MAHAKAMA KUU yaukataa WOSIA uliodaiwa kuandikwa na MENGI, FAMILIA yashinda KESI ya mirathi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 май 2021
  • Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imeukataa wosia uliokuwa ukidaiwa kuandikwa na aliyekuwa mfanyabiashara maarufu nchini marehemu Reginald Mengi pamoja na mambo mengine ikieleza kuwa haukidhi matakwa ya kisheria ili kuwa wosia halali

Комментарии • 238

  • @sonicaghendewa9886
    @sonicaghendewa9886 3 года назад +25

    Uyu Dada simuamini iviiiiiii😥.. Anajua kilichomuua Baba Etu😭😭😭

  • @ndalusanzandizeye9079
    @ndalusanzandizeye9079 3 года назад +12

    Afadhari jamani yaan ilikua inanimuma utadhani mimi ndo mtoto wa mengi. Daah afadhari haki imetendeka

  • @maggynowak3555
    @maggynowak3555 2 года назад +4

    Slay queen ni biashara kweli. Hongera mahakama kwa kumtambua mke wakwanza na uzao wake.

  • @peteryukunda9239
    @peteryukunda9239 3 года назад +3

    Nakupendaje Mahakama kwa kutenda haki? Jizi hilooo,eti mke, una gold ulizaa Yesu.Jiziiiiiii

  • @josej9888
    @josej9888 3 года назад +22

    Hatari! Mzee alizama kwenye penzi hadi akatekwa akili🚶🏿‍♂️🚶🏿‍♂️🚶🏿‍♂️

  • @sheilalolila2233
    @sheilalolila2233 3 года назад +6

    Mmh acha niendelea kunywA michemsho yangu na matembele haya ndio majaliwa yangu kwa allah

  • @welcometoeat165
    @welcometoeat165 3 года назад +23

    Hata kifo cha baba wa watu kilikua cha utata 😢uyu dada ajiangalie Sana!

    • @janethndial5759
      @janethndial5759 3 года назад +5

      Yaan hapo ndio pakujifunza wanaume weng maana wakisha Pata Mali waona wake waliona wanawabana wanawataka watt, mwanamke kama jack hawez kuishi na yule babu mwenye Mapesa, yake kwa miugomvi sababu anajua anachokitaka

    • @mamachris6811
      @mamachris6811 3 года назад +4

      Wanaume hawajufunzi,wapo wanaendelea na hayohayo kwa tamaa za kupenda dogodogo
      Wazee wenzangu ingieni RUclips msikilize wimbo wa Tuncut almas " mapenzi ya sasa"

    • @mamachris6811
      @mamachris6811 3 года назад +1

      Tuncut almas enzi hizo waliimba " mapenzi ya sasa"

    • @nishasalim2880
      @nishasalim2880 3 года назад +1

      Don't interfere

    • @janethndial5759
      @janethndial5759 3 года назад +3

      @@mamachris6811 kabisaaa huwa, awajifunzi kabisaa

  • @mangulimanguli3974
    @mangulimanguli3974 Год назад +1

    Safi sana uyo Dada ana tamaa, alichopewa aliona akimtoshi,

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 3 года назад +4

    Mahakama imetenda haki hapo kwa kweli.

  • @gladykidai5188
    @gladykidai5188 2 года назад +2

    Mahakama zetu zinafanya kazi kwa haki

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 3 года назад +8

    Hongera mahakama..yule malaya anataka hela yetu.

  • @safiyatheonlything7848
    @safiyatheonlything7848 3 года назад +7

    Mmmh kwann asirizike na atakacho pewa sababu marehemu anawatt wengine wakubwa tu jamani

  • @macamezunguzungu5697
    @macamezunguzungu5697 3 года назад +12

    Duh 😥 urithi ni balaaaa

  • @anicyaedward5605
    @anicyaedward5605 3 года назад +7

    Watenda haki kabisa I love that and everyone is appreciating this., seriouse speaking jack hakupaswa kuchua vyote alitakiwa Kuwa mpole apewe kias weee .. hajui utajili ulikujaje anyway Mungu awaongozee watoto wa marehemu

    • @aoman5214
      @aoman5214 3 года назад +1

      Kweli kabisa huyo dada ni muuaji jaman hmmm hiv akisema Naombeni nyumba moja au mbili na kampuni yoyote Ile Mali zingin wachukue ndg atapangukiwa na nn tamaa inamsumbua Sana huyu mkigoma mwenzg khaaa

