MISSION IMPOSSIBLE [19]

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024

Комментарии • 614

  • @NasraJuma-b4v
    @NasraJuma-b4v Месяц назад +16

    Hi ep yaleo ni🤸fire,,oya wee chado kitengo unajuwa mpaka unakelaa❤❤❤ Anasema chado na najma wanajuwa mpaka wanajuwa Tena gonga like apo

  • @WanjalaWamalwa
    @WanjalaWamalwa Месяц назад +30

    Chado Master hilo penzi lenyu na kidem jau lanipa uhai mtunze mtoto kampenda sela i say japo movie ila kama vile reality

  • @Thuma_junior
    @Thuma_junior Месяц назад +8

    Chado huna uruma unakula mtoto wa watu mdogo 🥲🥲🥲🥲🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nafurai chado na team yako muko talented ❤❤❤❤🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🥰🥰

  • @neymichael1792
    @neymichael1792 Месяц назад +15

    Kula shoga angu, kazi Yako ngumu😂😂😂😂

  • @zkhd9356
    @zkhd9356 Месяц назад +9

    Chadooo❤❤❤❤ hii inanikumbusha dear x mselo Mmoja hv mvuta bangii wanguuu nmemiss kukusokotea popote ulipo🎉🎉🎉🎉

    • @aishaomar9621
      @aishaomar9621 25 дней назад

      Kumbe tuko wengi nmeamini wahuni wapenda kupitia chado😅😅😅

  • @TumainiNahatula
    @TumainiNahatula Месяц назад +15

    Huyo binti yupo very talent sana azidi kufocus tu atafika mbali

  • @KhairuniSimba
    @KhairuniSimba Месяц назад +19

    Kazi nzuri vipenzi vyangu god bless all members of chado

  • @FOURTEENSTAR-mv1qb
    @FOURTEENSTAR-mv1qb Месяц назад +6

    Dah mmetisha sana chado master gang ❤❤❤ nahivi Leo yanga mabingwa misumali tu

  • @IsayaTarakwa
    @IsayaTarakwa Месяц назад +15

    First born leo nawakubali wananguuuu🎉🎉😊

  • @johnosoro6033
    @johnosoro6033 Месяц назад +5

    Chado Masta unatisha sana mwanangu maana kila hatua unayopiga tunaenjoy sana kwa kweli kazi nzuri sana ❤️ ongera

  • @valuboy4335
    @valuboy4335 Месяц назад +4

    Chado napenda kadem kako jamani 😂😂😂😂 i wish siku moja tufanye collaboration ya love movie 🎥❤❤❤❤❤❤

  • @givenmgaya8889
    @givenmgaya8889 Месяц назад +22

    Watu hawamzingatii sana cheusi ila mwamba mnoma sana afu comedy😂

    • @rogynee8135
      @rogynee8135 Месяц назад

      Umeona eeeh😂😂😂😂

    • @TausRaj
      @TausRaj Месяц назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂sure

    • @ixha706
      @ixha706 26 дней назад

      Cheusi anajua mpaka anajua tena ananikosha hatal🙌😅🥰🥰

    • @hashimmlula1732
      @hashimmlula1732 21 день назад

      Nikajua namzingatia peke angu

    • @SaadaRafael
      @SaadaRafael 18 дней назад +2

      Afu uyo cheus mi ndo I like😅😅

  • @eliamkonda5162
    @eliamkonda5162 Месяц назад +8

    Chado Kitengo 👍👍😂😂😂 nakubali sana mwamba hongereni sana na Crew yako nzimaa

  • @George-qk8fw
    @George-qk8fw Месяц назад +5

    Nakukubali mwanangu chado dahh umenikumbusha mbali kikweli❤❤

  • @samkimweri5893
    @samkimweri5893 Месяц назад +22

    Oysaaaaaaaaa fan wa kidem jau nipen izo like bas

  • @AishaRashed-m5o
    @AishaRashed-m5o Месяц назад +10

    Chado kuwa bas na mapend na kidem jau kwa Huba la upendo jamann Leo umemkomesh kaka nasir

  • @edsonrainaldndunguru3442
    @edsonrainaldndunguru3442 Месяц назад +16

    Haaaa chado uko vizuri unatuwekea mzigo mpya kilasiku safi san 👏👏👏. Wenzako huku ya manyoka nyoka inamaliza mwezi hakuna kinachoendelea

