Chanuo Part 2 - Chanuo, Madebe Lidai, Zaudia Shabani, Zakharia Jashi (Official Bongo Movie)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 22 авг 2024
  • #africhaentertainment #africhamovies #africha
    Chanuo - Full Movie Part 2 (Chanuo & Madebe Lidai)
    Tamaza Chanuo Part 1 hapa: • Chanuo Part 1 - Chanuo...
    CAST: Madebe Lidai, Zaudia Shabani, Zakharia Jashi, Hidaya Boli Ibrahim Mbwela, Coretha Mkemangwa
    STORY/SCRIPT: Madebe Lidai
    DIRECTOR: Madebe Lidai
    PRODUCER: Madebe Lida
    Subscribe to Africha Entertainment: bit.ly/AfichaSubs
    The Best Of African Music: Kadogo Kamu: New Ugandan Music: New Zambian Music: New Rwanda Music: New Kenyan Music: New Taarab Music: New Gospel Music: New Tanzania Music: New Zanzibar Music: Kenya gospel music: Tanzania Gospel Music: Zambia Gospel Music: ugandan Music

Комментарии • 158

  • @fatyqueen346
    @fatyqueen346 4 года назад +14

    Kwakwel japokua watu wengi wanakimbilia mkorogo ila watu weusi niwazur sana i love u black mwenzang😘

    • @shamillahsaidy1922
      @shamillahsaidy1922 Год назад

      Ilaaaa uck paleee nliona machooo tuuuu😃😃😃😃

    • @user-xd2tg8eq1h
      @user-xd2tg8eq1h 7 месяцев назад +1

      Huo ni uongo hawawezi kuwa wazuri ni kawaida sana tena sana limbukeni ndo umeona hivyo

    • @rehemaseif1785
      @rehemaseif1785 6 месяцев назад +1

      Black is beautiful ❤

    • @hamzasuleiman9605
      @hamzasuleiman9605 6 месяцев назад

      Jipeni moyo ila mwanamke hasaaa ni mweupe

  • @ramadhanihassani6825
    @ramadhanihassani6825 7 месяцев назад +3

    Ila anatesa wake zake na wwatoto zake abadilike

  • @magrethsheki2796
    @magrethsheki2796 3 года назад +6

    Mjumbe kasoma hadi nucta jamani🤣🤣madebe hongera kaka hujawahi kuniangusha

  • @joharichaima4309
    @joharichaima4309 3 года назад +5

    Kitu nachokipenda kwa madebe,misemo baba anamisemo huyu jmn....

  • @user-bb2gz6qo8d
    @user-bb2gz6qo8d 8 месяцев назад +2

    Chanuo huna baya mama m hupenda movie zako kwa kujiamn mpenzi hongera❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @asnathnyago4842
    @asnathnyago4842 5 лет назад +20

    Madebe unanifanya nipende kuangalia move za kibogo tena za kwako Tu,hongera sana kwa kazi nzur

    • @taturichard1794
      @taturichard1794 5 лет назад

      Da kwakwel unajitaid bt hata hatujajua ilikuwaje baaada ya apo

  • @TightnotChome-fn2jy
    @TightnotChome-fn2jy Месяц назад

    Madebe na chunvinyingi 😂😂😂😂haki nyinyi mpewe maua yenu❤❤❤❤❤

  • @hizamwaimu7634
    @hizamwaimu7634 5 лет назад +10

    Hakika hainishi hamu kuangalia movie za madebe Kwan zinagundisha mambo mazuri

  • @paulkarol7018
    @paulkarol7018 2 года назад +4

    Madebe mungu akupe maisha marefu uzidi kutuerimisha jamii iliyo potea

  • @ramelaa5214
    @ramelaa5214 4 года назад +3

    Mashaailah ongereni Sana washirii wore Kea kutupa. Mafunzo bora

  • @deograsjulius3522
    @deograsjulius3522 3 года назад +2

    Ni elimu nzuri sana anayoitoa madebe ukiacha kiburudisho mungu akutie moyo uendelee kufundisha jamii kupitia sanaa yako

  • @ameniameni617
    @ameniameni617 3 года назад +2

    Ukweli nikwamba tangu kanumba afariki sijawai kuangalia move tofauti na. Move ya madebe tu

  • @zakiahmwaka8605
    @zakiahmwaka8605 3 года назад +2

    Pole Sana mysala

  • @comradesaurlindiegosoffici421
    @comradesaurlindiegosoffici421 5 лет назад +6

    Ama kweli madebe mkali, tunga part three ya chanuo. Isiishie hapo tu bwanaaaaa

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar 6 месяцев назад +1

    Napenda movie zako madebe'

  • @AnthonyHaji
    @AnthonyHaji Месяц назад

    Mnaenda vzr san

  • @halimaiddiijengo7376
    @halimaiddiijengo7376 Год назад +1

    Nakubal

  • @meshackshark1915
    @meshackshark1915 4 года назад +1

    Tena madebe uko vizuli Sana tena Sana hizi ndiyo move zakuangalia sio kama move zawezetu za kimapenzi tuata sisimizi anajuwa jandomana! MUNGU Akubaliki Sana.