    • @simonlukiko2850
      @simonlukiko2850 2 года назад

      MENGI KASOTA MWENYEWE BWANA NA NDO MAANA AKUGAWANA MALI NA MKEWE ILA ALIAMBIWA AMLIPE PESA KWA AJILI Y A WANAE MENGI KA STRAGO YEYE MWENYEWE HATA KTK KTABU CHAKE CJAONA AKIANDIKA ETI MKWE WA KWANZA WALI FANIKIWA WOTE

  • @muddymkamba352
    @muddymkamba352 3 года назад +1

    Good,huwezi taka Mali za watu hujui watu wame husstle kufika hapo,angetulua zake angetunzwa na familia wala asingekutana na yote ...Tamaa ni mbaya

  • @uwezowamunguutendaokazi3043
    @uwezowamunguutendaokazi3043 2 года назад +2

    MUNGU MKUU aturehemu sote. AMEN.

  • @glorykibona3761
    @glorykibona3761 3 года назад

    Whawhooo very god

  • @adredandorero2911
    @adredandorero2911 3 года назад +2

    Eh Mungu, tukumbushe kuwa mwisho wa ubaya ni aibu. Sitaki fedheha hii inikute

  • @bensonkaile9606
    @bensonkaile9606 3 года назад +2

    Aisee! Mbutah Nangah

  • @nurukhalifa9413
    @nurukhalifa9413 3 года назад +24

    Muha amuibie mchaga pesa never😀😀😀

    • @tumainsawe6960
      @tumainsawe6960 3 года назад +4

      Alijua anacheza na waha wenzie mama hao ni wachaga eeee

    • @sarahgaula2220
      @sarahgaula2220 3 года назад +1

      Hahahahahah

    • @hadijasaidi7709
      @hadijasaidi7709 3 года назад +1

      @@tumainsawe6960 Kwani ni.muha huyu mdada .?

    • @tumainsawe6960
      @tumainsawe6960 3 года назад

      @@hadijasaidi7709 kumbe, muha ndio

    • @hadijasaidi7709
      @hadijasaidi7709 3 года назад +1

      @@tumainsawe6960 katuangusha waha kugombea mali waha hua hatuna hizo huyo mdada du

  • @marinamooh4055
    @marinamooh4055 3 года назад +4

    Mmmh 🤔Mtihani kwa kweli

  • @isamony58
    @isamony58 3 года назад +14

    safi sana mali wazitafute bb ao na mm ao waje wazisi watt wamke mdogo inahuuuuuuuuuu😏😏😏😏😏😏😏😏😏

    • @gosbertmuta5421
      @gosbertmuta5421 3 года назад

      We nae duh hufanan

    • @hadijajumanne5493
      @hadijajumanne5493 3 года назад

      Na jack alifata pesa tyu pale mtu tayari alikuwa mgonjwa akajifanya anampenda sana yani wanawake sisi mungu anatuona

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 Год назад

    Mmmh jmn hiyo vit ingene

  • @PanduAli
    @PanduAli 8 месяцев назад

    Sawa

  • @hearlychunga545
    @hearlychunga545 3 года назад +20

    😁😁😁😁 jack imekula kwake na umalaya wake

    • @Donrugi
      @Donrugi 3 года назад +8

      Watch your mouth

    • @andrewjulius6796
      @andrewjulius6796 3 года назад +5

      Tuonyeshe vielelezo kua Jacklyn Alikua malaya,,,,chunga mdomo wako na ukumbuke kuna sheria

    • @wisperfect5320
      @wisperfect5320 3 года назад +3

      Ttzo la kukosa akili ndio hilo

    • @janethndial5759
      @janethndial5759 3 года назад

      Mjinga Sana huyo dada

  • @fatumahengo6849
    @fatumahengo6849 3 года назад

    Duh

  • @RuzoOwzy
    @RuzoOwzy 3 года назад +3

    Hopefully tutaanza kuona single na EPs za dada yetu. Ni muda toka ametoa single.

