Kila Muhadhiri Amekua Mganga /Kisa kilichonitokea Kwenye Ndege South Africa/ Sheikh Hilali Kipoozeo

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 фев 2022
  • Kila Muhadhiri Amekua Mganga / Kisa kilichonitokea Kwenye Ndege South Africa / Sheikh Hilali Shaweji Kipoozeo
    Mashaa ALLAH Sheikh Hilali Kipoozeo akieleza kwa uzuri na ubora wa hali ya juu kabisa juu Ya Umuhimu Kuwasomesha watoto Elimu ya Dini tizama video zetu mpaka mwisho usisahau kushare
    usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
    Support us DARSA TV
    M-PESA +255 765100906
    Paypal 👇👇👇👇
    paypal.me/DarsaTv?locale.x=en_US
    Get MORE of DARSA TV:
    ► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop... ​
    ► FOLLOW DARSA TV on Instagram: / ​
    ► LIKE DARSA TV on Facebook: / ​
    Subscribe
    Comment
    Like
    And
    Thanks
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 102

  • @jumannemrisho3517
    @jumannemrisho3517 2 года назад +9

    Kweli nawafaham wahadhir kama watatu apo kabla hawajawa wahadhir hawakuwa waganga sasa hivi wote waganga

    • @noshadmadini5768
      @noshadmadini5768 2 года назад +3

      Kibaya zaidi wwnatumia channel za misikiti kutangaza uganga wao

    • @alhaddajmohammed4768
      @alhaddajmohammed4768 2 года назад +3

      @@noshadmadini5768 Miongoni mwa dalili na ishara za Kiama/mwisho wa dunia umekaribia; baadhi ya Wengi wao hao Waganga ni Matapeli tu.

    • @kukubanga6158
      @kukubanga6158 2 года назад +1

      Äåä

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 2 года назад +2

      Ndio mattzo ya kutokusoma masomo ya duniani pia. Wenzetu waisilam wa nchi nyenginezo utawakuta wanasoma skuli na wengine wanafikia mpka udaktari na dini ya kiisilam wanasoma pia sana. Kwahio wanafanya kazi na huku wanatoa daawa. Lkn unakuta Tnz masheikh wengi hawasomi masomo ya skuli. Na wanataka kula na maisha ya kujitanaffas wake wawili+ watafanya nn??? Ndio mwisho wanaingia ktk utapeli, uganga, kusomea watu, kuuza madawa pengine wanajua haswa km hayafanyi kazi, lkn watafanya nn??

    • @IBRAHIMABDUonlineTV
      @IBRAHIMABDUonlineTV 2 года назад +1

      Sasa kweni uganga ni haramu Ndugu zangu??

  • @halyberryrahmeyadams3335
    @halyberryrahmeyadams3335 2 года назад +8

    mashallah shekhe kipozeo Allah akubariki sana kwa mawaidha zako nakupenda na namwomba Allah akulipe mema duniani na akhera....amiin

  • @sadickgrace9
    @sadickgrace9 2 года назад +4

    Ijumaa na sikia unakuja mbande sheikh karb sana
    Sheikh inshallah

  • @mursalmrisho1538
    @mursalmrisho1538 2 года назад +7

    Shukran sana sheikh wetu

  • @mutomubaya
    @mutomubaya 2 года назад +8

    Shukran Sheikh kwa kutuelimisha mengi kwa mda mchache. Allah akuongoze njia ya salama. Umeeleza umuhimu wa kusoma elimu zote mbili. Tujiulizeni sisi Waislamu wa Afrika mashariki je tangu imeteremshwa Qur'an hadi sasa, zaidi ya miaka 1400, kwa nini wengi wetu hawaelewi umuhimu wa jambo hilo....? Tuweni wakweli. Tazama utaona baadhi ya viongozi ndio wanadhoofisha uwezekano wa vijana kusoma kwa kuwa wanaandaa masomo kwa watoto pekee. Wakifikia kuitwa vijana masomo ya Dini yanakatishwa

