HALMASHAURI WAPOKEA MAELEKEZO YA DC JUU YA UKUSANYAJI MAPATO KATIKA HALMASHAURI YA W,LUDHOTO:

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • Hayo yalitokea kwenye baraza la kata la robo ya tatu ya mwaka 2024 baada ya mkuu wa wilaya ya lushoto Japhari kubecha alivowasalimia madiwani wa halmashauri hiyo.
    Pia mkuu huyo wa wilaya amesema watendaji jitahidini kukusanya mapato wala msilete mchezo,na maagizo hayo aliyakita kwa wah,madiwani kua simamie watendaji wa kata,na ambae atashindwa kukusanya mapato aondoke apangie kazi nyingige za kufanya.
    nae mwenyekiti wa halmashauri methew mbaruku ambae ni diwani wa kata ya magamba,pamoja na mkurugenzi mtendaji walipokea maelekezo ya mkuu wa wilaya,na kusema watafuatilia hilo.
    SIKILIZA FUUL VIDEO.

Комментарии •