YANGA YAMTIA JEURI ALLY KAMWE, GSM ATEMBEA NA GOLI LA MAMA, CHAMA NA BOKA WAWEKA REKODI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 21 сен 2024

Комментарии • 37

  • @hassanparamana2215
    @hassanparamana2215 2 часа назад +2

    Ally Kamwe najuwa siku ile mamelod tuliumia sana sasa hii dua tulio iomba leo basi Yarab atusikie atupokelee dua yetu mamelod tunamtaka mchana usiku asubuhi mda wowote ule watueleze lile goli la Aziz ki goal au sio goal kudaaadeeekiiiii 🏆💚💛💪🇹🇿🇦🇪

  • @Prince-rafael
    @Prince-rafael 3 часа назад +19

    Hii yanga sasa ipewe onyo, kuna miradi ya serikali bado haijakamilika Yani mnafunga goal la sita bado mnachukuwa mpira mnakimbia kurudi katikati.

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt 3 часа назад +4

    Yanga yetu oyeeee🎉🎉🎉🎉

  • @Prince-rafael
    @Prince-rafael 3 часа назад +8

    Goli la chama kuna watu hapa Tanzania linawaumiza sana kuliko hata CBE wenyewe

  • @yuzomaneno
    @yuzomaneno 4 часа назад +2

    YANGA bingwa 🙌🙌🙏🇯🇲💥💥💥💚💛wakwaza like zenu wadau🙌🙏

  • @richardpeter8188
    @richardpeter8188 3 часа назад +9

    Kwa Yanga Hii Hata Wakisema Sisi Mashabiki Twende Jagwani Kuchapwa Viboko Nipo Tayarii Kwenda Mimi

  • @Prince-rafael
    @Prince-rafael 3 часа назад +3

    Kama rais wetu Samia atopunguza kiasi alichoweka kwenye goal la mama hii yanga itajakuwa na deni na taifa Yani stoshanga kabisa kuona ikitajwa bungeni kuwa na wao wanadeni na nnchi hii maana haiwezekani watu wanafunga lakn bado hawariziki wanabeba mpira wanarudi kati.

  • @JanuaryJohnMhanzi
    @JanuaryJohnMhanzi 4 часа назад +3

    Wakwanza leo🎉🎉🎉

  • @Prince-rafael
    @Prince-rafael 3 часа назад +2

    Kati ya mtu ambae aongelewi Sana lakin kwenye mchezo wa leo wametupa ubora wao wa muda wote au wametupa kile tulichokuwa tunataman kukipata na hatukukipata n Chama na baraka mpenja Hawa ndio wamekuwa kivutio Sana.

  • @RamseykingGenius
    @RamseykingGenius 3 часа назад +7

    Like za shadrack isack boka ziwekwe pale 👉🏾👉🏾--------------🎉🎉🎉✨✨✨🔋💪🏿

  • @asifznz
    @asifznz 2 часа назад +1

    SASA MNAANZA KU KUFURU MIMI YANGA LAKINI HIZI DUA AHHHH ANGALIENI MNACHOKI SEMA

  • @ThadeyMawope
    @ThadeyMawope 2 часа назад +1

    Acha waneng'eneke na hao wagonjwa,,,mtakutana na wahuni mtakohoa mbegu,

  • @Prince-rafael
    @Prince-rafael 3 часа назад +1

    Hii timu ya yanga inakula Sana ela ya serekali maana mpaka Sasa wameshaingiza milioni 85 na hyo ni atua ya awali Sasa wanaenda kwenye makundi sindio watafanya miradi ya serekali isimame.

  • @JustinMilly-vx8mq
    @JustinMilly-vx8mq 2 часа назад +1

    dua ya kibabe❤❤

  • @BukharyTaufiq
    @BukharyTaufiq 3 часа назад +1

    Dooooh dua

  • @christianjohnmwalugaja8090
    @christianjohnmwalugaja8090 3 часа назад +1

    Goli la ishirini na moja au mbili we msemaji vipi? Mbona unapotosha? Acha hizo bwana

  • @kashindisaidi9231
    @kashindisaidi9231 2 часа назад +1

    Yanga daunting tuleteye kadi zachama tuwe tuna changuya nipe nambar ya ally jamwe

  • @ThadeyMawope
    @ThadeyMawope 2 часа назад +1

    Komedi tu hakuna point apo

  • @mwananganzi
    @mwananganzi Час назад

    Naitwa Boka Chama pakome

  • @AlfaMwasofu
    @AlfaMwasofu 3 часа назад +1

    Mabingwa wa kihistoria

  • @emmanuelodiembo
    @emmanuelodiembo 3 часа назад +1

    😂😂😂Gamondi alishangaza anagoli nne bado anaonesha mda waharakishe

    • @PriscaMaswaga
      @PriscaMaswaga Час назад

      😊 nae anataka goal. La mama jaman

  • @kashindisaidi9231
    @kashindisaidi9231 2 часа назад +1

    Tuko mashambi 1000

  • @Prince-rafael
    @Prince-rafael 3 часа назад +1

    Kama nimewai kusema chama n mzee naomba nisamehewe nilikuwa nmekunywa mama muuza buzaa alinichanganyia chibuku na wanzuki kwa wakati mmoja🙏🙏

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 2 часа назад

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @Prince-rafael
    @Prince-rafael 3 часа назад +2

    Hii timu ya yanga inakula Sana ela ya serekali maana mpaka Sasa wameshaingiza milioni 85 na hyo ni atua ya awali Sasa wanaenda kwenye makundi sindio watafanya miradi ya serekali isimame.

    • @MohamedAhmada-ie7ke
      @MohamedAhmada-ie7ke 2 часа назад

      Ss wewe unajua na wao wana ingiza kiasi gani serekalin au unasema tu