Baada ya mafanikio haya tulijua tu tutawapoteza benchi la ufundi na hata wachezaji muhimu, lakini hamna baya, hatuwadai. Tunawashukuru kwa kazi nzuri, tunawatakia mafanikio makubwa huko muendako
Tunakutakia kila la kheri prof. Nabi daima tutakukumbuka kwa mchango wako wananchi hatuna baya nawe tunashukuru sana kwa muda uliokuwa pamoja nasi. All the best prof. Nasreddine Nabi!!!!
Niseme Allahamdulillah kocha umetuacha bado tuna kuhitaji naatamani kulia hata nikilia haita nisaidia niseme Daima mbele nyuma mwiko Asante Nab Asante sana kwa yote uliotutendea💛💛💛🙏
Hakika nakuunga mkono uliyoyasema. Nabi alikuwa Baba wa Wachezaji.. Alishiriki pia kwenye mambo ya kijamii. Sitasahau siku Sure Boy amefiwa na mtoto wake mdogo. Nabi aliubeba mwili wa Mtoto kwenye mazishi. Huna baya Nabi
Hope they once said "agood dancer must know when to leave the stage", umeondoka bado tunakuhitaji lkn pia umeondoka Kwa heshima, hope that accomplish hyo statement,all the best &may God be with you on your duties ahead. Much respect Nabi
Nabi kwaheri lakini utakumbukwa sana Jangwani kwa kazi nzuri uliyoifanya. Sio kushinda tu mechi hata kumiliki mpira kwa kila timu Yanga aliyocheza nayo!!! Yanga imeishakuwa timu kubwa barani Afrika na makocha wa kuinoa lazima wawe na majina makubwa mfano ni Florent Ibenge.
daaah ila ndo ivyo sio mbaya man timu ni taasisi na kocha ni mfanyakazi tu hivyo ni kawaida kwa mfanyakazi kutoka taasisi moja kwenda nyengine .. All the best Nabi #daimambelenyumamwiko welcome the then coach, hopely the coming one will be best enough....
Hersi Said na Arafat wanatengeneza CV zao na ipo siku na wao wataondoka kwenda kwenye changamoto mpya. 2025 sio mbali tusubiri tu. Ni jambo jema kuona tunafanikiwa pamoja na wakitaka kuondoka tuwatakie heri hata kama ni kwa maumivu. Haya ni maisha na muda hauwasubiri. Ukipata sehemu ya kupiga pesa nyingi nenda. Kila la heri kwa Nabi na wenzake
M/Mungu tunakushuru kwaulipotufikisha na viongozi wetu M/Mungu wajaalie viongozi na wachezji wetu huko muendako. M/Mungu tujaalie nasi tulio baki na viongozi wetu Allah tufungulie njia zaidi na tulete makocha na wachezaji zaidi Inshaallah
Namtakia kila la heri mwl Nabi, ila viongozi wetu mjifunze kusema ukweli kwani wakati anaongeza mkataba mlisema amesaini miaka 2, kumbe alisaini mwaka 1. Ndg ukweli utatuweka huru, asante.
