konka anataka mumuandikie maon yenu ,,,maon yenu ndo yatamfanya alete vitu kali kila siku nyie mmekazana wakwanza wakwanza nipeni like zangu mnakeraAaaa,,,,hata ck akikosea jamb mtakAzana na like
Mwanangu upo vizuri sana kwenye hii kazi. Lakini ushauri wangu usituletee movies za Nigeria nyingi. Fanya kutuletea na movies from Hollywood mzee zipo kibao tu mbona watu tunataka tusikie mzee
Oy konka unachelewesha mizigo sawa ulisha tuambia sababu ila kama utaweza zisivuke siku mbili basi au tukupe likizo ya mwezi mzima we jichimbie andaa mizigo full then iweke sikejo babu utuwaishie utamu.au tujue kabisa ratiba yako ya kuachia mizigo Sio ivi mzee
Lile demu lililomgonga litakuwa limemuibia 😂😂 konkaa 🔥
Nimecheka kinoma amezingua😁
All the way from Zenji#Marashi ya Karafuu...🔥🔥❤❤🙌🙌
Iko Sawa kabisa hiyo hongerani kwa kazi nizuri mnayo fanya
WakwAnza mm naomba like
Huyu anajuaa kusumuliaa vizuri tena kwa haraka hadi rahaaaaaaa.
Huuu unyama ni noma nakukubal mwwnang unajua 🙌🏻🙌🏻
jamani nzuri sanaa hongera tupo pamoja bro ❤❤❤
unyama upo vizuri na umejua kutuelezea vizuriii.. kazi nzuri
konka anataka mumuandikie maon yenu ,,,maon yenu ndo yatamfanya alete vitu kali kila siku nyie mmekazana wakwanza wakwanza nipeni like zangu mnakeraAaaa,,,,hata ck akikosea jamb mtakAzana na like
Wana kera😢
Ni Ukweli kabisa wanakela
sana wana kela
Ata sijui wakoje...wanaudhi
@@SalhiyyaJassam-fg1sw wanaboa sana wanaotaka like...japo na Mimi mnipe tyu like zangu
Mimi kama young bee nakupenda sana mshikaji wangu unaua soko la muvi kwa wanaotafusiri full movi kwaiyo kaa makini 🙏✅
Kwanzaa ngoma inaanziaa chumbanii😂😂😂
Iko sawa iyi broh unyama uko fresh 👏💪
Konka mzee wa unyamaa🤝🤝
Konka Mzee wa kukinukisha big up saan unyama umekaa poa
@konkaaaa mzeee wa mizigo ya hatari sana🎉gonga like kama unamkubali weka like
Mzigo hatar sana nakubali sana kazi zako
Duuuuh ni dakika 27 tu watu kibaoooo duuuh kweliii kama unamkubalii Konka gonga like hapa ❤
Konkaa mzee tunakupenda sana form🇧🇮🇧🇮🇧🇮
konka nakubali kazi zako xema movie za Nigeria ume achia nying xan kwaiy kam inawezekan achia na Indian movie😅😅😅
Me naomba uwe unatoa kila Ciku jmn una Tukataaa sana
Heeeeeh umeuzaa kiwanja changuu 😂😂😂
Wakati mwengine kujitoafaham kwawatu tunaowapenda😂😂😂
Unyama uko vyema sanaaaaaaaa🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷
Aahhh jmn huwa utuangushiii kaka angu blessed sn
Nimependa ety akaanza kumkuna ila we jamaa 😂😂
Nikupe tu mauaa yako kilasiku unazidi kuwa bora hongera sana 🎉❤🎉
Akamlaza chini akaanza Kumküna😅 iyo kuna sasa😅😅
Umetisha Sana mzgo.wa kwenda kabisa
Maraaa eeeeeeeh. yaanii konka unajua mpk unaa keraa 🙌🙌
Awa wanawakee Awaaaaa
Mpo fasta mno ila big up
15:41-42 mala heeeeeee::(akaifyatua kwa baatimbaya) 😂 usipokua makinikupunguza sauti ya bufa.. utahisi umevamiwa nyumbani kwako
Niunyama sana nakukubali kwakutupa andisi kali sana
konka kama konka... haya sasa twende sambamba ....mi nasoma comment tu..... like zangu mnipe
Nimekuwa wa 3 LIKE 10 jamaniii tunainjoi tuuu asante mwamba ✌️✌️✌️✌️✌️
❤❤
Hlw
Mambo
@@MuhammadRamadhan-kz7ow poa tuu
@@MuhammadRamadhan-kz7ow hello
Jikaze kaka kuna jamaaa naupiga mwingi huku jikaze sana
sijawahi kuwa wa kwanza 😢. naomba like 10
Unajua na unajua tena🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nzuri sana yaani huna kazi mbovu kwa kweli
Wewe naye umetuchanganya dozii si amekufa na huyo ni dozii au tosini
Mwanangu upo vizuri sana kwenye hii kazi. Lakini ushauri wangu usituletee movies za Nigeria nyingi. Fanya kutuletea na movies from Hollywood mzee zipo kibao tu mbona watu tunataka tusikie mzee
Movie za HOLLYWOOD zinachangamoto sana
@@e7bits_tz changamoto gn kk
Unyama ni mwing🔥🔥 cjawahi kukupinga Kaka
mama yao ndo mshenzi kamuharibia maisha binti yake
Achia vyuma konka mbona kimya sana
Aaaaah uko vizuri kaka toa nyingine nying
Yaani mtu hata hajaangalia anawaza kuwa wakwanza
Kaka naona umepania mzeee mawe kila siku... 🫡💪💪
Oya🔥🔥
😹😹😹….. imenibidi nicheke ety “eeh nenda kaitoe hiyo mimba”….
