KWAHERI COACH NABI: HII NDIYO MECHI ULIYESEMA HUTOISAHAU.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • #daimambelenyumamwiko #timuyawananchi

Комментарии • 141

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 Год назад +41

    Baada ya mafanikio haya tulijua tu tutawapoteza benchi la ufundi na hata wachezaji muhimu, lakini hamna baya, hatuwadai. Tunawashukuru kwa kazi nzuri, tunawatakia mafanikio makubwa huko muendako

  • @musaambonisye6046
    @musaambonisye6046 29 дней назад +2

    Yanga ndio timu pekee kutoka Tanzania kupata ushindi kwa waarabu ndani ya dk 90, na ushindi wa moja kwa moja❤❤

  • @kilulumtunyungu9369
    @kilulumtunyungu9369 Год назад +5

    Respect kwako nabi hutukuwahi kujua kwamba tunaweza lakini umetuhakikishia kwamba tunaweza much love💛💚💛💚🙏🙏

  • @fatmahussein6085
    @fatmahussein6085 Год назад +3

    All the best Nabi
    Inshaa Allah tutapata coacher mwingine mwenye akili kama nabi💚💛

  • @princeshahulo2174
    @princeshahulo2174 Год назад +9

    Tunakutakia kila la kheri prof. Nabi daima tutakukumbuka kwa mchango wako wananchi hatuna baya nawe tunashukuru sana kwa muda uliokuwa pamoja nasi. All the best prof. Nasreddine Nabi!!!!

    • @danielmussa4101
      @danielmussa4101 Год назад +1

      Akika tutakukumbuka prof nabi ufike salama uendako

  • @fzlcomrajabu9514
    @fzlcomrajabu9514 Год назад +10

    All the best prof. Nabi 🙏

  • @fatmasuleiman3885
    @fatmasuleiman3885 Год назад +2

    Niseme Allahamdulillah kocha umetuacha bado tuna kuhitaji naatamani kulia hata nikilia haita nisaidia niseme Daima mbele nyuma mwiko Asante Nab Asante sana kwa yote uliotutendea💛💛💛🙏

    • @songombingo108
      @songombingo108 Год назад

      Hakika nakuunga mkono uliyoyasema. Nabi alikuwa Baba wa Wachezaji.. Alishiriki pia kwenye mambo ya kijamii. Sitasahau siku Sure Boy amefiwa na mtoto wake mdogo. Nabi aliubeba mwili wa Mtoto kwenye mazishi. Huna baya Nabi

  • @FirdausyAbubakary-bl2wo
    @FirdausyAbubakary-bl2wo Год назад +2

    Kuachana ni sunnah imma kwa kifo au kwa vovite vile ila ndo hivo tutammiss saana Professor💛💚

  • @RAM7_TZ
    @RAM7_TZ Год назад +1

    Asante mwenyezi mungu kwa ZAWADI ya MISIMU miwili ya ubora kwa yanga , asante nabi kwa ushilikiano tunakutakia MAFANIKIO huko uendako 🇹🇿🇹🇿🤜🙏❤️🙏🤛

  • @emmanuelodiembo
    @emmanuelodiembo Год назад +1

    Hope they once said "agood dancer must know when to leave the stage", umeondoka bado tunakuhitaji lkn pia umeondoka Kwa heshima, hope that accomplish hyo statement,all the best &may God be with you on your duties ahead. Much respect Nabi

  • @waungwana2287
    @waungwana2287 Год назад +1

    Asante sana nabi wananchi tunazid kukubea

  • @nurdininanjota4056
    @nurdininanjota4056 Год назад +3

    Naomba Allah anijalie nipate Mtoto wakiume ataitwa Nabi na mjukuu wangu namita Nasrdeeny kwa mazuri ya niaba ya pro. 🙏

  • @kazunguclaver2539
    @kazunguclaver2539 Год назад +4

    Nabi kwaheri lakini utakumbukwa sana Jangwani kwa kazi nzuri uliyoifanya.
    Sio kushinda tu mechi hata kumiliki mpira kwa kila timu Yanga aliyocheza nayo!!!
    Yanga imeishakuwa timu kubwa barani Afrika na makocha wa kuinoa lazima wawe na majina makubwa mfano ni Florent Ibenge.

