Abari njema kwa wanaomba visa ya marekani

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 сен 2024

Комментарии • 180

  • @mringoonlinetv8656
    @mringoonlinetv8656 Год назад +18

    Kaka ninashauri unapotaka kufanya jambo live, acha kula fanya kipindi, na baada ya kipindi endelea kula.

    • @mokamikoko9742
      @mokamikoko9742 Год назад +4

      Tabia ya kula na kuongea sio nzuri inatia kinyaa kusikiliza

    • @Odogwu9667
      @Odogwu9667 Год назад +4

      @@mokamikoko9742 😂😂😂 Wewe Sikiliza Unachoambiwa

    • @thembarikiwa
      @thembarikiwa Год назад +4

      Kama alivyojitanbulisha kuwa yuko BUSY

    • @Salome-tl5dw
      @Salome-tl5dw Год назад

      ​@@Odogwu9667😂😂😂😂😂😂

    • @elizabethmusa1295
      @elizabethmusa1295 6 месяцев назад

      Sasa unakuta mtu Yuko busy Sana

  • @MohammedMohammed-iz4ux
    @MohammedMohammed-iz4ux 4 месяца назад

    Alafu naona hizi nchi zote ulizo taja hapa naona ndiyo zile zilizozuiwa kuomba Green Card lottery kama sikosei, kwaiyo wamepata zari upande mwengine

  • @kisagentabirage6693
    @kisagentabirage6693 Месяц назад

    Mr D Nyota uko vzr mungu akubarikk

  • @naythardarling1115
    @naythardarling1115 Год назад +4

    Insha'allah December naingia na mtoto wangu kwa viza ya mwaliko kaka

  • @januaryneville4578
    @januaryneville4578 Год назад +1

    Mm ndo naanza kukusikiliza,Na Nilikua natafuta sehemu kama hii.

  • @alisleima4339
    @alisleima4339 Год назад +1

    Aaa mungu akuzidishie Imani ya kuwato waafrika kwene maisha magumu mungu akulipe mungu akusimamamie kwakila jambo

  • @adamcarsoundandaccessories817
    @adamcarsoundandaccessories817 Год назад +2

    Safi kwa kuwajuza wa Tanzania ila kuna wapumbavu huko ulipo wanakukatisha tamaa kuwaeleza wajuwe wakati wao huko wanaona rahisi kuwaelekeza ndugu zao tu

  • @maptvnews6955
    @maptvnews6955 Год назад +1

    😂😂😂😂uyu Jamaa anazingua sana kaanza vizuri tuuu 😂🤣🤣 habari njema mara oooh kwa bahati mbaya Tanzania Hakuna 😂😂😅 No maraah waaa😂😂

  • @willydigital8196
    @willydigital8196 Год назад +7

    Hii issue ya visa mwanzo ulishawahi kusema ww huwa unatoa msaada wa kumpokea mtu na kumsaidia mtu kupata kaz endapo kama ww ndo umemtengenezea visa sasa leo unasema Kuna gharama tena

    • @sikukimaro.
      @sikukimaro. Год назад +4

      Kasema kama visa utakua unatengenezewa na mtu mwingine yeye ndo atakuchargisha ila akikutengezea yeye atakusaida kupata kaz pia

    • @willydigital8196
      @willydigital8196 Год назад +3

      @@sikukimaro. hapo sawa Maan namfatilia sana sasa ni kutengeneza yy na kila kitu atasimamia hapo poa Maan unakuta kule tunataka sana kwenda na bado tunajikusanya ili process zianze ila kule ndo hatuna watu na ndio Mara yetu ya kwanza kufika inakuwa shida Maan inabidi anakupa sehem ya kutulia kama wiki moja unakimbiza kazi ili upate sehem yako ya kuishi hapo inakuwa poa au anakupeleka kule kweny kaz za kukaa huko huko napo fresh tu

    • @willydigital8196
      @willydigital8196 Год назад

      @@yoelmrisho kwann mjomba

    • @jimmyangela5717
      @jimmyangela5717 Год назад

      Bro Dulla na jaribu kukudm ila upo kimya no replying

    • @Aida-qh3jq
      @Aida-qh3jq Год назад

      Tuko pamoja kaka tunahitaji sana kufika huko

  • @MehmetMemo-w1c
    @MehmetMemo-w1c Месяц назад

    Habari njema kaka tunasubiria tuzijue kaka dula

  • @basingaowino6391
    @basingaowino6391 Год назад +3

    Hongera sana kwa kutuonyesha mwanga👏👏👏Naomba namba zako plz...