  • @yhasintakalenyula970
    @yhasintakalenyula970 3 года назад +2

    Duuu....Hii mambo hii

  • @mandyuwimana7735
    @mandyuwimana7735 3 года назад

    Pole sana Jacky

    • @begukulemosobe9685
      @begukulemosobe9685 3 года назад

      Kwa kweli pole kubwa maana mh alitaka kucheza na mali ya watu bila kufikiri

  • @eben_ezer8853
    @eben_ezer8853 3 года назад +10

    Wadada tujitume.. Pambana fanya kazi na mikono yako utaweza tu

    • @kakorejrboyz6447
      @kakorejrboyz6447 3 года назад

      Wezi Sana kirahisi TU ule maisha huko jioni UNAKUJA na kujifanya mrithi pumbavu

    • @dinahnyagosaima1259
      @dinahnyagosaima1259 3 года назад

      Mtegemea cha ndugu hufa maskini

    • @begukulemosobe9685
      @begukulemosobe9685 3 года назад

      Wasichana wapenda mteremko ndo somo kwenu chumeni mapema kabla ili muwe mmeachiwa vyenu

  • @khneesajumaa2052
    @khneesajumaa2052 3 года назад +13

    Mmm mimi sisemi kama alovitafuta kaondoka na sanda tu yadunia yahachieni dunia

    • @chiefmahucha6847
      @chiefmahucha6847 3 года назад

      Sijakuelewa ulivosema "yahachieni"
      Umemaanisha nini?

    • @gosbertmuta5421
      @gosbertmuta5421 3 года назад

      Na jeneza bana na kaburi la kifahari

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 3 года назад

      @@gosbertmuta5421, hata angeondoka na gari au jumba la kifakhari havitomsaidia kitu.

  • @happymsaki1720
    @happymsaki1720 3 года назад +6

    Ila jmn Mungu wetu yupo hapa Dunia tunapita tu laiti watu Tungefunguliwa MACHO HAYA NA KUJUA KWAMBA HAKUNA KITU KIBAYA KAMA DHULUMA,hakuna atakayeishi milele na Dhuluma haijamuacha MTU SALAMA NA MUNGU YUPO,JASHO LA MTU HALILIWI BURE

    • @uwimanauwimana7692
      @uwimanauwimana7692 3 года назад

      Tama sio nzur watu watafute rizki zao sio kutafuta mirathi zawatu haki ya mwenye kuitafuta haipotei ,

  • @YusufAli-ib6xu
    @YusufAli-ib6xu 3 года назад +3

    This is big trouble now for jack and kids ...

  • @tumainsawe6960
    @tumainsawe6960 3 года назад +6

    Hivi nauliza mmesahau kulikua na mama mengi unajua nimagumu mangapi alipitia?safi sanaaaa

    • @maryamtan682
      @maryamtan682 3 года назад

      Alisha chukua za kwake kabla mpm na wanamiliki wtt wk.

  • @simonitaagesti3657
    @simonitaagesti3657 3 года назад +11

    Ila jack nae alitia fora eti atakaepingq wosia huo apewe buku kweli dada ukasahau kama watoto wakubwa wapo ukawanyima mpaka nguo za baba yao

  • @gmosha1
    @gmosha1 3 года назад +18

    Unacheza na wachagga wewe mbele ya pesa..😂 huyo Jacqueline alifikiri atachukua pesa hivi hivi🤣🤣

  • @africanbeauty6556
    @africanbeauty6556 3 года назад +9

    Wasichana muolewe na mwanaume ambaye hana mali muanze wote kutafuta na kujenga maisha yenu .Kuolewa na mwanaume mwenye mali na amekuzidi umri haitakusaidia lolote utanyanyaswa na watoto wake na ndugu utaisha maisha ya siyo na amani .Maana hizo mali wapo walikuwa mbele yako.Halafu yakukute afariki utanyanyaswa sana.Wanawake jifunzeni kutafuta mali zenu .

    • @calvinloveambroce842
      @calvinloveambroce842 8 месяцев назад

      Ata kuoa ni kujitakia shida ya milele kwa maana sikuiz hakuna wanawake japo sio wote

  • @omarkasim1745
    @omarkasim1745 3 года назад

    Mmm

  • @allyfatma7359
    @allyfatma7359 3 года назад +12

    Kufa tugombanie Mali.......Kama zetu vike.😭😭😭😭

  • @mtumishi6175
    @mtumishi6175 3 года назад +5

    So happy about this

    • @RuzoOwzy
      @RuzoOwzy 3 года назад +1

      Mi nlijua utamtetea mwanamke mwenzio. 😯

    • @mtumishi6175
      @mtumishi6175 3 года назад +1

      @@RuzoOwzy mimi ni mke mkubwa Hawa wanaokuja kukuta ndoa zetu zimeimarika halafu mfano Mme wangu afe wanangu wakose urithi wa baba yao uchukuliwe na mke wa Pili na wanae unajua bibilia haitambui mitala inaita wanawake Hawa wageni yeye akubali na watoto wa mke mkubwa wapate haki ya baba yao after all Wakati anaolewa kaukuta utajiri huu means mke mkubwa na wanae wana haki zaidi mimi nasimama upande wa wAke wakubwa si vinginevyo najua maumivu ya Hawa wanawake wanaokuta ndoa then wanataka kuolewa

