UKWELI WA MAISHA YA CANADA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 31 окт 2020
  • HARMONISE,KIDUMU,DIAMOND PLATNUMUZ,INNOS B,AZAM TV, EASTE AFRICA TV,TANZANIE,DRC.

Комментарии • 70

  • @user-vr6fc5qm2i
    @user-vr6fc5qm2i Месяц назад

    Sounds truck iko juu sana ata sauti hasikiki vizuri.

  • @seifomar1148
    @seifomar1148 3 года назад +9

    Nataman kuja kuishi Canada one day yes my dreams come true

    • @vamitv873
      @vamitv873 3 года назад

      Let's go

    • @collisbill8871
      @collisbill8871 2 года назад

      As a same to me

    • @rashidymuzna1501
      @rashidymuzna1501 2 года назад

      @@vamitv873 vip unaunganisha watu au vip maana nataman kwenda kwa muda mrefu

  • @shetlandersolent1719
    @shetlandersolent1719 2 года назад

    Great Coversation, keep it up pal

  • @aishaaisha4556
    @aishaaisha4556 2 года назад +2

    Asante sana kaka kwa hiyo maelezo yenu mimi hapa natamani Sana kupata kazi kwenye inch ya Canada na sichakui kazi bora malipo je unaweza kunisaidia ili kupata kazi yoyote huko

  • @bawla90
    @bawla90 7 месяцев назад

    Greatest interview ever.. Ahsanteni

  • @ayesharamadhani3127
    @ayesharamadhani3127 3 года назад +2

    Very nice👌

  • @djb2kzer0
    @djb2kzer0 3 года назад +1

    VL Production 🔥🔥🙌🏾✊🏾

  • @MaryamMaryam-gi9zw
    @MaryamMaryam-gi9zw Год назад

    Huyo jamaa ameongea point sanaa ukiwa nje ukitaka kila kitu kipya ukipate bac uto fanya kitu

  • @dnoir7409
    @dnoir7409 3 года назад +1

    Good job 👏

  • @mamirokongx195
    @mamirokongx195 3 года назад +1

    Hongereni kwa kutumia Kiswahili.

  • @saidissa1790
    @saidissa1790 3 года назад +2

    Inshaallah soon..naomba Mungu ajaalie hii pandemic itulie tu!

  • @lucylucy3678
    @lucylucy3678 2 года назад +2

    Mtangazaji samaha sana sana tu mimi nataka kazi wala sichagui kazi hata y kuosha vyombo au vyooo jibu kama utojali.

  • @chayogasperi9783
    @chayogasperi9783 11 месяцев назад

    Next time punguza background music .

  • @francesmhina-gj1nm
    @francesmhina-gj1nm Год назад

    Hongela kaka iposiku nami nitakuja huko

  • @DaudScience
    @DaudScience 26 дней назад

    Mimi naomba unijuilishe mafundi sofa au makochi kiasi gani kwa saa

  • @graceramadan5396
    @graceramadan5396 3 года назад +3

    Nimeipenda sana na mm nina plan ya kuja huko ungetuambia namna ya kuingia huko

    • @ndukulusudikucho_
      @ndukulusudikucho_ 3 года назад

      Kupitia elimu, sponsor,work permit n.k

    • @tfsgvz9369
      @tfsgvz9369 3 года назад

      Asante sana kkngu pia mm ni saidie ni weze kuja huko kufanya kazi plz mm na tokea kenya

  • @beautyandfashiontipsforbot4524
    @beautyandfashiontipsforbot4524 2 года назад +1

    Mm nijiraniyako

  • @GodfreyMdemu-uw2lv
    @GodfreyMdemu-uw2lv Год назад

    Nimefurai sana kuona mnatupatia elimu ya kanada ivi taratibu za kusoma kingereza zipoje na gharama zake Mimi ni mmoja ambae mwaka huu ninaweza kuja naomba nipe taratibu zake elimu yangu ni Class 7.tu

  • @beautyandfashiontipsforbot4524
    @beautyandfashiontipsforbot4524 2 года назад

    Salamu allaikumu waRahmatulah wabarakatuh

  • @lilyparnis9221
    @lilyparnis9221 Год назад

    Mm nataka kazi hata kama kuosha nyumba

  • @redmondbaby1710
    @redmondbaby1710 2 года назад

    One day everything will be okay inshallah

  • @najmamwinyi6808
    @najmamwinyi6808 Год назад

    Habari zeni mimi naitaji kazi huko naomba mnisaidie nimepambana nchi za kiarabu nimechoka

  • @beautyandfashiontipsforbot4524
    @beautyandfashiontipsforbot4524 2 года назад

    Na kupata

  • @YUDEA.TV255
    @YUDEA.TV255 2 года назад +1

    Nina maono ya kufika huko kwa ajili ya kufanya kazi Kwa bidii na kuubili injili mnisaidie jinsi ya kufika

  • @kadunawewe7248
    @kadunawewe7248 2 года назад

    Nataka kuja kufanya kazi huko na kuishi canada

  • @kassimnandule918
    @kassimnandule918 2 года назад

    ndoto yangu kubwa kufika katika hii nchi naombeni muongozo wa kufika katika nchi hii

  • @gustavemajuto3737
    @gustavemajuto3737 Год назад

    Jambo kaka naitaji namba

  • @elikanakiheka8242
    @elikanakiheka8242 3 года назад

    Hiyo pesa dola 600 au 800 hiyo benefit inaitwaje kwa kiingereza? Pia hiyo dola 240 kwa ajili ya kujifunza lugha inaitwaje pia kwa lugha ya kiingereza?

