Lushoto Plus+
Lushoto Plus+
  • Видео 250
  • Просмотров 134 099
HALMASHAURI WAPOKEA MAELEKEZO YA DC JUU YA UKUSANYAJI MAPATO KATIKA HALMASHAURI YA W,LUDHOTO:
Hayo yalitokea kwenye baraza la kata la robo ya tatu ya mwaka 2024 baada ya mkuu wa wilaya ya lushoto Japhari kubecha alivowasalimia madiwani wa halmashauri hiyo.
Pia mkuu huyo wa wilaya amesema watendaji jitahidini kukusanya mapato wala msilete mchezo,na maagizo hayo aliyakita kwa wah,madiwani kua simamie watendaji wa kata,na ambae atashindwa kukusanya mapato aondoke apangie kazi nyingige za kufanya.
nae mwenyekiti wa halmashauri methew mbaruku ambae ni diwani wa kata ya magamba,pamoja na mkurugenzi mtendaji walipokea maelekezo ya mkuu wa wilaya,na kusema watafuatilia hilo.
SIKILIZA FUUL VIDEO.
Просмотров: 66

Видео

MKUU WA WILAYA YA LUSHOTO JAPHARI KUBECHA AJITAMBULISHA RASMI KWA WAH,MADIWANI WA LUSHOTO.
Просмотров 2253 месяца назад
Akizungumza na waheshimiwa madiwani hao wa halmashauri ya wilaya ya lushoto kwenye baraza la kata la robo ya tatu alisisitiza wah,kuwasimamia watendaji wa kata juu ya ukusanyaji wa mapato. Pia alitoa wito kwa mkurugenzi kua mtendaji ambae hata kusanya mapato ipasavyo atolewe apelekwe kwenye kazi nyingine. SIKILIZA FULL VIDEO.
DC:MKUU WA WILAYA JAPHARI KUBECHA ATANGA BAADHI YA VIVUTIO VYA UTALII VILIVYOPO LUSHOTO:
Просмотров 2683 месяца назад
Akizungumza na waandishi wa habari, mkuu huyo wa wilaya ya lushoto mh,Japhari kubecha alisema,lushoto ni sehemu nzuri ya utalii hata kama unataka kujinyonga hujinyongi ukija kutalii lushoto. Pia alisema kua kuna mwekezaji amejitokeza kufuga samaki katika bwawa lililopo katika hoteli ya grewoll. SIKILIZA FUUL VIDEO HIO:
MKUU WA WILAYA JAPHARI KUBECHA AJITAMBULISHA RASMI KWA MADIWANI LUSHOTO:
Просмотров 2273 месяца назад
Hayo yalitokea katika kikao cha baraza la kata la robo ya tatu katika halmashauri ya wilaya ya lushoto. Pia katika utambulishi huo mkuu huho wa wilaya japhari kubecha alitoa maelekezo juu ya ukusanyaji wa mapato,na kuhimiza wah,madiwani wazidi kusimamia watendaji wa kata juu ukusanyaji wa mapato,nakusema kua mtendaji atakae zembea kukusanya mapato basi aondolewe sehemu alipo ili apishe anaekusa...
SIKILIZA SALAM MBALIMBALI ZA VIONGOZI JUU KIFO CHA MCH, MAGOGO AMBAE PIA ALIKUA MBUNGE LUSHOTO:
Просмотров 1923 месяца назад
Hayo halitokea katika msiba wa mchungaji mstaafu Daniel magogo ambae pia alikua mbunge katika jimbo la lushoto. SIKILIZA FULL VIDEO!
SHULE YA MSINGI TANDA ILIYOPO BUMBULI YAPATIWA ELIMU JUU YA UNYANYASAJI WA KIJINSIA KWA WANAFUNZI:
Просмотров 813 месяца назад
Polisi jamii wa kata bumbuli inspector Victor Y alitoa elimu juu ya ukatili wa kijinsia kwa wazazi na wanafunzi wa shule ya msingi tanda iliopo jimbo la bumbuli halmashauri ya bumbuli wilaya ya lushoto mkoa wa tanga. Hata hivo wazazi wa wanafunzi wa shule hio pamoja na wanafunzi walipenda sana elimu hio na kusema kua elimu hiyo iwe endelevu katika mashule yote. Nae afsa elimu wa kata hio ndg ma...
TANDA BUMBULI:
Просмотров 2313 месяца назад