    • @RuzoOwzy
      @RuzoOwzy 3 года назад

      @@mtumishi6175 Nmekupata. Lakini ana haki fulani ye na watoto wake wawili? Au hana haki ya mali hata kidogo?

  • @ndalusanzandizeye9079
    @ndalusanzandizeye9079 3 года назад +8

    Ila Jack jamani iv hata hakuona aibu jamani😢😢😢😢😢

    • @salomewandya7257
      @salomewandya7257 3 года назад

      Acha tu

    • @ipajam9
      @ipajam9 3 года назад +1

      Mwizi ana aibu?

    • @begukulemosobe9685
      @begukulemosobe9685 3 года назад

      Huyo ni shetani akizidi anataka kukudhalilisha ndicho kilichomkuta, mwisho wa ubaya aibu, anataka kufanya hata watoto wake wakose haki zao kwa upuuzi wake

    • @jdanny497
      @jdanny497 11 месяцев назад

      Malaya hanaga aibu wala utu...hata familia yao iko hivo ni hela mbele

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 3 года назад +8

    Hata Jacki Angeshinda ,,,Mchaga Hakuachii Mali Kingese Ngese ,,,,,wangempeleka Kaburini miss wetu..

  • @aishachambo3293
    @aishachambo3293 3 года назад +11

    Atafute pesa zake aache ujinga

  • @ericron6115
    @ericron6115 3 года назад +1

    Hawa mahakimu walioamua hivi mama wape vitengo Tafadhali, kuanzia sasa sitalalamikii tena mahakama za TAnzania, na nchi jirani zije kujifunza haki.

  • @tgeofrey
    @tgeofrey 3 года назад +4

    Matajiri ndio Masikini wakubwa

  • @khadijaamiri6629
    @khadijaamiri6629 Год назад

    Arusha sio pa kuchezea andaaa sandaaa mapema

  • @Polyn.123
    @Polyn.123 День назад

    Eti anajua kilicho muuwa yani watu wengine wapuzi kweli ,,watu wanapenda mali za watu sn wapunzi kabisa ,,kipindi yupo haii akuna mtuyoyote anasogelea,,

  • @benadethafrancis5223
    @benadethafrancis5223 3 года назад +1

    Wewe Jack acha tamaa, umeacha vijana wa kuanza nao maisha imemfata mzee Mengi kwa ajili ya Mali. Utakufa kwa tamaa.

  • @mariajerome726
    @mariajerome726 Год назад

    Jackline 1000 kweli 😅😅😅😅😄😄😄😎🫵🏼🏃‍♀️🏃🏿🏃🏿🏃🏿🐎 mmmmmhh!

  • @janeangoche4464
    @janeangoche4464 3 года назад +3

    This is really wonderful news.

  • @OmarMohamed-bp9ix
    @OmarMohamed-bp9ix 3 года назад +2

    Uyo dada hana akili hajui kula na kipofu,,Yeye kakuta mali anataka achukue yeye zote,,iyo haiwezekani

    • @marianachristophory4916
      @marianachristophory4916 3 года назад

      On point, c angejifanya kahaba halafu Ucku naondoka na chake, Sasa yeye kajimilikisha kabisa Sasa ona yaliyomtokea, ila bado mdogo na mrembo akitaka anaolewa tena, Ila angefuta hilo jina lapili maana c stshili yake tena.. Ila pole jack

  • @julianamushi3392
    @julianamushi3392 3 года назад +3

    Wanawake cc ni madelila alimbeleza akamshika shika baba wa watu akamwimbia nyimbo tamu mpaka mzee katiririka wosia wa ajabu huku akibembelezwa kama samsoni duh madelila tunaishi nayo humu

  • @janethndial5759
    @janethndial5759 3 года назад +4

    Safiiii sana dada mjinga Sana huyo ashukuru hawaja mtoa roho

    • @mtzhalisi2232
      @mtzhalisi2232 3 года назад

      Ukijiangalia kwenye kioo utaona kabisa sura yako haifanani na jinsi ulivyo!! Watch out usihukumu usichokijua.

