Maisha ya ughaibuni

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2022

Комментарии • 120

  • @SaidMkambo
    @SaidMkambo Месяц назад

    Mungu ata kuzidishia kwa wema

  • @allyshomari7417
    @allyshomari7417 8 месяцев назад

    Sawa kabisaa!! Wabongo ciyoo!! Bora ukutane na raia wa nchi yoyote usiemjua. Kaa nao mbali. Hawana pigo. Na usiseme mengi yenye faida. Tafuta wachache unao wAamiini. Pamoja. Kaka Yako Shomari. Ndani ya Bongo. Big followers!!👍

  • @boy-pq6ow
    @boy-pq6ow Год назад

    Congratulatin my brother God bless you .God give you high Life.

  • @allyshomari7417
    @allyshomari7417 8 месяцев назад

    Wengi wetu cc wabongo!! Tuna roho za kimaskini. Zilizo pitiliza. Big up sana mdogo wangu kwa moyo ulio nao!!

  • @hanifawaliya7976
    @hanifawaliya7976 Год назад +1

    Watu wana roho mbaya sanaaaa. Na hivi huko marekani hamnaga waganga wa kienyeji lau wangekuwepo wangeshaenda wakuloge wakumalize kabisa

  • @GodfreyMdemu-uw2lv
    @GodfreyMdemu-uw2lv Год назад +1

    Hao wabongo hachana nao Wana roho mbaya sana mm nakukubali sana

  • @allyhusseinally2461
    @allyhusseinally2461 Год назад

    Kabisa bro mungu akuongoze zaidi

  • @boy-pq6ow
    @boy-pq6ow Год назад +1

    Hongera kwa sababbu u nakubalii kwenu mkataa kwao ni mtumwa

  • @RedRose-rj6ro
    @RedRose-rj6ro 18 дней назад

    Kaka pole san nakuomba uwe makini san atakaye kutaka atakutafuta mwenyewe rangi nyeusi sio nzur wanaroho mbaya san

  • @jamesmakim5701
    @jamesmakim5701 Год назад +1

    Kaka uko sawa sana nakukubali mungu akubaliki

  • @salimabdallah5176
    @salimabdallah5176 Год назад +1

    Tuchemshe akili zetu kuijua dining ya kweli na tufate

  • @salimabdallah5176
    @salimabdallah5176 Год назад +1

    Tusiangalie maslahi dunia tu..bora .tunduma lakini Imani yako iwe hai...

  • @michaelabeil8330
    @michaelabeil8330 20 дней назад

    Kaka mungu akusaidie nataman na mim niwe kama wewe

  • @angelinamayombo5511
    @angelinamayombo5511 Год назад +1

    Kweli mwanangu hata Mimi nimewaona wabongo ni noma,ubarikiwe sana tuko pamoja

  • @davidkadama4596
    @davidkadama4596 Год назад +1

    Kazi nzuri kaka

  • @user-wf9xq3ns3q
    @user-wf9xq3ns3q 6 месяцев назад

    Endelea bro na kazi nzuri unayofanya kwa kutufahamisha,mengi ya huko hao wazushi wapotezee hawana mpango

  • @kombohamad5615
    @kombohamad5615 Год назад +4

    Allah akupe Kila lakheri Kwa Imani yako hii endelea kusaidia

  • @boy-pq6ow
    @boy-pq6ow Год назад

    Asante sana kaka Mungu akuinue kichumi mimi naitwa mariam John Mjema.

  • @allyfatma7359
    @allyfatma7359 Год назад

    Daaah.kamati ya roho mbaya.wabongo noma.

  • @danielmartinKiondo-dq4jz
    @danielmartinKiondo-dq4jz Год назад +1

    Ndugu yangu usijali hao watu ni roho mbaya tu hawataki wengine tufanikiwe

  • @muhamedsaid9545
    @muhamedsaid9545 Год назад

    Mambo tunaona vizuri

  • @salimabdallah5176
    @salimabdallah5176 Год назад +1

    Maisha popote tu ...east or west home is best muhimu kujua makusudio ya Muumba wetu ..M/MUNGU ametuumba ajili ya kumuabudu.

