MBWADUKE: YANGA YAIFIKIA SIMBA VIWANGO UBORA CAF/ ILA MNYAMA AKIMTOA TRIPOLI ITAKUWA HIVI...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 окт 2024
  • Usisahau ku-subscribe, ku-comment na ku-like...

Комментарии • 92

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman1753 11 дней назад +1

    Mbwaduke una kazi kubwa sana kuwaelimisha wapenzi wa Simba na Yanga mpaka waelewe

  • @assumedprivacy3940
    @assumedprivacy3940 13 дней назад +7

    Mbwaduke on top of his game, thank you brother! Yanga bingwa

  • @FRANKMBILINYI-x1h
    @FRANKMBILINYI-x1h 13 дней назад +1

    Shukran sana Kwa kutupa data kamili na uhakika

  • @Q_Lax
    @Q_Lax 13 дней назад +1

    Ahsante sana codes za maana kabsa

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman1753 11 дней назад

    Baada ya Simba kushinda na kuingia makundi wamevuna points 2.5 hivyo sasa wana points 30.5 wapo juu ya Yanga

  • @BenezethEmily
    @BenezethEmily 13 дней назад +2

    Pure data kabisaa

  • @josiahkulwa34
    @josiahkulwa34 13 дней назад

    Great 👍

  • @Alexbenon-ow5lh
    @Alexbenon-ow5lh 13 дней назад +3

    Hapo umetupiga mzeee

    • @ShaibuMkullu-ck6sl
      @ShaibuMkullu-ck6sl 13 дней назад +1

      Leta wewe takwimu kaka, usibwabwaje bila kuweka hoja mezani, au imekuuma baada ya kusikia YANGA🔰 kaipita simba point za CAF?.😅😅

  • @omariabeid3291
    @omariabeid3291 13 дней назад +2

    Safi sana Ramadan Mbwaduke

  • @AmosiMakenzi
    @AmosiMakenzi 13 дней назад

    Hakika mwaduke umetisha

  • @mogelamsingili5238
    @mogelamsingili5238 13 дней назад +1

    Zile 87 alizokuwa nazo Al Ahly alipewa na nani Mwalimu Mbwaduke

  • @JumaMohamed-s1e
    @JumaMohamed-s1e 13 дней назад

    SF sana Wananch

  • @ZaydShafii
    @ZaydShafii 13 дней назад +1

    Bora yanga ndo ibande kuriko simba maana wao wanajiona wakubwa kumbe hawana lolote mwaka robo tuuuu

  • @malekoyotan420
    @malekoyotan420 2 дня назад

    nyinyi mnawazimu mkubwasana hamjui msemalo mtatamanisana

  • @ZuwenaChimela
    @ZuwenaChimela 13 дней назад

    na kukubari sana kwa ujuzi wa uchambuzi

  • @labanrichard2317
    @labanrichard2317 13 дней назад

    We Babu Unajua Sana

  • @nshaijatedy5512
    @nshaijatedy5512 13 дней назад +6

    Kiukwel tubal tu mwaka huu watan watuzid IL tijpange Zaid ,,

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 13 дней назад +4

      Umeamua kutupa taulo mapema.. utapona ugonjwa wa haraka kwa kukubali ukweli.

    • @josephyapesa160
      @josephyapesa160 13 дней назад +3

      Umekubali kutoka moyoni,ukweli usemwe tuu tuache unafiki

    • @lucymsheshi5871
      @lucymsheshi5871 13 дней назад +2

      Umeshatoka level za udunduka umeshuka wewe sasaivi Ni kolo jitajidi sasa utoke kwbisa huko
      Mmeanza kuelewa naona😊😊

    • @saidbakari2408
      @saidbakari2408 13 дней назад

      Kwani hapo amezidi wapi wakati umeambiwa mpaka timu za makundi zimalize 😂 UTOPWAX

    • @reginaldmapunda6702
      @reginaldmapunda6702 13 дней назад +3

      Mimi ni Yanga lakini ushindi wetu wa jana napenda uwe ni kichocheo, chachu au kimea cha kuifanya Simba ishinde mchexo wa leo. Kama mtanzania naumia sana kinapotokea kama kile kilichowakuta Azam. Pamoja siipendi Simba lakini leo nawatakia ushindi mnono na msonge mbele. Utani wetu ni baada ya mchezo kwisha lakini kabla ya hapo sisi ni watanzania halafu tuko nyumbani Lupaso,tafadhali msituangushe mtani. Kila la kheri saa kumi sio mbali wahini mkamalizie kuloga washamba nyie.

