Hii film nilipo Anja kuitazama mwanzo nilizani niwaupuuzi sasa nimejua kumbe niyakutuelimisha asanté sana nyote mulio usika kutuandalia elimu ya Futur, nawakubali🧏🇨🇩
Ila kupenda wahuni raha sana an kuna mhuni nilimpenda nilikua 4m4 jaman jamn hii mov kama inanihusu maana nilikua sisikii k2 juu yake , bange , sigara , pombe zake lakn nilimpenda ivo ivo
Chado master niliomba uingize kama msela na umefanya ivo nàkubali shabiki yako kaka ❤❤❤❤❤❤
Huyu dem yupo ok sana mm bina fisy namkubalai kama na wewe ❤una mkuba lu gonga likee❤❤❤❤
Hii movie n ya mwaka Kali San Mzee unajua chado
Chado wee super start bwana hata mm nakupenda ulivo
Nakubali bro kazi yako zuri sana
Nakubali saana kazi zako kichaa wangu
Kweli muhuni akipenda ni noma namuona chado anaanza kupendaa😂😂😂 shikamoo mapenziiii
Kazi nzuri Sana hongereni Sana
Nawapenda mnajua Hadi mnaboa alafu hamcheleweshi mungu abariki kazi ya mikono yenu
Nzur sana
Najma na chado fanya muoane nawapenda sana❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
😂😂😂uyo bd mdogo
Nakupenda sana chado ❤
Yaani chado unajua mpka unakera baba🎉🎉🎉 Big up from +254🇰🇪💯📌
Hamkawii kusema ni msani wenu😂😂😂
C n wetu ata ivo😅😅😅@@hawayassir9574
@@hawayassir9574😂😂😂
Sema wahuni sio poa yani chado dem wamuita dogo
Si bora dogo 😂😂kidem jauu
@@user-cu9st9bk7h😅
Kaka msiweke matusi kazi nzuri sana NGINJA NGINJAAAAAAAAAAAA
Matusi gani Sasa na wewe amesema bado mdog hajazoea kufiwa
Nashangaa pia mimi
Kufiwa babuu watu mnawaza matusi
Hii film nilipo Anja kuitazama mwanzo nilizani niwaupuuzi sasa nimejua kumbe niyakutuelimisha asanté sana nyote mulio usika kutuandalia elimu ya Futur, nawakubali🧏🇨🇩
Amini kwamba ninoma Sana movie Kali kinoma
Haya na mm leo nataka like hata kumi2
Ndo utakura au?
Uzipeleke wapi
10 mbili 20 izo
Wee piraa Nini lakini move Yako hii piraaa weee
@@MgonjaFide pira wewe omba omba
Awee sio powh mwenetu Chado moto sanaaa
Neno NINGEJUA huja baada ya tukio kutokea . pole janma soma sana mapenz yapo na yanaendelea kuwepo
Kaka nimekupa yote hayo chukuwa ndugu yangu unaweza
Ety anapenda ulefu wako, ndevu, aloooooh
Umalaya2 kusoma aaaha😂
Hahahahaha 😅😅
Hamlali mko u tube😅
Ila vitoto vya 2000
Si utoee part9 bc chaapu ynii Nina mitihani lknii nawazaga tyu muendelezo WA hii movie jaaamn Kali saana
Nakubal kaka mkubwa chadoo master
Like kwajili ya chado master mnyama nipeni like zangu tafadhali naomba
Wadau tuendelee kuongeza subscribers Kwa chado masta ili apate nguvu ya kuleta kazi nzuriiiii zaidii..... Wadau wa chado gonga like
Napenda hiyo kinyozi😂
Wana yanga wote hapa like zenu💛💛💚💚💚
Bwana weeeee tupishege hapa unatuletea mambo ya utimu hapa.....mfyuuuuuuuuuuuuuu
@@user-rk6sx2bw3e utimu kwanzaaa
Kaka yanga mpk uku duuuh
@@likopa_msanii ume tisha mkali
Unalete ushabki mpk kweny move
Ali Dady nakupata vyema. Fanya umlete Chado mnazi mmoja jingo la vitenge me ni yule chalii ako tulikutana nkakupa gwara hapa vitenge mkalidayo
Kazi nzuri Chado master
Kutoka kenya fan mkubwa wa chado masta
Ngadaya weemchumba tuuu daah Allah atunusuruu 😢😢😢
Leo iko refu vizuri sana bwana chado next plz 🎉🎉❤❤
Congratulations Chado ......
The series is doing very well ...
