Yanga SC 6-0 CBE SA | Highlights | CAF CL 21/09/2024
HTML-код
- Опубликовано: 21 сен 2024
- Yanga SC imefanya mauaji kwa kuichakaza CBE SA ya Ethiopia kichapo cha mabao 6-0 katika mchezo wa mkondo wa pili, Ligi ya Mabingwa Afrika #CAFCL
Magoli ya Yanga yamefungwa na Clatous Chama dakika ya 35, Clement Mzize dakika ya 46, Stephane Aziz Ki akifunga mawili dakika ya 74 na 90+3, Mudathir Yahya dakika ya 88 na Duke Abuya dakika ya 90.
Kam we ni mwananchiiiiii like hapa💚💛🇹🇿🇹🇿🥰🙏🙏🔥🔥🔥
wao hawaogopi??? ❤❤❤ yanga mwaaaa
@@UzimaHalisi-n8z😂😂😂😂💛💚💚Ss ndo yangaaa🙌🙌
Oyooooo💛💛💚💚🖤🖤
@@HALIMASHABAN-xd9rjNaona cbe wa dar wameumia kuliko cbe wa sa😂😂😂😂😂
Young hii tunaweza tukaiona club world very impressive 👏
Hongera sana Yanga kwa kufyeka kichaka ili Simba wabaki peupeeee💛💚🏆💪👑
Msimu ujao tutashiriki kombe la Dunia la vilabu
Inshallah
Tukiacha ujinga wa kibongo for sure yanga kwa sasa inatixha
Sikulala kwa rahaaa walah yangaaa ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Kudos watani kwa kutinga hatua ya makundi 💚💚💚💚💚💚
Yanga hii unaifungaje 😂😂😂 nyie ni humu tu 💃💃💃💃 yanga baba lao 💛💚 wakisema cbe ni vibonde waulize wao walipigwa ngapi wanabaki kusonya tu 😂😂
Mungu wetu ni yuleyule na ushindi wetu ni humu tuu. Amina.
Mpenjaaa salutee
Daima mbele nyuma mwiko ❤❤❤❤
Yanga bingwa yanga tamu yanga rahaa ww huogopi 💚💚💛💛💛💚💪💪
💛💚💚💚
Sio timu hiyo ni majina tu hapo ndio yanacheza simba tu like hapa
Yanga iyoooo ❤
Najivunia kuwa Mwananchi🔥🔥
Oyooooo❤
Wananchiiiiiii ❤❤❤penda sana yanga.
Yanga unaifungaje 💚💚💚💛💛💛
❤❤❤❤❤
Man Of The Match Wa Leo Nampa Mpenja..Dadadeki..Mpaka Anatamani Kulia..😂
wananchi 2nainjoi mnooo jamn,,,, makolo wa2ache na yanga yew🎉🎉🎉
😊😊Yanga hatar
Asanteee wananchi
tena tena tena bwana yanga katili😂😂
💚💛💚💛💚💛
Mzize uwa Baba ,, ameuaaaaa😂😂😂 mpenjaa mpenjaa
Uaaaaa baba😂
💛💛💚💚🙏🙏
YANGA HII, MAMAE. ITAFIKIA KIPINDI TIMU HAZITOKUJA UWANJANI.
Yang
Mpenja unatupa raha eti mzize uwa baba 😂😂😂😂😂
Mpenja umeipiga mwingi sana leo aisee
Yaanga mimi na nyie damu day kuwahacha msaaaahu jamani izi raha sijuwwi nizipeleke wapi mieeee nawapenda ❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥mwa💋💋💋💋💋💋💋
Kipigo cha mwana ukome 😂😂😂😂😂😂
Kushabikia yanga kuna raha yake
Kesho Kolo atategemea kubebwa Na uchawi
Pila magimbi
Yanga ni hatary!
Ndio maana halisi ya champions
Hii ni bayer4leverkusen
Shikamoo Mpenja
Nilikuwa live daima mbele 💛💛🖤💚💚
Yanga wamepiga panapouma....litakuja kufa jitu uwanjani
Yanga kitu nimegundua mkitaka strikers ndo wafunge tu mnakosa sana magoli angalia Leo hamjategemea strikers na matokeo ndo yamekuwa hivyo
Apa natokea kucheki mpila naludi na furaha yanga imeshinda alfu nikifka home aniambie haijisikii kufanya
Daaa feitoto cjui anajisikiaje😂😂
Yanga inatupa raha hakuna waku😢izuia pambaneni vijana wetu mzidi kutupa raha msikilize Makolo kawaida yao ni kukosoa
Nyieee😂😂😂😂
Wakwanza
😊😢🎉
Yang inatup laha san
Yanga unaifananisha na kitu gani hapa duniani??
Man city
Wamepata vibonde
@@Khatib-xp6fp weeeeeee
kama unakubali yanga nipe like
Ila yanga 😂😂😂🙌🙌🙌
Uuuuuuuuwiiiiii nakufa ntaacha kushabikia yang mm😂😂😂😂😂😂
🎉🎉🎉🎉no comment 😂😂😂
Uakika
Hatuji Tena Mbwa Nyie..🤪
Wekaweka haooo wahabeshiiiiiiii😂😂😂😂😂 6G
Mm nawashauri azam waweke pia online live video sisi wengine tunaishi mbali na africa pia tunapnda kutazama mpira wa bongo
Goli la kwanza nikama beki alitaka kudaka vilee😂😂😂😅
Kudadadekiiii😅😅😅😅😅😅
Hii real Madrid ya Tanzania
Hakuna timu kwa wakimbizi hawa hawajuwi wanachokifanya
Haha hata simba walikula 5 ni wakimbizi
Kwani huyo alie chukua mpila kukimbiza kati hana huluma nawenzake jamani 😂😂😂😂
😂😂😂 anataka hadi waite maji mma
Boka yeye ni swala ? Kwani mbiyo zake niza kutisha saana duuuu.
Mpenja mauwa Yako yanga raha bhana
Leo hii anapewa maua? Mchizi hanaga utimu fanya vizuri atasherehesha mlikua mnamtenga bure tu😂
tuko livee
Kesho vichekesho 🤣🤣
😂😂
Yanga haina mpizani