Ally Kamwe najuwa siku ile mamelod tuliumia sana sasa hii dua tulio iomba leo basi Yarab atusikie atupokelee dua yetu mamelod tunamtaka mchana usiku asubuhi mda wowote ule watueleze lile goli la Aziz ki goal au sio goal kudaaadeeekiiiii 🏆💚💛💪🇹🇿🇦🇪
Kama rais wetu Samia atopunguza kiasi alichoweka kwenye goal la mama hii yanga itajakuwa na deni na taifa Yani stoshanga kabisa kuona ikitajwa bungeni kuwa na wao wanadeni na nnchi hii maana haiwezekani watu wanafunga lakn bado hawariziki wanabeba mpira wanarudi kati.
Kati ya mtu ambae aongelewi Sana lakin kwenye mchezo wa leo wametupa ubora wao wa muda wote au wametupa kile tulichokuwa tunataman kukipata na hatukukipata n Chama na baraka mpenja Hawa ndio wamekuwa kivutio Sana.
Hii timu ya yanga inakula Sana ela ya serekali maana mpaka Sasa wameshaingiza milioni 85 na hyo ni atua ya awali Sasa wanaenda kwenye makundi sindio watafanya miradi ya serekali isimame.
Hii timu ya yanga inakula Sana ela ya serekali maana mpaka Sasa wameshaingiza milioni 85 na hyo ni atua ya awali Sasa wanaenda kwenye makundi sindio watafanya miradi ya serekali isimame.
Ally Kamwe najuwa siku ile mamelod tuliumia sana sasa hii dua tulio iomba leo basi Yarab atusikie atupokelee dua yetu mamelod tunamtaka mchana usiku asubuhi mda wowote ule watueleze lile goli la Aziz ki goal au sio goal kudaaadeeekiiiii 🏆💚💛💪🇹🇿🇦🇪
Hii yanga sasa ipewe onyo, kuna miradi ya serikali bado haijakamilika Yani mnafunga goal la sita bado mnachukuwa mpira mnakimbia kurudi katikati.
Ela za mama zitaisha Kwa Yanga hii
GSM NOMA SANA
Yanga yetu oyeeee🎉🎉🎉🎉
Goli la chama kuna watu hapa Tanzania linawaumiza sana kuliko hata CBE wenyewe
YANGA bingwa 🙌🙌🙏🇯🇲💥💥💥💚💛wakwaza like zenu wadau🙌🙏
Kwa Yanga Hii Hata Wakisema Sisi Mashabiki Twende Jagwani Kuchapwa Viboko Nipo Tayarii Kwenda Mimi
😂😂
😂😂😂
Sasa viboko hivyo visiwe vingi Kama magori wanayopigwa watu
😂😂
Kama rais wetu Samia atopunguza kiasi alichoweka kwenye goal la mama hii yanga itajakuwa na deni na taifa Yani stoshanga kabisa kuona ikitajwa bungeni kuwa na wao wanadeni na nnchi hii maana haiwezekani watu wanafunga lakn bado hawariziki wanabeba mpira wanarudi kati.
Wakwanza leo🎉🎉🎉
Kati ya mtu ambae aongelewi Sana lakin kwenye mchezo wa leo wametupa ubora wao wa muda wote au wametupa kile tulichokuwa tunataman kukipata na hatukukipata n Chama na baraka mpenja Hawa ndio wamekuwa kivutio Sana.
Like za shadrack isack boka ziwekwe pale 👉🏾👉🏾--------------🎉🎉🎉✨✨✨🔋💪🏿
SASA MNAANZA KU KUFURU MIMI YANGA LAKINI HIZI DUA AHHHH ANGALIENI MNACHOKI SEMA
Acha waneng'eneke na hao wagonjwa,,,mtakutana na wahuni mtakohoa mbegu,
Hii timu ya yanga inakula Sana ela ya serekali maana mpaka Sasa wameshaingiza milioni 85 na hyo ni atua ya awali Sasa wanaenda kwenye makundi sindio watafanya miradi ya serekali isimame.
dua ya kibabe❤❤
Dooooh dua
Goli la ishirini na moja au mbili we msemaji vipi? Mbona unapotosha? Acha hizo bwana
Yanga daunting tuleteye kadi zachama tuwe tuna changuya nipe nambar ya ally jamwe
Komedi tu hakuna point apo
Naitwa Boka Chama pakome
Mabingwa wa kihistoria
😂😂😂Gamondi alishangaza anagoli nne bado anaonesha mda waharakishe
😊 nae anataka goal. La mama jaman
Tuko mashambi 1000
Kama nimewai kusema chama n mzee naomba nisamehewe nilikuwa nmekunywa mama muuza buzaa alinichanganyia chibuku na wanzuki kwa wakati mmoja🙏🙏
😂😂😂😂
😂😂
😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣
Hii timu ya yanga inakula Sana ela ya serekali maana mpaka Sasa wameshaingiza milioni 85 na hyo ni atua ya awali Sasa wanaenda kwenye makundi sindio watafanya miradi ya serekali isimame.
Ss wewe unajua na wao wana ingiza kiasi gani serekalin au unasema tu