Sawa kabisaa!! Wabongo ciyoo!! Bora ukutane na raia wa nchi yoyote usiemjua. Kaa nao mbali. Hawana pigo. Na usiseme mengi yenye faida. Tafuta wachache unao wAamiini. Pamoja. Kaka Yako Shomari. Ndani ya Bongo. Big followers!!👍
Yani wabongo bwana,wanaona aibu watu wakija huko wakajuwa shuhuli zao au wewe unavyoeleza ukweli wao roho zinauma wakiona unaongea ukweli halisi wa maisha😂na si hapo tu kote waliko watu wanaongea Swahili language ni mtihani.wanaona aibu wakikutwa wanaosha vyoo na kukusanya mabox lakini ndo ukweli wengi ni mishemishe tu sasa wivu wa nini🌚
Watanzania wengi Wana roho mbaya akiwa nje amefika yeye kwa ku aso basi anajio a mjanja kumbe ujinga achana nao mamba zako tunazo Watu wanatafuta Hela watakutafuta tu Mimi ni mmoja wapo Nina watu wawili nasubiria pesa tu itakuwa tayari
Skukuwai live bro ila naskiliza hapa watu wenye mioyo kama wewe tuko wachache sana af wenye hasira za kutafta pesa ni wachache bro wabongo sio kabisa yan hata kukaa bo hawafai af wabongo wavivu kishenzi yan ila kw roh mbaya wana roh mbaya kichiz hata south si tumeona hawafai kabisa na ukitaka maendeleo piga kazi kivyako panga chumba kivyako tulia
Dula wesenge hao achana nao tusaidie tu Mimi nimesafiri sana nchi za Africa wabongo sio watu wazuri wa ovyo sana Kaa nao mbali mtu anasema anasaidia watu kujaza green lotary mi nakataa ni mlolongo mrefu sana wakati kuna njia rahisi kama hizo dura tinashukuru sana
Achana na hizo kunguni siyo hapo tu hapa nilipo mimi wanatabia hizo hata ukiingia chooni wanataka kujuwa ulienda kwa haja ndogo au kubwa yani ni moto jamani wabongo shikamooo🔥na hawanaga lolote hata visa hawana wanasubiri tu wakifa maiti ichangiwe wasafirishwe hawana lolote tumewachokaaaaaaaa🤔Bro piga kazi achana nao punda hao,me pia naishi kama wewe nimejikata kabisa sitakagi kuwaona wala kuwasikia kunguni walokosa vitanda hao.
Sawa we funguka mi jilani yangu mmarekani lakini Ananiambia maisha kama unavyo sema wewe lakini mukifikia habari ya campani ya kunivusha uko Ataki kabisa sijuwi sijuwi Ajuwi njia au roho mbaya hata simuelewi sasa wewe unaelekeza vizuri tatizo
Mungu ata kuzidishia kwa wema
Sawa kabisaa!! Wabongo ciyoo!! Bora ukutane na raia wa nchi yoyote usiemjua. Kaa nao mbali. Hawana pigo. Na usiseme mengi yenye faida. Tafuta wachache unao wAamiini. Pamoja. Kaka Yako Shomari. Ndani ya Bongo. Big followers!!👍
Congratulatin my brother God bless you .God give you high Life.
Wengi wetu cc wabongo!! Tuna roho za kimaskini. Zilizo pitiliza. Big up sana mdogo wangu kwa moyo ulio nao!!
Watu wana roho mbaya sanaaaa. Na hivi huko marekani hamnaga waganga wa kienyeji lau wangekuwepo wangeshaenda wakuloge wakumalize kabisa
Hao wabongo hachana nao Wana roho mbaya sana mm nakukubali sana
Kabisa bro mungu akuongoze zaidi
Hongera kwa sababbu u nakubalii kwenu mkataa kwao ni mtumwa
Kaka pole san nakuomba uwe makini san atakaye kutaka atakutafuta mwenyewe rangi nyeusi sio nzur wanaroho mbaya san
Kaka uko sawa sana nakukubali mungu akubaliki
Tuchemshe akili zetu kuijua dining ya kweli na tufate
Tusiangalie maslahi dunia tu..bora .tunduma lakini Imani yako iwe hai...
