MLINZI OFFICIAL TRAILER #1
HTML-код
- Опубликовано: 4 янв 2022
- Afrika ni Askari aliyekuwa anapenda sana HAKI itendeke,lakini baada ya Gharama za maisha kuongezeka,Afrika anajikuta akipokea rushwa,Hii inapelekea yeye kufukuzwa kazi,Maisha yanazidi kuwa magumu zaidi kwa upande wake,Anaamua kwenda kuomba kazi ya ULINZI ili kukidhi mahitaji ya yeye na mke wake lakini siku ya kwanza ya LINDO anapata MSALA je? Atafanikiwa kuutoka Msala huo
Hii ni zaid ya hatar san hongera san jitu la msitun
Kwel bg up kijana kazi nzur
Jah bles broh unafanya kaz mzur
Shukran sana kaka
Leo bongo Naona wamevunja kioo cha gari
😂😂
Naon tupo india hongera kax nzriii
Kwa kazi hizi mtatu heshimisha tanzania Mungu azidi kuwa bariki sana
Asante sana kaka
Umestahiki hii tuzo ya msanii bora wa mwaka #Isarito mwakalindile
Shukran sana kaka
Kazi nzuli leo tuna pokea
Kazi kaliii....keep it up
Duuuuu sio poa ileteni chapu niideree
Mmmh sijategemea ......the greatest
Miss najua haya mambo anayajua been loyal pekeake
Kumbe wapo wengi
Kazi nzuri
Haha mpak gar mnaharibu bloo kweli ni kiintaneshino kabisa acha tuisubili tunaokukubali
Shukran sana kaka
amazing ulistahili nasema ulistahili narudia tena ulistahili
Shukran sana
Movies nzur sema mkianza kupigana kelele, hapo tu
Bro Kazi kubwa
Huu mzigo unatoka liniiiiiiiiii jamaniiiii ISARITO fundiiiiii from mbeya
Tareh 22 January
Wapi mbonekeeee...😅😅😅 au basi
Kz nmeipenda
Sawa kaka AFRIKA
Huyu mlinzi Uwa Aniangushagi Kabisa Bonge la muvi yani Naona Yuko Na Mtani Mwenzake Mc mboneke
😊💪💪
Oyaa haijatoka tu
Yaan na mbonekeee Yupo 😅😅😅😅😅 lini munaiachia kaka
Am good work my blother
Aisee mwanang nakkbal xn mungu akuongoze xn kk naamin ktk kpaji chako nakuona ukiwa mkubwa zaid ya hapo pambana utafka mwamba 💪💪💪
Shukran sana ndugu yangu 💪
Safi sana kaka ifike mahali dunia ikutambue kupitia kazi zako unaweza kinyama
Itatambua tu wala usijal
Issa Siulete jaman
Safi Sana watanzania tunajua ila kuna kitu kidogo tu hatukipati.🤝🤝🔥🔥
💪💪💪💪
Ahsante eeh mungu umetuletea mtu sahiii kwenye game ya bongo movie🙏🙏
Shukran sana kaka
MASHA ALLAH UMENIFURAHISHA SANA
❤
Tueekee ii muv bs
Masha Allah is nice movie is so good
naomba ndugu yangu na mm ata niingie tu kwenye firamu ata bure ntafanya nakukubali saana isarito tangu nianze kukufatilia umenifanya ata niipende tenda saana ya bongo movie respect broo
Jamn bongo duhhh mnashindwa hata ktumia green sheet... Kweli ... Yungekuwa mbali sana asejjh
Green sheet ndo nn kaka tufundishe
Naipataje hii
Way 🆙
Turn 🆙
Big 🆙
Larger 🆙
💪💪💪😊
Dah!! Usisahau kuitupia you tube bas
itatoka lini
Congrats bro kazi ni ya kweli asee blessing
Shukran sana kaka
Hii ni ya moto
Dah kama mbele vile🔥🔥🔥🔥🔥
Rudisha heshima ya action movies kaka j2
Guuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuud
Nkubali kaka P1 Sana imekaa poa sanaaaa 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏,,🎉👍💪💪💪💪💪💪