  • @AliSiasa-q2s
    @AliSiasa-q2s 13 дней назад

    thanks

  • @JumabJumamkuula
    @JumabJumamkuula 13 дней назад

    Mhhhh takwimu za kibongo bwana kkkkk

  • @sospeterkajula7949
    @sospeterkajula7949 13 дней назад +1

    Acha maigizo mitandaoni je yanga itaipiku Simba kiaje acha kupotosha watu wapotoshe watoto wako

    • @drexdrex3879
      @drexdrex3879 13 дней назад +1

      Ndugu yangu hio ndo Hali halisia...tuwe wapole tu. Ndo ukweli huo. Ndivyo points za CAF zinavohesabiwa. Cha kuombea ni Simba iingie makundi na pia kumaliza nafasi mbili za juu.
      Pia points za Shirikisho hazilingani na za Club Bingwa Kwa hatua zinazoshabihiana. Ndo maana tunaambiwa Shirikisho ni ligi ndogo Kwa ile ya mabingwa

    • @simonnjovu586
      @simonnjovu586 7 дней назад

      Simba wanadhani points zinajumlishwa tu basi. CAF inatumia kipindi miaka mitano mitano kupata points za ranking. Unaweza kuwa na points 100 leo, misimu mitano ifuatayo kama hujafanikiwa kushiriki mashindano ya CAF utakuwa na point zero.
      5x0
      4x0
      3x0
      2x0
      1x0
      0.5x0
      Ukijumlisha utapata zero. Kama hujaelewa na hapa acha kuongelea ranks za CAF.

  • @Papyprince29B
    @Papyprince29B 12 дней назад

    mchambuzi wangu bora

  • @AminaMsimbe
    @AminaMsimbe 12 дней назад

    Mbwaduke Kuna madunduka humu hayaelewi yenyewe yanataka uyasifie hata kama SI ukweli kazi ipo na siku SI nyingi yataporoka Mimi nipo pale

  • @shafiimohamedi311
    @shafiimohamedi311 12 дней назад

    Kataen data muda so mrefu itajulikan

  • @paulmsape163
    @paulmsape163 13 дней назад

    Sawa mchambuzi

  • @AmosKabalole
    @AmosKabalole 12 дней назад

    Unafanya kazi vizuri, ila kuwaelewesha mashabiki wa Simba na Yanga ni kazi bure. Data zisipokuwa upande wa timu waipendayo ni matusi juu wakati haelewi chochote. Mpaka data zitolewe na Ahmed Ally au Ali Kamwe ndo wanazikubali tu. Vinginevyo unaambulia matusi😅😅

  • @HusseinBakari-s4e
    @HusseinBakari-s4e 11 дней назад

    Hiyo ndo fainali yenu

  • @mkilwaabdul9230
    @mkilwaabdul9230 13 дней назад +2

    hakuna hicho kitu.wape imani😂😂😂

  • @AdolphMbuta
    @AdolphMbuta 13 дней назад

    Wewe mwongo

  • @R10_Rajab
    @R10_Rajab 13 дней назад

    UNGEKUWA UNAITWA MCHOME SIMBA WANGEKUTUKANA HAHAHA

  • @JohnMarco-s3n
    @JohnMarco-s3n 13 дней назад

    Mimi simba ila yanga nawakubali siku hizi

  • @SalvatoryMtunga
    @SalvatoryMtunga 13 дней назад

    Mikia wana kazi nzito.

  • @suleymandachi782
    @suleymandachi782 13 дней назад

    Muda si mrefu UTOPOLO watamtukana,

  • @CareenTemba-j4l
    @CareenTemba-j4l 13 дней назад

    Usitukane mamba kabla hujavuka mto

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 12 дней назад

    Yanga mbona hatujaona 0.5 tumeona kwa simba tu . 😅😅😅😅 au nawewe mamluki ? Simba sc point 39 na Young African point 31 ..... kabla ya hizi mechi . Sasa sijui mchambuzi anaongea Caf ya sayari ipi ....😅😅😅

    • @godwillrichard7017
      @godwillrichard7017 12 дней назад +1

      Fanya hesabu misimu 4 nyuma ongeza na huu unaoendelea ,hapo Kuna mwaka mmoja nyuma unafutwa ambao pengine simba walifanya vizuri zaidi ndio maana points zinadrop

    • @fettiemaganza1484
      @fettiemaganza1484 12 дней назад

      Yanga yupo club bingwa wanahesabiwa point 1 shirikisho ni 0.5 ukiwa unamfuatilia mbwaduke ndo utaelewa kwa nn sio point 39 wala 31 unazo jua ww

  • @martinmaseleka751
    @martinmaseleka751 13 дней назад +2

    Mbwaduke Stats, katika upangaji makundi tutakuwa Pot ngapi?

  • @EzekielAmos-Ezm
    @EzekielAmos-Ezm 13 дней назад

    Kwel

  • @SANJARI-r9t
    @SANJARI-r9t 13 дней назад

    Zile 39 za simba aliwapa nan mbwaduke umechemka

    • @augustefedy6326
      @augustefedy6326 13 дней назад

      Kichwa chako kibovu 😂

    • @drexdrex3879
      @drexdrex3879 13 дней назад

      Elewa wanaposema points zinahesabiwa Kwa miaka mitano ya nyuma kuanzia msimu uliopo. Hivyo kma hujafanya vema kwenye kila msimu unaofuatia, uwezekano wa points zako kushuka upo

    • @husseinhamza2054
      @husseinhamza2054 13 дней назад

      Huo ndio ukweli mlikuwa mnawadanganya Sana mashabiki wenu Simba kubwa wakati sikweli sasa mwaka huu mtajuta

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 13 дней назад

    Timu bovu acha uzushi

  • @Samoninyanda
    @Samoninyanda 13 дней назад +1

    Mwaka huu fainal

  • @jumamalindo1221
    @jumamalindo1221 13 дней назад +2

    Yanga anaenda kumshinda Simba,point kwenye makundi

    • @firdawsrammy9992
      @firdawsrammy9992 13 дней назад +1

      Hapo ni mpaka Simba asipite leo kuingia Makundi, na hata wakiingia Makundi na wote wakapita bado Simba atamzidi Yanga kwa point.

