Kenyan citizens have the ability to remove their government and MPs by gathering signatures. Let's act promptly to hold MPs accountable, without a five-year delay
I like this woman she's is very powerful sending message to this mpigs who get instructions from state house, deal with them mama zamzam we are behind you
Shukran saana mama zamzam umeongea ukweli kutoka kwa roho yako it's true umenifanya nimelia kutokana na machungu ambaye ruto anatufanyia mungu akujalie nguvu In Shaa Allah Aaaamiin 🤲🤲🤲🤲
Matajiri leo wanalia kupanda kwa kodi..😂 Nyie si mnajitapa Mnapesa kutuzidi wa TZ. YOTE KWA YOTE HONGERENI SANA NDUGU ZETU WA KENYA KWAKUJITAMBUA... MUNGU AWASIMAMIE.
Vile Zamzam Ame sema angaliyeni Maslahi ya wanainchi hali yao,Support cost ya Ma'ofici ya Rais,Naibu yake mawaziri,Pesa ya budget wakenya 75% itumike Maendeleyo,Na elewa sarakali infanya juhudi ya kulipa Biliyoni ya Uhuru ame weka juu ya wakenya.
@@itsTheTruthTeller tumia akili haiishi, ma president kwa Allah ni viumbe wadogo sana zaidi ya mdudu chungu, avote lakini akisema fulani hatokua president hawezi kuwa, hata akilazimisha vipi maana hata akiiba anaweza kumuondoa duniani ili asifike pale kwenye kile kiti, na akitaka kutupa kiongozi mbaya anatupa ili kutupa mitihani, na iwapo hujui nilicho maanisha kaa kimya sio lazima kuleta chuku maana umeona jina ALLAH, acha chuki na usinipangie cha kuongea, Allah sio mkenya, Allah ni mwenyewe wa huyo Kenya na dunia yote kwa julma, punguza jazba na ueshimu Allah, na ikiwa huwezi eshima basi usiingilie yasiyo kuhusu kwani hiyo itapendeza zaidi
@@itsTheTruthTeller Allah ni mbora wala hana mshirika, ha vote wala havitiwi,yeye ametakasika ,alafu unatakiwa ywe na adabu na heshima, hizo pumzi zisikupe kibri, najua kilicho kuleta hapa niubishi maana uneona jina Allah ili uje ulete dharau zako, sijakutuma ku reply comment yangu, Allah sio mkenya ila Kenya niyake na dunia kwa jumla, vilivyomo ardhini na baharini pamoja na mbinguni, president ni mdudu gani mbele ya Allah? Acha president hata malaika kwa Allah hawawezi kujigamba
@@itsTheTruthTellerAllah sio president ni zaidi ya president, sio citizen ni mmiliki wa Kenya na dunia nzima kwa jumla,,umekuja hapa kisa umeona jina Allah, acha kiburi hiyo ni dua nineomba, ulitaka nikampige ruto ndio ujue kua mimi ni citizen wa Kenya? Acha kiburi
@@itsTheTruthTeller hapo nimesema Allah ndie hakimu wa haki, hau nimekutukana!!!! sio lazima u reply ,mimi Allah ndie hakimu wangu, wewe baki na shetani wako akupe iyo haki maana wewe ni citizen wa Kenya, umenielewa wewe? Ukisema Allah sio president kiupande wako unadhani president ni nani mbele ya Allah? Acha udini,sio lazima u reply, unaweza kupita na hutapungukiwa na chochote, acha kiburi
Very stupid government,they don't care about Kenyans, wezi na ubinafsi mungu atawaangamiza wote
True then wanafuta madci ovyoovyo kwasababu ya hongo
Mama simama imara
Asante Mama ubarikiwe sana na wew n mtetezi naomba utusaidie maana hali yetu c nzuri,vizazi vyetu vitapata shida tusiposaidiwa sasa hivi
Zamzam mohammed ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Hongera mama yetu wewe ni mama samia wetu 🎉
Mama..samia..anafanya..kitugani..pemba.. tupu
Kabisa mama Samia 2@@ibrahimismail8239
Unamlinganisha na mama Samia bandari zetu zikuwap wakenya wengi wanajielewa nikuambia tu ACHA uchawa ww
@@dullayomwinyi3359 sawa nimenyamaza lakini sijaelewa uchawa dio nini
THIS WOMAN IS TELLING THE TRUTH. KENYANS NEED TO SUPPORT HER...