So sad😭 so Alhamdulillah ulipo tufikisha hayikua kazi Raisi kila la heri kwa majukumu mengi unaenda kufanya ubarikiwe uendako tutakukumbuka daima milele 🙏🙏🙏🙏🙏
Ni furaha na rahisi kusema karibu, lakini ni maumivu makali sana kusema kwaheri, ndiyo Dunia , asante kocha nabi tunakutakia kila la kheli huko uendako,daima tutakukumbuka good luck 🤞 and good bye 👋👋
@@khloevibe7569Yaan unawaza kweli uwepo wa NABI?kwa mpila huu wa Gamondi Wala wazo la NABI halipi kbsaaa ila tunampenda kama sehem ya mafanikio yeye hajadumu kwenye timu alioenda Gamondi anetusahulisha kbsaaa kama tulikuwa na NABI🙌
Nabi Ni kocha Bora tutamkumbuka sna wananchi lakin najivunia kuwa na uwongozi Bora sna kuanzia Rais,makamu pamoja na wazamini wetu naamini bdo furaha itaendelea jangwani
Naisi Kama tunaludi kule kule cjui soka letu bongo linashida gan cyo kocha tu naona wengi wa umuhimu wataondoka usishangae ata rais na makamu wake wakaondoka pia,
Hapa tunarudi kule kule! Nilikua najua kabisa mwakani tunachukia Kombe. Lakini sasa, mmmmh! Mood ya ushabiki wa mpira umenitoka kabisa. Hasa kumkosa uwanjani kocha naby na Mayele.😢😢😢
Hapo atoke na Mayele ndio kidooogo tutapumua. Duh! Lilikuwa tayari lishakuwa bonge la Timu lakini afadhali linaanza kumeguka kidogo kidogo angalau na sisi tupumzike matusi na makelele yao. Lakini Kama GSM na Manara hawajaachana na Timu hili bado tutaendelea kuwa na wakati mgumu. Kwa kumalizia"Mafanikio ya Yanga yanaumiza moyo wangu Haina haja ya kuwa mnafik..Kwani na Yanga tangu lini wametutakia mema sisi SIMBA...watani mpoooo 😁😁😁.
Inabidi watu wajifunze game hii zipo sabab nying zinazomfany nabi asisahau hii game angekufungwa game ingekua kazi yake imekatika alitukanwa San mchezo huu ulivochezwa kwa mkapa
Tuna imani na hersi tuna imani na GSM tunaamini watatuletea kocha ambae atakuja kuendeleza mazuri ya profesa, siyo mnatuletea likocha linakuja kusema mayele hafiti kwenye mfumo wake tutawauaaa
Kuondoka kwa Nabi najua wananchi walishaona uwezekano ni mkubwa kutokea ila cha msingi tunapaswa kushukuru kwa kile alichofanya kwenye club yetu sio jambo rahisi hata kidogo naamini tutapata kocha bora mwingine. Uongozi wetu hauna kelele nyingi watafanya kwa vitendo. Ila Nabi unajua makolo wanafanya sherehe kuondoka kwako kiukweli uliwatesa sana😅😅😅
Baada ya mafanikio haya tulijua tu tutawapoteza benchi la ufundi na hata wachezaji muhimu, lakini hamna baya, hatuwadai. Tunawashukuru kwa kazi nzuri, tunawatakia mafanikio makubwa huko muendako
Kabisa Ndugu 😢
Yaaah tuponao pamoj hata huko
Namwaga ❤❤❤❤❤maua🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@@MohamedLumambo-o9f simba tv
Kabisa ani@@PeterCathbelt-dm6lg
Yanga ndio timu pekee kutoka Tanzania kupata ushindi kwa waarabu ndani ya dk 90, na ushindi wa moja kwa moja❤❤
Respect kwako nabi hutukuwahi kujua kwamba tunaweza lakini umetuhakikishia kwamba tunaweza much love💛💚💛💚🙏🙏
All the best Nabi
Inshaa Allah tutapata coacher mwingine mwenye akili kama nabi💚💛
Tunakutakia kila la kheri prof. Nabi daima tutakukumbuka kwa mchango wako wananchi hatuna baya nawe tunashukuru sana kwa muda uliokuwa pamoja nasi. All the best prof. Nasreddine Nabi!!!!