Wanafunzi wa shule wa shule wa msingi tanda iliopo jimbo la bumbuli,halmashauri ya bumbuli wilaya ya lushoto mkoa wa tanga,wapatiwa elimu juu ya ukatili na unyanyasaji wa kijinsia na watoto. Elimu hiyo aliitoa inspector Victor yohana Owuor akiwa na wazazi wa wanafunzi hao katika shule ya msingi tanda.
SIKILIZA YALIOJIRI KATIKA KIKAO CHA WADAU WA SEKTA YA KILIMO WILAYA YA LUSHOTO:
Просмотров 1253 месяца назад
hayo yalitokea katika kikao cha wadau wa sekta ya kilimo kilicho andaliwa na mkuu wa wilaya ya lushoto mhe,Japhari kubecha mwanzoni mwa wiki hii wakati akiongea na wadau hao,na kuweka mazimio mbalimbali. Hata hivo zilionekana changamoto nyingi kwa upate wa wakala wa mbolea na pembejeo za kilimo,ambazo pia zilitokewa maazimio na mkuu huyo wa wilaya. pia mkuu huyo alisema kana wakala huyo anashin...
DC KUBECHA UTATUPELEKA MBALI,NA MIMI NI IMAMU WA MSIKITI:
Просмотров 813 месяца назад
hayo yalijiri wakati kaim mwenyekiti wa halmashaur ya lushoto ambae pia ni mhe,diwani wa kata mbaramo Zuberi Ulanga wakati akitoa salam zake kwa niaba ya mwenyekiti. Kubwa ni kumshukuru mhe,dc Japhari kubecha jinsi anavoonyesha ushirikiano mkubwa na viongozi wenzake katika kutatua matatizo katika wilaya yake yenye majimbo matatu ambayo ni bumbuli,lushoto na mlalo yenye wabunge wa 4. Pia kaim mw...
DC LUSHOTO ANASEMA, LUSHOTO NI MJI MZURI WA KUPUMZIKA NA NIENEO TULIVU,SIKILIZA:
Просмотров 2483 месяца назад
Hayo aliyasema Mkuu wa wilaya ya lushoto Japhari kubecha wakati alipofungua kiKao kazi cha sekta ya utalii pamoja na kamati yake ya ulinzi na usalama wilaya ya lushoto,pamoja na wamiliki wa hoteli na waongoza watalii katika wilaya hiyo. Lengo kubwa la kikao hicho ni kujadili suala zima la utalii na kutatua changamoto zinazo jitokeza katika sekta hio na kutoa maazimio kwapamoja katika kikao hich...
MSIKILIZE MMILIKI WA HOTELI YA MULLA ALIVO MSHUKURU DC KUBECHA:
Просмотров 863 месяца назад
Hayo yalitokea katika kikao kazi cha wadau wa utalii na wamiliki wa mahotel pamoja na wadau mbalimbali wa utalii wilaya ya lushoto mwishoni mwa wiki iliopita. Hapo mmiliki wa hoteli ya mulla dada Priste mula ambae ndio mkurugenzi wa hoteli hio jinsi alivo mshukuru mkuu wa wilaya ya lushoto mhe,Japhari kubecha ambae aliona umuhim mkubwa wa kukuza utalii wilaya ya lushoto,na kuona ni bora sasa aw...
MWENYEKITI WA CCM WILAYA YA LUSHOTO AMPONGEZA DC KWA KUANDAA KIKAO CHA WADAU WA KILIMO W,LUSHOTO
Просмотров 1483 месяца назад
Hayo aliyazungumza mwenyekiti wa Ccm wilaya ya lushoto mhe,Ally kasim dafa wakati akitoa salam zake katika kikao kazi cha alichokiandaa mkuu wa wilaya ya lushoto mhe,JAPHARI KUBECHA MGHAMBA. Hata hivo katika kikao hicho mkuu wa wilaya alikerwa sana na wakala wa usambazaji wa mbolea na pembejeo za kilimo kwa kucheleweshea wakulima pembejeo hizo na mbolea. Nae Yasin Bila ambae ni mhe,diwani wa ka...
SEKTA YA KILIMO HIFADHINI MAJI YA MVUA ILI YATUMIKE KWA UMWAGILIAJI WAKATI WA KIANGAZI:
Просмотров 433 месяца назад
Hayo aliyasema mwenyekiti wa ccm wilaya ya ludhoto mhe,Ally Kasim Daffa,wakati alivotoa salam zake kwenye kikao cha Dc Kubecha Mghamba,pamoja na,wadau wa kilimo na watu wa umwagiliaji. Kikao hicho kilishirikisha watendaji kata wa halmashauri ya bumbuli na halmashauri ya lushoto pamoja na maafisa kilimo wa halmashauri zote mbili,pamoja na maafsa ugani,na baadhi ya wah,madiwani. SIKILIZA FUUL VIDEO!