  • @sumisumi8181
    @sumisumi8181 2 года назад +4

    Sheikh wetu Allah akulipe kheri zake na akuifadhi in shaa Allah

  • @rehemaathhmani357
    @rehemaathhmani357 2 года назад +2

    Mashaallah mashaallah Allah akulinde kwa kila sekunde 🤲🙏

  • @wenge4x423
    @wenge4x423 2 года назад +8

    Mwenyezi Mungu amjaalie awe katika waja wema huyu Sheikh

    • @adijarashidi1426
      @adijarashidi1426 2 года назад +2

      AAmin yaarab nasi piya Allah atupe mwisho mwema in sha Allah yaarab 🤲

  • @omaryteddy535
    @omaryteddy535 Год назад +1

    Mashaallah

  • @mohakelly4195
    @mohakelly4195 9 месяцев назад

    One year still watching Allah akuzidishie elimu maana unatuelimisha sana sheikh wangu nakupenda sana kwa ajili ya Allah naitwa Mohamed kutoka Nairobi.

  • @abcmnbb2610
    @abcmnbb2610 2 года назад +3

    Mashaallah tabarakaallah

  • @AbuuhKibeku
    @AbuuhKibeku 4 месяца назад

    Nakupenda sansa kwaajili ya allah

  • @fathmaoman1186
    @fathmaoman1186 2 года назад +2

    Ma Shaa Allah. Allah atujaalie tuwe wenye kuitafuta elim

  • @nooroman2535
    @nooroman2535 2 года назад +4

    MashaAllah shelkh yetu Mungu hakuifadhi

  • @fatomhalogandy4045
    @fatomhalogandy4045 2 года назад +4

    Ameen

  • @hamzaforogo
    @hamzaforogo 2 года назад +3

    Maashaallah

  • @husseinkazungu5101
    @husseinkazungu5101 2 года назад +2

    MashaAllah shukran sheikh

  • @mariammsemakweli7904
    @mariammsemakweli7904 2 года назад +1

    Kweli shelkh watu kabisa kwakupenda coz you talk reality shukran 🙏👍👌❤️🙏🙏

  • @mussamtupa
    @mussamtupa 2 года назад +3

    Mashallah
    Ila nimecheka mpaka michozi
    Wallah Mungu akuhifazi

    • @faridaikussi
      @faridaikussi 9 месяцев назад

      Subhaanallah alafu yeye kimya

  • @ahmadzubeir2605
    @ahmadzubeir2605 2 года назад +3

    Subhaanallaah!! Subhaanallaah! Kila Muhaadhir mganga siku hizi!hizi!

  • @yasalaam590
    @yasalaam590 2 года назад +2

    Allahu mma.swalli wasallim wabarik alayhi
    Yaani sheykh nukta ni muhimu sana

  • @abdulnaseermrisho4342
    @abdulnaseermrisho4342 2 года назад +4

    Shukrani shekh wetu

  • @odhiaodhia9898
    @odhiaodhia9898 2 года назад +2

    Chombo cha Yesu kwa muda usio julikana

  • @thulaniduku3218
    @thulaniduku3218 2 года назад +3

    Kweli Sheikh wetu

  • @aminaabood2898
    @aminaabood2898 2 года назад +2

    Alafu anakuwa msilam Jina.. Na ni wengi hatujasoma dini... Shida ipo hapo.. Wallah Allah atupe mwisho mwema... Watu wapo tayar kuslim kuingia dini nyingine... Hawajui faida uwislam... Leo angejua nin maaana Qurain

  • @engyusuph256
    @engyusuph256 2 года назад +3

    Assallam Alyekum warahmatulah wabarakatuh,
    MashaAllah darasa zinatufikia, alhamdullilah.
    "Ombi langu hizo ala za muziki wakati wa kufunguka chaneli hii zisingekuwepo"

  • @yasalaam590
    @yasalaam590 2 года назад +2

    Allahu akbar

  • @yasalaam590
    @yasalaam590 2 года назад +2

    Amiin

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 2 года назад +3

    Profesa kipoozeo!!!

