Yanga SC 6-0 CBE SA | Highlights | CAF CL 21/09/2024

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 21 сен 2024
  • Yanga SC imefanya mauaji kwa kuichakaza CBE SA ya Ethiopia kichapo cha mabao 6-0 katika mchezo wa mkondo wa pili, Ligi ya Mabingwa Afrika #CAFCL
    Magoli ya Yanga yamefungwa na Clatous Chama dakika ya 35, Clement Mzize dakika ya 46, Stephane Aziz Ki akifunga mawili dakika ya 74 na 90+3, Mudathir Yahya dakika ya 88 na Duke Abuya dakika ya 90.

Комментарии • 81

  • @DoriceSephania-jh6lc
    @DoriceSephania-jh6lc 6 часов назад +27

    Kam we ni mwananchiiiiii like hapa💚💛🇹🇿🇹🇿🥰🙏🙏🔥🔥🔥

    • @UzimaHalisi-n8z
      @UzimaHalisi-n8z 6 часов назад +1

      wao hawaogopi??? ❤❤❤ yanga mwaaaa

    • @DoriceSephania-jh6lc
      @DoriceSephania-jh6lc 5 часов назад

      ​@@UzimaHalisi-n8z😂😂😂😂💛💚💚Ss ndo yangaaa🙌🙌

    • @HALIMASHABAN-xd9rj
      @HALIMASHABAN-xd9rj 5 часов назад

      Oyooooo💛💛💚💚🖤🖤

    • @DoriceSephania-jh6lc
      @DoriceSephania-jh6lc 4 часа назад

      ​@@HALIMASHABAN-xd9rjNaona cbe wa dar wameumia kuliko cbe wa sa😂😂😂😂😂

  • @MohamedAbdallah-dd2dm
    @MohamedAbdallah-dd2dm 6 часов назад +4

    Young hii tunaweza tukaiona club world very impressive 👏

  • @NaftaryMgoye
    @NaftaryMgoye 2 минуты назад +1

    Hongera sana Yanga kwa kufyeka kichaka ili Simba wabaki peupeeee💛💚🏆💪👑

  • @AlfaMwasofu
    @AlfaMwasofu 6 часов назад +6

    Msimu ujao tutashiriki kombe la Dunia la vilabu
    Inshallah

  • @ThomsMollel
    @ThomsMollel 3 часа назад +5

    Tukiacha ujinga wa kibongo for sure yanga kwa sasa inatixha

  • @aminahussein4866
    @aminahussein4866 Час назад +1

    Sikulala kwa rahaaa walah yangaaa ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @MkungwaNgwarumbwa
    @MkungwaNgwarumbwa 5 часов назад +1

    Kudos watani kwa kutinga hatua ya makundi 💚💚💚💚💚💚

  • @sadahamad6158
    @sadahamad6158 5 часов назад +5

    Yanga hii unaifungaje 😂😂😂 nyie ni humu tu 💃💃💃💃 yanga baba lao 💛💚 wakisema cbe ni vibonde waulize wao walipigwa ngapi wanabaki kusonya tu 😂😂

  • @reginaldmapunda6702
    @reginaldmapunda6702 Минуту назад

    Mungu wetu ni yuleyule na ushindi wetu ni humu tuu. Amina.

  • @FrankDonald-j7i
    @FrankDonald-j7i 5 часов назад +2

    Mpenjaaa salutee

  • @naomimassawe4855
    @naomimassawe4855 17 минут назад +1

    Daima mbele nyuma mwiko ❤❤❤❤

  • @sadahamad6158
    @sadahamad6158 5 часов назад +1

    Yanga bingwa yanga tamu yanga rahaa ww huogopi 💚💚💛💛💛💚💪💪

  • @templerfx4212
    @templerfx4212 6 часов назад +2

    Sio timu hiyo ni majina tu hapo ndio yanacheza simba tu like hapa

  • @MaryamMohammed-qk4ub
    @MaryamMohammed-qk4ub 16 минут назад +1

    Yanga iyoooo ❤

  • @Ashrey82
    @Ashrey82 4 минуты назад +1

    Najivunia kuwa Mwananchi🔥🔥

  • @Ashush-qm6lk
    @Ashush-qm6lk 5 часов назад +2

    Oyooooo❤

  • @StephanoAdam-hb7zo
    @StephanoAdam-hb7zo 6 часов назад

    Wananchiiiiiii ❤❤❤penda sana yanga.