Akika tutakukumbuka prof nabi ufike salama uendako
All the best prof. Nabi 🙏
Niseme Allahamdulillah kocha umetuacha bado tuna kuhitaji naatamani kulia hata nikilia haita nisaidia niseme Daima mbele nyuma mwiko Asante Nab Asante sana kwa yote uliotutendea💛💛💛🙏
Hakika nakuunga mkono uliyoyasema. Nabi alikuwa Baba wa Wachezaji.. Alishiriki pia kwenye mambo ya kijamii. Sitasahau siku Sure Boy amefiwa na mtoto wake mdogo. Nabi aliubeba mwili wa Mtoto kwenye mazishi. Huna baya Nabi
Kuachana ni sunnah imma kwa kifo au kwa vovite vile ila ndo hivo tutammiss saana Professor💛💚
Asante mwenyezi mungu kwa ZAWADI ya MISIMU miwili ya ubora kwa yanga , asante nabi kwa ushilikiano tunakutakia MAFANIKIO huko uendako 🇹🇿🇹🇿🤜🙏❤️🙏🤛
Hope they once said "agood dancer must know when to leave the stage", umeondoka bado tunakuhitaji lkn pia umeondoka Kwa heshima, hope that accomplish hyo statement,all the best &may God be with you on your duties ahead. Much respect Nabi
Asante sana nabi wananchi tunazid kukubea
Naomba Allah anijalie nipate Mtoto wakiume ataitwa Nabi na mjukuu wangu namita Nasrdeeny kwa mazuri ya niaba ya pro. 🙏
Nabi kwaheri lakini utakumbukwa sana Jangwani kwa kazi nzuri uliyoifanya.
Sio kushinda tu mechi hata kumiliki mpira kwa kila timu Yanga aliyocheza nayo!!!
Yanga imeishakuwa timu kubwa barani Afrika na makocha wa kuinoa lazima wawe na majina makubwa mfano ni Florent Ibenge.
Mungu amjazie baraka tele professor nabi tunakupenda
daaah ila ndo ivyo sio mbaya man timu ni taasisi na kocha ni mfanyakazi tu hivyo ni kawaida kwa mfanyakazi kutoka taasisi moja kwenda nyengine .. All the best Nabi #daimambelenyumamwiko welcome the then coach, hopely the coming one will be best enough....
Asante Nabi nanda salama allah akujaalie uzima na nguvu katika jukumu lako jipya tunashukuru Tanzania huna baya na hatukudai
Hersi Said na Arafat wanatengeneza CV zao na ipo siku na wao wataondoka kwenda kwenye changamoto mpya. 2025 sio mbali tusubiri tu. Ni jambo jema kuona tunafanikiwa pamoja na wakitaka kuondoka tuwatakie heri hata kama ni kwa maumivu. Haya ni maisha na muda hauwasubiri. Ukipata sehemu ya kupiga pesa nyingi nenda. Kila la heri kwa Nabi na wenzake
Ni kipengele kigumu sana kukiamini asee mkono wa kwaheri professor nabi
Tunakushukuru kocha Nabi kwa mafanikio uliyoipa Yamga. Tunakutakia kila la heri katika timu yako mpya
I💪
Days goes and years pasess but the game stays in my memories
In sha Allah kila la kher kwake ametuheshimisha tuna imani na haris na ghalb tutapata kila kitu kipya na bora zaid
Daah 😪😪Ahsante prf Nabi ki ukweli hatuna deni na wewe Alhamdullillah kila la kheri
Kila la kheri Nabi,tutakukumbuka daima
Tulijua kushambuliwa aisee
M/Mungu tunakushuru kwaulipotufikisha na viongozi wetu M/Mungu wajaalie viongozi na wachezji wetu huko muendako. M/Mungu tujaalie nasi tulio baki na viongozi wetu Allah tufungulie njia zaidi na tulete makocha na wachezaji zaidi Inshaallah
Daaah it's very sad 😔 to wananchi
Mungu awe nawe kocha Nabi 💚💛
Namtakia kila la heri mwl Nabi, ila viongozi wetu mjifunze kusema ukweli kwani wakati anaongeza mkataba mlisema amesaini miaka 2, kumbe alisaini mwaka 1. Ndg ukweli utatuweka huru, asante.
Tunakupenda sana pr nabi kila la kher
All the best Nabi welcome Pitso
Acheni kuota
So sad😭 so Alhamdulillah ulipo tufikisha hayikua kazi Raisi kila la heri kwa majukumu mengi unaenda kufanya ubarikiwe uendako tutakukumbuka daima milele 🙏🙏🙏🙏🙏
Kila la heri kocha Nabi kwa majukumu mapya uendako!!
