MISSION IMPOSSIBLE [9]

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 347

  • @malikaelvis-vn8ry
    @malikaelvis-vn8ry 2 месяца назад +8

    This dude is real in acting 💯 oya mwamba umetisha alafu

  • @streetcartelke
    @streetcartelke 2 месяца назад +10

    Nawakubali sana wanangu big up Chadoo
    Upendo mingi sana kutoka upande huu 🇰🇪

  • @MrsDariya-y1j
    @MrsDariya-y1j 2 месяца назад +20

    Chado ulivyo na kwenye hii muv tofauti ckutegemea kama hii sehemu ya uhuni ungeicheza vzuri kama hiv hongera sana ndo inavyotakiwa msanii awe, yan kila pande umo🎉🎉

  • @saidimbwana7162
    @saidimbwana7162 2 месяца назад +11

    Mimi sitaki like hata moja ila huyu mwamba n 🔥🔥🔥

  • @Chanbreezy
    @Chanbreezy 2 месяца назад +10

    Chado unanikosha jaman na iko kindege upepe Najma❤️❤️ unajuwa sna brooo 🙌🙌🙌🔥🔥

  • @msaminizodeclassic1838
    @msaminizodeclassic1838 2 месяца назад +10

    Nikivuta Bangi Natamani Kuangali Chuma Kikalii Iki From Australia 🇭🇲🇭🇲🇭🇲

  • @DalilaHasani-m2i
    @DalilaHasani-m2i 2 месяца назад +4

    Jamani nice❤❤ sema mnachelewesha saan jamani tunasubiiir mpaka basi!

  • @MaiyahShirazy
    @MaiyahShirazy Месяц назад +6

    Mapenz na bangi bora bangi 😂😂😂😂 mapenz utapata ukimwi

  • @danielsikawa2140
    @danielsikawa2140 2 месяца назад +36

    Chadoo Mashtaa...Wa Kwanza Toka Kenya..Nipeni Likes Zangu

  • @ireengacheri1493
    @ireengacheri1493 2 месяца назад +14

    Wa kwanza Leo chando kazi mzuri bwana❤

  • @AbaahSaalim-uy4lq
    @AbaahSaalim-uy4lq 2 месяца назад +16

    Sana mwamba unaupiga mwingi chado kitengo chado masta

  • @araphatialuphonce7280
    @araphatialuphonce7280 2 месяца назад +2

    kaka chado master kitengo unajua ad unajua zaid mwanng unabaya apo enyew bad poa toa vyuma aupingwii mzee movies zako Kali kinoma Kila inayo Toka Kali zaidiii mungu akubaliki hom boy utoe vituu UNAJUA @chadomaster

  • @Evaline-n1p
    @Evaline-n1p 2 месяца назад +8

    Wakwanzaaaaaa🎉🎉🎉❤

  • @FrankLuhaha-dt5sh
    @FrankLuhaha-dt5sh 2 месяца назад +22

    Chadooo kayatimbaaaa hio huwa inatokeaaaa demuu anapooo kupendaa alfuuu unajifanya chiziii alfuuuu dakika za jion do unakujaaa kugunduaaa lkn utakuaaa umeshachelewaaaa

    • @HappinessFelixJr
      @HappinessFelixJr Месяц назад

      Me nimekuelewa San kaka ht me niliwahii kumpenda mtu ila akajifny aelew kit saiv sin ht mda naee yye ndo yupo busy n me

    • @ZulekhaIssa-o3x
      @ZulekhaIssa-o3x Месяц назад

      Eiwaaaaaaa nikwel kabisa na tukisemaga bass inakuw bass binafs nilimpenda mmewangu sana alikuja kuniacha na mimba😢😢niliteseka had mimba ikaharibika nimemchukia sitaman hata kumuona sai ndio yeye ananichimba kuomba samahan aisee namuona kama mdudu ananichefuw balaa

    • @QuluthumuRajabu
      @QuluthumuRajabu Месяц назад

      Jaman Sy Sr inauma san

    • @QuluthumuRajabu
      @QuluthumuRajabu Месяц назад

      Hyo nikawaida

    • @QuluthumuRajabu
      @QuluthumuRajabu Месяц назад

      Say kupenda acha nae

  • @NasraNgoda
    @NasraNgoda 2 месяца назад +6

    Kanzi nzuri sana kaka ❤❤🎉🎉

  • @TwahaMpumbiye
    @TwahaMpumbiye 2 месяца назад +72

    Wa KWANZA Mimi FROM Msasani Kama Unamkubali CHADO master Usipite Bila Kuchapisha COMMENT HAPA NA KU LIKE