  • @bull_tv881
    @bull_tv881 Год назад +6

    Mungu amjazie baraka tele professor nabi tunakupenda

  • @thetrends472
    @thetrends472 Год назад

    daaah ila ndo ivyo sio mbaya man timu ni taasisi na kocha ni mfanyakazi tu hivyo ni kawaida kwa mfanyakazi kutoka taasisi moja kwenda nyengine .. All the best Nabi #daimambelenyumamwiko welcome the then coach, hopely the coming one will be best enough....

  • @khalimafahim1934
    @khalimafahim1934 Год назад +1

    Asante Nabi nanda salama allah akujaalie uzima na nguvu katika jukumu lako jipya tunashukuru Tanzania huna baya na hatukudai

  • @japhetkasewa9372
    @japhetkasewa9372 Год назад +3

    Hersi Said na Arafat wanatengeneza CV zao na ipo siku na wao wataondoka kwenda kwenye changamoto mpya. 2025 sio mbali tusubiri tu. Ni jambo jema kuona tunafanikiwa pamoja na wakitaka kuondoka tuwatakie heri hata kama ni kwa maumivu. Haya ni maisha na muda hauwasubiri. Ukipata sehemu ya kupiga pesa nyingi nenda. Kila la heri kwa Nabi na wenzake

  • @mrblml2477
    @mrblml2477 Год назад +1

    Ni kipengele kigumu sana kukiamini asee mkono wa kwaheri professor nabi

  • @ramadhaninondo3588
    @ramadhaninondo3588 Год назад +7

    Tunakushukuru kocha Nabi kwa mafanikio uliyoipa Yamga. Tunakutakia kila la heri katika timu yako mpya

  • @PatriciaDonald-m2l
    @PatriciaDonald-m2l 13 дней назад

    Days goes and years pasess but the game stays in my memories

  • @Zaynab-ny6gr
    @Zaynab-ny6gr Год назад +1

    In sha Allah kila la kher kwake ametuheshimisha tuna imani na haris na ghalb tutapata kila kitu kipya na bora zaid

  • @khadijaabdala6876
    @khadijaabdala6876 Год назад +1

    Daah 😪😪Ahsante prf Nabi ki ukweli hatuna deni na wewe Alhamdullillah kila la kheri

  • @juliussenzia8717
    @juliussenzia8717 Год назад +1

    Kila la kheri Nabi,tutakukumbuka daima

  • @Hadijaissa-j9c
    @Hadijaissa-j9c Месяц назад +1

    Tulijua kushambuliwa aisee

  • @rukiakyaka1827
    @rukiakyaka1827 Год назад

    M/Mungu tunakushuru kwaulipotufikisha na viongozi wetu M/Mungu wajaalie viongozi na wachezji wetu huko muendako. M/Mungu tujaalie nasi tulio baki na viongozi wetu Allah tufungulie njia zaidi na tulete makocha na wachezaji zaidi Inshaallah

  • @mickdadimatola
    @mickdadimatola Год назад +4

    Daaah it's very sad 😔 to wananchi

  • @shadimwambula7748
    @shadimwambula7748 Год назад +1

    Mungu awe nawe kocha Nabi 💚💛

  • @AlmachNestory
    @AlmachNestory Год назад +1

    Namtakia kila la heri mwl Nabi, ila viongozi wetu mjifunze kusema ukweli kwani wakati anaongeza mkataba mlisema amesaini miaka 2, kumbe alisaini mwaka 1. Ndg ukweli utatuweka huru, asante.

  • @rukaya-jg7hj
    @rukaya-jg7hj Год назад +1

    Tunakupenda sana pr nabi kila la kher

  • @guccij6236
    @guccij6236 Год назад +3

    All the best Nabi welcome Pitso

  • @hggvg9809
    @hggvg9809 Год назад +1

    So sad😭 so Alhamdulillah ulipo tufikisha hayikua kazi Raisi kila la heri kwa majukumu mengi unaenda kufanya ubarikiwe uendako tutakukumbuka daima milele 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @innocentmmandago3029
    @innocentmmandago3029 Год назад +3

    Kila la heri kocha Nabi kwa majukumu mapya uendako!!

  • @monjimonjitaiyai
    @monjimonjitaiyai Год назад +2

    Dah sawa hatuna la kusema 🙏🙏

  • @dokasalim943
    @dokasalim943 Год назад +3

    All the best Nabbi 👏👏👏💚💛🇹🇿

  • @hezidembe
    @hezidembe Год назад +1

    Yanga ipo, Hersi na Arafat wapo...daima mbele nyuma mwiko. Kongole Nabi!