  • @AndulHida-hs5py
    @AndulHida-hs5py 10 месяцев назад

    Jazzak Allah kheri.

  • @husseinkhalfan9467
    @husseinkhalfan9467 2 года назад +1

    ما شاء الله

  • @nooroman2535
    @nooroman2535 2 года назад +1

    Inshaallah lnshaallah shukrani kwa ujumbe mzuri Mungu hakulipe kwa ukumbusho

  • @fatmasuleimankassim
    @fatmasuleimankassim 2 месяца назад

  • @mhgwataragaragesudan1478
    @mhgwataragaragesudan1478 2 года назад +2

    Ukweli sheikh unasema haki

  • @kapondamsita476
    @kapondamsita476 2 года назад

    Mashallah shekhe wetu

  • @wenge4x423
    @wenge4x423 2 года назад +3

    Sisi Waislamu tupo radhi na wewe duniani na akhera Sheik kipozeo

  • @suleimanngare6707
    @suleimanngare6707 2 года назад +3

    Masha Allah 🇰🇪🇰🇪🤝

  • @BilalAdam-vj1ru
    @BilalAdam-vj1ru Год назад

    Mawaidha nzuri sana

  • @MariaSengo-cn5bx
    @MariaSengo-cn5bx 7 месяцев назад

    leo nimekupata Shehe wangu

  • @wenge4x423
    @wenge4x423 2 года назад +3

    Mimi nina miaka 30 najifunza tokea kwake mpaka leo hii

  • @shanimpenike7568
    @shanimpenike7568 2 года назад +2

    صحيح شيخ

  • @balkissmuhammadbalkiss2634
    @balkissmuhammadbalkiss2634 Год назад

    Allah akbar

  • @saadaabdallah7473
    @saadaabdallah7473 2 года назад +2

    MashaAllah

  • @benjaminlijongwa3715
    @benjaminlijongwa3715 2 года назад +1

    Mungu katika ukristo. ni mmoja. aliyejifunua kwetu katika namna kuu tatu.
    labda niwape mfano wa jinni ndio mtaelewa maana mnaishi nayo
    jinni linaweza kukutokea. na sura ya kike hilo hilo likakutokea kwa sura ya mtoto wakati mwingine kwa sura ya mzee. haina maana ni majini matatu
    Mungu wetu anauwezo wote na amejifunua au kujidhihirisha kwetu kwa namna nyingi ila kuu ni tatu

    • @suleymanabdulrahman2415
      @suleymanabdulrahman2415 2 года назад +3

      Usipanic kuwa mpole.Amka tafuta ukweli ujue njia na dini ya haki ni ipi.Ila usitumie nguvu bali muombe Mungu kwanza akuoneshe njia sahihi na ya haki wakati unaendelea kusoma na kudadisi.Utaujua tu ukweli,mbona kila kitu kipo wazi... Tatizo mmekuwa minded set kutoka kwa viongozi wenu wa dini...

    • @jumanzai8623
      @jumanzai8623 2 года назад

      Mungu hafanani na chochote hageukigeuki Kama jini usemavyo

  • @abdulrahmanmussa4479
    @abdulrahmanmussa4479 2 года назад +2

    Sheikh langu bana mashaallah haha

  • @mariammsemakweli7904
    @mariammsemakweli7904 2 года назад +2

    Kwetu Kenya shule za ndini hamna napenda sana mwanangu asome shelkh nitapate vipi shule naomba tafadhali

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah5796 2 года назад +4

    Hayo maneno yenu yakuhimizana wake wengi japo kua uwezo hamna ndio yanayokupelekeni kwenye uganga na kutapeli watu.

