Chado ulivyo na kwenye hii muv tofauti ckutegemea kama hii sehemu ya uhuni ungeicheza vzuri kama hiv hongera sana ndo inavyotakiwa msanii awe, yan kila pande umo🎉🎉
kaka chado master kitengo unajua ad unajua zaid mwanng unabaya apo enyew bad poa toa vyuma aupingwii mzee movies zako Kali kinoma Kila inayo Toka Kali zaidiii mungu akubaliki hom boy utoe vituu UNAJUA @chadomaster
Eiwaaaaaaa nikwel kabisa na tukisemaga bass inakuw bass binafs nilimpenda mmewangu sana alikuja kuniacha na mimba😢😢niliteseka had mimba ikaharibika nimemchukia sitaman hata kumuona sai ndio yeye ananichimba kuomba samahan aisee namuona kama mdudu ananichefuw balaa
Nmecheka kwenye kubadili kidole cha kuelekeza kaweka cha kati anastuka mwishooo se mwamba anajua kinyama aan haboi hachosh ni fire alaf kidege upepo najma duh upo kwa roho yang mama
Chado kaka, jitahidi utume next video on time, kazi ikiwa Kali inahamasa sana kwa audience Kila time watu tunaingia you tube kucheki new uploaded video hivyo jitahidi cheza na.hisia na vibe la audience , hii project actually ipo good sana we both of us expect instant response ❤
This dude is real in acting 💯 oya mwamba umetisha alafu
Nawakubali sana wanangu big up Chadoo
Upendo mingi sana kutoka upande huu 🇰🇪
Chado ulivyo na kwenye hii muv tofauti ckutegemea kama hii sehemu ya uhuni ungeicheza vzuri kama hiv hongera sana ndo inavyotakiwa msanii awe, yan kila pande umo🎉🎉
Mimi sitaki like hata moja ila huyu mwamba n 🔥🔥🔥
Chado unanikosha jaman na iko kindege upepe Najma❤️❤️ unajuwa sna brooo 🙌🙌🙌🔥🔥
Nikivuta Bangi Natamani Kuangali Chuma Kikalii Iki From Australia 🇭🇲🇭🇲🇭🇲
Jamani nice❤❤ sema mnachelewesha saan jamani tunasubiiir mpaka basi!
Mapenz na bangi bora bangi 😂😂😂😂 mapenz utapata ukimwi
Chadoo Mashtaa...Wa Kwanza Toka Kenya..Nipeni Likes Zangu
Kuomba like tu kuoga aka.
Upewe kama nani yaani
Wa kwanza Leo chando kazi mzuri bwana❤
Sana mwamba unaupiga mwingi chado kitengo chado masta
kaka chado master kitengo unajua ad unajua zaid mwanng unabaya apo enyew bad poa toa vyuma aupingwii mzee movies zako Kali kinoma Kila inayo Toka Kali zaidiii mungu akubaliki hom boy utoe vituu UNAJUA @chadomaster
Wakwanzaaaaaa🎉🎉🎉❤
Chadooo kayatimbaaaa hio huwa inatokeaaaa demuu anapooo kupendaa alfuuu unajifanya chiziii alfuuuu dakika za jion do unakujaaa kugunduaaa lkn utakuaaa umeshachelewaaaa
Me nimekuelewa San kaka ht me niliwahii kumpenda mtu ila akajifny aelew kit saiv sin ht mda naee yye ndo yupo busy n me
Eiwaaaaaaa nikwel kabisa na tukisemaga bass inakuw bass binafs nilimpenda mmewangu sana alikuja kuniacha na mimba😢😢niliteseka had mimba ikaharibika nimemchukia sitaman hata kumuona sai ndio yeye ananichimba kuomba samahan aisee namuona kama mdudu ananichefuw balaa
Jaman Sy Sr inauma san
Hyo nikawaida
Say kupenda acha nae
Kanzi nzuri sana kaka ❤❤🎉🎉
Wa KWANZA Mimi FROM Msasani Kama Unamkubali CHADO master Usipite Bila Kuchapisha COMMENT HAPA NA KU LIKE
Wa Msasani mwenzangu😊
@@neymichael1792 Kwa Pamoja Tunamuwakilisha CHADO MASTER WA MAMA MASTER
Wa malindi thanks chado
❤❤❤
Wow this is a nice series
Oda
Hiiiiii guys wa kwanz mim from USA 🇺🇲
Wabongo munaweza aki ni no moja kwa kuigiza bugep timu shado❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Tunaandamana huku tukipata burudani kali kutoka kwa chado master... big fan from +254🇰🇪🇰🇪
❤umentisha sana brothers huchelewesh
Chado mzee baba unatunyima raha ongeza minute kwenye épisodes zako baba.