Absolutely I will support her ❤
She's not telling us how to pull out kenya from debts
Huyo ni mama wa Mombasa
mtetenzi wa wanyonge
❤@@abdizozizu8098
Thank you mama,umeongea ukweli.Hii kenya mambo ya bei ya vitu ni kupanda everydsy.zamzam.
Mama samu samu
This Woman is Just telling the Truth and I assume if we Adhere to This One then we can move forward as a Nation.
Kabisa lkn ukweli hautakikani siku zote
hodari mama .mama zamzam our voice hongera mama wambie ukweli
Madam zamzam hooray 🎉🎉🎉 this are the women we want to lead us
Mama apewe urahisi uyu zamzam❤
❤
Thank you Mheshimiwa kwa kutetea wanyonge wote
Kenyan citizens have the ability to remove their government and MPs by gathering signatures. Let's act promptly to hold MPs accountable, without a five-year delay
Maa Shaa Allah ww ndio jike la simba❤❤❤uko juu siz zamzam
Hapo hapo mama zamzam umesema kweli tumeshoka
I like this woman she's is very powerful sending message to this mpigs who get instructions from state house, deal with them mama zamzam we are behind you
Mama samzam actually you are speaking sense
you lack u have agood president but u dont know
Alhamdullahi tumepata kiongozi mzuri wa Mama Mombasa❤❤❤
👋👋👋♥️♥️♥️
Mbona wewe spika unashidabngani.hiyo bill msipitishe.
Asante mama we appreciate you as Kenyan a woman with wisdom God be with you Amen
if we get 20 more leaders like Zamzam Kenya we will be far
Lakini awache uongo mbwana
@@wallacemunywa2507 siivo n vile anajaribu kutupigania sisi wanyonge
@@Wonderboy202 Why is she misleading wananchi,hata kama we are against finance bill we shouldn't misleading people to be irrelevant.She lied
Shukran saana mama zamzam umeongea ukweli kutoka kwa roho yako it's true umenifanya nimelia kutokana na machungu ambaye ruto anatufanyia mungu akujalie nguvu In Shaa Allah Aaaamiin 🤲🤲🤲🤲
Ame shikwa na uongo😂😂
Mama umeongea mungu akuwe nawe
Mama zamzam shes a hero
Kabisa mama
We need fearless learders like ZAMZAM
Wezi wanapika kelele but mam congratulation
Hongera mama
Shaame on uda 🤮🤮🤮
Zamzam mohamed ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 thanks ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Asante Zamzam
Very true speak it out our kenya today is nothing that's why everyone is running away
MAMA zamzam arudishwe kwa bunge akule yake kumi ,,,Ongera mama wetu
❤❤❤mama zamzam kanyanga shingo Bado wanapumua
😂😂😂😂😂😂😂😂
Madam zamzam hiyo ni ukweli tunataka wakatae ndio mambo iwe sawa
Mama asante kwa maongezi yako unafaa ikuwe brezo walai mama
Mama zamzam kiongozi wa wanyonge ❤❤❤ samia wetu wa Kenya
❤❤❤❤
ACHA UJINGA SAMIA NI TAIRA HAWEZI KUWA NA AKILI KAMA HUYO MAMA KAZI KUUZA BANDARI
@@JohnJoseph-qq7owkama wewe unaakili si uje uongoze nchi basi ama sio kuongea pumba tu
@@JohnJoseph-qq7owkwan hiyo bandar kila siku mnamtukania mama wa watu ni nyumba za baba zenu?