  • @mombamo5
    @mombamo5 2 года назад +2

    Maashaallah 🤣🤣🙏

  • @ahmadzubeir2605
    @ahmadzubeir2605 2 года назад +3

    Huyu Sheikh Hilaal anachekesha Wallaahi

  • @sheikhfirdaus9857
    @sheikhfirdaus9857 2 года назад +1

    Mashaallah kajibu vizuli uganga sio halam

  • @jamilaomari2444
    @jamilaomari2444 2 года назад +1

    Sheikh kiboko!

  • @westonmbuba6421
    @westonmbuba6421 2 года назад +1

    Umechemka kuigilia imani usiyoijua.

    • @abdulhakimhasan7673
      @abdulhakimhasan7673 2 года назад +1

      chemka uingilie ujue imani ya uisilamu na zenginezo .

    • @hamzaswaibu9470
      @hamzaswaibu9470 2 года назад +1

      Nyinyi ndo mnachemka mnaosema yesu Mungu

  • @leahbaatjes4215
    @leahbaatjes4215 2 года назад +1

    Yeye mwenyewe south Africa alikwenda kuwasomea dua wauza madawa ya kulevya

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 2 месяца назад

    Ila mliambiwa mkihitilafiana kati jambo lolote muwaulize watu wa kitabu maana ndiyo waliowatangulia. mmehitilafiana kwenye hilo la mwana wa Mungu na utatu mtakatifu, tuulizeni tuwafundishe. Ila nyie kinachowafaa na hilo la kila muhadhiri kuwa mganga wa kienyeji.

  • @SJProductions1
    @SJProductions1 2 года назад +1

    Magomeni mapipa shabab

  • @seiflugendo5043
    @seiflugendo5043 2 года назад +3

    Niukweli mtupu

  • @benjaminlijongwa3715
    @benjaminlijongwa3715 2 года назад

    Kipozeo unachanyikiwa wewe Tu sisitunamini Mwenyezi Mungu ni mmoja tu.
    Mnasema Allah hana mfano vipi hadithi zinasema anaugoko ana mikono anaitwa Baba

    • @selemanyahya1225
      @selemanyahya1225 2 года назад +1

      Hadithi nyingi haziko sawa lakn Qur'an imekamilika haina shaka

    • @al-answardaawakenya732
      @al-answardaawakenya732 2 года назад

      Kweli elimu ni jambo la muhimu sana hivi leo ukisikia serikali ina mkono mrefu umeshawahi kuona mkono wa serikali? Mbona huwezi shika akili mkononi na ilihali ipo kichwani?

    • @shabbymakapaneshabby5000
      @shabbymakapaneshabby5000 2 года назад

      Kuna HADITHI zilizo Sahihi na Nyingine za UONGO

    • @abdulhakimhasan7673
      @abdulhakimhasan7673 2 года назад

      Ni kawaida , wakristo wote duniani , kwa kuwa wame zaliwa ndani ya ukristo , wanakosa haja ya kusoma uisilamu , tena kukatazwa na kutohimizwa kwa uwoga. Yaani makosa ya ukristo na aibu zake , hawazijui. Tofauti ya kuwa waislamu kwa wingi , wanasoma ukristo na kulinganisha hiyo dini , ukweli ina bainika.

  • @leahbaatjes4215
    @leahbaatjes4215 2 года назад

    Kweli ushamba kazi sana ivi ndege kutingishika ni hatari ni khatari boti kutingishika? ?? Kwenye maji? ? Kazi sana

    • @andrewngondoe1273
      @andrewngondoe1273 2 года назад

      Mjinga huyo,labda ilikuwa mara yake ya kwanza kukatiza kwenye mawingu mazito na ilipo yapita lazima ndege itulie,yeye anaonaa kuchezea ushanga wake mkononi ndio amezima huo mtingishiko!kumbe ni kutokujua tu.