  • @IddKilongo
    @IddKilongo 2 месяца назад

    Asante d Kwa kutusaidia

  • @MAISHAYACROATIA
    @MAISHAYACROATIA 8 месяцев назад

    Fire

  • @MasolaFarm
    @MasolaFarm Год назад +1

    Naitwa omary nipo tanzania nafatiria video zako sana

  • @saidmikidadi5752
    @saidmikidadi5752 20 дней назад

    Babduu unaeleweka sana

  • @jonathankillenga3223
    @jonathankillenga3223 2 месяца назад

    Upo Sahih sana

  • @MasolaFarm
    @MasolaFarm Год назад

    Kweli mwanangu ubarukiwe uko tofauuti sanaaa kaka

  • @AbuuAidan
    @AbuuAidan 3 месяца назад

    Kaka kizazi sana pambana

  • @theobardtheophil
    @theobardtheophil Год назад

    Big up kaka, ila some time wajuz wa mambo huwa wanasema kwamba ucipende kuongea plan zako za maisha kwa watu kaka husaidia kuepuka roho mbaya za watu.

  • @neemahappyeverafter6181
    @neemahappyeverafter6181 Год назад

    nimekuona leo na nimekupenda bureee😆😆😆😆 pole kwa hao walio kukwaza jamani

  • @user-dv8jo7cd3q
    @user-dv8jo7cd3q 5 месяцев назад

    Naomba kujua kupat Rafiki wa uko nikiw uku uku ndugu asante

  • @elibarickmateru6193
    @elibarickmateru6193 7 месяцев назад

    Nikulewa sana ndugu yangu usichoke pambambana kaka.

  • @ashimushi6894
    @ashimushi6894 11 дней назад

    💥💥💥

  • @anwerdhira683
    @anwerdhira683 Год назад

    Sema mambo poa

  • @AbuuAidan
    @AbuuAidan 3 месяца назад

    Kaka niamini bongo Amna chongo Bora kutembe

  • @KatemboAugustin-pt7ue
    @KatemboAugustin-pt7ue Год назад

    Kaka nashukuru unatuelimisha sana

  • @MasolaFarm
    @MasolaFarm Год назад

    Kweli kaka

  • @young26ix32
    @young26ix32 Год назад +1

    Big up

  • @salumusobo4009
    @salumusobo4009 Год назад +1

    Kaka dula wewe endelea kupiga kazi sisi tuko nyuma yako hao wachawi achana nao awajui maisha hao

  • @Elimishatv
    @Elimishatv 2 месяца назад

    Tunakupata vizur tu kaka

  • @abdultimoc4625
    @abdultimoc4625 Год назад

    Dulla me nakukubali sana na mm na taman san nifike uko America sema changamoto ni ela2 broo ila mungu wa kwetu sote nitapatag2

  • @salimabdallah5176
    @salimabdallah5176 Год назад +1

    Ulaya toka asubuhi mpaka jioni back home unaangalia in the road vichupi hayo macho yanapungua nuru na Imani inashuka temperature..

  • @Elimishatv
    @Elimishatv 2 месяца назад

    Nipo bunju dar nakufatilia kaka

  • @why1056
    @why1056 Год назад

    Mimi huwa na share video zako kwa wana sasa ntakuwa nahofia hata kushare wanaweza kuharibu iabisa ujui roh ya mtu

  • @enemtatuka5863
    @enemtatuka5863 Год назад

    Nakubar bother kak

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 Год назад

    Kweli kabisa mjomba wazanzibari wengi mabaharia kitambo watu wa mtoko

  • @annangosso6680
    @annangosso6680 Год назад +4

    Yani wabongo bwana,wanaona aibu watu wakija huko wakajuwa shuhuli zao au wewe unavyoeleza ukweli wao roho zinauma wakiona unaongea ukweli halisi wa maisha😂na si hapo tu kote waliko watu wanaongea Swahili language ni mtihani.wanaona aibu wakikutwa wanaosha vyoo na kukusanya mabox lakini ndo ukweli wengi ni mishemishe tu sasa wivu wa nini🌚

    • @dnyotausa6154
      @dnyotausa6154  Год назад +4

      Atari kabisa 😊

    • @mbaganewslinetv
      @mbaganewslinetv Год назад +1

      Tahir najua Kuedit na nafanya video vizuri Kwan usinivute UKo tufanye vipindi

  • @isackmalole9268
    @isackmalole9268 Год назад

    Achana nao hawana uzalendo kaka.