    • @janethndial5759
      @janethndial5759 3 года назад +1

      @@mtzhalisi2232 kajambe mbele huko kwan sura Yangu unaijua mjinga nini

    • @janethndial5759
      @janethndial5759 3 года назад

      @@mtzhalisi2232 kwa hiyo ulitaka nilie Lofa wee umeona vyema alivyo fanya huyo dada yako wa kumdandia akusanye Mali zote awe nazo yeye, 😏😏😏nyie ndio wanaume wa pumbavu nyie mnatafuta Mali kwa ajili ya wanawake na sio familia zenu au watt wenu, mnakufa hamna mnachowaachia watt wenu kisa tamaa

    • @janethndial5759
      @janethndial5759 3 года назад

      @@mtzhalisi2232 Lofa kweli we Ata masikin Ana mgawaia mtt wake milas je kwa huyo bilionea kwa nini watt wake wasipate peleka ujinga wako mbele huko😏😏😏😏😏👌

    • @mtzhalisi2232
      @mtzhalisi2232 3 года назад

      Acha uchawi wewe..Utajikuta unazaa na mikule wewe.Watch out.Basi poa siku njema

  • @carolinamuchi5980
    @carolinamuchi5980 3 года назад +12

    Yaani Huyo Jacqueline ameingilia ndoa amedumu miaka minne tu na Mengi anadai urith sio haki apewe, mke wandoa ameanza maisha na Mengi tangu ujanani ndio anastahili, jaqui apewe tu banda alelee watoto basi

  • @africa7479
    @africa7479 3 года назад +1

    Sijaelewa yan watot warithi nguo mpka wakue ni leo ??????

  • @sophiahezron3797
    @sophiahezron3797 3 года назад +2

    Lkn Jack ulifanya uzembe sana ungeng'ang'ania Mali ambazo mmetafuta wote sio za mke mkubwa

  • @KaskasTHEfinderCLIP
    @KaskasTHEfinderCLIP 3 года назад +4

    Pumbavu mwizi uyo mwanamke

  • @aminakawawa1935
    @aminakawawa1935 3 года назад

    Duuu hataree sana hahaha

  • @teychriss3248
    @teychriss3248 3 года назад

    🚶🚶🚶🚶

  • @nasrafadhili8941
    @nasrafadhili8941 3 года назад +3

    Wanawake wenye tamaa jmn tujifunze kitu HP uwezi ukakuta vitu vipo tyr ukajiingiza ukajuwa unachako HP usahau nausipoteze mda wako tafuta chako

  • @happymsaki9162
    @happymsaki9162 3 года назад +6

    Jacqueline pambana na hali yako ulishakula bata la kutosha ulitakiwa umwombe Mungu Mengi aendelee kuwa hai ili uejoy mshahara wa dhambi ni mauti. Wachagga sio wa kuchezeachezea. Rithi hao watoto wako.

  • @goncerhaule1874
    @goncerhaule1874 3 года назад +1

    Pole da jack aliyetafuta kaondoka hamjui yupo wapi jitahidi kuomba sana utakufa uache watoto wadogo

    • @tumainsawe6960
      @tumainsawe6960 3 года назад

      Umesahau mke wake alikufa we vipi bwa piteni hivi alaaaaa

  • @sshaby52
    @sshaby52 3 года назад +1

    Iyo nilazima ingetokeya maana shuja wawa nyonge Dr. John Pombe Magufuli tayari kashatanguliya bitu bingi bitavurugika ivi mara tatizo la umeme mara tatizo ya vocha MB mara nini bitu bingi bya zulma bya zama izo kurudiya tena akuna budi tuta mkumbuka maana inchi ilikuwa kwenye adabu na kwenye mstari kabsa na kila mtu kufaidika hasa hasa wa hali za nchi pole Dada Jackline

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 3 года назад +14

    Madem Acheni Kudanga na wazee mkitegemea Hawana miaka mingi duniani😂😂😂Angalia sasa ,,,,,

  • @ommietrendz7175
    @ommietrendz7175 3 года назад +13

    Hajui kula na vipofu 😃😃
    Ungewaacha watoto wakubwa hata kwa asilimia 30% tungejua labda kuna kaukweli kidogo. Ila 0% maamae uongo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @winnieedson6937
    @winnieedson6937 3 года назад +3