Dah sawa hatuna la kusema 🙏🙏
All the best Nabbi 👏👏👏💚💛🇹🇿
Yanga ipo, Hersi na Arafat wapo...daima mbele nyuma mwiko. Kongole Nabi!
Ni furaha na rahisi kusema karibu, lakini ni maumivu makali sana kusema kwaheri, ndiyo Dunia , asante kocha nabi tunakutakia kila la kheli huko uendako,daima tutakukumbuka good luck 🤞 and good bye 👋👋
Kweli Feisal ametuzingua ila ball anajua❤
Nimejikuta nalia kimkosa nabii Sina furaha leo😊
😭😭😭😭tutampata wp kama Nabi
😭
MUNGU alituona dada😂😂tuna gamondi sasa hv
@@khloevibe7569Yaan unawaza kweli uwepo wa NABI?kwa mpila huu wa Gamondi Wala wazo la NABI halipi kbsaaa ila tunampenda kama sehem ya mafanikio yeye hajadumu kwenye timu alioenda Gamondi anetusahulisha kbsaaa kama tulikuwa na NABI🙌
Daah Feisal alitupeleka hajaenjoy medali
Daaah aisee kwahiyo kocha Nabi mmnamwachia aende aisee too bad kwakweli
Kila la kher kocha wetu wa mpira 💛💚🤲🏽
Kila la kheri our coach nabi
Lazima tukubali Nabi ni bonge la coach but all the best wherever u go
Tunamtakia kila la khery anakokwenda🎉🎉🎉
Best match to me so far
Hamna jinsi ,😥 kila la kheri kwake kila jambo na wakati wake
Hii mechi Sure Boy aliwakamata sana hawa waarabu😀
Kama iliandikwa kuwa Yanga itaendelea kufanya vizur kitaifa na kimataifa bas Hilo litaendelea kuonekana Inshaalah
🙏🙏🙏🙏🙏🤝🤝🤝💝kila njemaa ni kushukuru MUNGU
Tunamshukuru kwa hapa alipotufikisha tunamtakia kila la heri
Mmmm jamani kueni Makini wamesha Anza kuondoka tena
Namuona fei akifika mbali kupitia Nabi
Nabi Ni kocha Bora tutamkumbuka sna wananchi lakin najivunia kuwa na uwongozi Bora sna kuanzia Rais,makamu pamoja na wazamini wetu naamini bdo furaha itaendelea jangwani
Naisi Kama tunaludi kule kule cjui soka letu bongo linashida gan cyo kocha tu naona wengi wa umuhimu wataondoka usishangae ata rais na makamu wake wakaondoka pia,
Hapa tunarudi kule kule! Nilikua najua kabisa mwakani tunachukia Kombe. Lakini sasa, mmmmh! Mood ya ushabiki wa mpira umenitoka kabisa. Hasa kumkosa uwanjani kocha naby na Mayele.😢😢😢
@@AnnaSimon243 achen hizo bado yanga itakuwa bora kwa kuwa tuna viongozi imara
Wapo wengi tu kama yy kwani amepoteza uhai mpaka mnahuzunika hivo anaweza akaluditu kwa badae
Hakika
Hapo atoke na Mayele ndio kidooogo tutapumua.
Duh! Lilikuwa tayari lishakuwa bonge la Timu lakini afadhali linaanza kumeguka kidogo kidogo angalau na sisi tupumzike matusi na makelele yao. Lakini Kama GSM na Manara hawajaachana na Timu hili bado tutaendelea kuwa na wakati mgumu.
Kwa kumalizia"Mafanikio ya Yanga yanaumiza moyo wangu Haina haja ya kuwa mnafik..Kwani na Yanga tangu lini wametutakia mema sisi SIMBA...watani mpoooo 😁😁😁.
🤣🤣kakwambia nan yanga inaanza kumeguka sasa nakwambia tabu iko pale pale
Umeongea kweli.
