Da wechado umenikumbusha mbali sana nakumbuka nilianza mausiano nikiwa mdogo sana bas banaangu alikua anamwambia lafikiyake atufungie tenanilikua naenda na nguo za shule ila ndo mumewangu mpaka sasa nilikua nima miaka 12 tu
Ndio maana toka uschana wangu nilikuwa sipendi wauni ahhhh kumbe ndio maisha yao haya hamna kubembelexa kidem Jau jicho kichwa anazima leo mapigo ya moyo yapo juu Ila chado apo mimba lazima kidem jau shule byebye
Hi ep yaleo ni🤸fire,,oya wee chado kitengo unajuwa mpaka unakelaa❤❤❤ Anasema chado na najma wanajuwa mpaka wanajuwa Tena gonga like apo
Chado Master hilo penzi lenyu na kidem jau lanipa uhai mtunze mtoto kampenda sela i say japo movie ila kama vile reality
Chado huna uruma unakula mtoto wa watu mdogo 🥲🥲🥲🥲🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nafurai chado na team yako muko talented ❤❤❤❤🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🥰🥰
Kula shoga angu, kazi Yako ngumu😂😂😂😂
Kwakweli😅
Chado n wa motoni😂😂😂😂😂
😂😂😂
😂😂😂
😂😂😂😂😂 ila chado
Chadooo❤❤❤❤ hii inanikumbusha dear x mselo Mmoja hv mvuta bangii wanguuu nmemiss kukusokotea popote ulipo🎉🎉🎉🎉
Kumbe tuko wengi nmeamini wahuni wapenda kupitia chado😅😅😅
Huyo binti yupo very talent sana azidi kufocus tu atafika mbali
Kazi nzuri vipenzi vyangu god bless all members of chado
Dah mmetisha sana chado master gang ❤❤❤ nahivi Leo yanga mabingwa misumali tu
First born leo nawakubali wananguuuu🎉🎉😊
Chado Masta unatisha sana mwanangu maana kila hatua unayopiga tunaenjoy sana kwa kweli kazi nzuri sana ❤️ ongera
Chado napenda kadem kako jamani 😂😂😂😂 i wish siku moja tufanye collaboration ya love movie 🎥❤❤❤❤❤❤
Watu hawamzingatii sana cheusi ila mwamba mnoma sana afu comedy😂
Umeona eeeh😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂sure
Cheusi anajua mpaka anajua tena ananikosha hatal🙌😅🥰🥰
Nikajua namzingatia peke angu
Afu uyo cheus mi ndo I like😅😅
Chado Kitengo 👍👍😂😂😂 nakubali sana mwamba hongereni sana na Crew yako nzimaa
Jamani
Hadi laha
Nakukubali mwanangu chado dahh umenikumbusha mbali kikweli❤❤
Oysaaaaaaaaa fan wa kidem jau nipen izo like bas
Chado kuwa bas na mapend na kidem jau kwa Huba la upendo jamann Leo umemkomesh kaka nasir
Haaaa chado uko vizuri unatuwekea mzigo mpya kilasiku safi san 👏👏👏. Wenzako huku ya manyoka nyoka inamaliza mwezi hakuna kinachoendelea
mbona manyoka nyokaa😂😂😂wanaringa
𝑌𝑎 𝑚𝑎𝑛𝑦𝑜𝑘𝑎 𝑛𝑦𝑜𝑘𝑎 𝑛𝑑𝑜 𝑔𝑎𝑛𝑖
😂😁
😂😂😂😂 mbona manyoka nyoka
huu mzigo yaan soo poah ni kali kinomaaa
Da wechado umenikumbusha mbali sana nakumbuka nilianza mausiano nikiwa mdogo sana bas banaangu alikua anamwambia lafikiyake atufungie tenanilikua naenda na nguo za shule ila ndo mumewangu mpaka sasa nilikua nima miaka 12 tu
😂😂😂😂😂😂 ongereenii
😄😄🤣🤣🤣🤣🤣 hii noma sana
Woow kama ndo mumemeo hongeren sana
Nakubali chado akili nimeelewa Iyoo ft federico
Mpemependezan kuwa hivy make na Mme wap team chadoooo
Kungwii chadoo mfunde mtoto huyoo cheupe kidem jau😅😅😅🎉🎉🎉🔥🔥🔥🔥
Honger sana chado kwa kz mzr like kwa chado
Kazi zuri sana jamiiii🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
naona leo mwanangu chado umeniletea michezo yangu ya kuwafungia kuku kwa nnje😂😂
Kaz nzuri sana broo ❤❤
Chado mastar mnyama mkali oya mwanangu nakukubali miaka ya Kobe mngu akupe umri umrefu wenyew kheri naww uzidi kutuletea vitu vizuri nakukubali miaka 10000 Mzee bigap sna haunabaya tajiri
ushazoa kumnawisha kaka ako bwana ako aaaahhh🎉😂😂😂
Nakubal hii movie mpka naumw nataman isije kuisha❤❤😂
Kaz nzuri jamani😂
Kumnawisha kaka Yako TU wapenzi aaah kama umesikie hiyo gonga like twende sawa
