Asante sana kaka kwa hiyo maelezo yenu mimi hapa natamani Sana kupata kazi kwenye inch ya Canada na sichakui kazi bora malipo je unaweza kunisaidia ili kupata kazi yoyote huko
Nimefurai sana kuona mnatupatia elimu ya kanada ivi taratibu za kusoma kingereza zipoje na gharama zake Mimi ni mmoja ambae mwaka huu ninaweza kuja naomba nipe taratibu zake elimu yangu ni Class 7.tu
Tunaomba utuleze story jinsi yakuja huko kama mtu binafsi anajileta bila kuletwa na serekali mfano visa kupanga nyumba na je inawezekana uje huko bila hauna ndugu ao rafiki naomba msada pls ahsante.
Africa is not a country...ni vema ukasema kabisa umetokea nchi gani kabla ya kwenda huko Canada. Africa ni moja lakini tamaduni zinatofautiana Sana Kwa baina ya nchi zilizomo ndani yake
@@ndukulusudikucho_ napenda kujua me Niko nchi ambayo nanunua visa kwa raia wa hapa kwa kutumia jina lake sas je nauko naweza nunua visa au hutoa visa kwa vigezo gani
Sounds truck iko juu sana ata sauti hasikiki vizuri.
Nataman kuja kuishi Canada one day yes my dreams come true
Let's go
As a same to me
@@vamitv873 vip unaunganisha watu au vip maana nataman kwenda kwa muda mrefu
Great Coversation, keep it up pal
Asante sana kaka kwa hiyo maelezo yenu mimi hapa natamani Sana kupata kazi kwenye inch ya Canada na sichakui kazi bora malipo je unaweza kunisaidia ili kupata kazi yoyote huko
Greatest interview ever.. Ahsanteni
Very nice👌
VL Production 🔥🔥🙌🏾✊🏾
Huyo jamaa ameongea point sanaa ukiwa nje ukitaka kila kitu kipya ukipate bac uto fanya kitu
Good job 👏
Hongereni kwa kutumia Kiswahili.
Inshaallah soon..naomba Mungu ajaalie hii pandemic itulie tu!
Mtangazaji samaha sana sana tu mimi nataka kazi wala sichagui kazi hata y kuosha vyombo au vyooo jibu kama utojali.
Next time punguza background music .
Hongela kaka iposiku nami nitakuja huko
Mimi naomba unijuilishe mafundi sofa au makochi kiasi gani kwa saa
Nimeipenda sana na mm nina plan ya kuja huko ungetuambia namna ya kuingia huko
Kupitia elimu, sponsor,work permit n.k
Asante sana kkngu pia mm ni saidie ni weze kuja huko kufanya kazi plz mm na tokea kenya
Mm nijiraniyako
Nimefurai sana kuona mnatupatia elimu ya kanada ivi taratibu za kusoma kingereza zipoje na gharama zake Mimi ni mmoja ambae mwaka huu ninaweza kuja naomba nipe taratibu zake elimu yangu ni Class 7.tu
Salamu allaikumu waRahmatulah wabarakatuh
Mm nataka kazi hata kama kuosha nyumba
One day everything will be okay inshallah
Habari zeni mimi naitaji kazi huko naomba mnisaidie nimepambana nchi za kiarabu nimechoka
Na kupata
Nina maono ya kufika huko kwa ajili ya kufanya kazi Kwa bidii na kuubili injili mnisaidie jinsi ya kufika
Nataka kuja kufanya kazi huko na kuishi canada
ndoto yangu kubwa kufika katika hii nchi naombeni muongozo wa kufika katika nchi hii
Jambo kaka naitaji namba
Hiyo pesa dola 600 au 800 hiyo benefit inaitwaje kwa kiingereza? Pia hiyo dola 240 kwa ajili ya kujifunza lugha inaitwaje pia kwa lugha ya kiingereza?
assistant benefits
or Government’s assistance
jamani muwe kunaweka namba zawatsapp
Ili niwe truck driver huko Canada nifate njia zipi kufika huko?
Nafikaje canada
Nikulize kenya una weza pata aget wa kunismamia kuja huko
Tunaomba utuleze story jinsi yakuja huko kama mtu binafsi anajileta bila kuletwa na serekali mfano visa kupanga nyumba na je inawezekana uje huko bila hauna ndugu ao rafiki naomba msada pls ahsante.
Ningependa nami nije kuishi uko siku moja
Kaka waweza nisaidia kupata kaz yoyote hata zandani
Kazi jamani huko ziko vipi
you need to contact certain agencies or job adverts
My brother namba yako
Nitakuja kuishi canada
Nawapata tokea New Zealand
@Smartcalii tunapataje mchongo huko
Bwana bulule 18 20
Plz help me to be in CANADA am come from Zanzibar..
Let's go bro
do have a visa??
Visa ya canada inasimama kwa bei gani kwa sasa
Naomba unisaidie n8pate kazi yza kawaida Kama kuosha vyombo kuosha vyoo au kunza bustani tafadhali
Mambo nipatie email yako bro
Africa is not a country...ni vema ukasema kabisa umetokea nchi gani kabla ya kwenda huko Canada. Africa ni moja lakini tamaduni zinatofautiana Sana Kwa baina ya nchi zilizomo ndani yake
Natamani tupate kazi huko.tusaidien watanzania wezenu tupate kazi
Mtangazaji hivi inachukuwa muda gani kupata uraia wa Canada ? Naomba kufahamu tafadhali
Miaka 5 baada ya kuwa na permanent resident
@@ndukulusudikucho_ napenda kujua me Niko nchi ambayo nanunua visa kwa raia wa hapa kwa kutumia jina lake sas je nauko naweza nunua visa au hutoa visa kwa vigezo gani
Tupeni mchongo wakuja huko kutafuta
JAMANI KAMA HUNA JAMBO LA MUHIMU TULIA AFRICA KUNA KAZI NYINGI ZA KUFANYA NA UTOKE KIMAISHA. BIDII NI MUHIMU POPOTE.
Tushike mkono basi siyo unabwabwaja2
Naulza Kenya naeza Pata agent wa kunisimamia Kuja uko
Mm mwenyewe nahahamkutafuta acha2
Tusaidieni na sisi tuje 0627961200
Kweliii