Mama shikilia apo apo, awa wabunge wengine awajui wanachokifaya, wapo wapo tu sheeenzi sana
Matajiri leo wanalia kupanda kwa kodi..😂
Nyie si mnajitapa Mnapesa kutuzidi wa TZ.
YOTE KWA YOTE HONGERENI SANA NDUGU ZETU WA KENYA KWAKUJITAMBUA...
MUNGU AWASIMAMIE.
Mama zamzam, excellent
Umeongea ukweli mama zumzum
I can see my mp NABII NABWERA Kando ya Hon Zamzam, 🎉 congratulations madam Zamzam
hii ng'ombe dume kwani haina familia 😢😢😢😢, God have mercy on us 😢😢😢😢
Mama zamzamu hongera mungu atakusaidia sema kweli .
Wala usiogope mtu.
Keep it up..mhesh Zamzam i like the swahili flow👏👏💪💪Mombasa twapapasa
I wish mishi mboko na Abdul swamad na Mohamed jicho pevu angekua kama uyu mama the truth legend
Asante sana Za mzam
Kenya yetu😢 This regime 😢
Pasua mbarika mama.. Uchungu unauma😊😊 8:00
Useless government
Maumbwa mafisi mapepo.mashetani mushindwe kwa jina la yesu
Mwma zamzam atakuja kuwa rais wa kenya inshallah
Kumbu tunajua mnalipwa akh Mungu sikia kilio cha wakenya 😢
Mombasa Rejects❤❤❤❤
Asante sana mama
It is absolute truth
Mama zamzam has pulse on the ground. We need more of her. Can’t believe KJ has become such a useless fellow.
Asante mama Zamzam,upo excellent
Barikiwa mamangu kwa hayo maogezi
Tanzania Oyeee we have total PEACE thank u Jesus 🙏🏼🙏🏼🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Aliyepinga serikali hapo kwenu kapatikana amepigwa na kuachwa porini. Amani haiji kwa ncha ya upanga. Watu wakiwa wamenyamaza haimaanishi wana amani.
We love you mama zamzam, Wallahi wakenya tumechoka na serekali ya Ruto
Mashaallah mama apewe heshima yke fact umeongea km watu 💯 uko right
Shukran sana mama Zamzam
Hongera mama zamzam kutetea mke ya
Maa shaa allaah lady😮😮😮
Azimio loudmouths were silent when kenyatta destroyed kenya
Thank you mama samzam
Be blessed mama
Kweli kabisa mum mungu akujaliaye umri mrefu amiin yarabi
Thanks mama
Mungu awasaidie ndugu zetu kinachoendelea sasa hivi hakileti picha nzuri kinaweza kuvuluga Amani
Hongela mama zamzam kwa kutetea wanyonge
Vile Zamzam Ame sema angaliyeni Maslahi ya wanainchi hali yao,Support cost ya Ma'ofici ya Rais,Naibu yake mawaziri,Pesa ya budget wakenya 75% itumike Maendeleyo,Na elewa sarakali infanya juhudi ya kulipa Biliyoni ya Uhuru ame weka juu ya wakenya.
Mama zamzam is the next Mombasa governor
Mama wa Kenya Asante sana
Mama hongera sana mbona umeongea vizuri hongera sana ❤❤❤❤❤❤❤❤
Mashallaah mama sema.kwema.kweli.
Kazi mzuri mama
Well said mama
Barikiwa kweli mamah 🙌🙌
Thanks mom ❤
Wengine wanapiga kelele hawataki wakenya wajue ukweli, tuko na Allah huyo ndie hakimu wa haki,wakenya hawapendi kiongozi anaeongea ukweli
Lakini allah sio president, voter ama citizen wa Kenya. Hio ni responsibility yako ka mkenya.
