DC LUSHOTO ANASEMA, LUSHOTO NI MJI MZURI WA KUPUMZIKA NA NIENEO TULIVU,SIKILIZA:

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • Hayo aliyasema Mkuu wa wilaya ya lushoto Japhari kubecha wakati alipofungua kiKao kazi cha sekta ya utalii pamoja na kamati yake ya ulinzi na usalama wilaya ya lushoto,pamoja na wamiliki wa hoteli na waongoza watalii katika wilaya hiyo.
    Lengo kubwa la kikao hicho ni kujadili suala zima la utalii na kutatua changamoto zinazo jitokeza katika sekta hio na kutoa maazimio kwapamoja katika kikao hicho kilicho washirikisha wakurugenzi wa halmashauri 2 ambazo ni halmashauri ya bumbuli na lushoto kwa pamoja.
    MSIKILIZE DC AKIELEZEA;

Комментарии • 2

  • @singanomakumba1956
    @singanomakumba1956 4 месяца назад

    Mheshimiwa barabara soni kwenda bumnuli majanga kwetu kuzuri mushkile balabara