  • @AgustinosaitabauSaiboku
    @AgustinosaitabauSaiboku 4 месяца назад

    Vp bro nataka nije marekan lkn visa ndo namna ya kupata ndo xhida Sasa brother

  • @SuleimanIbrahim-lp7qs
    @SuleimanIbrahim-lp7qs 6 месяцев назад +1

    Nakuelewa vizuri

  • @AbediMwanyoka
    @AbediMwanyoka Месяц назад

    Maliza Kula kwanza ndio utu fundishe kk

  • @franckmugabe5264
    @franckmugabe5264 Год назад

    😂Mambo. Vipi Kaka kwanini utajyawekwa hahhh ebu inchi awafahamu kingeleza ndi zimechaguliwa

  • @jayextra0
    @jayextra0 Год назад +1

    Tuna ku check je?
    Nahitaji Number Yako au Email au popote pale tuwasiliane

  • @aloycemabula8649
    @aloycemabula8649 3 месяца назад

    Hizi nchi hazipo kwenye green card programe

  • @McKingSimon88
    @McKingSimon88 6 месяцев назад

    Wanaume hawakunywangi youghut kwa camera hiyo ni kazi ya wanawake vipi kijanaa unakaa mwanamke

  • @jawaduisuja
    @jawaduisuja Год назад

    Ahsante kkmm nataka kujakufunga mzigo wa dukani utanipeleka kwyenye maduka ya jumla??

  • @ntahegaamissi1567
    @ntahegaamissi1567 Год назад +1

    Na ainina ya Document gani tunapashwa tafuta Nikia nchini mwangu.

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 Год назад +1

    Be blessed 🙌 😇 🙏

  • @carolynenyaga942
    @carolynenyaga942 Год назад +1

    Nigeria tuu ndio wameruhusiwa Africa...

  • @suleimanihamisi4719
    @suleimanihamisi4719 Год назад +1

    Kaka sisi wengine tuliokua hatuna pesa unatusaidiaje kufika huko kaka

  • @babuimu4591
    @babuimu4591 11 месяцев назад

    Km ss watanzania ambawo tupo tz hakuna mipango yyote tukapata hivyo vibari vya kimchongo ktk nchi ulizozitaja na ss ukatuingiza ktk nchi hizo ulizozitaja

  • @zainabumohamed8541
    @zainabumohamed8541 Год назад

    Marekani uko wapi ili nimwagizie mwanangu aje muonane tayari Kwa kushughulikia familia yangu yeye Yuko Columba's ohio

  • @hassansas8141
    @hassansas8141 5 месяцев назад

    Kiasi gani kujiunga kua members

  • @salimasalehe
    @salimasalehe Год назад +1

    Kila kukicha tunajipendekeza kwao na hawatutambui😂

  • @Elimishatv
    @Elimishatv 4 месяца назад

    ok,safi kaka

  • @ngabiranoadelin9519
    @ngabiranoadelin9519 Год назад +1

    Bro asante sana kwa tarifa burundi tunakupata

  • @ruahaselectsafaristreks6086
    @ruahaselectsafaristreks6086 6 месяцев назад

    daaaa? kaka m unanisaidiaje kuja uko

  • @arafahassan9350
    @arafahassan9350 Год назад +1

    Uwe unakula kwanza ndio uongee jaman na Madura yasioisha daah

  • @SuleimanIbrahim-lp7qs
    @SuleimanIbrahim-lp7qs 6 месяцев назад

    Nakuelewa sana broo mimi wacha niziguke mxco

  • @GgA-qx5jw
    @GgA-qx5jw Год назад

    Asant kaka tuko tunazikusanya zikieneya nitakutafuta ishaallah

  • @MehmetMemo-w1c
    @MehmetMemo-w1c Месяц назад

    Kaka tunasubiria tuyajue

  • @konderaeriasi6251
    @konderaeriasi6251 Год назад +1

    Sasa buro kama hujui kabisa kiingereza unaweza ukaenda marekan2 naukaishi uko

  • @yetrishatutupa5656
    @yetrishatutupa5656 Год назад

    Ishaalla mwezi wa kumi na mbili naingia hapo kwa visa ya kuja kutembea

  • @AgustinosaitabauSaiboku
    @AgustinosaitabauSaiboku 4 месяца назад

    Mbn kmy bro nijibu bx

  • @claudiantembe8519
    @claudiantembe8519 Год назад +5

    Big up san mkuu your not selfish broda..