DC,LUSHOTO AFUNGUA VIKAO VIWILI KWA PAMOJA.KIKAO CHA LISHE NA KIKAO CHA WADAU WA UTALII W LUSHOTO:
Просмотров 2453 месяца назад
Mkuu huyo alianza kufungua kikao cha tafhmini ya lishe kwa robo ya tatu,ambapo aliwaomba washitiki wawe watukivu na wasikilize yanayojiri na kuchangia pamoja na kutoa maoni. Pia mkuu huyo alisema kua kujaza tumbo sio lishe bora,lishe ni mpangilio wa ulaji wa vyakula. Baada ya kikao hicho cha lishe alifungua kikao cha wadau wa utalii wilaya ya lushoto na kusema,utalii ni pamoja na masuala ya kil...
WANAFUNZI WA ST CATHERINE SEKONDARI WAPATIWA ELIMU JUU YA MAADILI NA NIDHAMU:
Просмотров 2373 месяца назад
Hio ilitokea mwishoni mwa wiki iliyopita katika shule ya st catherine sekondari wakari wanafunzi hao walipopatiwa elimu hio na V.Y.OWUOR ambae pia ni ispectar wa polisi wilaya ya lushoto mkoa wa tanga. Hata hivo wanafunzi hao waliipenda sana elimu hio na kufafanua kua nidhamu ipo kwa pande mbili,hivo inapaswa ujue pande hizo za nidhamu hizo maana kuna nidhamu za uoga na kuna nidhamu za kawaida ...
MAMA SAMIA ANATUPENDA SANA WATUMISHI WAKE:
Просмотров 704 месяца назад
MAMA SAMIA ANATUPENDA SANA WATUMISHI WAKE:
WAALIMU FUATENI TARATIBU:
Просмотров 1094 месяца назад
WAALIMU FUATENI TARATIBU:
SIKILIZA RISALA WA WATUMISHI WA UMMA NA KERO ZAO:
Просмотров 454 месяца назад
SIKILIZA RISALA WA WATUMISHI WA UMMA NA KERO ZAO:
CWT WILAYA YA LUSHOTO WATOA LA MOYONI:
Просмотров 1094 месяца назад
CWT WILAYA YA LUSHOTO WATOA LA MOYONI:
SHUHUDIA SHAMRASHAMRA ZA SIKU YA WAFANYAKAZI MKOA WA TANGA.
Просмотров 1344 месяца назад
SHUHUDIA SHAMRASHAMRA ZA SIKU YA WAFANYAKAZI MKOA WA TANGA.
CWT WILAYA YA LUSHOTO WAFURAHIA SAFARI YA KUELEKEA KOROGWE KWENYE MAAZIMISHO YA MEI MOSI:
Просмотров 2644 месяца назад
CWT WILAYA YA LUSHOTO WAFURAHIA SAFARI YA KUELEKEA KOROGWE KWENYE MAAZIMISHO YA MEI MOSI:
RAHA KAMA ZOTE USIKU WA ELBARIKI SHUNDA JUMA:
Просмотров 1614 месяца назад
RAHA KAMA ZOTE USIKU WA ELBARIKI SHUNDA JUMA:
MAGOGO NA MAJALI YALIOZIBA DARAJA LA SANDALI LASABABISHA MAFURIKO:
Просмотров 1484 месяца назад
MAGOGO NA MAJALI YALIOZIBA DARAJA LA SANDALI LASABABISHA MAFURIKO:
HALI SIO SHWARI:
Просмотров 2244 месяца назад
HALI SIO SHWARI:
BAADHI YA WAATHIRIKA WA MAFURIKO WAELEZEA CHANZO CHA MAFURIKO HAYO KUSAMBAA:
Просмотров 1724 месяца назад
BAADHI YA WAATHIRIKA WA MAFURIKO WAELEZEA CHANZO CHA MAFURIKO HAYO KUSAMBAA:
CHANGAMOTO IPO BARABARA IPIO LALEPALE:
Просмотров 1,4 тыс.4 месяца назад
CHANGAMOTO IPO BARABARA IPIO LALEPALE:
WAKANDARASI TANGULIZENI UZALENDO KWANZA:
Просмотров 944 месяца назад
WAKANDARASI TANGULIZENI UZALENDO KWANZA:
HII IMETOKANA NA KUKWAMA KWA BARABARA NYINGINE MBADALA:
Просмотров 3424 месяца назад
HII IMETOKANA NA KUKWAMA KWA BARABARA NYINGINE MBADALA:
SERIKALI IPO NANJI:
Просмотров 2814 месяца назад
SERIKALI IPO NANJI:
BARABARA YA KANDELE KA MPAA YAFUNGWA KWA SIKU 7 KUPISHA UKARABATI KWABKUWEKA VIFUSI:
Просмотров 9154 месяца назад
BARABARA YA KANDELE KA MPAA YAFUNGWA KWA SIKU 7 KUPISHA UKARABATI KWABKUWEKA VIFUSI:

Комментарии

  • @SuleimanSele-h1l
    @SuleimanSele-h1l 4 дня назад

    Mueshimiwahata diwaniwako wakatayamakanya yeyekamamwenyeji waeneolake alishindwakusimamiakazi vzr aliwapanafasi,

  • @SuleimanSele-h1l
    @SuleimanSele-h1l 12 дней назад

    Mbonazanialihauwongei? Mbonamkamba yeyetunamuona anaongea?

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 15 дней назад

    Selikalii ifuatilie huyo alieifuta kesi ashuhulikiwe

  • @Salama-x7d
    @Salama-x7d Месяц назад

    Vituo mnajenga barabra aaaaah😢

  • @KilonzoJohn-mg7cw
    @KilonzoJohn-mg7cw Месяц назад

    Kalista acha uongo hakuna elimu bure na wewe unajua kwanza wewe hujawahi kupeleka watoto wako wote kwenye shule za kata kwasababuunajua hicho unachsema ni uongo mimi ni nakujua mwanzo mwisho moyo wako unakushuhudia unachosem ni uongo ila unatamka tuu kwa sababu ya rushwa uliohongwa na ccm ya cheo acha uongo

  • @Yassinseleman
    @Yassinseleman 2 месяца назад

    Dada kama wewe unawazazi na umeolewa na huwezi kaa na hawa watoto waombe wakaishi na mama Yako na baba ajiandikishe dawati kuwatunza wakiwa sehem salama

  • @Yassinseleman
    @Yassinseleman 2 месяца назад

    Haya serikali ishakusikia mwanangu tunaiomba serikali kwa pamoja huyu mama afuatiliwe

  • @Kidissa-v8f
    @Kidissa-v8f 2 месяца назад

    Hiki kituo kinashangaza kila akipelekwa mjamzito kwaajili yakujifunfungua kwaipasuaji anakufa kunanini serekali mnalijua hili!