Its over 400k views in Kenya.....keep it up 🎉🎉🎉
Oooo nzuri lakini mbn mnatoa kipande kimoja tu
dah wanauwa vibe 🤪🤪
Movie hiii Kali sana Tena Kali nimeipenda sana kutoka ZANZIBAR
Vitto vya elfu mbili tujikusanye mwenzetu amemfanya muhuni alie😂😂
😂😂😂
One love ❤ kazi nzuri sana 💯💯💯🇹🇿
Duuuh kweli mapenzi upofu eti napenda unavovaa😅😅 asa anavaa nini😅😅 labda uwo urefu, weusi, na ndevu🙌🙌
😂😂😂
Ava kisela 😂😂😂
Hujui mapenzi 😂😂😂😂😂nyamaza
Thezea pensi weye🤣🤣
Kwan ww umpendi ad umuulize mwenzio 😂😂😂
Saluteeeee kwa chado master USA GANG STAR
Naikubali sana hii movie wazee❤❤
Ila wanafunzi wanapenda wahuni kweli
At mm nlikuw nawapend jmn
Ivi cjui kwann
Wanajua kupenda
Kwana wanafunzi wa likoni na kisaun nawahuni kubababake😅😅😅
Af kwel mie mwenyewe nilikua napenda wahuni kuna mhun nilimpenda mpaka nikawa send shule naenda kwake mda wa shule
Wakwanza mm Leo 🎉🎉wakwanza mm nataka
Huyu mtoto akija kuwa mkubwa ndio atakuja kuwa HANIFA😂😂
😂😂😂ila inaingia akilini
Big up sana braza🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦kazi nzur🔥🔥🔥
This is a very interesting please post more🔥🔥🔥🔥
Kweli upedo ni wasimu kabisa haka kana gogo ya mapezi
Kaka hauchelewesh good san
Chado ww! Ati kichwani hana bleach ila kichwa kinawaka🤣🤣...safi sana! Mnaweza team chado
nimechelewa lakini sio mbaya nawakubali sana tem chado ❤❤❤❤
Kazi nzuri nawapenda sna❤❤❤❤❤❤
Chado uko vizury sana
Noma sana man
The first one like to me
nakubali dady ,unapoonyeshe Jinsi yakupiga msumali😅😅💪💪
Watoto wa shule kwa wahun@@😅😅😅
piga like watu wa chado naiona nikiwa usa
USA 🇺🇲🇺🇲
Tuko pamoja
Zanini sasa
Aaaahh shida nini miyangu
Chado master unaweza kaka unajua mpaka unaboa
Mi nawaelewa sana ❤❤🇧🇮🇧🇮
Wanafunzi wanapenda wahuni kwasababu wanaojitambua hawapendi kuwaharibia maisha watoto washure
Sio kujielewa tu,wahuni wanajua kazi sana,yaani wakikukamia ivi.mmmmhhhh mambo ya humuuu tu.
@@AnnaLea-lq6ob😂😂😂ushawahi sio
@@mohammedkidody5618 lazima, ila kwasasa nimeolewa.nishaachaga hayo mambo
Sijawai muona muhuni amepoa,wote ni Safi tu.ila tulitaka kujenga familia ikabidi tutlie .
Kali lakini unatoa vipande vidogo sana chado
Mimi Leo nimewai
Napenda gadaya apone 😅
Ila kupenda wahuni raha sana an kuna mhuni nilimpenda nilikua 4m4 jaman jamn hii mov kama inanihusu maana nilikua sisikii k2 juu yake , bange , sigara , pombe zake lakn nilimpenda ivo ivo
Huyo wakusoma akimaliza kuigiza naomben namba zake nimemuelewa balaaaaaaaaaaaaaahhh😢😢😢
Ubunifu ni mzuri muongeze zaidi
Nakukubali sana najma w sai 😊
Nakubalii mkaliii umetisha xan chado
Oya kidem jau katisha kaupiga mwingi 🎉 🎉
Aisee moto nimeukubali mashallah ni jiwe la mwaka
Aaaah maselaaa nimeingia mzigoniii na mm❤❤❤chado gang
Chado nakubali sana kama stering wa kihindi ila mapenzi😂😂😂
Mapenzi mambo 😊😊🎉shado unatish
Nampenda chado mast 😮
I magita wote waka some good sana chado
Kamanda kova leo anamwaga chozi 😂😂🔥🔥🔥
Weee achaa tuu
😂😂😂baba chado lako pambana na haliyako ulilemba pale mwanzo ila saizi 😅😅na uyo ndo mwanamke wapo mtaani kwetu ❤❤❤
Jaman Najma anakosa gani hapo,,,,kaka ajui kumfunda mdogo wake,,,Keep going Chado umeua more love +254❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Nakupenda vile unavovaa😂😂
This is love from Mozambique 🇲🇿❤
Munajua sn chado ebu ongela sn❤
Kazi nzuri vijana
Kidem jau ,,ila wahun 😂😂😂
Chado master umezengua mda mrefu Sahi umekula kwako najma Soma ddngu mapenzi yako 😂
Mashallah kz nzr mr chado...kidem jau najma kaamua ss kma noma naiwe noma😂❤❤
It's cool 🥰🙏
Daaa masela 😂😂
❤from Kenya ❤❤❤
mimi nakukupali chado masta kaka chado ❤❤❤
Unakua Sana pasta chado unakipaji kikubwa Sana hongera
Hahaha ilo pala nimecheka kwakweli😁😁😁😁😁😄😃😀😆😂😅🤣
Nakubal chado
Wana simba tieni like ❤❤
😂😂😂chado na najma wameachana si Ndiyo daaah sema nini zam ya muuni kuteseka naisi kama moyo wa chado unaluka salakas🤸🤸🤸
Chado jamani 😂😂😂eti tenaa 😂😂Najma😍😍😍
Hana baya tajirii😂😂
is good
😂😂 kale Bado katoto akajazoea kufiwa😂😂😂
Chadoo ebu sema tenaaaaa!!!! 😂😂😂😂😂😂
Chado mastaa