    • @shabbymakapaneshabby5000
      @shabbymakapaneshabby5000 2 года назад

      MBONA MATUSI??? Kama Ni Ushamba Au Ujinga , Kama Nyinyi Mlishawahi Kupanda Ndege Sawa Lakini IUnaweza Kupanda Ndege Hata Mara kumi na Zaidi Lakini isitikisike Ila Juu ya Uzoefu wako Siku Ikitokea imetikisika Lazima Urashtuka na Kupata Uoga Hakuna Cha Mzungu wala Muhindi wala Mwarabu Utasikia WOTE SUNHANAHLLAH Au YESUU Au JESUS CHRIST 😀😀😀 Chezea Kupiga Futa Angani wewe 😂😂😂 Mama Angu Baba Mzazi WOTE wanatajwa Ukiona Mtu Anakejeli Huyo hajapiga tuta Angani

    • @abdulhakimhasan7673
      @abdulhakimhasan7673 2 года назад

      Ushamba ni wako. Hapo katika hatari ya kuporomoka na kufa , ndio muislamu ana tambulika. Sheikhe msomi .

    • @zuberhamza7852
      @zuberhamza7852 Месяц назад

      Boti kwenye maji nikawaida pia Bahar ikichafuka watu wanapiga kelele wanaogopa hujawahi KUONA??
      Na Ndege angani ndio sehem yake yakwenda safari ila mawingu yakiwa MENGI ndege inatingishika Sasa
      Ukiwa Angani na Baharini ni vitu viwili tofaut

  • @eliudnguge9013
    @eliudnguge9013 2 года назад +2

    hakuna mkristo anae amini kuwa mungu ni watatu ,kama hamuelewi jambo msiseme uongo

    • @shabbymakapaneshabby5000
      @shabbymakapaneshabby5000 2 года назад +2

      So Ndio nyie Mnaosemaga UTATU Au TRINITY ??? Leo Unakana ??? MUNGU BABA MUNGU MWANA NA MUNGU ROHOMTAKATIFU ???

    • @shabbymakapaneshabby5000
      @shabbymakapaneshabby5000 2 года назад +1

      WARAKA WA KWANZA WA YOHANA 5 : 7 Kwa Maana Wako wa TATU Washuhudiao ( MBINGUNI , BABA , Na NENO , Na ROHO MTAKATIFU , Na WATATU Hawa ni UMOJA , 😂😂😂😂😂😂😂 Innalillahi Wainnaillahi Rajiun HALAFU Unakataa Wakati MAANDIKO hujui 😃😃😃POLE WAISLAMU huwa Hawaharamishi Wakiongea Jambo jua Lina USHAHIDI Wa ANDIKA 😂😂😂

    • @abdulhakimhasan7673
      @abdulhakimhasan7673 2 года назад

      Ndugu Eliud Nguge , yaani ukristo unaujua kivyako na wanadamu wengine wakose kufahamu maandiko ?

  • @sheikhfirdaus9857
    @sheikhfirdaus9857 2 года назад +1

    xawa kwani unganga halam

  • @swaumswalehsaidy9322
    @swaumswalehsaidy9322 2 года назад +1

    Video nyinginer hii hapa, Bonyeza hapa 👇
    ruclips.net/video/qD0iVHCU3fc/видео.html

  • @clarencehilary5588
    @clarencehilary5588 6 месяцев назад

    Uwongo uliopitiliza

  • @clarencehilary5588
    @clarencehilary5588 6 месяцев назад

    Acha unafiki huo

  • @sharifasharif3978
    @sharifasharif3978 2 года назад +1

    Hapo kwenye unganga sasa mnanikumbusha mganga wa diva🤣🤣🤣🤣🤣

    • @DarsaTV.
      @DarsaTV.  2 года назад +1

      Hahaha kweli kabisa mtu anajiita shekhe na mwenendo wake ndo ule mhh mtihani tumuombe allah atuongoze

    • @joezeno8
      @joezeno8 Год назад

      Mganga wa Diva achukuliwe hatuwa 😂😂😂😂😂

  • @fabriceira8888
    @fabriceira8888 2 года назад +1

    Mashaallah