  • @sulekhan7119
    @sulekhan7119 2 месяца назад

    Muheshimiwa na ile barabara ya soni mponde vipi😅

  • @NoelSelina-zk6kv
    @NoelSelina-zk6kv 3 месяца назад

    Hao walimu wafukuzwe

  • @user-ru3xl8gb3o
    @user-ru3xl8gb3o 3 месяца назад

    Poleni ndogu zangu wa shashui

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 3 месяца назад

    Tunahitaji chuo cha afya hospital ya wilaya lishoto mbona mnalala san

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 3 месяца назад

    Tunahitaji chuo kikuu cha sheria lushoto pamoja na college ya afya hospital ya wilaya ya lushoto

  • @KulthumRashidmusa
    @KulthumRashidmusa 3 месяца назад

    Japanese.hebuoneni.ileshule.ya.mkuzi.kionwo.imeoza.sana.wamejenga.darasa.mOjai.tu.ya.mm.samiale.itupieni.jIcho.shule.kbla.haijandondokea.watoto.km.shule.yagale.iliouwa.mToto.kudondkewa.naukuta

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 3 месяца назад

    Tunatakiwa tuhamasishe biashra ya miti ,kahawa,parachich tena kampeni ipigwe hata cocoa pia inaweza kustaw lishoto

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 3 месяца назад

    Hamasisheni biashara ya miti ya mbao ,kahawa,parachichi,,kilimo cha chai na chuo cha sheria lushoto kianze degree ili kuwe na mzunguko mkubwa wa pesa

  • @putotamu7044
    @putotamu7044 3 месяца назад

    Kweli kabisa lushoto ni kama ulaya kama ikijengwa vizuri

  • @singanomakumba1956
    @singanomakumba1956 3 месяца назад

    Mheshimiwa barabara soni kwenda bumnuli majanga kwetu kuzuri mushkile balabara

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 3 месяца назад

    Tunaomba zao la parachich lihamasishwe na zao la miti kila siku lishe lishe

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 3 месяца назад

    Tunaomba uhamasishaji wa kupanda kahawa na miti ya biashara

  • @kianohasan5205
    @kianohasan5205 3 месяца назад

    Mh! Kehena ndima ahao

  • @user-tx5fo4ms2n
    @user-tx5fo4ms2n 3 месяца назад

    Ada ya shule ni shing ngapi

  • @omaritumbatutumbatu9676
    @omaritumbatutumbatu9676 3 месяца назад

    Nyumbn naona uko

  • @HamisiHamisi-ne6mz
    @HamisiHamisi-ne6mz 4 месяца назад

    Kuna vitu vinasikitisha barabara ina maliza mwezi haitengenezwi,au sis hatujulikani huku kijijini

  • @user-uj6hy6xs5l
    @user-uj6hy6xs5l 4 месяца назад

    Teach steve

  • @MAJALATV485
    @MAJALATV485 4 месяца назад

    Andika vizur asee baash ndio nini sasa

  • @JOSEPHKAONEKA-iv7xx
    @JOSEPHKAONEKA-iv7xx 4 месяца назад

    Wapi mbaramo na mnazi wameachwa na gari au😂😂😂

  • @KalotvTanzania
    @KalotvTanzania 4 месяца назад

    Mbunge yupo wap

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 4 месяца назад

    Tunahitaji zao la kahawa lihamasishwe wilaya ya lishoto pamoja na zao la chai ,zao la mbao,zao la ndizi,zao la parachichi pia tunahitaji hospital ya halmashaur ya bumbuli ikamilike