    • @neymichael1792
      @neymichael1792 2 месяца назад +1

      Wa Msasani mwenzangu😊

    • @TwahaMpumbiye
      @TwahaMpumbiye 2 месяца назад +1

      ​@@neymichael1792 Kwa Pamoja Tunamuwakilisha CHADO MASTER WA MAMA MASTER

    • @zeitunmohd544
      @zeitunmohd544 2 месяца назад +1

      Wa malindi thanks chado
      ❤❤❤

    • @frankphiri111
      @frankphiri111 2 месяца назад

      Wow this is a nice series

    • @PeterGwesa-hx1wm
      @PeterGwesa-hx1wm Месяц назад +1

      Oda

  • @LatifaOkt
    @LatifaOkt 2 месяца назад +11

    Hiiiiii guys wa kwanz mim from USA 🇺🇲

  • @Naema-x7p
    @Naema-x7p 22 дня назад

    Wabongo munaweza aki ni no moja kwa kuigiza bugep timu shado❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @KiduBoyJr.
    @KiduBoyJr. 2 месяца назад +2

    Tunaandamana huku tukipata burudani kali kutoka kwa chado master... big fan from +254🇰🇪🇰🇪

  • @abdullatifkhamis3787
    @abdullatifkhamis3787 2 месяца назад +3

    ❤umentisha sana brothers huchelewesh

  • @KatayaVincent
    @KatayaVincent 2 месяца назад +13

    Chado mzee baba unatunyima raha ongeza minute kwenye épisodes zako baba.

  • @HusseinSimba-w2v
    @HusseinSimba-w2v 2 месяца назад +3

    Safi sana Chad kazi nzur

  • @evelnjuma1834
    @evelnjuma1834 2 месяца назад +3

    Nzuri sana tunawapenda ❤🇹🇿🖐🏼

  • @NtakirutimanaSaidi-t8o
    @NtakirutimanaSaidi-t8o 2 месяца назад +8

    Like kwajili ya chado master mnyama nipeni like zangu tafadhali naomba jamani

  • @FettyRashidy
    @FettyRashidy Месяц назад +4

    Tenaaaa 😂😂😂😂😂

  • @pendomwaringa7597
    @pendomwaringa7597 22 дня назад

    Nakukubali sana chado👌👌👌👌

  • @PoleenNjeru
    @PoleenNjeru 25 дней назад

    Chado Mimi pia nakupenda kweli nikubalie basi na usiogope Mimi sio mwanafunzi from 🇰🇪🇰🇪

  • @TOXYJEPH
    @TOXYJEPH Месяц назад

    Duh! Uyu chado noma kiukweli ona anavyo cheza kuwa Bandia,nipo kongo🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @AsiaOmari-w8q
    @AsiaOmari-w8q 14 дней назад

    Jmn chado nakupenda bure ❤❤❤

  • @FadheelahMsafiri
    @FadheelahMsafiri 2 месяца назад +5

    Masta mwenyewe

  • @YuvessLeonard
    @YuvessLeonard 2 месяца назад +2

    Kaz nzur❤

  • @TalikiSalumu-y9q
    @TalikiSalumu-y9q Месяц назад

    kazi safi chado ❤❤

  • @KhairuniSimba
    @KhairuniSimba 2 месяца назад +3

    Am the first kama unamkubali najma na chado gonga like

  • @KevineMasika
    @KevineMasika 28 дней назад

    Na mimi namupenda chado ❤

  • @keliviniwambuikamau
    @keliviniwambuikamau Месяц назад

    nampenda sana najima ako na siri

  • @esterkimalio8846
    @esterkimalio8846 2 месяца назад +2

    Chado mastaaaa,, nakupenda sanaaaaa❤❤❤

  • @salimtalia5761
    @salimtalia5761 2 месяца назад +7

    Wakwanza impossible

  • @safinajoel6780
    @safinajoel6780 Месяц назад +1

    Chado🎉

  • @NasraMwakyoma
    @NasraMwakyoma 2 месяца назад +2

    Chado unajua mpaka unajua tena walah ❤

  • @msaminizodeclassic1838
    @msaminizodeclassic1838 2 месяца назад +2

    Chado Master We Love You Brother From Australia 🇭🇲🇭🇲🇭🇲

  • @EdgerMwakilema
    @EdgerMwakilema 2 месяца назад

    Nmecheka kwenye kubadili kidole cha kuelekeza kaweka cha kati anastuka mwishooo se mwamba anajua kinyama aan haboi hachosh ni fire alaf kidege upepo najma duh upo kwa roho yang mama

  • @ErickLyanga
    @ErickLyanga 2 месяца назад +1

    Chado masta uko vizuri sana,,,,tena.

