BAADHI YA WAATHIRIKA WA MAFURIKO WAELEZEA CHANZO CHA MAFURIKO HAYO KUSAMBAA:
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- Hayo aliyasema mhanga wa mafuriko bwana Hamsi mkazi wa mombo misajini.
Mafuriko hayo yaliosababishwa na mvua zinazoendelea kunyesha katika wilaya ya lushoto,na kusababisha mto mkubwa wa sandali kujaa na kusababisha daraja la sandali kuzibwa na magogo makubwa.
SIKILIZA VIDEO FULL:
Andika vizur asee baash ndio nini sasa