  • @Salome-tl5dw
    @Salome-tl5dw Год назад

    Nina mchumba marekani nawezaje kupata visa ..ni viambatanishi gani niwe navyo

  • @kimarotumain-wl8ib
    @kimarotumain-wl8ib Год назад +1

    mambo vip nipo bongo nataka mchongo wa Visa

  • @godwinaxwesso8726
    @godwinaxwesso8726 9 месяцев назад

    Habari yako Dullah, ofisi yako iko wapi Tz

  • @sharifukilongo2565
    @sharifukilongo2565 Год назад

    Wamejiongeza wangesema Tanzania ipo,tungezana ubalozi hadi wakome😂😂😂😂😂

  • @zuberiseleman
    @zuberiseleman Год назад

    Niende nchi gani kaka Kati hizo ambazo hazina interview ya usa kwa kupata resedant

  • @user-kq1kr3lo5l
    @user-kq1kr3lo5l 10 месяцев назад

    Kaka ninzuri sana kabisa naitaji mochongo

  • @octovinarichard7263
    @octovinarichard7263 9 месяцев назад

    , Asante sana

  • @joelirunde2823
    @joelirunde2823 5 месяцев назад

    Sasa una kula kula nini?

  • @odembadaudi
    @odembadaudi Год назад

    God bless my brother 🙏,kwa kutupa elimu

    • @mwanaishaibrahim
      @mwanaishaibrahim Год назад

      Kazi yako ncuri ila haipendezi kula kwanza hafufu kabla hujawa online

  • @mgatatemihanga416
    @mgatatemihanga416 3 месяца назад

    hizo visa zinaruhusu kufanya kazi

  • @kamuogo
    @kamuogo 3 месяца назад

    Membasi ikowapi sasa?

  • @vitymteysemere4777
    @vitymteysemere4777 Год назад +1

    Sukran kaka

  • @PAskal-oy5ft
    @PAskal-oy5ft Год назад

    Kaka minipo bongo natakakuja nataka paspot nakuomba pleas

  • @anitababyderickwasike7872
    @anitababyderickwasike7872 Год назад

    Good job bro live Long

  • @grapefish2012
    @grapefish2012 Год назад

    Asante kaka Big up..

  • @omarabdullah888
    @omarabdullah888 Год назад

    No yk please

  • @user-tm8et3uq2b
    @user-tm8et3uq2b Год назад

    Kaka dula naomba namba zako nataka Viza ya uturuk shngap?

  • @allyabdallah1698
    @allyabdallah1698 Год назад

    Mimi nakusubiri urudi mtaani nikuchimbie palepale kitaani kwenu hata sehem ya nitauza nesepe

  • @user-vc2pm5ot8e
    @user-vc2pm5ot8e 8 месяцев назад

    Mashaallah

  • @seifali3893
    @seifali3893 Год назад +1

    Kula kwanza halafu record

  • @naimuothman3493
    @naimuothman3493 Год назад

    Kaka long life kaka

  • @EmmanuelIsrael-gm4mc
    @EmmanuelIsrael-gm4mc Год назад

    Raha sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤

  • @user-tl9wp1ti8v
    @user-tl9wp1ti8v 5 месяцев назад

    Ubarikiwe

  • @abdultimoc4625
    @abdultimoc4625 Год назад +1

    Big up san broo dulla tuko pamoja ndung yangu

  • @enemtatuka5863
    @enemtatuka5863 Год назад

    Nakubari brother kaka skupingi

  • @sanyolee1396
    @sanyolee1396 Год назад +2

    Vp broo kama mtu yupo arabuni, document gani huwa zinahitajika. Maana mm nipo Saudia nina resident id.

  • @issahassan8515
    @issahassan8515 10 месяцев назад

    Tupe namba kwa maongezi ya private

  • @aliamjad2683
    @aliamjad2683 Год назад

    Mie nipo Oman nina ndg yangu anaitaji kuja Marekani kutafuta maisha mpe mwongozo umsaidie aweze kuja tafuta maisha

    • @dnyotausa6154
      @dnyotausa6154  Год назад

      Mwambie awe na hela tayari sio tusumbuane sana

    • @ulimwengusaidi
      @ulimwengusaidi Год назад +1

      @@dnyotausa6154 Kaka habari mm naitaji kuja marekani Ila naomba safar uniandalie ww Ila uniambie garama mpk nifike itanigarimu Bei gn

    • @betricemainoya4176
      @betricemainoya4176 Год назад +1

      Vipi kuhusu wale wa DV lottery wanaosubiri mwezi wa 5

  • @danielsanze4103
    @danielsanze4103 Год назад

    But unafanya mambo mazuri sana

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Год назад +1

    Kama ninaomba visa account yangu iwena kiasi ngapi?