@@itsTheTruthTeller tumia akili haiishi, ma president kwa Allah ni viumbe wadogo sana zaidi ya mdudu chungu, avote lakini akisema fulani hatokua president hawezi kuwa, hata akilazimisha vipi maana hata akiiba anaweza kumuondoa duniani ili asifike pale kwenye kile kiti, na akitaka kutupa kiongozi mbaya anatupa ili kutupa mitihani, na iwapo hujui nilicho maanisha kaa kimya sio lazima kuleta chuku maana umeona jina ALLAH, acha chuki na usinipangie cha kuongea, Allah sio mkenya, Allah ni mwenyewe wa huyo Kenya na dunia yote kwa julma, punguza jazba na ueshimu Allah, na ikiwa huwezi eshima basi usiingilie yasiyo kuhusu kwani hiyo itapendeza zaidi
@@itsTheTruthTeller Allah ni mbora wala hana mshirika, ha vote wala havitiwi,yeye ametakasika ,alafu unatakiwa ywe na adabu na heshima, hizo pumzi zisikupe kibri, najua kilicho kuleta hapa niubishi maana uneona jina Allah ili uje ulete dharau zako, sijakutuma ku reply comment yangu, Allah sio mkenya ila Kenya niyake na dunia kwa jumla, vilivyomo ardhini na baharini pamoja na mbinguni, president ni mdudu gani mbele ya Allah? Acha president hata malaika kwa Allah hawawezi kujigamba
@@itsTheTruthTellerAllah sio president ni zaidi ya president, sio citizen ni mmiliki wa Kenya na dunia nzima kwa jumla,,umekuja hapa kisa umeona jina Allah, acha kiburi hiyo ni dua nineomba, ulitaka nikampige ruto ndio ujue kua mimi ni citizen wa Kenya? Acha kiburi
@@itsTheTruthTeller hapo nimesema Allah ndie hakimu wa haki, hau nimekutukana!!!! sio lazima u reply ,mimi Allah ndie hakimu wangu, wewe baki na shetani wako akupe iyo haki maana wewe ni citizen wa Kenya, umenielewa wewe? Ukisema Allah sio president kiupande wako unadhani president ni nani mbele ya Allah? Acha udini,sio lazima u reply, unaweza kupita na hutapungukiwa na chochote, acha kiburi
Kupanda panda ndege. Hako akihama kamelipwa nafikili huwa kanaenda ns ndege kwa safari za RUTO ndiyo kamejaa furaha wstu wa kawaida kufinywa
ahsante mama zam zam kuwa kuteteya wa kenya
ninga omba wahishmwa wote waongeye kiswahili
A question is...
What's the government doing to make sure the locally manufactured goods are of standard and affordable?
Very true 😢😢 God have mercy on us
Ahsant ukhuti Allah akuifadhi na akujazie Kila kheir
This is great mama
Ubarikiwe sana😊
uyo spika simuamini
Ako side ya ruto
Order order sijui ni ya shein au naivas😂😂
Asante sana Zamzam
Halima mdee wa Kenya
Madam zamzam hooye🎉🎉
Mama kama wewe ❤❤❤❤❤❤❤❤
Tumepata Mtetezi wallah Allah akuongoze kwa mambo ya khery yote Inshaa Allah na pia uendelee na kazi yako daima
KWENDENI ZENU MUMEAMBIWA UKWELI NA MAMA ZAMZAM MAMA ZAMZAM 5 TENA
Mama samsang stand on behalf of your citizens
Thank so much
congratulations Mama zamzam Allah akujalie maisha marefu
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤mama zamzam hoyeeeeeee
Mama zamzam ubarikiwe mama yetu wanguvu❤❤❤❤🎉🎉🎉
Moma to the world
Congratulations mama zam
You are a true defination of a mother
UDA, you lost already... enjoy your winnings as much as you can, we'll make you pay soon enough.
Mama umeyasema maneno ya kweli mungu akuhifazi. Ambia hyo mafisadi awako na huruma