Wakwanza nimewai from 🇦🇪
Konka lete move ndefu bwana za kinaigeria ile ya neria na ya groria
❤😂🎉😢😮😅😊 umetisha mwambaaaas babaaaaaas e7biiiiiiiiiiitiiiiiiiisßsssss
Nimewahi leo naombeni like zen wapendwa pls❤❤❤❤
Konka sio powa unajua 🎉🎉🎉🎉😊😊😊
Naomb kujua usahihi wa kumimina wine plz nifahamisheni 😂❤😂
Hiii hatariiii kaka umetishaaaaaaaa
Mzeee unatisha sanaaaaaaaa❤❤
Unyama Sana sana sana saaaaanaaa ..👍👍
Movies zako nzuri sana
Arooo me nakupa mauwa Yako ankle man siy kaz nyepesi kuandaa unyama gud san
Unyama bro
uyu dada ni kichaaa sana kupenda gani uko
Konkaaa unajua ❤❤❤
Big up sana zee la kutune
Noma sana mzeee 👍👍
Lakini matatizo Aya sababu ya mamayake 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Hili la leo Bovu sana 🔥
Usiwe unaweka movie za vijana banaa😅😅
Vp
Nakukubali sana mwamba
Umetisha mzee 🔥🔥🔥
Iko powah bro....😊
Iko poa Sana hii umetisha Sana konka chukua maua yako🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😢🎉
Bro Mi Napnda Sana Kazi Zako❤❤
kwanzaaaaaaa
Wakwanza mimi jmn😂😂aya naomba mlike
Nawakubali sana sarut kwenu tuna enjoy sana
Pamona sana. Tunaomba na Horror movies za kizungu pia
Kaka achia madini🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Oy konka unachelewesha mizigo sawa ulisha tuambia sababu ila kama utaweza zisivuke siku mbili basi au tukupe likizo ya mwezi mzima we jichimbie andaa mizigo full then iweke sikejo babu utuwaishie utamu.au tujue kabisa ratiba yako ya kuachia mizigo Sio ivi mzee
Nimeweka kazi mbili mpya kwenye channel yangu ndo ya E7max
Napenda sana move zakoo
Unyamaaaaa mwingiii❤❤❤
Tosin handsome boy jmn 😍
% kaka nakukubali sana kwa movie zako unatish unyama mno tiktok sifaid kama ninavyo faidi huk
umetisha sana
Mikuno is typing 😂😂
I love your recps broo
Nao mbeni liké jamani vizuri sana mwamba
Unyama KONKAAAA🔥🔥🔥🔥🔥💯
Ao soko huru jomba 😂😂😂😂 🙌
Dozie alikufaa so aliendaa part
Eeeeee eeee owaaa mbona mnaniwai Kila sikuu aseee dahhh
Izkonka wanaman🎉
zee lakutune zee latown🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kali nzuri konka
Konka .....chuma n ya Moto sna
Dude lipoa kaka 🙌🏾🔥🔥
Hahaaaaa ....
🍺 Kanunua Restaurant nzima🤣🤣🤣🤣🤣
Makin sana kaka
Ndiyo maana Kuna bahadhi ya wadada wanasemaga wanaume wabaya kupitia hii move tusiwaamini wanaume
Nakubali sana 7