    • @user-mx5rf1db1j
      @user-mx5rf1db1j Месяц назад

      mbona manyoka nyokaa😂😂😂wanaringa

    • @bahatikarisa6868
      @bahatikarisa6868 28 дней назад

      𝑌𝑎 𝑚𝑎𝑛𝑦𝑜𝑘𝑎 𝑛𝑦𝑜𝑘𝑎 𝑛𝑑𝑜 𝑔𝑎𝑛𝑖

    • @Inframe24
      @Inframe24 22 дня назад

      😂😁

    • @user-kj3hg7gc2m
      @user-kj3hg7gc2m 21 день назад

      😂😂😂😂 mbona manyoka nyoka

  • @willsonbreezy3673
    @willsonbreezy3673 Месяц назад +13

    huu mzigo yaan soo poah ni kali kinomaaa

  • @FadhiliNgwea
    @FadhiliNgwea Месяц назад +14

    Da wechado umenikumbusha mbali sana nakumbuka nilianza mausiano nikiwa mdogo sana bas banaangu alikua anamwambia lafikiyake atufungie tenanilikua naenda na nguo za shule ila ndo mumewangu mpaka sasa nilikua nima miaka 12 tu

    • @user-ji5bq6vb9k
      @user-ji5bq6vb9k Месяц назад +2

      😂😂😂😂😂😂 ongereenii

    • @AminaPtg
      @AminaPtg Месяц назад

      😄😄🤣🤣🤣🤣🤣 hii noma sana

    • @Warda-w6m
      @Warda-w6m Месяц назад

      Woow kama ndo mumemeo hongeren sana

  • @Mariym-t5h
    @Mariym-t5h Месяц назад +8

    Nakubali chado akili nimeelewa Iyoo ft federico

  • @AishaRashed-m5o
    @AishaRashed-m5o Месяц назад +11

    Mpemependezan kuwa hivy make na Mme wap team chadoooo

  • @user-ie2ww6vq5o
    @user-ie2ww6vq5o Месяц назад +2

    Kungwii chadoo mfunde mtoto huyoo cheupe kidem jau😅😅😅🎉🎉🎉🔥🔥🔥🔥

  • @AliNassoro-r9d
    @AliNassoro-r9d Месяц назад +7

    Honger sana chado kwa kz mzr like kwa chado

  • @ShamsaJumbe
    @ShamsaJumbe Месяц назад +9

    Kazi zuri sana jamiiii🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @ISSASHABANI-sw7lx
    @ISSASHABANI-sw7lx Месяц назад +5

    naona leo mwanangu chado umeniletea michezo yangu ya kuwafungia kuku kwa nnje😂😂

  • @SophieMakaranga
    @SophieMakaranga Месяц назад +14

    Kaz nzuri sana broo ❤❤

  • @NATUREABDULLAH
    @NATUREABDULLAH Месяц назад +2

    Chado mastar mnyama mkali oya mwanangu nakukubali miaka ya Kobe mngu akupe umri umrefu wenyew kheri naww uzidi kutuletea vitu vizuri nakukubali miaka 10000 Mzee bigap sna haunabaya tajiri

  • @user-vh7gw3we5z
    @user-vh7gw3we5z Месяц назад +4

    ushazoa kumnawisha kaka ako bwana ako aaaahhh🎉😂😂😂

  • @LatifaTwaha-nm3tg
    @LatifaTwaha-nm3tg Месяц назад +5

    Nakubal hii movie mpka naumw nataman isije kuisha❤❤😂

  • @AyishaAyisha-k9r
    @AyishaAyisha-k9r 7 дней назад +2

    Kaz nzuri jamani😂

  • @CharlesLugulu-vs6mq
    @CharlesLugulu-vs6mq Месяц назад +5

    Kumnawisha kaka Yako TU wapenzi aaah kama umesikie hiyo gonga like twende sawa

  • @PeterJoji-bi8jn
    @PeterJoji-bi8jn Месяц назад +3

    Nakubal jesh la mtu mmoj Chad Masta💯💯💯💯

  • @theophilwhiteheart1997
    @theophilwhiteheart1997 Месяц назад +4

    cheusi utafika mbali mzee baba

  • @SelemaniOmary-y4n
    @SelemaniOmary-y4n 14 дней назад +1

    Salute apo mdogo ngwengwe skupingi kibaka wangu

  • @SteveJames-j8m
    @SteveJames-j8m Месяц назад +18

    Chado ni mmoja tu kwakweli mwamba unajitahidi kutoa kwa wakati

  • @AndrewNyamwese
    @AndrewNyamwese Месяц назад +8

    Leo yanga tukishda ndio I Like

  • @MariamMZIMBA-zf5ev
    @MariamMZIMBA-zf5ev Месяц назад +2

    Ndio maana toka uschana wangu nilikuwa sipendi wauni ahhhh kumbe ndio maisha yao haya hamna kubembelexa kidem Jau jicho kichwa anazima leo mapigo ya moyo yapo juu
    Ila chado apo mimba lazima kidem jau shule byebye