    Tafta mali zako za halali mali za urithi zinaua jamni mm sitaki mambo ya kitu inaitwa urithi ukitegemea san urithi basi jua kifo kipo mbele yako

  • @mtumishi6175
    @mtumishi6175 3 года назад

    Mahakama imetenda haki after all watoto wa mke mkubwa ndiyo wanastahili zaidi Jaq kakuta utajiri wote

  • @aishkombo6383
    @aishkombo6383 3 года назад

    Fedha fedheha
    Unadhalilika Sasa
    Ulijitia kumpenda Babu ili upate mali. Acha tamaa Mali za watu unataka watoto wako wapate ikiwa mwanamke mwenzio aliteseka kuzichima
    Looh Mungu wasaidie watoto wakubwa was Mengi

  • @hamzanasry8011
    @hamzanasry8011 3 года назад +3

    Aache Tama wagawe urisi kama inavyo stahili

  • @helenkambi3918
    @helenkambi3918 3 года назад

    Sagi sana jackly wacha tamaa dunia ni mapito

  • @aishamtela9674
    @aishamtela9674 3 года назад

    Nyie ambao Mungu kawajalia Mali Na mkapewa nafasi ya kuonja uzee Bora gaweni urithi Kwa Kila umtakae kabisa msiache Vita Mali zetu zikawaadhibu mbele ya Mola wenu

  • @mathewdyzymaleyafrica9128
    @mathewdyzymaleyafrica9128 3 года назад +2

    MIMI NASHANGA WACHAGA KUMSEMA JACKLINE WAKATI HISA KAPEWA NYUMBA KAPEWA NA AS LONG MAKAMPUNI YAENDELEA AKIWA NA AKILI BASI MAISHA YANAENDA WEWE JE WAMFIKIA MBAAVUU

  • @harounbuzohera4797
    @harounbuzohera4797 3 года назад +1

    Tamaa za jamaa zake Marehemu MENGI, NA UAMUZI

    • @harounbuzohera4797
      @harounbuzohera4797 3 года назад

      Uamuzi huo kwa kweli hawahusiki ndugu, na wosia huo wake. Marehemu MENGI. Watoto na mjane wapewe haki. Hii yote inafanyika kwa sababu za kimakini na hila mbaya sana na mbovu lakini Mwenyezi Mungu yupo nao mjane na wanae wapewe haki. MAHAKAMA kweli imeonyesha udhaifu. Hii yote labda kuna RUSHWA NDANI YAKE. HAKI ITENDEKE .

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 3 года назад

      @@harounbuzohera4797 Hujaelewa uamzi wa Mahakama ndio maana comment yako haiendani na kilichosemwa kwenye video

  • @ceejones428
    @ceejones428 3 года назад +2

    Its never well with a second wife once the husband is gone

  • @heritier5119
    @heritier5119 3 года назад +4

    Uliona wapi mchaga anaibiwa pesa kizembe hivyo.Yaani Muha ampige mchaga nani kasema.

  • @TheJacob2030
    @TheJacob2030 3 года назад

    Arudi kuimba

  • @nellymatalanga5033
    @nellymatalanga5033 3 года назад

    Whn someone is alive watu hawapigani akifa kelele tu ths bad aki

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 3 года назад

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌

  • @hafsaali4423
    @hafsaali4423 3 года назад +1

    Yani jaki alikosa hata hayakabisa kweli ularidhi mali zote labda ingekuwa kabila lingine siyo wachaga haya sasa umeumbuka sasa na utanyooka tu subiri dawa iko jikoni inachemka ikipowa itainywa

  • @petywoiso8909
    @petywoiso8909 3 года назад

    Hivi huyu mwanamke hajitambui coz Mali hujui zilikotokea from no we're eti nimeandikiwa mimi. Wew Jacklin tunakujua wew ni danga kaendelee kudanga.Halafu hakuna mchaga mjinga aachie Mali zake kirahisi hapa umechemka

  • @zalkiabendera7238
    @zalkiabendera7238 3 года назад

    Alkuwa anamuga zari jmn uwii

  • @dshazarajabu9950
    @dshazarajabu9950 3 года назад +1

    Anataka mali alitafuta naye changu mkuu

  • @florakweyunga4490
    @florakweyunga4490 3 года назад

    Dada Jack,umechekemka.kwanza ulitakiwa uwaheshimu saana watoto wa Mumeo,kwa sababu ni wakubwa.hao hao ndo watalea watoto wako,pia wangekupenda saana.lakini wewe umeenda kwenye familia tayar yenye uwezo,ukaleta ubaguzi.kuna leo na kesho watoto wako watalelewa nanani?KAWAOMBE SAMAHANI.