  • @jescamuijsers4206
    @jescamuijsers4206 Год назад

    Ni furaha na rahisi kusema karibu, lakini ni maumivu makali sana kusema kwaheri, ndiyo Dunia , asante kocha nabi tunakutakia kila la kheli huko uendako,daima tutakukumbuka good luck 🤞 and good bye 👋👋

  • @chancelebonndayishimiye9010
    @chancelebonndayishimiye9010 Год назад +2

    Kweli Feisal ametuzingua ila ball anajua❤

  • @JumaNassor-cj3zy
    @JumaNassor-cj3zy Год назад +2

    Nimejikuta nalia kimkosa nabii Sina furaha leo😊

  • @aishabakari8040
    @aishabakari8040 Год назад +6

    😭😭😭😭tutampata wp kama Nabi

    • @charitymkombozi5900
      @charitymkombozi5900 Год назад +1

      😭

    • @khloevibe7569
      @khloevibe7569 Месяц назад +1

      MUNGU alituona dada😂😂tuna gamondi sasa hv

    • @rogersiddy
      @rogersiddy Месяц назад +1

      ​@@khloevibe7569Yaan unawaza kweli uwepo wa NABI?kwa mpila huu wa Gamondi Wala wazo la NABI halipi kbsaaa ila tunampenda kama sehem ya mafanikio yeye hajadumu kwenye timu alioenda Gamondi anetusahulisha kbsaaa kama tulikuwa na NABI🙌

  • @UshindiGwivaha
    @UshindiGwivaha 6 месяцев назад

    Daah Feisal alitupeleka hajaenjoy medali

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 Год назад

    Daaah aisee kwahiyo kocha Nabi mmnamwachia aende aisee too bad kwakweli

  • @rehemaabdullah7606
    @rehemaabdullah7606 Год назад

    Kila la kher kocha wetu wa mpira 💛💚🤲🏽

  • @senseiamani4684
    @senseiamani4684 Год назад

    Kila la kheri our coach nabi

  • @abuumtoa2336
    @abuumtoa2336 Год назад +1

    Lazima tukubali Nabi ni bonge la coach but all the best wherever u go

  • @rukaya-jg7hj
    @rukaya-jg7hj Год назад +2

    Tunamtakia kila la khery anakokwenda🎉🎉🎉

  • @livinusrenatus
    @livinusrenatus Год назад +3

    Best match to me so far

  • @gracegofrey4677
    @gracegofrey4677 Год назад +1

    Hamna jinsi ,😥 kila la kheri kwake kila jambo na wakati wake

  • @jacktons8614
    @jacktons8614 Месяц назад +1

    Hii mechi Sure Boy aliwakamata sana hawa waarabu😀

  • @scopy0428
    @scopy0428 Год назад +1

    Kama iliandikwa kuwa Yanga itaendelea kufanya vizur kitaifa na kimataifa bas Hilo litaendelea kuonekana Inshaalah

  • @budodianthony8094
    @budodianthony8094 Год назад

    🙏🙏🙏🙏🙏🤝🤝🤝💝kila njemaa ni kushukuru MUNGU

  • @charitymkombozi5900
    @charitymkombozi5900 Год назад +1

    Tunamshukuru kwa hapa alipotufikisha tunamtakia kila la heri

  • @michaelngowi34
    @michaelngowi34 Год назад +1

    Mmmm jamani kueni Makini wamesha Anza kuondoka tena

  • @RahmaKichili-uq8jg
    @RahmaKichili-uq8jg Год назад +1

    Namuona fei akifika mbali kupitia Nabi

  • @bahatijuma6769
    @bahatijuma6769 Год назад +1

    Nabi Ni kocha Bora tutamkumbuka sna wananchi lakin najivunia kuwa na uwongozi Bora sna kuanzia Rais,makamu pamoja na wazamini wetu naamini bdo furaha itaendelea jangwani

  • @bahatijuma6769
    @bahatijuma6769 Год назад +3

    Naisi Kama tunaludi kule kule cjui soka letu bongo linashida gan cyo kocha tu naona wengi wa umuhimu wataondoka usishangae ata rais na makamu wake wakaondoka pia,

    • @AnnaSimon243
      @AnnaSimon243 Год назад +1

      Hapa tunarudi kule kule! Nilikua najua kabisa mwakani tunachukia Kombe. Lakini sasa, mmmmh! Mood ya ushabiki wa mpira umenitoka kabisa. Hasa kumkosa uwanjani kocha naby na Mayele.😢😢😢