    • @lucymsheshi5871
      @lucymsheshi5871 13 дней назад

      Sasaivi tayari kumbe hujui
      Simba makundi hajafuzu bado😅😅

    • @RidhioneSabury
      @RidhioneSabury 13 дней назад

      @@firdawsrammy9992unazijua Point za club bingwa yanga akifanikiwa kwenda robo fainali😅

    • @firdawsrammy9992
      @firdawsrammy9992 13 дней назад

      @@RidhioneSabury Nipo hapa kwa Master wa uchambuzi nitashindwa vipi kujua. Rudia kusikiliza Uchambuzi kuhusu point zinavyopatikana

  • @bonifasjk2290
    @bonifasjk2290 13 дней назад

    Mwalim mbwaduke umetuongopea kwenye point kwanin simba akishinda apate 0.5 na wakat yang umempa point 1 ya kuingia tuu group stage ambap ukaizidisha kwa 5 ambay ni idadi ya mwaka akapata point 5 ukaongezea kweny ile point 24 yao ambay ni total? Kwan group stage ya shirkisho point ni 0.5? Kam ndivyo it means point zina vary klab bingwna shirikish

    • @Makassy-b9y
      @Makassy-b9y 13 дней назад +1

      Kwamba unabisha au unakataa ukweli? kwani hujui pointi za shirikisho na klabu bingwa zinatofautiana? Kama ulikuwa hujui kuanzia leo jua hivyo na ndio maana bingwa wa klabu bingwa huvuna point 6 wakati wa shirikisho huvuna pointi 5

    • @HelgenMiho
      @HelgenMiho 13 дней назад

      Shilikisho

    • @loner_wolf
      @loner_wolf 12 дней назад

      Alipopiga za yanga wakati wako shirikisho hakupiga kwa 0.5 , alipiga kwa 1 . Hata mm cjamuelewa mazee

    • @derickmkuwa6977
      @derickmkuwa6977 12 дней назад

      Points za shirikisho na club bingwa ni tofauti

    • @ndikumanarodrigue5657
      @ndikumanarodrigue5657 12 дней назад

      Mwalim wako alikua n kazi fuatilia vzr ujue uko wapi!! Looser

  • @athumanfuko199
    @athumanfuko199 12 дней назад

    mmhhh eeehh siyo kiwepesi hivyo kaka. sometimes wapigieni CAF kuuliza hizo vitu. Simba imesota miaka mingapi kumaintain hiyo nafasi alaf eti Yanga miaka 2 tu iipiku Simba mhhh

  • @FeydhullahTwalib
    @FeydhullahTwalib 12 дней назад

    Mwaka wa tatu kwa yanga upande wa makombe ya afrika inakuaje anazidishiwa kwa 5 na si tatu kuna wakati hawa wachambuzi wanatakiwa wawe makini na uchambuzi wao maana mwaka wa kwanza kafika final shirikisho mwaka wa pili katoka robo mwaka huu ndio wa tatu sasa kama ni mwaka wa tatu inakuaje unamzidishia kwa 5

    • @FeydhullahTwalib
      @FeydhullahTwalib 12 дней назад

      Hapo umetupiga mzee mbwaduke

    • @simonnjovu586
      @simonnjovu586 7 дней назад

      Current points unazidisha mara 5 bila kujali chochote. Tofauti ni pale unapoangalia miaka 4 nyuma ulifanya nini. Kama hukukusanya chochote basi unazidisha kwa zero na kupata zero.

    • @Mohamed-k1c7s
      @Mohamed-k1c7s 5 дней назад

      Tuliza kichwaa

  • @AbuuAyubu-t7c
    @AbuuAyubu-t7c 13 дней назад

    Yanga inaweza kuwa bingwa mwaka huu hii timu nyoko

    • @AllyMwinyi-rx8gr
      @AllyMwinyi-rx8gr 13 дней назад +1

      Niite mbwa akiwa bingwa

    • @AbuuAyubu-t7c
      @AbuuAyubu-t7c 13 дней назад

      @@AllyMwinyi-rx8gr Dah siwezi kukutia mbwa ndugu yangu wewe ni binadam mwenzangu

  • @sospeterkajula7949
    @sospeterkajula7949 13 дней назад

    Bora uwache na u hambuzi wako huo wewe Kama Ni mwana yanga nenda ukali majani yako huko jagwani

  • @FRANKMBILINYI-x1h
    @FRANKMBILINYI-x1h 13 дней назад +1

    Shukran sana Kwa kutupa data kamili na na uhakika