  • @jessevlogswahili
    @jessevlogswahili Год назад

    Tusaidie kakaangu na sisi tuje hapo marekani au hata Canada na ulaya

  • @jacksonmsendo3478
    @jacksonmsendo3478 Год назад +1

    Wabongo sio aisee

  • @SaidMkambo
    @SaidMkambo Месяц назад

    Tumebaki masikini kwa umbea

  • @amanamohd-bo8ih
    @amanamohd-bo8ih 2 месяца назад

    Iv hat wanawake wanawez kuja au wanaume tu

  • @ntumbankinga2496
    @ntumbankinga2496 Год назад

    Ndio kaka

  • @jamesmakim5701
    @jamesmakim5701 Год назад

    Kaka ukosawa

  • @morispasco7920
    @morispasco7920 Год назад

    Kaka nakubari hata m ni artist was kuchora Nisha fanya nairobi Kenya Ila doto zangu nikufanyia mbele.nitumie namba zako tufanye kitu

  • @annangosso6680
    @annangosso6680 Год назад +2

    R.I.P wambeya wote😡

  • @fatumahengo6849
    @fatumahengo6849 Год назад

    Roho mbaya zimewajaa wabongo

  • @MasolaFarm
    @MasolaFarm Год назад

    Tunakuombea afya kaka kwani wewe nimmsaadaa kwetu kwa sisi aambao tunandoto zakuja uko kaka

  • @bonifacedanielmwakisunga9638
    @bonifacedanielmwakisunga9638 Год назад

    Watanzania wengi Wana roho mbaya akiwa nje amefika yeye kwa ku aso basi anajio a mjanja kumbe ujinga achana nao mamba zako tunazo Watu wanatafuta Hela watakutafuta tu Mimi ni mmoja wapo Nina watu wawili nasubiria pesa tu itakuwa tayari

  • @mjmswahil6244
    @mjmswahil6244 Год назад +1

    Brow penye risiki hakosi fitina kuwa makini sana Wachawi wpo wengi

  • @BarackLucas-eb1gt
    @BarackLucas-eb1gt 5 месяцев назад

    Bro najita visa

  • @user-ze8xz7pe1q
    @user-ze8xz7pe1q 10 месяцев назад

    Mawaidha mazuri

  • @bonifacedanielmwakisunga9638
    @bonifacedanielmwakisunga9638 Год назад +4

    Usiieleze sana mambo ya kupata visa na Pepa kwenye RUclips kuwa nao makini sana

  • @leonardkiula4328
    @leonardkiula4328 Год назад +1

    Pole sana kaka.. Wewe endelea kupiga kazi

  • @saidjuma7915
    @saidjuma7915 Год назад

    Bro vp mambo naitwa saidi abdalah nipo dubai nafuatilia video zko ila ckupat nakuomba nipatie namba ya wsp

  • @husseinkimbiyoko4897
    @husseinkimbiyoko4897 Год назад

    Nakupataje kk maana najalibu namba yko hautaki WhatsApp

  • @user-vx7cg8vt9o
    @user-vx7cg8vt9o 10 месяцев назад

    Naomba sana tuwasiliane kaka hapa dubai baba walabu mishahara yao wauwaji hawa hebu tuwasiliane nimekutumia namba yangu watssappy

