KIMEUMANA! MKANDARASI ABANANISHWA, ATAKIWA KUJISALIMISHA KWA DC LUSHOTO..
HTML-код
- Опубликовано: 25 окт 2022
- KIMEUMANA! MKANDARASI ABANANISHWA, ATAKIWA KUJISALIMISHA KWA DC LUSHOTO..
Wakurugenzi wa Kampuni ya M/S PNR SERVICES ya Jijini Dar es Salaam
waliopewa zabuni ya shilingi Bilioni 1.8 ya kuvuta maji km 14 kutoka
Hifadhi ya Msitu wa Magamba hadi katika Mji wa Lushoto kujisamilisha
wenyewe ofisini kwake kwa nini hadi Sasa wameifanya kazi hiyo kwa
asilimia 20 tu wakati mradi huo wanapaswa kuukabidhi kwa Mamlaka ya
maji Lushoto(RUWASA) januari 30 mwaka kesho.
Lazaro alisema hayo katika chanzo Cha maji Cha Msitu huo alipotembelea
Mradi huo na kusikitishwa kuona Mkandarasi amelipwa zaidi ya shilingi
milioni 200 kwa ajili ya kazi hiyo lakini amekuta wafanyakazi saba tu
katika ujenzi wa chanzo Cha maji Hali iliyomsikitisha na kupata
taarifa kuwa Wakurugenzi wa Kampuni hawajawahi fika Lushoto pamoja na
kutakiwa na uongozi wa RUWASA zaidi ya Mara tatu.
Alisema na kumwagiza msimamizi wa mradi wa Kampuni hiyo, Singo Omari
aliyemkuta eneo la Mradi kuwataarifa Wakurugenzi wake kuwa anawahitaji
haraka ofisni kwake Alhamis octoba 27 mwaka huu saa 1.30 asubuhi kuja
kujieleza Ni kwa Nini wasichukuliwe hatua kwa kupuuza wito wa Meneja
wa RUWASA Wilaya ya Lushoto na kwa nini kazi haifanyiki wakati
wameshachukua mamilioni ya pesa za Serikali kwa ajili ya Mradi huo
Mkuu wa Wilaya alisema tanki ya maji lenye uwezo wa kubeba Lita
600,000 bado halijajengwa,usambazaji wa bomba za maji za umbali wa km
14 kutoka Msitu wa Magamba hadi Mjini Lushoto bado mtaro haujachimbwa
Wala mabomba hayajafika eneo la Mradi na alisema dharau za Wakurugenzi
wa Kampuni ya M/S PNR SERVICES waliifanya haitavumiliwa kamwe lazima
waeleze ni kwa nini muda wote hawajafanya kazi na pesa ya Serikali
wameshapewa.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Mfumo mfumo mfumo haya mambo kila siku yapo na hakuna hataua yeyote
Mbunge naye hajui?Kuna shida kubwa hapo
Funga ndan akalale kwanza
Akalale ndan kwanza
Ashikwe aliyempa kazi sio huyo Mzee.
Mbona madudu yameanza kuibuka tena
Jamani Serikali ijitasmini kuwapata wakandarasi huyo mzee ni feki na kapewa kazi vipi hao hawawezi kufanya chochote hapo wapeni jeshi hapo