  • @sarasospeter8280
    @sarasospeter8280 5 лет назад +4

    pole.sana.madebeee.pesa.itaendesha.mapenzi.ya.tamaa.na.hisis.itsendeshs.mapenzi.kweli

  • @victorsir-nga7708
    @victorsir-nga7708 5 лет назад +7

    hii movie ni Kali,visa vyake vilivyo pangwa kama ndo inaisha kumbe bado.utamu kila hatua

  • @mwanaishahussein2635
    @mwanaishahussein2635 4 года назад +3

    Kifo cha Kisonoko kimewaacha wanakijiji na alama ya kuuliza🤔🤔🤔🇰🇪

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 4 года назад +5

    Wanawake mwapenda pesa kuozesha mtoto asipopataka mwisho wake mauti,@ulevi nao haunasiri madebe anamwaga mchele sasa Haha umenichekesha etimwanaume rijali hanamtoto anatumiamani yakishogaa loo yani move za madebe kali sana hakunamwigizaji atamfikia madebe namesemo yake

  • @amanmsemo2498
    @amanmsemo2498 3 года назад +2

    Unaombaje msamaha wakat. Na yeye anapakuliwa na maswa.... Et umenikosea sana mume wangu wakat unaenda usiku kupakuliwa mbwa kabisa
    Ngoma droo ukichepuka nusu tunachepuka nzima

  • @RichardSaleh-qp4ku
    @RichardSaleh-qp4ku Год назад +1

    Nakubali sana madebe wewe Ninamba moja Tanzanie

  • @khamisiabdalampulu1315
    @khamisiabdalampulu1315 4 года назад +3

    we fundi madebe

  • @maamumariam9377
    @maamumariam9377 4 года назад +3

    Yani madebe hii movie umenibamba,

  • @aidansichalwe83
    @aidansichalwe83 5 лет назад +8

    nimeielewa sana

  • @boniphacealfonce3040
    @boniphacealfonce3040 3 года назад +2

    Nimekubali nnoma

  • @johnsonfrodianus6237
    @johnsonfrodianus6237 5 лет назад +5

    Bonge la movie

  • @AntonyStarboy
    @AntonyStarboy 10 месяцев назад +2

    Chanuo Nchakali napenda uhusika wako

  • @ruthmichael5064
    @ruthmichael5064 4 года назад +7

    Anachungulia? kwani si tulikuwa tunafanya kwenye tenga!?😁 kama umesikia hyo gonga like!!

  • @salmawaoooh.santee3437
    @salmawaoooh.santee3437 3 года назад +1

    Nimecheka mno madebe mungu anakuona kwakwel utapigwa mno

  • @ruqsshebe3468
    @ruqsshebe3468 3 года назад +2

    Hongera bwana madebe

  • @bakarikambutu7478
    @bakarikambutu7478 3 года назад +2

    Duh

  • @nurrysaleem8644
    @nurrysaleem8644 5 лет назад +11

    madebe my best actor 💪

  • @anniesilvester4315
    @anniesilvester4315 3 года назад +4

    Movie ambazo naangalia za tz ni zako tuu,big up kaka

  • @andyrwakenny3773
    @andyrwakenny3773 Год назад

    Hili ndilo funzo kwangu wenye Imani kwa Mungu Leo siku ya Raha na siku ya kilio wanakimbilia uchwawi kupata suluu

  • @tumainimsonde1581
    @tumainimsonde1581 6 месяцев назад

    We noma❤

  • @masambenyankena6547
    @masambenyankena6547 3 года назад +1

    Tuache unafiki madebe umebadirisha upepo wa movie za kibongo natamani kukutana sana na ww na timu yako

  • @jonathankyalo1603
    @jonathankyalo1603 Год назад

    Waah. zamani tulikuwa tunafunua chupi ili tuone makalio, saii tunafunua makalio ili tuone chupi, jamani hii kali ya Madebe.