  • @bikolivenance8407
    @bikolivenance8407 2 года назад

    jamani muwe kunaweka namba zawatsapp

  • @ernesthenry9589
    @ernesthenry9589 2 года назад

    Ili niwe truck driver huko Canada nifate njia zipi kufika huko?

  • @mohdjuma8981
    @mohdjuma8981 Год назад

    Nafikaje canada

  • @tfsgvz9369
    @tfsgvz9369 3 года назад

    Nikulize kenya una weza pata aget wa kunismamia kuja huko

  • @uwimananadia6066
    @uwimananadia6066 3 года назад

    Tunaomba utuleze story jinsi yakuja huko kama mtu binafsi anajileta bila kuletwa na serekali mfano visa kupanga nyumba na je inawezekana uje huko bila hauna ndugu ao rafiki naomba msada pls ahsante.

  • @collisbill8871
    @collisbill8871 2 года назад

    Ningependa nami nije kuishi uko siku moja

  • @faridamhanga4443
    @faridamhanga4443 3 года назад

    Kaka waweza nisaidia kupata kaz yoyote hata zandani

  • @salha6596
    @salha6596 3 года назад

    Kazi jamani huko ziko vipi

  • @khadijaseif1170
    @khadijaseif1170 2 года назад

    My brother namba yako

  • @tumainyohana6469
    @tumainyohana6469 Год назад

    Nitakuja kuishi canada

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 3 года назад

    Nawapata tokea New Zealand

  • @beautyandfashiontipsforbot4524
    @beautyandfashiontipsforbot4524 2 года назад

    Bwana bulule 18 20

  • @hafidhsaid2435
    @hafidhsaid2435 3 года назад +1

    Plz help me to be in CANADA am come from Zanzibar..

    • @vamitv873
      @vamitv873 3 года назад

      Let's go bro

    • @farikkaqueen2367
      @farikkaqueen2367 2 года назад

      do have a visa??

    • @azizasaid5230
      @azizasaid5230 Год назад

      Visa ya canada inasimama kwa bei gani kwa sasa

    • @janemakemo5635
      @janemakemo5635 Год назад

      Naomba unisaidie n8pate kazi yza kawaida Kama kuosha vyombo kuosha vyoo au kunza bustani tafadhali

  • @macafe3599
    @macafe3599 2 года назад

    Mambo nipatie email yako bro

  • @netlity5532
    @netlity5532 2 года назад

    Africa is not a country...ni vema ukasema kabisa umetokea nchi gani kabla ya kwenda huko Canada. Africa ni moja lakini tamaduni zinatofautiana Sana Kwa baina ya nchi zilizomo ndani yake

  • @kipedomodric3411
    @kipedomodric3411 Год назад

    Natamani tupate kazi huko.tusaidien watanzania wezenu tupate kazi

  • @seifomar1148
    @seifomar1148 3 года назад

    Mtangazaji hivi inachukuwa muda gani kupata uraia wa Canada ? Naomba kufahamu tafadhali

    • @ndukulusudikucho_
      @ndukulusudikucho_ 3 года назад

      Miaka 5 baada ya kuwa na permanent resident

    • @machetebogota4218
      @machetebogota4218 2 года назад

      @@ndukulusudikucho_ napenda kujua me Niko nchi ambayo nanunua visa kwa raia wa hapa kwa kutumia jina lake sas je nauko naweza nunua visa au hutoa visa kwa vigezo gani

  • @msemasungura5651
    @msemasungura5651 3 года назад

    Tupeni mchongo wakuja huko kutafuta

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 Год назад

    JAMANI KAMA HUNA JAMBO LA MUHIMU TULIA AFRICA KUNA KAZI NYINGI ZA KUFANYA NA UTOKE KIMAISHA. BIDII NI MUHIMU POPOTE.

  • @carolynediana7841
    @carolynediana7841 3 года назад

    Naulza Kenya naeza Pata agent wa kunisimamia Kuja uko

    • @rahmaally2913
      @rahmaally2913 2 года назад

      Mm mwenyewe nahahamkutafuta acha2

  • @bahatihitu8711
    @bahatihitu8711 3 года назад +1

    Tusaidieni na sisi tuje 0627961200