  • @MvuyekureLina
    @MvuyekureLina Месяц назад +4

    Jamani Kaka chado mbona kibabe sana taratibu bs mapenzi hayapo ivo 😂😂😂😂😂

  • @EsmailSalimo-u8x
    @EsmailSalimo-u8x Месяц назад +16

    Wakwanza mimi gonga like ❤❤
    Mr: CADODO🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @SefuRamadhani-s7x
    @SefuRamadhani-s7x Месяц назад +11

    Jamaa mim leo naomba 🎉🎉🎉🎉

  • @hitkheed
    @hitkheed Месяц назад +5

    Mko poa mabloody ,big up from Kenya

  • @AfidhiRajabu-q2f
    @AfidhiRajabu-q2f Месяц назад +2

    Leo sikutaka kukoment because nimechelewa sanaaa ila nawakubali Mashabi wa Chado Lazima walike hapa

  • @SaadSuleiman-vn8dp
    @SaadSuleiman-vn8dp Месяц назад +1

    Naenjoy sanaa itikadi za Chado.....🇰🇪🇺🇸🇺🇸🇺🇸

  • @rogynee8135
    @rogynee8135 Месяц назад +2

    Chado bwna ety huu MLANGO AU CHEREANI 😂😂😂😂

  • @trumpsele8752
    @trumpsele8752 Месяц назад +37

    Wakwanza leo mimi nipeni like

  • @FatumaRajabu-w7j
    @FatumaRajabu-w7j Месяц назад +16

    Nimekuwa wakwanza naombeni like zang❤

  • @magrethmwafula9499
    @magrethmwafula9499 Месяц назад

    Yaaani hii series nmeipenda hatari big up all the best actors wote kazi ni nzuri🎉🎉🎉 congratulations

  • @ZenaAthumani
    @ZenaAthumani Месяц назад +4

    Mi sitak like za mtu, nataman kuwa na muuni kma kidem jau😂😂😂

  • @ZuenaRajabu
    @ZuenaRajabu 5 часов назад

    Kazi nzuri sana🎉🎉🎉🎉

  • @joelkurua4882
    @joelkurua4882 Месяц назад +2

    Nawakubali sana wa jomba kazi nzuli

  • @HalimaKharoub
    @HalimaKharoub Месяц назад +3

    Moja kwangu👍

  • @9mizziiiAlalal
    @9mizziiiAlalal 21 день назад +1

    Muvi Zena nnzuri sana nazipenda kwel

  • @chunaamina878
    @chunaamina878 Месяц назад +1

    Ila cheusi umenifurahisha Kitengo cha kupika wapi na wapi 😅😂😂

  • @Stogwa
    @Stogwa Месяц назад +7

    WA kwanza Leo nipeni ata tano bass

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki Месяц назад +2

    Chado master kibokoyau umetisha sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @KmssKkss
    @KmssKkss Месяц назад +8

    Kungwii😂 dumee ila penz la mselaa tamu sana mkienda pw 😂😂namkumbuka sana ex wang yn nilikuwa na enjoy sana ila ndoivyo Tena

  • @user-wn7nr9bh5m
    @user-wn7nr9bh5m Месяц назад +4

    Chado ni sawa movies unawaisha akin jitahidi basi kuongeza mda walau nusu saaaa bob

  • @NATUREABDULLAH
    @NATUREABDULLAH Месяц назад +2

    Nitapendekeza zaidi kwamba filam yako japo Moja uje kushut Zanzibar bro karibu sna zanzibari tunakupokea kwamikono miwili haunabaya ndgu ❤

  • @ARCHELAUSADRONICO
    @ARCHELAUSADRONICO Месяц назад +1

    Ugali unaongeza shepu hahahahahahaha muhuni ni muhuni tuu semann mwanetu umetishaa kinomaa

  • @user-po5xb5dx6l
    @user-po5xb5dx6l Месяц назад +48

    Wakwanza leo

  • @JaydenWarship17
    @JaydenWarship17 Месяц назад +2

    Chado mastaa 😅😅ukishasema tu "I like it " nasikia raha Kwa kweli

  • @FatumaHamisi-uk1pq
    @FatumaHamisi-uk1pq 7 дней назад

    Sema mnaweza sana nyie ni unyama sana yaan ❤

  • @NulhatihusseinMaarifa
    @NulhatihusseinMaarifa Месяц назад +8

    Wa kwanza leo nipeni like hata kumi🎉🎉🎉

  • @zuwenakizere4687
    @zuwenakizere4687 17 дней назад +1

    Sw mme wangu😂😂😂😂😂

  • @user-hk4he8nv5f
    @user-hk4he8nv5f Месяц назад +5

    Nmefrah Leo dk zimeongezwa

  • @alexnice-j3g
    @alexnice-j3g Месяц назад +16

    Wakanza mim ap chado naomb like. Yoko please

  • @RutycristovaoCristovao
    @RutycristovaoCristovao Месяц назад +9

    Nnaenda kazi zenu

  • @floramacheva5855
    @floramacheva5855 Месяц назад +1

    Chado kazi nzuri sana ❤️ ❤️❤️ nakukubali na kidem Jao 😅😅😅

  • @HajraRamadhan-x5f
    @HajraRamadhan-x5f 12 дней назад

    Penzi la muhun tamu asikuambie mtyuu🎉

  • @indexchitanda4477
    @indexchitanda4477 Месяц назад +4

    Safi sana tem chado master

  • @NeolitoSeverianoNangade-iw8be
    @NeolitoSeverianoNangade-iw8be Месяц назад +1

