Mt. Kizito Makuburi - Maajabu ya Mungu + Nimeonja Pendo (Rehearsals)
HTML-код
- Опубликовано: 12 ноя 2023
- Maandalizi ya Kwaya ya Mt. Kizito Makuburi kabla ya Tamasha la Yesu ni Mwema 2023 (TYM 11).
Welcome to KMKMAKUBURI,
You can support evangelism through
⭐MPESA TILL NUMBER🇰🇪: 9948385
NAME: EVELYN JEPKEMEI
⭐MPESA LIPA NAMBA 🇹🇿: 5425652
Name: KWAYA YA MTAKATIFU KIZITO
⭐MPESA 🇹🇿: +255742000089
Name: KWAYA YA MTAKATIFU KIZITO
⭐Bank Name: Kenya Commercial Bank (KCB)
A/C No: 3390899162
Name: KWAYA MT. KIZITO - MAKUBURI
Branch: OYSTERBAY -Dar es Salaam, Tanzania
Swift code: KCBLTZTZ
You're warmly welcome Видеоклипы
concrats my brother Zachariah Gerald
Ningeomba mfanye wimbo moja na solo ya huyu mwanadada anayesolo hapa
The gal who introduced Ametamalaki very talented
dada @upendo edwiga embu fanya jambo na huyu mdada, itakuwa kali sana
Nakuunga mkono kikamilivu❤
I eeish she's amaizing❤
In MEMORY OF FR ALOIS MSIGWA 😢 R.I.P baba MSIGWA uliujua mziki mtakatifu.
Nawapenda sana nduguzangu❤❤❤❤
Hongera sana solo uko vzr
Walai mkuje Kenya sasa mnichukue nikae kwa choir yenyu🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😂😂😂naipenda jameni... All the way from Kenyatta university nawaskiza..... How I wish you come visit Kenya wakuu😢😂❤❤❤❤❤
Jameni! They really lift ones spirit and an instant blessing.Long live Mtakatifu Kizito 🙏❤️
Congratulations St.Kizito choir
Thanks you all for good songs keep on my dear choir.Watching from Spain Sr.Eliza.Good job Mr.Zacharia
wote niwa Mungu wooote❤❤❤❤
It never comes easy, There is much sacrifice. Kudos waalimu na wanakwaya kwa ujumula
Hongereni sana kwa kazi nzur sanaaaa sanaaa
Blessings
Naomba mkitoa ngoma tafadhali weka huyu mwanadada afanye solo pekee TAFADHALI TAFADHALI NAWASIHI
Aisee Beatrice Gwitara in KMK 🎉🎉🎉 bravoo mlitisha aisee
Shout out to mwalim kiongoz himself @Zach bila kumsahau hendry Kimario 🎉🎉
Napenda sana vile Zechariah anavyompatia huyu mwanadada kuwa mkakamavu na kuwa mwimbaji mjasiri
Wote ni Wa Mungu... Pendeza sana
Hongeleni Sana Mungu awabaliki
I just love the transition from maajabu Ya Mungu tu nimeonja Pendo lako,top notch transition
Maajabu ya Mungu❤❤
#👏👏👏
Very sweet 🎉🎉🎉....ur a blessing
Wa kwanza hapa. Salamu toka Kenya 🇰🇪 😍. Kazi mzuri
Good job 👏 👍
Munaimba vizuri sana❤❤❤
Enyewe kuna Baraka kwa hii choir
Asante sana wana kmk nawapenda hadi sio poa
Congs
KMK
That's perfect 🤍
Dada yangu Aveline hongera sana Kwa utume wa uimbaji Mungu akubariki sana
Nice
From Bujumbura❤
I love your songs, mnapendeza sana🎉🎉 to try Zack, hongera kwa kazi nzuri unayoifanya. The song is lit.
Very nice sweet voice
🎉🎉❤❤hatar san naupenda san huu wimb
🔥🔥🔥🔥
Very nice song
I keep listening to this song on repeat ❤ Hongera KMK Makuburi. Baraka tele🙏
❤❤huu ni wimbo
Congratulations my people. Big dreams and very good planning..
Spectacular performance
Finally 😃 had missed this song ❤
Congratulations kwa kutuburudisha
the lord be upon you and the same spirit leads you to compose more songs as we welcome new year
Good Job , Thanks for Sharing 🌹🌹🌹
Kwaya hii ni gwiji sana hata kama umenuna utafurahi
Congratulations
Dope 👌👌
Sauti jamani
Wimbo bado upo ee😋😋
Nice song❤... Congratulations Beatrice ❤
jamn bet anasaut snaa rafik angu.naomba asoloo kwen piaa
Mungu anabariki penye Nia njema na bidii.Mungu aendelee kuwabariki daima
Natamani angewaanzishia huyo binti jamani conductor kwa nini umemkatiza 😁 👏
Tumezisahau hizi nyimbo sana watu tunaimba vinyimbo vya kileo leo tu.
Zaka Nakupa Maua yako Kutiribu uko njema.
vizuri sana jamani mwaimba vizuriiii, hingereni sana. jamani mmetusahau sisi ambao ni wapweke katika kitengo cha miito mbalimbali kwenye kanisa katoliki. kuna wandoa, makuhani, watawa na wapweke.(holy matrimony, priesthood, religious women /men and single life)
MUNGU NI MKUU🙏🙏
solo
Huyo dada wa mbele jamani mbona kama naweza tangaza ndoa na macho yake hayo😊
Mie kwanza naomba sana vile nawezamfikia
Ikiwa nichaguo lako na uwe unaimba kwaya pia utatangaza nae
Bado mdogo bwan
Wesema alianza kuimba mdogo kbs kama sikosei alikuwana 5yrs au 6
Sasa mbona hii ni nzuri kuliko iliyo recodwa
Kuna kitu kabofya apo Vinny sjui na nyie kama mmemsikia 😅 dah
Bet ni kiboko ya solo. Fanyeni nae solo