Nabii Mswahili Part 4 - Madebe Lidai, Hawa Litala, Havit Makoti (Official Bongo Movie)
HTML-код
- Опубликовано: 11 сен 2024
- Nabii Mswahili (Full Movie Part 4) Madebe Lidai
Subscribe to Africha Entertainment: bit.ly/AfichaSubs
The Best Of African Music: Kadogo Kamu: New Ugandan Music: New Zambian Music: New Rwanda Music: New Kenyan Music: New Taarab Music: New Gospel Music: New Tanzania Music: New Zanzibar Music: Kenya gospel music: Tanzania Gospel Music: Zambia Gospel Music: ugandan Music
Nimekua na stress na kua mnyonge zaidi ila juzi punde nilipo tizama filamu part 1 na kuendelea za Nabii mswahili nilipata nguvu na leo nayaona maisha yangu yaliopo nawapi naelekea na nini chakufanya be blessed Madebe
Correct
madebe filamu zako ni fundisho tosha kwa wanajamii. heko kakangu. uko Na vipaji lukuki vya kuigiza. sauti yako nzuri Na yakusisimua. napenda saana filamu zako.
Jacob Kazungu poa
Ww ni shidaa
Umeonaa nduguu
@@arafasimai9897 2qaàÀÀÀÀ
hakuna haja ya wingi kama kuna umoja wenye nguvu....nimekuelewa sana mkuu
Nakubali ww n jiniaz xo mwigizaji nakubali kaka madebe
kaka hawajamaa walikuwaga wapi,maana nishida wanajua mpaka wanaboa,hongeren kwa kaz nzuri
Mafunzo nzuri sana
We ni mwalimu wa jamii kupitia filamu zako
Movie kali mpaka inaboa
Huyu Lidai noma,ni gongee tuzidi kupata mautam toka kwake Madebe
we jamaa hatar sana nakukubar like tu kama tuko pamoja na madebe
Hongera sana madebe tena nafrahi sana sauti yako inachezwa radio Maisha
Madebe
Hongera sanaaaa madebe
Aki nimelia sana
Madebe nakupenda kwajili ya Allah big up bro
Kwakweli acha niseme unajua Madebe utafika mbali sana
Wewe unamiliki gari sisi tunamiliki majeneza gonga like
Naenjoy sana nikiwa naangalia move zako zina nifunza mengi
Kweli
Penda madebe nuraty kutok kondoa
Hi
hongera
👏👏👏
madebe lidai. ujawai. kosea movie zâkõ ni zaid ya
vizuri.
Madebe unasisimua kwan mov zako zinazungumzia hali halis ya maisha yetu
Madebe big up kwako maana unatisha saaaanaa
made be upon vuzul
Madebe na kukubari sana
Sana
Madebe uko vzr kwa kazi yko ya sanaa
Madebe kweli we kiboko gonga like za madebe apa
Yupo vzr
M
H
Asante madebe lidai
Kuna kupuliza ili ipoe nakupuliza ili iwake hahaha nakuelewa sana @Madebe Lidai👊👍
Hongela sana kaka mungu akuongezee ujuzi unajuwa kweli bila shaka
Sijui nisemeje juu ya filamu hii hilivyo nzuri,ama kweli wahenga walisema ukitaka kujua utamu wa ngoma ingia kati ucheze,nami nimeikubali mahana toka tamati hadi kufikia sehemu ya 4 nimeikubali uzuri na utamu wake
Kazi safi madebe.