Hii kitu bora mnoo kuwahi shuhudia
💪💪😊
Sasa nchi ya Mbeya na Tanzania ziko mikono salama
Mbeya ni moja isarito ni mmoja na ndio Best actor
😀😀😀😀balaaa
Mbona amtuwekei
Ipelekeni Netflix katka soko la movie duniani Ili wajuie Kuna wabongo ikopoa sana mnaweza pata pesa nzuri nje ya kutuburudisha sisi wafuasi wenu
Shukran sana kaka kwa ushaur tutaufanyia kaz
Hamjawai kifel achia iyo kitu
Jamani lini tutapata movie hii unaisubiri kwahamu sana
Unyama mtu mbadi isarito mwalindile home boy mwenye Tuzo zake mjini respect blood
Shukran sana kaka
🔥🔥🔥
@@Boneseries bone vipi
Good work
Gigy angefaa sana kuwa dada jambaz kwa hiyo scene
Wow hiii mabadiliko makubwa sana
Bonge la muvi
Tuna subir
Inapatikana vipi hii movie
Good jobu
Duuh hii mv atar
Mamamae Isarito, True definition ya best actor 💥💥💥💥✊✊✊✊
Shukran sana
Kweli ulisitali tuzo ile
Shushenii mchongo wanangu nakubalii snaa❤❤❤🇹🇿
Kazi itakuwa nzuri safi sana
Mngemuweka na agent bavo
Isalito Kazi Kazi 💪💪
UMEFANYA KAZI KUBWA
Shukran sana kaka
Mh mjomba Mh
sauti za risasi zina uhalisia
Naisubir
ijeee ijeee arf 2naisubiri👊
Kazi kubwa sana lini inatoka
Ongera sana kaka mkubwa
Shukran sana kaka
Mkuuu tureteee haraka
Soon
🔥🔥🔥
Jamani naona kama inachelewa vileee
😀😀😀Tarehe 22 sio mbal karibu Mlimani City
Imekosekana nyota ka ya kanumba ila now mnafanya vzr bonge la movie action kali ... Kiufupi mmetisha
Shukran sana kaka
Good job
Bro movie inatoka lini maana 💥💥💥
Tarehe 22 January
New Tanzania new work 🙌 keep it up 💯 #jitu 🔥 🔥 🔥
Tz mpo juu Tena Sana katika films and movie production. Quality stuffs
😂na mboneke yumo
Big up bro, mambo ni moto
Asa si muitoe chap! Naitaka mimi, na sijui naipataje
I can't wait jaman 💥💥💥
Kazi nzr🔥
Safi sana tunataka move wakubwa
HABARI KIONGOZI KAZI NZURI SANA . NICE ILA COPYLIGHT ZA SOUND BAADAYE ZITAKUSUMBUA
Izo ni za kulipia kbsa so ni kuilink tu Channel na izo sound na copyright itatolewa Asante kwa ushaur kaka
Huyu boya anajua toka kwenye JESHI LA UKOMBOZI
Shukran sana kaka 💪😢
Kazi nzur sna
Leten chuma icho. I cant wait😃🤗
Mkombozi wa bongo movie
💪💪💪
Dah nataman niwe wakwanza kuiona yan
Karibu mliman city tarh 22/1/2022
Daah hii movie wamejitahidi hatari..
Shukran sana kaka
Tunasubiri kwa hamu lini itafika tunaomba jibu
Tarehe 22
🔥🔥🔥
Sasa wewe unefanya kitu ambacho mimi nilikuwa nataka maana tumechoka kuona movie za kibongo kwenye makochi na vitandani safi sana broe naisubiri kwaham kubwa sana💪💪
Shukran sana ndugu yangu 💪
Aminia Luka mzee wa Jua Kali
😊💪💪
🔥🔥🔥
BIG UP TO U MRITHI WA KANUMBA HILI DUDE LINAONEKANA NI MOTO SANA HONGERA UNASTAIRI TUZO NYINGI ZAID🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥KOMAA MWANANGU MBEYA BOY...
Shukran sana 😊
Big up chief vitu adimu sana hv
Shukran sana
nakubali sana kazi zenu wazee wangu hongeren sana #stafamuigizaji
Shukran sana kaka
tunapozungumzia mapinduzi basi ndiyo kama haya
💪💪💪💪
Mpaka kioo kimevunjika 🔥🔥🔥🔥