WANANCHI WA KATA YA MGWASHI ILIOPO HALMASHAURI YA BUMBULI WILAYA YA LUSHOTO WANUFAIKA NA MRADI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 окт 2024
  • wananchi wa kata ya mgwashi iliopo halmashauri ya bumbuli wilaya ya lushoto wanufaika na mradi wa kituo cha afya,ambacho mradi wake utakamilika november 2022 japo kua mradi huo umechelewa kumalizika kidogo
    #tanga #lushoto #tanzania #lushotoplus

Комментарии • 2

  • @Salama-x7d
    @Salama-x7d 3 месяца назад

    Vituo mnajenga barabra aaaaah😢

  • @ramadhaniomary7083
    @ramadhaniomary7083 Год назад

    Habari viongozi wetu tuna washukuru sasa kwa miradi mizuri mnayoleta mgwashi lakini tuomba pia muakumbuke na watu waliopigana kwa hali na mali katika tarafa ya mgwashi hususani afisa wa Afya tarafa ya mgwashi marehemu Omary Athumani Ndongo baba yetu alifanya kazi kwenye mazingira magumu sana lakini cha kushangaza pesa aliolipwa ni ndogo sana na mpaka sasa LPF hajalipwa mpaka sasa na hatujui kama ipo au laa