  • @freddywizzyTz255
    @freddywizzyTz255 2 месяца назад +12

    Anifa yuko wapi Epsode ya 9 simuoni😢😢?? Mliomiss kama mim like apa 😂

  • @AbudoMomade-w1y
    @AbudoMomade-w1y Месяц назад

    Namkubali sana chado

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 Месяц назад

    Nawafatilia nikiwa oman mubarikiwe sana kazi mzr 😘😘❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @EmmyCliff-eq4do
    @EmmyCliff-eq4do 2 месяца назад

    Movie ni nzuri chado lakini vipande vya movie nividogo na pia inge kuwa kila siku ingekuwa powa sana

  • @DJGIDS254
    @DJGIDS254 2 месяца назад +3

    ❤❤safi📌🇰🇪

  • @salummohamedisaidi8806
    @salummohamedisaidi8806 2 месяца назад +2

    IVI CHADO NA MKOJANI NANI MKALI KWA SASAIVIIII MAAAANA CHADO NI 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

    • @AllyMkola-u7e
      @AllyMkola-u7e 2 месяца назад +1

      Bato ya chado so mkojani ni ngoma nagwa labda

  • @MwanapiliSidi
    @MwanapiliSidi 2 месяца назад +2

    Chado na msemo wake wa tena😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤

  • @JMtv-n7b
    @JMtv-n7b 2 месяца назад +2

    Chado kaka, jitahidi utume next video on time, kazi ikiwa Kali inahamasa sana kwa audience Kila time watu tunaingia you tube kucheki new uploaded video hivyo jitahidi cheza na.hisia na vibe la audience , hii project actually ipo good sana we both of us expect instant response ❤

  • @Maua-mj7pm
    @Maua-mj7pm Месяц назад +1

    Nimecheka hizo mbio sasa chado bangi zote zimeisha😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @Khalistfotockids
    @Khalistfotockids 2 месяца назад +1

    Goooood work tanzania bem vindoooo 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿 comooo estas amigo aiii tas bemm

  • @MwajumaAme
    @MwajumaAme 2 месяца назад

    Jaman yani hii filam iko pw kabisa mauwa yenu chukuweni chado dah

  • @NabiiYakobo
    @NabiiYakobo Месяц назад

    Nakubali

  • @zahraali5113
    @zahraali5113 2 месяца назад +2

    Ngadaya mimi nakupenda hivyo hivyo 😊😊😂😂😂

  • @Rhima-n7b
    @Rhima-n7b Месяц назад +1

    Hongera bro umeweza hapo

  • @J74251
    @J74251 2 месяца назад +1

    Chado master chama la Wana ❤🎉❤🎉❤

  • @FidiaMutoniwase
    @FidiaMutoniwase 2 месяца назад +1

    Hanifa jamani tuna mu miss 😢 chado kutoka 🇧🇮🇧🇮🇧🇮 tunakubali

  • @HamadHamad-k6t
    @HamadHamad-k6t 2 месяца назад

    Chado eee Ile momenti uliombeba kidem jau alipo kuja geto baada ya kutokea kaka ake na mjomba wake na wale askari daa❤😮 ulitisha sana

  • @JohnJohn-e1o
    @JohnJohn-e1o 2 месяца назад +1

    Oya umetisha kitambaa cheupe chadoo

  • @CatherinMartin-f4w
    @CatherinMartin-f4w 2 месяца назад +1

    hyo tutagombana ndio i like it chado kanifurahisha

  • @SichaliJuan
    @SichaliJuan 2 месяца назад +2

    Kaje getho Ukapige mande😅😂😂😂

  • @SalhatJuma
    @SalhatJuma 2 месяца назад +6

    Mi Leo wa kwanza nipeni like

  • @apaelmbise635
    @apaelmbise635 2 месяца назад +3

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @NuruHamis-m4o
    @NuruHamis-m4o 2 месяца назад

    Kazi nzuri chado ni moto

  • @kijjotz-br8qd
    @kijjotz-br8qd 2 месяца назад +2

    Unyama sana👊👊👊

  • @HusnaMasenga
    @HusnaMasenga 2 месяца назад +1

    Chado chadoo asante kaka ila kumbe adi wanaume wanaomba like jmn na sisi je tuombe nini 😂😂😂

