Mkaguzi wa hesabu aibua maswali kuhusu pesa za Hustler fund
HTML-код
- Опубликовано: 5 окт 2024
- Mkaguzi wa hesabu za serikali Nancy Gathungu sasa ameibua maswali mengi kuhusu hazina ya hasla iliyozinduliwa na serikali zaidi ya mwaka mmoja unusu uliopita. Katika ripoti yake Gathungu anasema zaidi ya shilingi bilioni 32 zilitolewa kama mikopo kufikia Juni mwaka jana, ila zaidi ya shilingi bilioni 10.9 zilizotolewa hazikuwa zimelipwa.
Wizi mtupu.the play games of ruto
He is corrupt in his own funds how can we trust him with our funds😂😂😂😂😂
Corruption is Zakayo second name
Corruption is Zakayo's second name
It was a conduit for corruption..
Ordinary Kenyans are blocked for just being late for repayment bt the well connected are loaned millions..
I have been denied the loan of less than 3 k for 3 mnths, yet I have never defaulted...
And you ask y these gen z are on the streets
Who's is this guy 😂?
What was the source of those funds to begin with?
Sasa hii serikali unaweza itetea aje🤣🤣🤣🤣
What do you expect from Ruto government? House levy & finance bill 2024, are very important for him .
Wacha nitoe zangu kwa mpesa😂😂😂
😅😅
Niko na 800😂😂😂