  • @aishkombo6383
    @aishkombo6383 3 года назад +1

    KUZAA NA MZEE
    KUWATESA WATOTO WADOGO.
    TAMAA YA PESA LOOH

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 3 года назад +7

    🤣🤣atafute zake sasa

    • @sarahgaula2220
      @sarahgaula2220 3 года назад

      Kama anaona pesa kuitafuta ni rahisi atafute zake si anasema alikuwa mentor wake aanze kutafuta sasa

    • @khadijahali4837
      @khadijahali4837 3 года назад

      @@sarahgaula2220 🤣🤣👌 km atafika alipo fika mwezake

  • @ajikanyenje1017
    @ajikanyenje1017 3 года назад +1

    Jaki aache tamaa yeye kaja juzi mengi alishakua tajili na mwanzo alikua na mke na watoto inakuaje alithi yeye kila kitu. Iyo ni tamaa apo awetu mpole apewechake asepe. Asitake mkubwa Nani mpumbavu akakubali kwamba mke wa pili alithi malizote wakati vitu vyote kavikuta na kulikua na mke na watoto kabla yake.

  • @gasparlubaga5866
    @gasparlubaga5866 3 года назад

    Yeye akubaliane na mgao tu,kwani visivyo haki haviliki

  • @aishachambo3293
    @aishachambo3293 3 года назад +10

    Kamuuwa ili apate mali🤣

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 3 года назад

    Kwa kweli hiyo ni roho ya ukatili roho mbaya kabisa kila kitu urithi wewe! Wewe ulimuona huyo Mzee ana kila kitu amechuma na mke mkubwa yaani wewe uchukue tu!

  • @johnjuma3345
    @johnjuma3345 3 года назад

    MUNGU anatenda haki

  • @peteryukunda9239
    @peteryukunda9239 3 года назад

    Yapo majizi mengi sn kama lijack,mwishowe aibu.

  • @agathaaroni7783
    @agathaaroni7783 3 года назад

    Hiki ndo kitatokea kwenye familia yet mana yule mwanamke simuelew kabisa

  • @wisperfect5320
    @wisperfect5320 3 года назад +2

    Shida kweli inamaan uyo mke mdogo akitaka watoto wa marehem wakubwa wakose urithi?

    • @michdevis
      @michdevis 3 года назад

      Hapo ss yaan yy na watoto wake ndo wachukue hisa zote za mengi

  • @kisalaTV
    @kisalaTV 3 года назад

    Mwenye mali zake kalala wario baki wanafarakana.

  • @florameza9529
    @florameza9529 3 года назад +3

    Ila jack Mungu anakuona eti mtu asiguse mali yoyote shame on you umeaibika vibaya

  • @agnestemba8079
    @agnestemba8079 3 года назад

    Mpaka umuibie mchaga ujipange maana sisi ndo wezi wenyewe🙄sasa kama unaweza kumuibia mwizi basi utatuibia 😅😅pole dada kusugua kote gaga kule na hujaambulia kitu😂😂😂😂 inatia huruma jomonii😂😂😂😂

  • @deejeydaev
    @deejeydaev 3 года назад +1

    Aaaaaaahhahahahaha

  • @deone728
    @deone728 3 года назад +1

    Wosio upoje kwani

  • @RandB_Channel
    @RandB_Channel 3 года назад +1

    Kwanini jamani wake kuolewa wa bwana zao wakifa mnakuwa mna wanyanyAsa?? Daaa pole sana kwa jaki

    • @tumainsawe6960
      @tumainsawe6960 3 года назад +1

      Unasemaje wewe unachekasha sana

    • @RandB_Channel
      @RandB_Channel 3 года назад

      @@tumainsawe6960 mmm sasa weye una jifanya kujuwa ina maaana Jaki hastahili kupewa chochote??? Na hayo yako sana kwenye family za ki Africa wanakupa samani wakati mme wako yupo akisha toweka ww hawuna samani tena

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 3 года назад

      @@RandB_Channel Ungeilewa hii video ungejua kuwa hawajakataa apewe. Tatzo yeye Jack anataka mali zote za marehemu apewe yeye pekee yake kwa mjibu wa huo wosia batili ambao mahakama imeukataa

    • @sarahgaula2220
      @sarahgaula2220 3 года назад +1

      Hivi ingekuwa ni wewe kaolewa mwanamke wa pili na mumea halafu arithi ulivyotafuta ungekubali?