  • @AliaRajab-q7z
    @AliaRajab-q7z 2 месяца назад

    Daaa nmejihisi unyonge alivyoulizwa shemej yupo alivyojibu amenikimbia😢

  • @luckylucky7153
    @luckylucky7153 2 месяца назад +3

    Penda ww sana chado hadi naumwa nikikuona

  • @RebecaMartin-nb4uv
    @RebecaMartin-nb4uv 2 месяца назад +1

    Sema nakukubali sana

  • @SichaliJuan
    @SichaliJuan 2 месяца назад +1

    Unyama flani hivi 🔥🔥🔥🙌

  • @RamadhanNtimizi
    @RamadhanNtimizi 2 месяца назад +2

    Wakwanza leo😂😂

  • @Gamba81
    @Gamba81 2 месяца назад +5

    Good good 👍🏾

  • @zaidabdallah3757
    @zaidabdallah3757 2 месяца назад +1

    Apa yenyewe kichwa brich 😂😂 kimewaka moto😂

  • @YusuphNgati
    @YusuphNgati 2 месяца назад +1

    Hapo powa👍👍👍👍

  • @FirdaussBijilan
    @FirdaussBijilan 2 месяца назад +1

    Much love from Burundi ❤ chado

  • @RosemaryWilbard
    @RosemaryWilbard Месяц назад +1

    Hilo dole sasa😂😂😂

  • @KibibiDankani
    @KibibiDankani Месяц назад

    Sema matangszo yamekuwa mengi hayoo

  • @FazendajrArafate
    @FazendajrArafate Месяц назад

    Bara bang from mozambiqui🇲🇿🇲🇿❤

  • @EliaStéphane
    @EliaStéphane Месяц назад

    Chado wa kwanza toka Congo brow🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @KahawaHouse-qt9bt
    @KahawaHouse-qt9bt 2 месяца назад +1

    Baba uNAKIWASHAAAAA MBAYAA

  • @albertociprianosanane-sf6qb
    @albertociprianosanane-sf6qb Месяц назад

    Nakukubali sana CHADO Mimi apa niko Mozambique

  • @kinjekitilew
    @kinjekitilew 2 месяца назад +1

    Chado apo tatizo ya jamayake alitaka kumubaka dem wake hatakama hakumutongoza yeye ana mtetea jamayake vipi ange mubaka

  • @IbrahimErasto-h5b
    @IbrahimErasto-h5b 2 месяца назад

    Owa mwanangu chadoo umetisha kinoma Yan

  • @fatuma6011
    @fatuma6011 Месяц назад

    Safi sana 🎉🎉🎉❤❤❤

  • @Judithopondo-fn9dr
    @Judithopondo-fn9dr 2 месяца назад +1

    Jamani chando niwache mtoto

  • @alhimnamussasaid3619
    @alhimnamussasaid3619 2 месяца назад +1

    Kidem jau bado anampenda chado masta ❤🎉🎉

  • @ShaniLikota-gr6vw
    @ShaniLikota-gr6vw 24 дня назад +1

    😂 Dah chado bhana ety tenaa😂😂

  • @ShebaziIzake
    @ShebaziIzake 2 месяца назад

    Mimi from congo Kinshasa

  • @Omarionkichege
    @Omarionkichege 2 месяца назад

    Chado masta nakupa maua yko unajua kaka🎉🎉🎉🎉

  • @Dickson4life-t4r
    @Dickson4life-t4r 2 месяца назад +1

    kila episode yamoto.. safi sana

  • @EvansMwenda-d1t
    @EvansMwenda-d1t 2 месяца назад +11

    Nipeni like mimi wakwanza kuweka comment

  • @Hussen-fc4ve
    @Hussen-fc4ve Месяц назад

    Umeyatimbaaaaaaaa😂😂😂😂😂

  • @amringongoje
    @amringongoje 10 дней назад

    Mi mgeni jaman naombeni like chado 💥💥💥💥

  • @SelemaniIddy-nc1n
    @SelemaniIddy-nc1n 2 месяца назад +1

    Chado mastar unajuwa sio pouw

  • @maishanicomedy2552
    @maishanicomedy2552 2 месяца назад

    😂😂😂😂 mapenzi na bangiii mwanamwande kala bong la mtama❤❤❤

  • @marthalameck6594
    @marthalameck6594 2 месяца назад +1

    U people mnakosha🔥🔥🔥

  • @seciliamanda
    @seciliamanda Месяц назад

    Iyo tutagombana na tuumizane ndo i like🤣🤣🙌

  • @JumaMzongi
    @JumaMzongi 2 месяца назад

    Chadoo chukua maua yako ❤ ur the goat ever

  • @hybridaccounts
    @hybridaccounts 2 месяца назад

    Mzee Chado unajua bro