  • @ZuhuraTwaha-u5n
    @ZuhuraTwaha-u5n Час назад

    Yanga unaifungaje 💚💚💚💛💛💛

  • @faidajemsi3769
    @faidajemsi3769 Час назад +1

    ❤❤❤❤❤

  • @Tassyomy
    @Tassyomy 5 часов назад +2

    Man Of The Match Wa Leo Nampa Mpenja..Dadadeki..Mpaka Anatamani Kulia..😂

  • @UzimaHalisi-n8z
    @UzimaHalisi-n8z 6 часов назад

    wananchi 2nainjoi mnooo jamn,,,, makolo wa2ache na yanga yew🎉🎉🎉

  • @IreneOlomi
    @IreneOlomi 5 минут назад +1

    😊😊Yanga hatar

  • @leinaamos
    @leinaamos Час назад

    Asanteee wananchi

  • @JamesKalory
    @JamesKalory 6 часов назад +2

    tena tena tena bwana yanga katili😂😂

  • @agnesssanga6544
    @agnesssanga6544 3 часа назад

    💚💛💚💛💚💛

  • @EmanuelGeofrey-o6k
    @EmanuelGeofrey-o6k 3 часа назад

    Mzize uwa Baba ,, ameuaaaaa😂😂😂 mpenjaa mpenjaa

  • @Mlupali
    @Mlupali 6 часов назад +2

    Uaaaaa baba😂

  • @Abdallahharuni
    @Abdallahharuni 43 секунды назад

    💛💛💚💚🙏🙏

  • @daudiniyonsaba1113
    @daudiniyonsaba1113 5 часов назад +2

    YANGA HII, MAMAE. ITAFIKIA KIPINDI TIMU HAZITOKUJA UWANJANI.

  • @BhokeMakuru-o9f
    @BhokeMakuru-o9f 38 минут назад +1

    Yang

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 16 минут назад +2

    Mpenja unatupa raha eti mzize uwa baba 😂😂😂😂😂

  • @MwitaHamismwita
    @MwitaHamismwita 5 часов назад +1

    Mpenja umeipiga mwingi sana leo aisee

  • @annayambayamba8614
    @annayambayamba8614 6 часов назад

    Yaanga mimi na nyie damu day kuwahacha msaaaahu jamani izi raha sijuwwi nizipeleke wapi mieeee nawapenda ❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥mwa💋💋💋💋💋💋💋

  • @abdunnurahmedsilim7456
    @abdunnurahmedsilim7456 6 часов назад +3

    Kipigo cha mwana ukome 😂😂😂😂😂😂

  • @JacksonJack-k8q
    @JacksonJack-k8q 6 часов назад +2

    Kushabikia yanga kuna raha yake

  • @AlfaMwasofu
    @AlfaMwasofu 6 часов назад +2

    Kesho Kolo atategemea kubebwa Na uchawi
    Pila magimbi

  • @HekimaLuciga
    @HekimaLuciga 6 часов назад +1

    Yanga ni hatary!

  • @athumanimakange9346
    @athumanimakange9346 2 часа назад

    Ndio maana halisi ya champions

  • @Londonboe
    @Londonboe 6 часов назад +1

    Hii ni bayer4leverkusen

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 4 часа назад

    Shikamoo Mpenja

  • @TatuHusseni-hs7mu
    @TatuHusseni-hs7mu 6 часов назад

    Nilikuwa live daima mbele 💛💛🖤💚💚

  • @ElidaimaMsuya
    @ElidaimaMsuya Час назад +1

    Yanga wamepiga panapouma....litakuja kufa jitu uwanjani

  • @JUU-lw2je
    @JUU-lw2je Час назад +1

    Yanga kitu nimegundua mkitaka strikers ndo wafunge tu mnakosa sana magoli angalia Leo hamjategemea strikers na matokeo ndo yamekuwa hivyo

  • @SunnymussaMussa
    @SunnymussaMussa Час назад +1

    Apa natokea kucheki mpila naludi na furaha yanga imeshinda alfu nikifka home aniambie haijisikii kufanya