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 4 месяца назад

    Tunahitaji Hospital ya wilaya ya lushoto ijengwe collage ya na chuo cha sheria kianze degree ili mzunguko uongezeke lushoto

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 4 месяца назад

    Tunahitaji hospital ya Halmashauri ya bumbuli ikamilike Mana inahujumiwa na hospital ya kongwe ya bumbuli

  • @bakarimnkangalah6047
    @bakarimnkangalah6047 4 месяца назад

    Kazi nzuri mh,DC kazi iendelee!

  • @musakimiti6212
    @musakimiti6212 4 месяца назад

    Yogera kiogozi tuna kushukuru sana mungu akurnde tukopamojanawewe kazinjema

  • @allyrashidmdangaya4216
    @allyrashidmdangaya4216 4 месяца назад

    Hongera brother

  • @chandobenjamini4967
    @chandobenjamini4967 4 месяца назад

    miaka 15 lami km 1 aibuu tajeni lingine mwamba jimboni haonekani mpaka uchaguzi ndo huyoo anataka kuturubuni tena

  • @chandobenjamini4967
    @chandobenjamini4967 4 месяца назад

    matapeli stand iko wapi soko liko wapi maji yako wapi elimu sifuri barabara ya mombo lushoto mbuvu mmeandaa wa shehereshaji wenu mnaowahonga kila nyakati

  • @sarahkilima3906
    @sarahkilima3906 5 месяцев назад

    Vipi miche ya perachichi inapatikana

  • @user-iq4jg9nw5c
    @user-iq4jg9nw5c 5 месяцев назад

    safiii

  • @rizikimshindo2177
    @rizikimshindo2177 6 месяцев назад

    My former secondary school,🎉🎉🎉 great 👍👍

  • @FranciscaNyello-qr3db
    @FranciscaNyello-qr3db 6 месяцев назад

    Hongereni kwa kazi nzuri

  • @user-zv2qb4ir1d
    @user-zv2qb4ir1d 6 месяцев назад

    Great

  • @MAJALATV485
    @MAJALATV485 6 месяцев назад

    Story haijabalance mzee baba

  • @ahmadimbazi5843
    @ahmadimbazi5843 6 месяцев назад

    Waandishi oneshen muendelezo

  • @user-wo1gj9fc5c
    @user-wo1gj9fc5c 6 месяцев назад

    Naipwnda sana lushoto njumbani nazani hanyie mnaipenda lushoto milimani kalibu shoto🎉

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 6 месяцев назад

    Emhu acheni uonevu! Mlitaka avae magunia?? Ndo mjue ana uvhungu?

  • @user-uj9ye5ni5e
    @user-uj9ye5ni5e 7 месяцев назад

    Inna lillahi wainna ilaihi raajiuun

  • @MAJALATV485
    @MAJALATV485 7 месяцев назад

    Yan mchumi ni mchumi tu bigup Bumbuli Dc plus mkurugenzi Baraka zikatimu.

  • @malik3046
    @malik3046 7 месяцев назад

    MOMBO FAMILY GROUP MMEUPIGA MWINGI

  • @user-xg7dk6bl4v
    @user-xg7dk6bl4v 7 месяцев назад

    poleni wanafamilia,Mungu awajalie Subra

  • @safinaijumaa8109
    @safinaijumaa8109 8 месяцев назад

    Innalinllah wainna illaih raajiun 😭😭ALLAH AMPE KAUL DHABIT MTOTO 😢😢 💔💔sisi wote hatujui kilichomkuta mpak akachkua uamuz huo bdo mdg san ❤😭💔Allah ndo anajua zaid😭 Sisi wote ni wa Allah na kwake tutarejea 😭💔🤲🙏