  • @naythardarling1115
    @naythardarling1115 Год назад

    Nilikuwa india nilikaa mienzi 6 ila sina I'd inakuwaje

  • @abdallahmansur8659
    @abdallahmansur8659 Год назад

    Nakubali braza kwa kutupambanua

  • @EmmanuelIsrael-gm4mc
    @EmmanuelIsrael-gm4mc Год назад

    Kuma😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @mussakoba3391
    @mussakoba3391 Год назад

    Habar d nyota natumai mzima, naomb nitumie no yako ya Whatsapp

  • @AmidaAliy-vx9bt
    @AmidaAliy-vx9bt Год назад

    Kaka uko vizuli sasa chansi ndoshida

  • @NassirNassor-yo4tf
    @NassirNassor-yo4tf 7 месяцев назад

    Pamoja kak

  • @yahayahanafi3234
    @yahayahanafi3234 Год назад

    Tupo pamoja diyoya

  • @felixmathias6362
    @felixmathias6362 Год назад +1

    Good 👍 sana.
    From Arusha....

  • @joeljoseph4646
    @joeljoseph4646 3 месяца назад

    Unaongea unatafuna tafuna inaboa sana

  • @ennamongi9812
    @ennamongi9812 Год назад

    Nkiomba kuja kusoma huko inakuaje

  • @machanoyussuf4684
    @machanoyussuf4684 Год назад

    Mm nna kampuni vp naweza kupata visa

  • @EmmanuelIsrael-gm4mc
    @EmmanuelIsrael-gm4mc Год назад

    Nakubali❤❤

  • @ibnismail8831
    @ibnismail8831 Год назад

    Umesema mexico una mchongo sasa hiyo residence ya mexico ina gharim bei gan

  • @danielsanze4103
    @danielsanze4103 Год назад

    Tatizo lako kijana unapenda kula sana

  • @husenahusena2660
    @husenahusena2660 Год назад

    big fact

  • @user-ky2ch5rl7i
    @user-ky2ch5rl7i Год назад

    Naomba number yako

  • @ezetv7177
    @ezetv7177 Год назад +1

    Naomba namba yako

    • @dnyotausa6154
      @dnyotausa6154  Год назад

      +15167783253

    • @doctorbashiru2
      @doctorbashiru2 Год назад

      Mambo vp mdau naitaji. Kuja America galama adi naingia uko no shilingi. Ngapi

  • @joycenose2356
    @joycenose2356 11 месяцев назад

    Tunakusikiriza Niko Arabuni

  • @yetrishatutupa5656
    @yetrishatutupa5656 Год назад

    Naomba namba yako ya simu ili nilipie

  • @stanslausmwasumbi4236
    @stanslausmwasumbi4236 Год назад

    Asante kaka🙏

  • @abuulingula1403
    @abuulingula1403 Год назад

    Nakupata mwamba

  • @abdallahh.mwinyimkuu5190
    @abdallahh.mwinyimkuu5190 Год назад

    nakubali wajna

  • @teresiamathias8636
    @teresiamathias8636 Год назад

    Mm sijaona namba ya sim

  • @imanienock4250
    @imanienock4250 Год назад

    Kujiunga member nafanyaje

  • @jaffarmohamed8346
    @jaffarmohamed8346 Год назад

    Naomba tuwasiliane plz

  • @Bantugirltv1333
    @Bantugirltv1333 Год назад

    kama mimi mtanzania naishi Tanzania naweza kupata work permanent ya nchi nyingine

  • @renatusmtuku-dw8cj
    @renatusmtuku-dw8cj Год назад

    Vp kama hujui ngeli inakuaje?

    • @dnyotausa6154
      @dnyotausa6154  Год назад

      Tunakuelekeza kujibu maswali sio lazima kujua kingereza sana

  • @yusuphjaivi4774
    @yusuphjaivi4774 Год назад +1

    Nawaona Wanaijeria wakiingia kwa wingi zaidi Marekani.

  • @petermagoma-ik6gj
    @petermagoma-ik6gj Год назад

    Bruh tuko pamoja

  • @siasia5469
    @siasia5469 Год назад +2

    👂🏾*🌟D⭐*💕❤️
    Upo Vizuri

  • @yetrishatutupa5656
    @yetrishatutupa5656 Год назад

    Naomba namba yako kaka

  • @bennywalase1434
    @bennywalase1434 Год назад +1

    Pamoj sana D*