Wengi husema kushukuru ni kuomba tena basi nasi wana Ledochowska tunaamini huu ni muendelezo mwema wa Undugu na urafiki wetu Karibuni tena Dodoma hata kama kuja kutusalimu tu itapendeza. Mungu azidi kuwatunza, Kuwabariki, Kuwaimarisha na kuwazidishia wingi wa Neema na Baraka zake katika yote mfanyayo hasa Utume wa Uimbaji.🙏
Wengi husema kushukuru ni kuomba tena basi nasi wana Ledochowska tunaamini huu ni muendelezo mwema wa Undugu na urafiki wetu Karibuni tena Dodoma hata kama kuja kutusalimu tu itapendeza. Mungu azidi kuwatunza, Kuwabariki, Kuwaimarisha na kuwazidishia wingi wa Neema na Baraka zake katika yote mfanyayo hasa Utume wa Uimbaji.🙏
Jamani tunaomba mirecord 🤤🤤🙏🙏
Asante K'ndege kwa ukarimu wenu mwenyezi awajaze mifuko yenu 🙏
🔥🔥🔥🔥Ahsaante sana BMTL
Nyie watu ni hatari na nusu❤❤
Yaani hii ni gharika sio mchezo
Asanteni wapendwa. Karibuni tena na tena. Tunawakaribisha tena.
Mbarikiwe sana BMTL
AMEN 🙏🙏🙏🙏 how I love this choir ❤️❤️❤️❤️❤️
Ila KMK- Makuburi …. Jamani Mwenyezi Mungu aendelee kuwakirimia wingi wa rehema zake katika utume wenu wa uimbaji.
Karibu tena Idodomya
Hongereni sana! Inapendeza sana! Huu ni ushirikiano wa mfano.
Asanteni kwa kushukuru wapendwa karibuni tena Ledochowska
Wapi nota wakuu
The best organist of all times. How much time do you give for training
Huyu mpiga kinanda balaa anajua adi anajua tena, Mungu aendelee kumbariki
Another beautiful one. The best choir ever
🎉❤Asanteni BMTL
Amazing! Hakika tunawashukuru Ledochoesca, Wanafamilia na wana K' ndege wote kwa ukarimu wenu kwetu
Karibuni sana Dodoma
Kazi nzuri sana Mungubawabariki sana
Hongereni sana....nyie mko serious na mnachokifanya......kweli hata mbinguni mtàimbà
Wimbo mtamu. 🇰🇪
asking God to bless me as soon as possible so that I can invite you to my celebration. I love you guys
Hakika ni vyema kushukuru 🙏🙏 haka kawimbo katamu sana kwani kana nota
🙏🙏🙏
Asante sana wana BMTL kwa yoteee Mungu awabariki na awazidishie mlipopunguza kwa ajili yetu.Amina
Wimbo mzuri wa shukurani.❤
NI UTUNZI WA BERENADO MUKASA????
The performance is unbelievable
Karibuni tena na tena ...
Karibu tena na Tena cz kushukuru ni kuomba Tena tunawatakia utume mwema
❤❤❤ hongereni kwa utume
AMEN 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amen 🎉 blessed
#👏👏👏
❤❤❤❤
❤❤❤👏👏👏
Kupitia choir yenu najisikia amani na furaha sana
So blessed 🙏
❤❤
Title aki juu. N kisearch aileti hiii