Duh pole kwa msiba
Madebe we kiboko yaani ww na Gabo mungu akujalieni Mfikishe mbali bongo muvu
Unaweza nabi
madebe muigizaji mzuri sana kwakweli ..sometimes anaigiza kwahisia mpaka machozi yananitoka
Kwa namna tunavopata faida huyu jamaa ni zaidi ya mwalimu
good san nabii nakufuatilia kwa kina mjomba madebe
Madebe uko juu ....gonga like apo kutoka +245
vijana tujiangarie ujumbe unakuja Kwetu. Madebe. uko sawa
Kutembea namwanafunxii huo niujingaa kweli tena ukjisahau kutumia kinga sasa unaua
Nice muvie
Saaf inafundisha saana
Madebe piga kazi Allah akuongozeeee na ujumbe mzuuuri unaoutoagaaaaaaaaaaaa
Hamisi Abdallah
Uko vzr broh
Hamisi Abdallah ivi CD zako zinapatikana wapi maana zinafundisha xana
Nakubali misemo
Big up madebe cause wew ni muigizaj wa kwanza kuwa mwanamapinduz god bless you
kubeba mzigo wa mawazo kama hauhitaji ngata .......Madebe umefufua bongo movie kabisa
😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹 nishidaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa gonga lake kama unamkubali madebe
Ok
Wazee wa sasa hawaote mvi kweli kyekyekyeeeh""""""
uyo noma sana👏👏👏👏👏👐👐👏👐👏👏👐👏👐
MSANZYA HAMISS [ TV ] n
Kiswahili kizur jmn
Mm Cna LA zaid 100% kwko madebe lidai
Madebe nakukubari sana brother
Ahxante xana madebe najarbu kufuatilia xanaaa maigizo yakoooo maana alipopita kanumba alienifanya nirud kuangalia movie za kibongo ni ww big up my brother
Kiukweli kikundi chenu kinafanya vyema nazipenda movie zenu haswa hii nabii mswahi dah napata raha sana kuziangalia napateje movies zenu niko kilimanjaro nielewesheni plz yaan zote alizocheza madebe lidai kiukweli zinaelimisha
Safi mwanagu
Mkojani
Madebe nakuonaga mbalii sana
Big
Brother
Hizi ndomuvi zakuangaria
Madebe got talent keep it up utafika mbali sana I wishe you all the best
Hakika ww Tanzania one
Kweli Watto Wanaumiza Yani Mtu Akikataa Kusoma Kwa Manufaa Yake Ya Baadae Mi Mwezenu Kilinikuta Ata Cna La Kusema Anaekataa Kusoma 😢😢😢😢😢
Madebe big up Walah umeongea main point , hivi kweli mtu Anasoma hadi master thn anaenda kutfuta kaz , unaambiwa eti shrt uwe na uzoefu 😞duh yaan kwwli 🙌🏻
Nieleweshe madebe huo ujinga wa kiwango cha fly over
Vitabu vya kezirahabi sivisikii madebe
Move ya shupa na shupanz part t tunapataje
Uwez madebe
mungu azidi kuwapa nguvu
Nabii mswahili neno yes linatoka wapi tena???
Ofcoz unaelimisha
Madebe noma kaka
Hongera saaana kaka madebe uko powa
Hongera sana madebe lnakukubaki mno aclimia mia kwako
This is amaizing.
Daah!!! kwelii marehemu kanumba kazaliwa upya...
Happy 😁😁😁
Kwel madebe nomaaa
Imani Chibaya mhhh
Unaupiga mwingi brooo,nakupa saloot
kwl hii sheria nmeielewa mpokea rushwa na anaetoa rushwa wote watuhumiwa
ila anae tia mimba na anaye pokea mimba mtuhumiwa n yule anae tia😂😂😂😂😂😂😂😂madebe wee kiboko👍👍👍👍👍👊
Yuko vzr sana
Nilisema kimoyomoyo sisemi najikuta nasema sasa
Da!BG up
state sana iiib no moto
Ni utani wa ngumi
Rahat
Hongera madebe lidai kwa kazi nzuri
Napend Sana hii filam
Lp midia seeem ya nne aionesh
Dah madebe unafundisha sana haswa sisi wakinaa dada hongera kwako
Dah😢❤️
Kaza mzee baba
Madebe juusana
Amaaaa kweliiii soma vitabu upate maaaarifa
Wow wow I like this guy manh
Huyu nabii mswahili ni kiboko ya hii tasnia
kiroho saf nimekukubali madebe
Hakika unaaksi Maisha halisi ya Mtanzania
Mungu akuzidishie broo kwa kuelimisha jamii .....
madebe wewe ni fundi
kaz nzur mkal
I love this
Pray not only when you need something but because you have a lot to be thankful for 🙏
Team madebe gonga like apa tujuane
❤❤
Hawa jamaa wanauwezo kama wa kanumba.
Unaelimisha jamii
Zaidiii
Alikib
diamond
Hahahaa, eti ni ujinga kiasi cha flyover, hapa naona madebe unaleta utani wa ngumi
Unajuwa sana madebe
Hakika kuubeba mzingo wa lawama hauitaji ngata
mko vizur san
Nice
Kwa hakika, nimetazama video mbalimbali lakini hizi za nabii zimenitia tumbo joto kwa ajili ya kunena ukweli mtupu ambiyo ni msumeno.
Madebe noma
naelew san misemo yk
Hongela madebe kwa kuelimisha jamiiiiii
Big Up