    • @charitymkombozi5900
      @charitymkombozi5900 Год назад +1

      @@AnnaSimon243 achen hizo bado yanga itakuwa bora kwa kuwa tuna viongozi imara

  • @petersayi7878
    @petersayi7878 Год назад +3

    Wapo wengi tu kama yy kwani amepoteza uhai mpaka mnahuzunika hivo anaweza akaluditu kwa badae

  • @jambo3751
    @jambo3751 Год назад +4

    Hapo atoke na Mayele ndio kidooogo tutapumua.
    Duh! Lilikuwa tayari lishakuwa bonge la Timu lakini afadhali linaanza kumeguka kidogo kidogo angalau na sisi tupumzike matusi na makelele yao. Lakini Kama GSM na Manara hawajaachana na Timu hili bado tutaendelea kuwa na wakati mgumu.
    Kwa kumalizia"Mafanikio ya Yanga yanaumiza moyo wangu Haina haja ya kuwa mnafik..Kwani na Yanga tangu lini wametutakia mema sisi SIMBA...watani mpoooo 😁😁😁.

    • @charitymkombozi5900
      @charitymkombozi5900 Год назад +2

      🤣🤣kakwambia nan yanga inaanza kumeguka sasa nakwambia tabu iko pale pale

    • @gabrielmoses6860
      @gabrielmoses6860 Год назад

      Umeongea kweli.

    • @magrethyeremia2279
      @magrethyeremia2279 Год назад

      Jambo ndo kwanz mambo yanaanzabkuwa ya motooo

    • @wardashabani
      @wardashabani Год назад

      Kwan wameondoka wachezaj wote tabu iko palepale hamtaamin

  • @FashionTZ-f3h
    @FashionTZ-f3h Месяц назад

    Mechi hii sure boy aliamua kuliteka Dimba, aisee kile kiwango cha sureboy ni hatari sana. Kiungo bamia..

  • @cutebaby3247
    @cutebaby3247 Год назад +1

    Soka La Bongo bana😶
    Kila La kheri Kocha wa Boli🙌

  • @Samalextz
    @Samalextz 20 дней назад

    Shauku yangu kubwa ni kuona yanga inawekeza sasa zaidi katika timu za vijana ktka nyakati hizi ambazo timu inafanya vizuri na inawavutia wengi

    • @Samalextz
      @Samalextz 20 дней назад

      N kweli tujifunze kwa watani zetu Simba waliwekeza kwenye soka la wanawake na sasa bado wapo fiti.

  • @tinabapemacho8650
    @tinabapemacho8650 Год назад +1

    Hakika iyi hata mmsiwezi kuisahau njo mwanzo wa mafanikio yetu Uyu mwaka

  • @idrissajuma7308
    @idrissajuma7308 Год назад

    🎉🎉all the Best

  • @charlesnyanda1646
    @charlesnyanda1646 Год назад +1

    Huo ni uongo. Mechi ambayo itaendelea kumtesa ni dabi ya Simba na Yanga

    • @mwambambaleasajilelucas3938
      @mwambambaleasajilelucas3938 Месяц назад

      Mechi ya dabi aikumyima mafanikio bali hii mechi ilimsafishia njia ya kwenda mpaka fainali ya Shirikisho

  • @ghottaman2570
    @ghottaman2570 Год назад

    Karibu tena Nabi

  • @eliupendo3205
    @eliupendo3205 Год назад +1

    Daah kwel ilikua patashika

  • @danielmussa4101
    @danielmussa4101 Год назад +1

    Duu jamani nikweli kabisa nabi kaondoka jangwani au uongo

  • @PeterKadinda-c8r
    @PeterKadinda-c8r Год назад

    Asntee sanaaa kochaa

  • @KubaliMatokeo
    @KubaliMatokeo 5 дней назад

    Hata mm sitoisahau

  • @Mustaphasaid-b8v
    @Mustaphasaid-b8v Месяц назад

    daah hiiechi itabakia kuw nibonge ra story

  • @damaskinunda-ck6fv
    @damaskinunda-ck6fv Год назад

    All the best

  • @kanisiahaule8321
    @kanisiahaule8321 Год назад

    Nenda lakini karibu yanga

  • @omaryluambano3495
    @omaryluambano3495 Год назад

    Kila la kheri kocha la boli nabi

  • @MohamedMohamed-jz9js
    @MohamedMohamed-jz9js Год назад +1

    Inabidi watu wajifunze game hii zipo sabab nying zinazomfany nabi asisahau hii game angekufungwa game ingekua kazi yake imekatika alitukanwa San mchezo huu ulivochezwa kwa mkapa