Kaka mungu akusaidie nataman na mim niwe kama wewe
Kweli mwanangu hata Mimi nimewaona wabongo ni noma,ubarikiwe sana tuko pamoja
Kazi nzuri kaka
Endelea bro na kazi nzuri unayofanya kwa kutufahamisha,mengi ya huko hao wazushi wapotezee hawana mpango
Allah akupe Kila lakheri Kwa Imani yako hii endelea kusaidia
Asante
Asante sana kaka Mungu akuinue kichumi mimi naitwa mariam John Mjema.
Daaah.kamati ya roho mbaya.wabongo noma.
Ndugu yangu usijali hao watu ni roho mbaya tu hawataki wengine tufanikiwe
Mambo tunaona vizuri
Maisha popote tu ...east or west home is best muhimu kujua makusudio ya Muumba wetu ..M/MUNGU ametuumba ajili ya kumuabudu.
Asante d Kwa kutusaidia
Fire
Naitwa omary nipo tanzania nafatiria video zako sana
Babduu unaeleweka sana
Upo Sahih sana
Kweli mwanangu ubarukiwe uko tofauuti sanaaa kaka
Kaka kizazi sana pambana
Big up kaka, ila some time wajuz wa mambo huwa wanasema kwamba ucipende kuongea plan zako za maisha kwa watu kaka husaidia kuepuka roho mbaya za watu.
nimekuona leo na nimekupenda bureee😆😆😆😆 pole kwa hao walio kukwaza jamani
Naomba kujua kupat Rafiki wa uko nikiw uku uku ndugu asante
Nikulewa sana ndugu yangu usichoke pambambana kaka.
💥💥💥
Sema mambo poa
Kaka niamini bongo Amna chongo Bora kutembe
Kaka nashukuru unatuelimisha sana
Kweli kaka
Big up
Kaka dula wewe endelea kupiga kazi sisi tuko nyuma yako hao wachawi achana nao awajui maisha hao
Tunakupata vizur tu kaka
Dulla me nakukubali sana na mm na taman san nifike uko America sema changamoto ni ela2 broo ila mungu wa kwetu sote nitapatag2
Ulaya toka asubuhi mpaka jioni back home unaangalia in the road vichupi hayo macho yanapungua nuru na Imani inashuka temperature..
Nipo bunju dar nakufatilia kaka
Mimi huwa na share video zako kwa wana sasa ntakuwa nahofia hata kushare wanaweza kuharibu iabisa ujui roh ya mtu
Nakubar bother kak
Kweli kabisa mjomba wazanzibari wengi mabaharia kitambo watu wa mtoko
Yani wabongo bwana,wanaona aibu watu wakija huko wakajuwa shuhuli zao au wewe unavyoeleza ukweli wao roho zinauma wakiona unaongea ukweli halisi wa maisha😂na si hapo tu kote waliko watu wanaongea Swahili language ni mtihani.wanaona aibu wakikutwa wanaosha vyoo na kukusanya mabox lakini ndo ukweli wengi ni mishemishe tu sasa wivu wa nini🌚
Atari kabisa 😊
Tahir najua Kuedit na nafanya video vizuri Kwan usinivute UKo tufanye vipindi
Achana nao hawana uzalendo kaka.
