SHEIKH KIPOZEO AWAVUNJA MBAVU-"WANANIITA MZEE wa MIZIGO-MSTAAFU KIKWETE KAKA wa TAIFA TULINDE AMANI"
HTML-код
- Опубликовано: 20 сен 2024
- SHEIKH KIPOZEO AWAVUNJA MBAVU-"WANANIITA MZEE wa MIZIGO-MSTAAFU KIKWETE KAKA wa TAIFA TULINDE AMANI"...
💪💯JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV🔥🔥 chat.whatsapp....
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
MPIGIE DR.JJ.MWAKA SASA KUPITIA 0758 100 100 na 0785 100 100 UPATE MSAADA WA KITABIBU KWA GHARAMA NAFUU.
Masha Allah.maneno mazuri ya busara .huyu Sheikh nampenda kwa mawaidha yake mazuri.
SAHIHI SANA MZEE KIPOZEO AMANI NDO MSINGI WA KILA KITU, WANAOBWABWA KUHUSU AMANI TUWASAMEHE BURE, HAWAJIELEWI WANAENDE LIBYA WAKAJIFUNZE UVUNJIFU WA AMANI.
Hawa mashehe badala wawase serikali kusimamia yanayotakiwa na wananchi wanaenda kutishana
KIPOZEO SIKU HUNA MAWAIDHA ZAIDI YA UCHALE TU
Ndo viongozi wa dini tulio nao hapo wanaotetea haki ya wananchi wanao uawa,wanao tekwa,wanao onewa hongera shekhe pia kwa kuwasifia viongozi lakini yupo MUNGU aliye hai juu ya taifa hili ,ninachojua waovu hawataendelea sana na uovu wao MUNGU atawqshughurikia hivi karibuni ooooo naujurikane kuwa upo MUNGU mtetezi wa taifa hili
Kweli kaka Hao chadema wabaya sana wanaua ili kumpakazia mama tupo pa1
Kwa hiyo JPM hakulunda Amani?
SHAME ON YOU VIONGOZI WA DINI MMEWASAHAU MAALBINO WANAMALIZWA NA MAPALOKO NCHINI LAKINI MKISIKIA WANASIASA WANATEKANA MNAANZA KUBWEKA 😢NA MAPALOKO WAKO KILA KONA