  • @rebekadaniel9569
    @rebekadaniel9569 6 часов назад +1

    Daaa feitoto cjui anajisikiaje😂😂

  • @ElidaimaMsuya
    @ElidaimaMsuya Час назад

    Yanga inatupa raha hakuna waku😢izuia pambaneni vijana wetu mzidi kutupa raha msikilize Makolo kawaida yao ni kukosoa

  • @WinnieHaule-n9t
    @WinnieHaule-n9t 6 часов назад +1

    Nyieee😂😂😂😂

  • @SanchezMutiti-ie8ed
    @SanchezMutiti-ie8ed 6 часов назад +3

    Wakwanza

  • @FabianLameck
    @FabianLameck 4 часа назад

    😊😢🎉

  • @WemaMinga
    @WemaMinga 37 минут назад +1

    Yang inatup laha san

  • @BennyJumah-hd8yf
    @BennyJumah-hd8yf 4 часа назад +4

    Yanga unaifananisha na kitu gani hapa duniani??

  • @Sportsnationtv-j
    @Sportsnationtv-j 5 часов назад +2

    kama unakubali yanga nipe like

  • @mohamedikisinga9714
    @mohamedikisinga9714 6 часов назад

    Ila yanga 😂😂😂🙌🙌🙌

  • @FEINASSx77
    @FEINASSx77 6 часов назад

    Uuuuuuuuwiiiiii nakufa ntaacha kushabikia yang mm😂😂😂😂😂😂

  • @StevenKapugi-y7b
    @StevenKapugi-y7b 6 часов назад

    🎉🎉🎉🎉no comment 😂😂😂

  • @EmanuelTheonest
    @EmanuelTheonest 6 часов назад +1

    Uakika

  • @Tassyomy
    @Tassyomy 6 часов назад +1

    Hatuji Tena Mbwa Nyie..🤪

  • @msemombelwa47
    @msemombelwa47 6 часов назад

    Wekaweka haooo wahabeshiiiiiiii😂😂😂😂😂 6G

  • @Khatib-xp6fp
    @Khatib-xp6fp 2 часа назад

    Mm nawashauri azam waweke pia online live video sisi wengine tunaishi mbali na africa pia tunapnda kutazama mpira wa bongo

  • @KaungaDori
    @KaungaDori 6 часов назад

    Goli la kwanza nikama beki alitaka kudaka vilee😂😂😂😅

  • @ournewvhome4191
    @ournewvhome4191 5 часов назад +1

    Kudadadekiiii😅😅😅😅😅😅

  • @JamesCoolkid-f3s
    @JamesCoolkid-f3s 2 часа назад

    Hii real Madrid ya Tanzania

  • @SalumuRashidi-in1jz
    @SalumuRashidi-in1jz 22 минуты назад +1

    Hakuna timu kwa wakimbizi hawa hawajuwi wanachokifanya

    • @AyubMngongo
      @AyubMngongo 4 минуты назад

      Haha hata simba walikula 5 ni wakimbizi

  • @obadiamnanka5958
    @obadiamnanka5958 2 часа назад

    Kwani huyo alie chukua mpila kukimbiza kati hana huluma nawenzake jamani 😂😂😂😂

    • @AhmadNdege
      @AhmadNdege Час назад

      😂😂😂 anataka hadi waite maji mma

  • @didierilombe5572
    @didierilombe5572 Час назад

    Boka yeye ni swala ? Kwani mbiyo zake niza kutisha saana duuuu.

  • @ayubujanja5110
    @ayubujanja5110 5 часов назад

    Mpenja mauwa Yako yanga raha bhana

    • @cathbetsolomon3151
      @cathbetsolomon3151 Час назад

      Leo hii anapewa maua? Mchizi hanaga utimu fanya vizuri atasherehesha mlikua mnamtenga bure tu😂

  • @CatherineFrancis-ii7eq
    @CatherineFrancis-ii7eq 6 часов назад

    tuko livee

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 4 часа назад

    Kesho vichekesho 🤣🤣

  • @PaulZakaria-q8y
    @PaulZakaria-q8y 2 часа назад

    😂😂

  • @fifo262
    @fifo262 Час назад

    Yanga haina mpizani