  • @issamakau5841
    @issamakau5841 Год назад

    Hongera sana Kaka kwa chakula unachotupa ili angaa mwenye sikio asikie na mwenye macho akaone.... Shukran sana

  • @annamwapila1433
    @annamwapila1433 4 года назад +2

    Hongera madebe

  • @mgenibuya3358
    @mgenibuya3358 Год назад

    Nakubali Nabii Mswahili. Mungu akuongezee umri upate kufundisha kwa maneno na vitendo.

  • @zulachama1067
    @zulachama1067 3 года назад +2

    Fast one to comment,let US much together if you like chanuo # madebe lidai $ hiday boli

  • @athumaningaoga7477
    @athumaningaoga7477 5 лет назад +5

    madebe ww noma

  • @witnesskimario9581
    @witnesskimario9581 3 года назад +2

    Madeb n chanuo naipnd kaz yen nzur mnayoifanya

  • @livinyuc8695
    @livinyuc8695 2 года назад +1

    Kazi safi

  • @asyahamad4424
    @asyahamad4424 4 года назад +1

    Au bwana fidodido unakibamiaaaah

  • @sofiakarema2981
    @sofiakarema2981 Год назад +1

    Nzuri

  • @damasbenedict4246
    @damasbenedict4246 2 года назад

    njmekigwa na kijiji kizima kasoro wew daaah very finny

  • @priscamlyuka5531
    @priscamlyuka5531 5 лет назад +1

    Mhh madebe unamuwezea chanuooo

  • @abdallahmohammed8914
    @abdallahmohammed8914 4 года назад +1

    Unajua kakaaaaa unastahik tuzo🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🎖️🎖️🎖️🎖️🎖️🎖️🎖️🎖️🎖️🎖️🎖️🎖️🎖️🎖️🎖️🎖️🎖️🎖️🎖️

  • @hmondsimba5229
    @hmondsimba5229 5 лет назад +2

    Kali sanaaaaa

  • @isiakaisaack8013
    @isiakaisaack8013 5 лет назад +10

    Kamatupo pamoja gonga like

  • @mariammimiapayani6990
    @mariammimiapayani6990 4 года назад +1

    Nakupenda apo tu madebe aunakaz mbovu

  • @kilungule
    @kilungule 3 года назад +1

    Maisala 😍😍😍

  • @iddyomary6745
    @iddyomary6745 5 лет назад +3

    Marehemu kaacha orodha

  • @yasodishonest9792
    @yasodishonest9792 3 года назад +3

    Madebe. chanuo .nawapenda bure❤👏

  • @saidattmra5852
    @saidattmra5852 5 лет назад +5

    Safi tu

    • @livinyuc8695
      @livinyuc8695 2 года назад

      Hongera kwa kazi nzuri madebe

  • @ernestmabeja6570
    @ernestmabeja6570 5 лет назад +5

    Nilikua nishaach kuangalia movie za kibongo nina miaka nand sauz ila kwa madebe nimeanza tena kwel we chizi msomi
    Tunataka part three bhna inaishaje kizembe ivo? Tunaaka maisha baada ya kifo cha baby chanuo bonge la manzi