Safi sana Chad kazi nzur
Nzuri sana tunawapenda ❤🇹🇿🖐🏼
Like kwajili ya chado master mnyama nipeni like zangu tafadhali naomba jamani
Kuomba like tu kuoga aka
Tenaaaa 😂😂😂😂😂
Nakukubali sana chado👌👌👌👌
Chado Mimi pia nakupenda kweli nikubalie basi na usiogope Mimi sio mwanafunzi from 🇰🇪🇰🇪
Duh! Uyu chado noma kiukweli ona anavyo cheza kuwa Bandia,nipo kongo🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Jmn chado nakupenda bure ❤❤❤
Masta mwenyewe
Kaz nzur❤
kazi safi chado ❤❤
Am the first kama unamkubali najma na chado gonga like
Na mimi namupenda chado ❤
nampenda sana najima ako na siri
Chado mastaaaa,, nakupenda sanaaaaa❤❤❤
Wakwanza impossible
Chado🎉
Chado unajua mpaka unajua tena walah ❤
Chado Master We Love You Brother From Australia 🇭🇲🇭🇲🇭🇲
Nmecheka kwenye kubadili kidole cha kuelekeza kaweka cha kati anastuka mwishooo se mwamba anajua kinyama aan haboi hachosh ni fire alaf kidege upepo najma duh upo kwa roho yang mama
Chado masta uko vizuri sana,,,,tena.
Anifa yuko wapi Epsode ya 9 simuoni😢😢?? Mliomiss kama mim like apa 😂
Kuomba like tu kuoga aka
Namkubali sana chado
Nawafatilia nikiwa oman mubarikiwe sana kazi mzr 😘😘❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Movie ni nzuri chado lakini vipande vya movie nividogo na pia inge kuwa kila siku ingekuwa powa sana
❤❤safi📌🇰🇪
IVI CHADO NA MKOJANI NANI MKALI KWA SASAIVIIII MAAAANA CHADO NI 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Bato ya chado so mkojani ni ngoma nagwa labda
Chado na msemo wake wa tena😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤
Naomba no ya chado
Chado kaka, jitahidi utume next video on time, kazi ikiwa Kali inahamasa sana kwa audience Kila time watu tunaingia you tube kucheki new uploaded video hivyo jitahidi cheza na.hisia na vibe la audience , hii project actually ipo good sana we both of us expect instant response ❤
Nimecheka hizo mbio sasa chado bangi zote zimeisha😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Goooood work tanzania bem vindoooo 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿 comooo estas amigo aiii tas bemm
Jaman yani hii filam iko pw kabisa mauwa yenu chukuweni chado dah
Nakubali
Ngadaya mimi nakupenda hivyo hivyo 😊😊😂😂😂
Hongera bro umeweza hapo
Chado master chama la Wana ❤🎉❤🎉❤
Hanifa jamani tuna mu miss 😢 chado kutoka 🇧🇮🇧🇮🇧🇮 tunakubali
Chado eee Ile momenti uliombeba kidem jau alipo kuja geto baada ya kutokea kaka ake na mjomba wake na wale askari daa❤😮 ulitisha sana
Oya umetisha kitambaa cheupe chadoo
hyo tutagombana ndio i like it chado kanifurahisha
Kaje getho Ukapige mande😅😂😂😂
Mi Leo wa kwanza nipeni like
Kuomba like tu kuoga aka
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kazi nzuri chado ni moto
Unyama sana👊👊👊
Chado chadoo asante kaka ila kumbe adi wanaume wanaomba like jmn na sisi je tuombe nini 😂😂😂
Daaa nmejihisi unyonge alivyoulizwa shemej yupo alivyojibu amenikimbia😢
Penda ww sana chado hadi naumwa nikikuona
Sema nakukubali sana
Unyama flani hivi 🔥🔥🔥🙌
Wakwanza leo😂😂
Good good 👍🏾
Apa yenyewe kichwa brich 😂😂 kimewaka moto😂
Hapo powa👍👍👍👍
Much love from Burundi ❤ chado
Hilo dole sasa😂😂😂
Sema matangszo yamekuwa mengi hayoo
Bara bang from mozambiqui🇲🇿🇲🇿❤
Chado wa kwanza toka Congo brow🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Baba uNAKIWASHAAAAA MBAYAA
Nakukubali sana CHADO Mimi apa niko Mozambique
Chado apo tatizo ya jamayake alitaka kumubaka dem wake hatakama hakumutongoza yeye ana mtetea jamayake vipi ange mubaka
Owa mwanangu chadoo umetisha kinoma Yan
Safi sana 🎉🎉🎉❤❤❤
Jamani chando niwache mtoto
Kidem jau bado anampenda chado masta ❤🎉🎉
😂 Dah chado bhana ety tenaa😂😂
Mimi from congo Kinshasa
Chado masta nakupa maua yko unajua kaka🎉🎉🎉🎉
kila episode yamoto.. safi sana
Nipeni like mimi wakwanza kuweka comment
Kuomba like tu kuoga aka
Umeyatimbaaaaaaaa😂😂😂😂😂
Mi mgeni jaman naombeni like chado 💥💥💥💥
Chado mastar unajuwa sio pouw
😂😂😂😂 mapenzi na bangiii mwanamwande kala bong la mtama❤❤❤
U people mnakosha🔥🔥🔥
Iyo tutagombana na tuumizane ndo i like🤣🤣🙌
Chadoo chukua maua yako ❤ ur the goat ever
Mzee Chado unajua bro