    Chado mwanangu mwanetu Baga anatoka lini gelezani sabu nimemmissi sana

  • @NiramuKanda
    @NiramuKanda 13 дней назад

    Chado na team yao mko vzr sana,kama unakubaliana na mimi gonga like

  • @MwanaishaChileta
    @MwanaishaChileta 21 день назад +1

    Chado na najuma nawapenda kinoma

  • @BABYTINAH-h2y
    @BABYTINAH-h2y 22 дня назад

    😂😂😂😂😂 ugali ni aina ya wanga ,,,kula kaz yak ngumu shoga angu😅😅😅😅😅

  • @alvinbrightone3803
    @alvinbrightone3803 Месяц назад +7

    +254 number one no need likes

  • @RizikiZabroni
    @RizikiZabroni 20 дней назад +1

    Wajomba mnajua mnajua tena

  • @FrancisPaul-si1yq
    @FrancisPaul-si1yq Месяц назад +7

    Kazi Safi

  • @MimahKenzer
    @MimahKenzer 22 дня назад

    😂😂😂😂jau mbna wamkata mwamba stimu😂😂❤

  • @EmmanuelOkenya-l7w
    @EmmanuelOkenya-l7w День назад

    Huyu chando ako fresh sana

  • @SkillfulNgenje
    @SkillfulNgenje 27 дней назад +1

    Chakula kinakua kitamu ukipika umevaa khanga😂😂

  • @OmaryAisha
    @OmaryAisha 12 дней назад

    Penzi la msela❤❤❤❤❤ hahaha nampenda sn Najma

  • @زينهزينه-ع5ن
    @زينهزينه-ع5ن 12 дней назад

    Namukubali sana chado na Najma❤

  • @user-je4dm3ps4n
    @user-je4dm3ps4n Месяц назад +4

    Wapil mimi😅😅😅

  • @AdamJimoung-ft5xd
    @AdamJimoung-ft5xd Месяц назад +1

    Kichwa njicho mwili mdogo hiyo ndio I like ilaa cheusi unacheza vizuri mwamba

  • @HawaBogi
    @HawaBogi 19 дней назад

    Hii move inanikumbusha mbali sn yn dah chado unatisha kak❤❤

  • @missyoung3386
    @missyoung3386 Месяц назад +2

    Mr chado naomba hii nyimbo inaniliwaza

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 6 дней назад

    Hii movie naipenda sana❤🎉

  • @salimazizi7808
    @salimazizi7808 Месяц назад +1

    Chado master nakuona mbali sana unajua sana

  • @Mgodza
    @Mgodza 25 дней назад

    mbna kama nzuriiiiiiiiii

  • @benardamunga4
    @benardamunga4 Месяц назад

    isio salama I like it more and much love from Kenya

  • @SaadaRafael
    @SaadaRafael 18 дней назад

    Ushazowea kumnawisha kaka ako wapenz aaaaaah😅😅😅😅😅😅

  • @peterfujokalogi7821
    @peterfujokalogi7821 Месяц назад +6

    Leo wa kwanza

  • @AllyMaganga-cd8qm
    @AllyMaganga-cd8qm Месяц назад +20

    Wa mwisho leo naombeni like zangu

  • @FausterBoniface
    @FausterBoniface Месяц назад

    Kweny Io siy Salam mm ndio I like 😂😂😂😂😂😂😂 ugomv tunanunua

  • @Ramaassane
    @Ramaassane Месяц назад +3

    Wapiri Leo Mimi

  • @munduyengemunduyenge155
    @munduyengemunduyenge155 Месяц назад +2

    Chado kitengo suluti kwa kazi mzuli

  • @MiradjiAsina
    @MiradjiAsina 5 дней назад

    Chado nakukubali kinoma❤

  • @Reemttt-j7o
    @Reemttt-j7o 28 дней назад

    Getto la muhuni ukiingia utoki 😂😂😂😂😂chado na mwari wake 😅

  • @user-jh5px2xl8u
    @user-jh5px2xl8u Месяц назад

    😅😅😅😅😅😅vaaa kangaa unipe buludani mwali kautakaa

  • @Nachu-tj6fn
    @Nachu-tj6fn Месяц назад +8

    Good