  • @user-bs2wo7xn9y
    @user-bs2wo7xn9y Год назад

    Hi, brother nimezipenda videos zako namba namba yako ya wasapu plz

  • @xideblacktz
    @xideblacktz Год назад

    Bro nipo na lugha 7 Ila Mambo bado

  • @user-es9zp4hx6x
    @user-es9zp4hx6x 6 месяцев назад

    Saruti Dully

  • @Elimishatv
    @Elimishatv 2 месяца назад

    Mi ngosha mwigizaji wa muvi , Naomba namba yako ya whasapp

  • @alisaleh9112
    @alisaleh9112 Год назад +1

    mzebaba msmbo vip mm naomba conection

  • @raheemahamees6410
    @raheemahamees6410 Год назад

    Kaka towa namba zako
    Tuwasiriyane

  • @why1056
    @why1056 Год назад +1

    Skukuwai live bro ila naskiliza hapa watu wenye mioyo kama wewe tuko wachache sana af wenye hasira za kutafta pesa ni wachache bro wabongo sio kabisa yan hata kukaa bo hawafai af wabongo wavivu kishenzi yan ila kw roh mbaya wana roh mbaya kichiz hata south si tumeona hawafai kabisa na ukitaka maendeleo piga kazi kivyako panga chumba kivyako tulia

  • @abelmasebo5521
    @abelmasebo5521 Год назад

    Weka namba sasa

  • @alikasim6388
    @alikasim6388 Год назад +1

    utupe madini vizur tuwakwepe waduwanzi km hao

  • @allyhusseinally2461
    @allyhusseinally2461 Год назад

    Salute bro nikitaka kukupata nakupataje

  • @why1056
    @why1056 Год назад

    Mzee inabid unnue harley upige nayo matrip

    • @dnyotausa6154
      @dnyotausa6154  Год назад

      Harley?

    • @why1056
      @why1056 Год назад

      @@dnyotausa6154 harley davidson 🏍

    • @leoncjohn4515
      @leoncjohn4515 Год назад

      @@dnyotausa6154 bruh samahn wenye ndoto ya kwenda us tuko wengi sizani kam iko ndan ya uwezo wako vp unautartibu gn kutusaidia

  • @siasia5469
    @siasia5469 Год назад

    👂❤️

  • @bonifacedanielmwakisunga9638
    @bonifacedanielmwakisunga9638 Год назад

    Dula wesenge hao achana nao tusaidie tu Mimi nimesafiri sana nchi za Africa wabongo sio watu wazuri wa ovyo sana Kaa nao mbali mtu anasema anasaidia watu kujaza green lotary mi nakataa ni mlolongo mrefu sana wakati kuna njia rahisi kama hizo dura tinashukuru sana

  • @annangosso6680
    @annangosso6680 Год назад +2

    Achana na hizo kunguni siyo hapo tu hapa nilipo mimi wanatabia hizo hata ukiingia chooni wanataka kujuwa ulienda kwa haja ndogo au kubwa yani ni moto jamani wabongo shikamooo🔥na hawanaga lolote hata visa hawana wanasubiri tu wakifa maiti ichangiwe wasafirishwe hawana lolote tumewachokaaaaaaaa🤔Bro piga kazi achana nao punda hao,me pia naishi kama wewe nimejikata kabisa sitakagi kuwaona wala kuwasikia kunguni walokosa vitanda hao.

    • @dnyotausa6154
      @dnyotausa6154  Год назад

      Atari sana

    • @hamisikimbatikwa6959
      @hamisikimbatikwa6959 Год назад

      Sawa we funguka mi jilani yangu mmarekani lakini Ananiambia maisha kama unavyo sema wewe lakini mukifikia habari ya campani ya kunivusha uko Ataki kabisa sijuwi sijuwi Ajuwi njia au roho mbaya hata simuelewi sasa wewe unaelekeza vizuri tatizo

    • @dnyotausa6154
      @dnyotausa6154  Год назад

      @@hamisikimbatikwa6959 jitaidi usafiri mwenyewe,

  • @alikasim6388
    @alikasim6388 Год назад +1

    pole dullah ila km vp ufungue group la whatsap au telegram ili wenye nia twende huko

  • @aishasaid9110
    @aishasaid9110 Год назад

    fungua whatsap group wasije wakakuroga

  • @MasolaFarm
    @MasolaFarm Год назад

    Kweli kaka

  • @SaidMkambo
    @SaidMkambo Месяц назад

    Tumebaki masikini kwa umbea