    • @tumainsawe6960
      @tumainsawe6960 3 года назад +1

      @@RandB_Channel unasema najifanya kujua kwani wosia hujasikiliza anataka kila kitu best hao ni wachaga eee watu waliosoma kabla hata ya uhuru mtetee sana vua na nguo ukimtete halambi upooooo yani we ukute watu na maisha yao useme alikupa kila kitu ina naana hawa watoto wa mama mengi wamekufa wote au we vipi nishakuambia alambi tena ingekua mimi weeee angejua hajiju upooooo

  • @mamachris6811
    @mamachris6811 3 года назад +5

    Kaka yangu ( miaka 65) kafiwa na mkewe
    Kaoa binti miaka 32
    Familia nzima tunajua binti kafuata mali 😞
    Sasa huyu anafikiri ndugu hawakujua hili ?????

    • @chiefmahucha6847
      @chiefmahucha6847 3 года назад +5

      Samahani kidogo;
      Kwa hiyo nyie mlitakaje sasa?
      (1) je, mlitaka baada ya kufiwa na mkewe asioe mke mwingine..?
      (2) je, mlitaka aoe mama wa miaka 55 ili mseme tena "Huyu Bibi kaja ili apate mali za kutunzia wanae, maana hana uwezo wa kuzaa na kaka yetu ama.....!?"
      (4) je, mlitaka awe anachukua "majimama" anakaa nayo baada ya mwezi anachukua mwingine..?
      (4) Au je, mlikuwa mmeshamuandalia mke mwingine ambaye atakuwa hajafuata MALI..?
      Ama ninyi mlitakaje kwa mfano..?

    • @seifjuma3471
      @seifjuma3471 3 года назад +3

      @@chiefmahucha6847 hili swali limekaa vema sana

    • @mamachris6811
      @mamachris6811 3 года назад +2

      @@chiefmahucha6847 jiulize,umewahi kuona binti wa hivyo ameolewa na Mzee kapuku 😄

    • @chiefmahucha6847
      @chiefmahucha6847 3 года назад +1

      @@mamachris6811 tusidanganyane ndugu yangu, hakuna apendae maisha DUNI hapa Duniani, awe maisha Duni ili amfurahishe nani..?
      (1) Kwa nini aolewe na kapuku wakati yupo mtu mwenye Hadhi amempenda..?
      (2) je, wew Mama Chris, ungekuwa tayari kuolewa na "kapuku" na kumkutaa mwenye Mali eti tu kwa kuogopa macho ya watu, kuwa watasema ulifuata MALI wakti kakupenda...!?
      (3) Na vipi kama nduguyo ndo alimshawishi sana..?
      (4), ulitaka huyo Dada (30+ years) apoteze bahati yake ya kuolewa abaki single na kuzaa na mwanaume, hasa ukizingatia Umri wa kuolewa ulikuwa unamkimbia..? Au umejisahaulisha kuwa Mwanamke akifikisha 30yrs NURU inaanza kupotea..? Huwezi jua huyo Dada hadi anafikia hapo kashaumizwa mara ngapi..? Na hivo kujiwekea Nadhiri kuwa "Yeyote atakaetokea mbele yake atamkubalia, mara paap..katokea Kaka yako....je akatae ili azeekee nyumbani, maana vijana wa siku hizi hatueleweki tunataka nini eti..."
      (5) Na je, vipi iwapo kaka yako asingekuwa "well off" ndugu mngekuwa na yapi ya Kusema?
      Au ndo mgesema Kaolewa na kaka yenu ili atoe mkosi wa kutoolewa..? (maana pia nina hiyo mifano hai ya wadada kuolewa na wazee tena wengine sio kwa kufiwa na mkewe bali anaolewa mke wa pili au wa tatu.)
      Lakini hata hivo hujajibu Swali langu, badala yake umeniuliza Swali..narudia tena,
      "Ninyi wanandugu mlitakaje..?

    • @chiefmahucha6847
      @chiefmahucha6847 3 года назад

      @@seifjuma3471 sure mwanangu, Mama Chris atuelezee hapa Umma kuhusu matakwa yao juu ya Brother ake....asikae kumuhukumu yule wifi ake bure, huwenda hata alikataa ila Mzee kamshawishi sana