Jambo ndo kwanz mambo yanaanzabkuwa ya motooo
Kwan wameondoka wachezaj wote tabu iko palepale hamtaamin
Mechi hii sure boy aliamua kuliteka Dimba, aisee kile kiwango cha sureboy ni hatari sana. Kiungo bamia..
Soka La Bongo bana😶
Kila La kheri Kocha wa Boli🙌
Shauku yangu kubwa ni kuona yanga inawekeza sasa zaidi katika timu za vijana ktka nyakati hizi ambazo timu inafanya vizuri na inawavutia wengi
N kweli tujifunze kwa watani zetu Simba waliwekeza kwenye soka la wanawake na sasa bado wapo fiti.
Hakika iyi hata mmsiwezi kuisahau njo mwanzo wa mafanikio yetu Uyu mwaka
🎉🎉all the Best
Huo ni uongo. Mechi ambayo itaendelea kumtesa ni dabi ya Simba na Yanga
Mechi ya dabi aikumyima mafanikio bali hii mechi ilimsafishia njia ya kwenda mpaka fainali ya Shirikisho
Karibu tena Nabi
Daah kwel ilikua patashika
Duu jamani nikweli kabisa nabi kaondoka jangwani au uongo
Asntee sanaaa kochaa
Hata mm sitoisahau
daah hiiechi itabakia kuw nibonge ra story
All the best
Nenda lakini karibu yanga
Kila la kheri kocha la boli nabi
Inabidi watu wajifunze game hii zipo sabab nying zinazomfany nabi asisahau hii game angekufungwa game ingekua kazi yake imekatika alitukanwa San mchezo huu ulivochezwa kwa mkapa
Kinda shomari...aling'aaa sana hii mech
Daaah yani nasikia kulia 🥺🥺🥺
Tuna imani na hersi tuna imani na GSM tunaamini watatuletea kocha ambae atakuja kuendeleza mazuri ya profesa, siyo mnatuletea likocha linakuja kusema mayele hafiti kwenye mfumo wake tutawauaaa
Tena wa kwanza mm kuwauwa
@@SakinaJumapili 🤣🤣
Imeisha iyo tujipange upya wananchiiiiiiiiiii
Kuondoka kwa Nabi najua wananchi walishaona uwezekano ni mkubwa kutokea ila cha msingi tunapaswa kushukuru kwa kile alichofanya kwenye club yetu sio jambo rahisi hata kidogo naamini tutapata kocha bora mwingine. Uongozi wetu hauna kelele nyingi watafanya kwa vitendo.
Ila Nabi unajua makolo wanafanya sherehe kuondoka kwako kiukweli uliwatesa sana😅😅😅
Imeniuma sana basi tu
Kocha alieandika history ya mpira Tanzania Ni Kocha nabi
No comment
Kwa hiyo walicho mpatia wao sis hatuwezi
Kaamua tu na Bora kaondoka na cv nzuri sivyo weeee😂😂😂😂😂😂 wabongo wange mtukana mwishoni
Hatuwezi. Mshahara wa kati ya 100M-400M kwa mwezi ni ngumu kuufikia
Jaman naomben msimuuze mayele
Hii mwenyewe sitoisahau
Gracia Nabi
Ulitufungulia mlango wakujiamini
Tutammsiiii sana
😢😢😢😢😢😢
mimi bado sitaki kuamini kuwa nab anaondoka
Young🎉
ki aziz
Kwaher
Hii Yanga ya Nabi ilikuwa na kasi na utimamu wa mwili kuliko ya Gamondi
Acha uongo
Kilala rheri
hata mimi hii nd game ambayo sitaisahau
Lakini mechi ilkuwa ngumu sana. Tukishambukiwa sana
Tuombemungu tupatekocha makini na mbunifu kupangakikosi kama nabi
Kwann msimuongezee mshahara abaki jap unaondok lkn tunaumia san
Mafanikio yana gharama
Fafanua
Yanga ina wazee tupu