Nakubal jesh la mtu mmoj Chad Masta💯💯💯💯
cheusi utafika mbali mzee baba
Salute apo mdogo ngwengwe skupingi kibaka wangu
Chado ni mmoja tu kwakweli mwamba unajitahidi kutoa kwa wakati
Leo yanga tukishda ndio I Like
Ndio maana toka uschana wangu nilikuwa sipendi wauni ahhhh kumbe ndio maisha yao haya hamna kubembelexa kidem Jau jicho kichwa anazima leo mapigo ya moyo yapo juu
Ila chado apo mimba lazima kidem jau shule byebye
Jamani Kaka chado mbona kibabe sana taratibu bs mapenzi hayapo ivo 😂😂😂😂😂
Wakwanza mimi gonga like ❤❤
Mr: CADODO🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Jamaa mim leo naomba 🎉🎉🎉🎉
Mko poa mabloody ,big up from Kenya
Leo sikutaka kukoment because nimechelewa sanaaa ila nawakubali Mashabi wa Chado Lazima walike hapa
Naenjoy sanaa itikadi za Chado.....🇰🇪🇺🇸🇺🇸🇺🇸
Chado bwna ety huu MLANGO AU CHEREANI 😂😂😂😂
Wakwanza leo mimi nipeni like
mmmmmh wakwanza kweri
Nimekuwa wakwanza naombeni like zang❤
Yaaani hii series nmeipenda hatari big up all the best actors wote kazi ni nzuri🎉🎉🎉 congratulations
Mi sitak like za mtu, nataman kuwa na muuni kma kidem jau😂😂😂
Kazi nzuri sana🎉🎉🎉🎉
Nawakubali sana wa jomba kazi nzuli
Moja kwangu👍
Muvi Zena nnzuri sana nazipenda kwel
Ila cheusi umenifurahisha Kitengo cha kupika wapi na wapi 😅😂😂
WA kwanza Leo nipeni ata tano bass
Tupo Kaka
Chado master kibokoyau umetisha sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kungwii😂 dumee ila penz la mselaa tamu sana mkienda pw 😂😂namkumbuka sana ex wang yn nilikuwa na enjoy sana ila ndoivyo Tena
Hhhhhhh
😅
Saaana 🎉🎉
Chado ni sawa movies unawaisha akin jitahidi basi kuongeza mda walau nusu saaaa bob
Nitapendekeza zaidi kwamba filam yako japo Moja uje kushut Zanzibar bro karibu sna zanzibari tunakupokea kwamikono miwili haunabaya ndgu ❤
Ugali unaongeza shepu hahahahahahaha muhuni ni muhuni tuu semann mwanetu umetishaa kinomaa
Wakwanza leo
ruclips.net/video/m9M_FSldbO0/видео.htmlsi=BWrhmyZGBpu3gHDZ
👊👊👊
kwahyo
Kufanyaje😂😂😂
55tr4ttttttttttttttttttttt
Chado mastaa 😅😅ukishasema tu "I like it " nasikia raha Kwa kweli
Sema mnaweza sana nyie ni unyama sana yaan ❤
Wa kwanza leo nipeni like hata kumi🎉🎉🎉
Sw mme wangu😂😂😂😂😂
Nmefrah Leo dk zimeongezwa
Wakanza mim ap chado naomb like. Yoko please
Nnaenda kazi zenu
Chado kazi nzuri sana ❤️ ❤️❤️ nakukubali na kidem Jao 😅😅😅
Penzi la muhun tamu asikuambie mtyuu🎉
Safi sana tem chado master
Chado mwanangu mwanetu Baga anatoka lini gelezani sabu nimemmissi sana
Chado na team yao mko vzr sana,kama unakubaliana na mimi gonga like
Chado na najuma nawapenda kinoma
😂😂😂😂😂 ugali ni aina ya wanga ,,,kula kaz yak ngumu shoga angu😅😅😅😅😅
+254 number one no need likes
Wajomba mnajua mnajua tena
Kazi Safi
😂😂😂😂jau mbna wamkata mwamba stimu😂😂❤
Huyu chando ako fresh sana
Chakula kinakua kitamu ukipika umevaa khanga😂😂
Penzi la msela❤❤❤❤❤ hahaha nampenda sn Najma
Namukubali sana chado na Najma❤
Wapil mimi😅😅😅
Kichwa njicho mwili mdogo hiyo ndio I like ilaa cheusi unacheza vizuri mwamba
Hii move inanikumbusha mbali sn yn dah chado unatisha kak❤❤
Mr chado naomba hii nyimbo inaniliwaza
Hii movie naipenda sana❤🎉
Chado master nakuona mbali sana unajua sana
mbna kama nzuriiiiiiiiii
isio salama I like it more and much love from Kenya
Ushazowea kumnawisha kaka ako wapenz aaaaaah😅😅😅😅😅😅
Leo wa kwanza
Wa mwisho leo naombeni like zangu
Kweny Io siy Salam mm ndio I like 😂😂😂😂😂😂😂 ugomv tunanunua
Wapiri Leo Mimi
Chado kitengo suluti kwa kazi mzuli
Chado nakukubali kinoma❤
Getto la muhuni ukiingia utoki 😂😂😂😂😂chado na mwari wake 😅
😅😅😅😅😅😅vaaa kangaa unipe buludani mwali kautakaa
Good