yangu asante Mungu kwa ukatoliki wangu
Hataa watu wamataifu hakika wakiyaona haya Mungu lazima atukuzwe hongereni sana ila huyo mshobozi mpaka sasa sijaona mcheza kinanda mashohuri namana mh
Wimbo mtamu kama asali...kinanda, sauti ya ninga, mpiga ngoma acha tu! Mwelekezi ...dereva wa kweli..alikua makini mno...sop and tenor voices....well balanced. Generally hongera sana makaburi choir...chaguo langu.
mmenikumbusha sn nikiwa DSM mabibo huwa napenda kusali misa ya zamu yenu penda sana nyie
The pianist,the drumist,the conductor ndo usiseme plus wapiga ala zoote na waimbaji nyote mko vizuri.Utume mwema
👏👏👏
Mpiga ngoma.
Najivunia kuwa Mkatoliki sanaa. Naomba uucheze wimbo wa '"Nimeona maji yakitoka Hekaluni".
Hongera kwa mpiga drum. Hadi zimeimba po👍🤗🙏
dah yn wanaoimba hd nywele zinawasisimuka hakika👏👏
Good job wapendwa Tumeni full song
hakika mungu ni.mwema.😭najikuta nawaza mengi hd nalia
Mt kizito makuburi simply the best lots of love from Malawi
Thank you malawi for following us
@@JugoMedia my pleasure continues to upload more songs and to keep us blessed asante nashukulu Sana mungu wakibariki jungo media
Thanks a lot. Be blessed
Nimemuelewa saaaana mpiga tumba
Mungu awabariki sana wapendwa wangu
This choir drives me crazy,blessings are flowing may you live long na msizeeke haraka.
This is my breakfast,my lunch,my supper ,my kila kituuuuuu, nawapenda had naumwaaa
Nabarikiwa sanaaaa na uimbaji
mshoboz kaka mshoboz duuuuh
Yaani kinanda kinatamka maneno
Acha Mungu aitwe Mungu
The love I have for you guys... Can't stop watching your songs from Kenya... Real talents.,wait and the drummist drives me crazy
Kwaya ya mt: KIZITO wanaweza sana mungu awape uzima ktk Nazi zao! Tumsifu mungu milele
My all time favourite choir listening from kenya
Wao this choir can sing for Africa
Mpangilio wa vyombo sauti mbarikiwe sana
Lovely songs .....mpaka the last song ya kitui choir that had accident at enziu was this song# sikia bwana
Love u much from kenya
Bravo mukasa Mungu akujalie maisha marevu
Haya ndio mapinduzi uamuziki wa injili safi sana wa catholiki yatuoasa kuwa wabunifu ilikwenda sambamba na mahitajio ya mioyoyawatu
Barikiweni sanaaaaa
All in all jamani mpiga ngoma namuona mimi tu jaman maana sichoki kumuangalia mungu amzidishie kipawa
Yuko faya❤
Nimebarikiwa for real. Catholic this is my home. Iam proud and ever proud...
Amen
Makuburi sio wa sayari hii! Hatar sana! Huyu mpiga tumba mwambie shikamoo! Big thumb!
Kwa kweli si wa nchi hii. Na mpiga ngoma sijui alisomea wapi? Big up sana.
yaani kama hilo ni tamasha mpiga mkono yaani conducter ana sifuri kabisa
Love you with passion from kenya
My all time fav choir ever , mbarikiweer zaid na zaid
Vizuri kabisa
Naomba Jina na huu wimbo naupenda sana
asante sana kwa wimbo mutamu sana ni mimi wanu rafiki materdei musema
Yaan mnatupa utamu usioelezeka, organist, mpiga drum, conductor, na waimbaji wote shikamoni
MUNGU AWABARIKI SAANA 🙏🙏🙏
Haki huwa nikisikilza nyimbo kama hzi huwa nahisi kubarikiwa sana 🙏🙏 Nalipenda kanisa langu Makuburi
Mwapendeza sana st kizito
Hakika kuwa mkatoliki raha saaana Asante Yesu
Hii kwaya ni nzuri naipenda tafadhali niambiwe Jina la huu wimbo
Wimbo unaitwa SIKIA BWANA
God bless you St.Makubuli Choir
hakina kila mtu hapa yuapenda kazi yake ya utume.Mungu awabariki sana
Nyimbo yenye baraka na kuburudisha hongera sana
Eehh Bwana sikia sauti yangu!!!!
Yani siku hii nilijisikia kupaa kabisaa makuburi juu
Jamani safariyetu moja kwaya gani imeimba naitafta mnoo nipate hiyo nyimbo hngr sana makuburi
Ni hawa hawa albamu yao
Mmmh,Jamami Hatari,,Huku Ni Kuvitendea Haki Vipawa tulivyopewa na Mungu,.
Allah barik amin
Nawapenda mpaka basi
Kizito very nice
The choir is superb. I love this choir so much. Keep it up.
Alililiiiiiiiiiiiiiiiii aiiaiaaiiiiiiiiii 😍😍😍😍😍😍😍😂😂😂😂😂😂😂lililiiiiiiiiiiiiii
Hongereni sana Waimbaji wetu.
Bravos
The drummist and the conductor are on point.good job and keep it up.i love listening to your songs....may God bless you all.
And mshobozi the organist yeye ni Moto sana
Hakika bwana anafanya kazi yake kwani unaimba Mimi najisikia kusisimuka mwili wangu bilasha kunauepo ndani ya hiyo kwaya Ee Mungu wazishien Rehema zako na utukufu waendelee kuwa na umoja huohuo Mbarikiwe sana
Beautiful voices keep praising the gracious lord you will be blessed
Mwili hadi unasisimuka mko vizur
Huyu mwalimu akiooo pokea mwaaaaah
Tunamshukuru Mungu kwa kwaya hii
Actually you people are so blessed even the mode of dressing is a blessing from God
Love your variety of songs of which God Almighty is pleased and happy. Keep 👆
I love this choir God direct you.. no day will pass without me listening to yua songs... so amazing...❤
Kwer
The drumiest is something else
Superb... Congratulations Tanzania
Mwenyezi Mungu awe nanyi muda wote nawapenda
Eoooow! Am proud to be Catholic
Drummiest nishukishie hapo...
Drums guy.. 👌👌🙏I can hear the song through the drums 🥁 keep it up man
Wow!!!!! You guys are just amazing.been your fun all through.i feel lucky n blessed to be a Catholic.
Hakika mko vizuri.Zaburi ya 150 mmeitendea haki.Mbarikiwe sana. Mkebezi uko njema.
Nawakubari sana makubiri wooh
All this is incredible 👍👍👍....good job guys👏👏
Hongera San mko vizur
Kwaya master baba umevunjaaa,asanteee,MTU mfupi nae ngoma mmmmh
Nice Song
Love Roman Catholic
I love this song 🙏🙏🙏🙏🙏
You guys are my guys.. You add rays of hope into my life through your songs.. I love you KMK.
All de best kwa kwl....so fantastic
Drummer man is out of this world
True
Sure
Mbarikiwe na Bwana hakika mko vizuri mno