Tusaidie kakaangu na sisi tuje hapo marekani au hata Canada na ulaya
Wabongo sio aisee
Atari
Tumebaki masikini kwa umbea
Iv hat wanawake wanawez kuja au wanaume tu
Ndio kaka
Kaka ukosawa
Kaka nakubari hata m ni artist was kuchora Nisha fanya nairobi Kenya Ila doto zangu nikufanyia mbele.nitumie namba zako tufanye kitu
R.I.P wambeya wote😡
Roho mbaya zimewajaa wabongo
Tunakuombea afya kaka kwani wewe nimmsaadaa kwetu kwa sisi aambao tunandoto zakuja uko kaka
Watanzania wengi Wana roho mbaya akiwa nje amefika yeye kwa ku aso basi anajio a mjanja kumbe ujinga achana nao mamba zako tunazo Watu wanatafuta Hela watakutafuta tu Mimi ni mmoja wapo Nina watu wawili nasubiria pesa tu itakuwa tayari
Brow penye risiki hakosi fitina kuwa makini sana Wachawi wpo wengi
Sawa
Bro najita visa
Mawaidha mazuri
Usiieleze sana mambo ya kupata visa na Pepa kwenye RUclips kuwa nao makini sana
Sawa
@@dnyotausa6154 Kaka nakupataje sasa unisaidie
@@maptvnews6955 +15167783253 WhatsApp
Brother unaro nzuri san
Bro nakuomba unipushi nimependa san huna loo mbaya
Pole sana kaka.. Wewe endelea kupiga kazi
Sawa nakubali
Bro vp mambo naitwa saidi abdalah nipo dubai nafuatilia video zko ila ckupat nakuomba nipatie namba ya wsp
Nakupataje kk maana najalibu namba yko hautaki WhatsApp
Naomba sana tuwasiliane kaka hapa dubai baba walabu mishahara yao wauwaji hawa hebu tuwasiliane nimekutumia namba yangu watssappy
Hi, brother nimezipenda videos zako namba namba yako ya wasapu plz
Bro nipo na lugha 7 Ila Mambo bado
Saruti Dully
Mi ngosha mwigizaji wa muvi , Naomba namba yako ya whasapp
mzebaba msmbo vip mm naomba conection
+15167783253 WhatsApp kama pesa unayo
Kaka towa namba zako
Tuwasiriyane
Skukuwai live bro ila naskiliza hapa watu wenye mioyo kama wewe tuko wachache sana af wenye hasira za kutafta pesa ni wachache bro wabongo sio kabisa yan hata kukaa bo hawafai af wabongo wavivu kishenzi yan ila kw roh mbaya wana roh mbaya kichiz hata south si tumeona hawafai kabisa na ukitaka maendeleo piga kazi kivyako panga chumba kivyako tulia
Weka namba sasa
+15167783253 WhatsApp
utupe madini vizur tuwakwepe waduwanzi km hao
Sawa
Salute bro nikitaka kukupata nakupataje
+15167783253 whatsapp
Mzee inabid unnue harley upige nayo matrip
Harley?
@@dnyotausa6154 harley davidson 🏍
@@dnyotausa6154 bruh samahn wenye ndoto ya kwenda us tuko wengi sizani kam iko ndan ya uwezo wako vp unautartibu gn kutusaidia
👂❤️
🙏🏾
Ni kweli kabisa ndugu tatizo ajira ngumu sana na kipato kipo chini Sana
🤣🤣🤣Vzr bro umbea tupa kure
Dula wesenge hao achana nao tusaidie tu Mimi nimesafiri sana nchi za Africa wabongo sio watu wazuri wa ovyo sana Kaa nao mbali mtu anasema anasaidia watu kujaza green lotary mi nakataa ni mlolongo mrefu sana wakati kuna njia rahisi kama hizo dura tinashukuru sana
Sawa
Achana na hizo kunguni siyo hapo tu hapa nilipo mimi wanatabia hizo hata ukiingia chooni wanataka kujuwa ulienda kwa haja ndogo au kubwa yani ni moto jamani wabongo shikamooo🔥na hawanaga lolote hata visa hawana wanasubiri tu wakifa maiti ichangiwe wasafirishwe hawana lolote tumewachokaaaaaaaa🤔Bro piga kazi achana nao punda hao,me pia naishi kama wewe nimejikata kabisa sitakagi kuwaona wala kuwasikia kunguni walokosa vitanda hao.
Atari sana
Sawa we funguka mi jilani yangu mmarekani lakini Ananiambia maisha kama unavyo sema wewe lakini mukifikia habari ya campani ya kunivusha uko Ataki kabisa sijuwi sijuwi Ajuwi njia au roho mbaya hata simuelewi sasa wewe unaelekeza vizuri tatizo
@@hamisikimbatikwa6959 jitaidi usafiri mwenyewe,
pole dullah ila km vp ufungue group la whatsap au telegram ili wenye nia twende huko
Kabisa
Nilipendekeza hilo ila naona hajalifanyia kazi bado
Asante kk
Kk usifunjeke moyo natafuta nyenzo Nita kutafuta
Achananao
fungua whatsap group wasije wakakuroga
Kweli kaka
Tumebaki masikini kwa umbea