  • @user-rj7gf5rl3q
    @user-rj7gf5rl3q 6 месяцев назад

    😂😂😂😂😂nimeelewa nn maana ya tenga hahaaaaa

  • @shamimjuma9199
    @shamimjuma9199 3 года назад +2

    Nice

  • @naimasumba8290
    @naimasumba8290 3 года назад +2

    Haya alitaftwa mrithi wakanumba nahc kapatikana sasa

  • @barakamatiga9954
    @barakamatiga9954 5 лет назад +1

    Noma saaana

  • @zainabuzainabu4372
    @zainabuzainabu4372 5 лет назад +5

    Yani hapa mi sijaelewa kitu zaidi ya chabo tu

  • @user-ic8mc3bd8l
    @user-ic8mc3bd8l 6 месяцев назад

    Much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤❤❤❤❤😂😮😮

  • @aishamother9943
    @aishamother9943 4 года назад +2

    Mashallah huyu jamaa noma

  • @tamimasaloon8547
    @tamimasaloon8547 3 года назад +3

    hahaha jamani alikuwa anachungulia kwani tunafanya kwenye tenga😂🤣😂🤣

    • @user-ey5mv1yz3s
      @user-ey5mv1yz3s 6 месяцев назад

      😂😂😂 yaani hapo TU ndo kicheko

  • @tunuyaomar5017
    @tunuyaomar5017 5 лет назад +10

    🤣🤣🤣marehemu kaachia watu songombingo🙈🙈

  • @puritymurungi
    @puritymurungi 9 месяцев назад +1

    Hi

  • @shafiiramadhani7020
    @shafiiramadhani7020 8 месяцев назад

    nakubali kamanda madebe🎉😢😮😅😊

  • @ramseyrmsy3366
    @ramseyrmsy3366 5 лет назад +4

    Pesa itaendesha penzi la tamaa na hisia zitaendesha penz la kweli

  • @fatmaramadhan9928
    @fatmaramadhan9928 Год назад

    Nmeburudka lkn kikubwa zaid nmepata funzo ahsanteeh

  • @lucasjoseph9406
    @lucasjoseph9406 3 года назад +1

    Mama ushauli

  • @yasodishonest9792
    @yasodishonest9792 3 года назад +2

    Iyo ngoma moto🤣🤣🤣

  • @zuwenakabwe1017
    @zuwenakabwe1017 4 года назад +1

    Kazi nzuri

  • @rowdyrondarouseyfire9476
    @rowdyrondarouseyfire9476 5 лет назад +12

    Alikua anachungulia! Kwani sisi tunafanya kwenye Tenga😅😅😅😅😅

  • @patrickjohn1833
    @patrickjohn1833 5 лет назад +2

    Nakubali sana

  • @ramadhanihassani6825
    @ramadhanihassani6825 7 месяцев назад +1

    Kaka madeb unazingua muachie mkeo akant yake kingine lea watoto

  • @esterkimalio8846
    @esterkimalio8846 7 месяцев назад

    Hahahaaaa,,,alikuwa anachungulia kwani sisi tunafanyia kwenye tenga

  • @babye-jt7yp
    @babye-jt7yp Год назад

    Movie pambe

  • @estaphone
    @estaphone 7 месяцев назад

    Jamani natamani kujua huyo mrembo mweusi jina maana ni huwa namkubali kwenye act zake

  • @deborahchacha2006
    @deborahchacha2006 Год назад

    Inaumiza sana 😢😢😢😢

  • @mariamoman5057
    @mariamoman5057 3 года назад +2

    Nc🇧🇮🇧🇮💕

  • @estheragrey8403
    @estheragrey8403 2 года назад

    Pendo Sana kisonoko ❤️❤️

  • @teekaydrcongo8076
    @teekaydrcongo8076 5 лет назад +7

    Madebe kwani wewe ni kama marehem kanumba weye tu komaza kabisa

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 4 года назад +2

    Mzee Kambona amechafua Hali ya hewa kijiji kizima

  • @obedimwakagali7755
    @obedimwakagali7755 2 месяца назад

    Dumadebe umenifunda asatesana naisimunguamekutuma ongelasana

  • @yunisdmwangomo3210
    @yunisdmwangomo3210 4 года назад +1

    Ur a good actor madebe may god bless u

  • @asiasalim9323
    @asiasalim9323 6 месяцев назад

    Kumbe

  • @tumaramadhanghulaam247
    @tumaramadhanghulaam247 4 года назад +2

    Hii filamu kweli ndo ingeitwa matuc maanake mm coni kingine zaidi yamatuc

  • @user-od6mu5yr4e
    @user-od6mu5yr4e 3 года назад +2

    Zubeda unaria nini Baki njia kuu michopuko siodili

  • @rukiakhamis4310
    @rukiakhamis4310 3 года назад +1

    Anakaz ya kuwewesek t na kuwataj wachezaj wa ligi

  • @najmaawadh3837
    @najmaawadh3837 Год назад

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 4 года назад +3

    Alafu madebe tuletee vipande vilivyobaki move za mwanzo tutasahau ipi Ni ipi na tumeishia utamu unapotea

  • @johngabriel5156
    @johngabriel5156 4 года назад +2

    Wanaume msorizik

  • @mussanjopeka5936
    @mussanjopeka5936 3 года назад +1

    Ukiona mwanaume kashinda kamali au kubet ujue uko nyuma alishaliwa

  • @makungwadominico3374
    @makungwadominico3374 5 лет назад +5

    well done,nice movie

  • @josephinanikwelimdacki3330
    @josephinanikwelimdacki3330 3 года назад +1

    jamani imeishia patam

  • @ramseyrmsy3366
    @ramseyrmsy3366 5 лет назад +2

    Ulizalau daku kwa mdundo wa dufu#ha ha ha ha ha