  • @MohamedLugige
    @MohamedLugige Месяц назад

    Kinda shomari...aling'aaa sana hii mech

  • @dianajeremiah1547
    @dianajeremiah1547 Год назад

    Daaah yani nasikia kulia 🥺🥺🥺

  • @charitymkombozi5900
    @charitymkombozi5900 Год назад +1

    Tuna imani na hersi tuna imani na GSM tunaamini watatuletea kocha ambae atakuja kuendeleza mazuri ya profesa, siyo mnatuletea likocha linakuja kusema mayele hafiti kwenye mfumo wake tutawauaaa

  • @platner5
    @platner5 Год назад

    Imeisha iyo tujipange upya wananchiiiiiiiiiii

  • @AbdulatifSaidy
    @AbdulatifSaidy Год назад

    Kuondoka kwa Nabi najua wananchi walishaona uwezekano ni mkubwa kutokea ila cha msingi tunapaswa kushukuru kwa kile alichofanya kwenye club yetu sio jambo rahisi hata kidogo naamini tutapata kocha bora mwingine. Uongozi wetu hauna kelele nyingi watafanya kwa vitendo.
    Ila Nabi unajua makolo wanafanya sherehe kuondoka kwako kiukweli uliwatesa sana😅😅😅

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 Год назад

    Imeniuma sana basi tu

  • @senseiamani4684
    @senseiamani4684 Год назад

    Kocha alieandika history ya mpira Tanzania Ni Kocha nabi

  • @AbdulMakuka-s6w
    @AbdulMakuka-s6w Год назад

    No comment

  • @chrissm8911
    @chrissm8911 Год назад +1

    Kwa hiyo walicho mpatia wao sis hatuwezi

    • @dainangei6608
      @dainangei6608 Год назад +2

      Kaamua tu na Bora kaondoka na cv nzuri sivyo weeee😂😂😂😂😂😂 wabongo wange mtukana mwishoni

    • @japhetkasewa9372
      @japhetkasewa9372 Год назад +1

      Hatuwezi. Mshahara wa kati ya 100M-400M kwa mwezi ni ngumu kuufikia

  • @Andrewnchenge-il7ij
    @Andrewnchenge-il7ij Год назад

    Jaman naomben msimuuze mayele

  • @FrankMbwambo-o4t
    @FrankMbwambo-o4t 28 дней назад

    Hii mwenyewe sitoisahau

  • @Immamk__44
    @Immamk__44 Год назад

    Gracia Nabi

  • @MpokigwaMwakalinga
    @MpokigwaMwakalinga Месяц назад

    Ulitufungulia mlango wakujiamini

  • @enockenock8597
    @enockenock8597 Год назад

    Tutammsiiii sana

  • @ramadhanwemamwalimu8748
    @ramadhanwemamwalimu8748 Год назад +1

    😢😢😢😢😢😢

    • @kingsun8465
      @kingsun8465 Год назад +1

      mimi bado sitaki kuamini kuwa nab anaondoka

  • @Rugemalilatv1994
    @Rugemalilatv1994 Год назад

    Young🎉

  • @mathewdickson8891
    @mathewdickson8891 Год назад

    ki aziz

  • @kingsun8465
    @kingsun8465 Год назад +1

    Kwaher

  • @nevermind4789
    @nevermind4789 Месяц назад

    Hii Yanga ya Nabi ilikuwa na kasi na utimamu wa mwili kuliko ya Gamondi

  • @micomeshack7024
    @micomeshack7024 Год назад +1

    Kilala rheri

  • @mathewdickson8891
    @mathewdickson8891 Год назад

    hata mimi hii nd game ambayo sitaisahau

  • @dastanfussy4898
    @dastanfussy4898 Месяц назад

    Lakini mechi ilkuwa ngumu sana. Tukishambukiwa sana

  • @deogratiusjames7211
    @deogratiusjames7211 Год назад

    Tuombemungu tupatekocha makini na mbunifu kupangakikosi kama nabi

  • @pachatztz4060
    @pachatztz4060 Год назад

    Kwann msimuongezee mshahara abaki jap unaondok lkn tunaumia san

  • @DanielIsaack-mx4fc
    @DanielIsaack-mx4fc Год назад

    Mafanikio yana gharama

  • @Cathyson469
    @Cathyson469 Год назад +1

    Fafanua

  • @HEZRONMATIKO-mt9oq
    @HEZRONMATIKO-mt9oq 28 дней назад

    Yanga ina wazee tupu