Nabii Mswahili Part 4 - Madebe Lidai, Hawa Litala, Havit Makoti (Official Bongo Movie)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 сен 2024
  • Nabii Mswahili (Full Movie Part 4) Madebe Lidai
    Subscribe to Africha Entertainment: bit.ly/AfichaSubs
    The Best Of African Music: Kadogo Kamu: New Ugandan Music: New Zambian Music: New Rwanda Music: New Kenyan Music: New Taarab Music: New Gospel Music: New Tanzania Music: New Zanzibar Music: Kenya gospel music: Tanzania Gospel Music: Zambia Gospel Music: ugandan Music

Комментарии • 259

  • @djuninhoramisos2453
    @djuninhoramisos2453 5 лет назад +5

    Nimekua na stress na kua mnyonge zaidi ila juzi punde nilipo tizama filamu part 1 na kuendelea za Nabii mswahili nilipata nguvu na leo nayaona maisha yangu yaliopo nawapi naelekea na nini chakufanya be blessed Madebe

  • @jacobkazungu7089
    @jacobkazungu7089 6 лет назад +39

    madebe filamu zako ni fundisho tosha kwa wanajamii. heko kakangu. uko Na vipaji lukuki vya kuigiza. sauti yako nzuri Na yakusisimua. napenda saana filamu zako.

  • @emmanuelmkalawa9242
    @emmanuelmkalawa9242 5 лет назад +28

    hakuna haja ya wingi kama kuna umoja wenye nguvu....nimekuelewa sana mkuu

  • @ramadhanisilaju2274
    @ramadhanisilaju2274 5 лет назад +2

    Nakubali ww n jiniaz xo mwigizaji nakubali kaka madebe

  • @Lumegilemukata
    @Lumegilemukata 4 года назад +3

    kaka hawajamaa walikuwaga wapi,maana nishida wanajua mpaka wanaboa,hongeren kwa kaz nzuri

  • @hellenmukhweso9519
    @hellenmukhweso9519 Год назад +1

    Mafunzo nzuri sana

  • @millianaakochi8255
    @millianaakochi8255 2 года назад

    We ni mwalimu wa jamii kupitia filamu zako

  • @aishaismail4573
    @aishaismail4573 5 лет назад +2

    Movie kali mpaka inaboa

  • @nkundajadix3585
    @nkundajadix3585 5 лет назад +4

    Huyu Lidai noma,ni gongee tuzidi kupata mautam toka kwake Madebe

  • @robertrobert5580
    @robertrobert5580 5 лет назад +10

    we jamaa hatar sana nakukubar like tu kama tuko pamoja na madebe

  • @charlesmbuya5847
    @charlesmbuya5847 6 лет назад +24

    Hongera sana madebe tena nafrahi sana sauti yako inachezwa radio Maisha

  • @rizikimwanyae9490
    @rizikimwanyae9490 5 лет назад +1

    Aki nimelia sana

  • @hawaabubakar2619
    @hawaabubakar2619 6 лет назад +10

    Madebe nakupenda kwajili ya Allah big up bro

  • @pstmoseskamwela6196
    @pstmoseskamwela6196 6 лет назад +27

    Kwakweli acha niseme unajua Madebe utafika mbali sana

  • @stevenfumbi9566
    @stevenfumbi9566 5 лет назад +14

    Wewe unamiliki gari sisi tunamiliki majeneza gonga like

  • @monilahcruz7293
    @monilahcruz7293 6 лет назад +22

    Naenjoy sana nikiwa naangalia move zako zina nifunza mengi

  • @rashidyrada7409
    @rashidyrada7409 6 лет назад +4

    hongera
    👏👏👏
    madebe lidai. ujawai. kosea movie zâkõ ni zaid ya
    vizuri.

  • @paschaljohn4715
    @paschaljohn4715 6 лет назад +62

    Madebe unasisimua kwan mov zako zinazungumzia hali halis ya maisha yetu

  • @MagongoMyugo
    @MagongoMyugo Год назад

    Madebe uko vzr kwa kazi yko ya sanaa

  • @danyakala
    @danyakala 6 лет назад +83

    Madebe kweli we kiboko gonga like za madebe apa

  • @pelusiemanueli6926
    @pelusiemanueli6926 2 года назад

    Asante madebe lidai

  • @ngenyarynah5394
    @ngenyarynah5394 5 лет назад +4

    Kuna kupuliza ili ipoe nakupuliza ili iwake hahaha nakuelewa sana @Madebe Lidai👊👍

  • @yamungumelack2250
    @yamungumelack2250 5 лет назад +7

    Hongela sana kaka mungu akuongezee ujuzi unajuwa kweli bila shaka

  • @zulachama1067
    @zulachama1067 5 лет назад +2

    Sijui nisemeje juu ya filamu hii hilivyo nzuri,ama kweli wahenga walisema ukitaka kujua utamu wa ngoma ingia kati ucheze,nami nimeikubali mahana toka tamati hadi kufikia sehemu ya 4 nimeikubali uzuri na utamu wake

  • @user-yz5wc1th3c
    @user-yz5wc1th3c Год назад

    Kazi safi madebe.

  • @abdalahasssni4759
    @abdalahasssni4759 4 года назад

    Duh pole kwa msiba

  • @amiribakari2124
    @amiribakari2124 6 лет назад +2

    Madebe we kiboko yaani ww na Gabo mungu akujalieni Mfikishe mbali bongo muvu

  • @MartinsTobiasTobiasnawek-un8zp
    @MartinsTobiasTobiasnawek-un8zp 9 месяцев назад

    Unaweza nabi

  • @fathermore9772
    @fathermore9772 5 лет назад +4

    madebe muigizaji mzuri sana kwakweli ..sometimes anaigiza kwahisia mpaka machozi yananitoka

    • @abdulbogoyo1243
      @abdulbogoyo1243 2 года назад

      Kwa namna tunavopata faida huyu jamaa ni zaidi ya mwalimu

  • @jonisenga6532
    @jonisenga6532 6 лет назад +11

    good san nabii nakufuatilia kwa kina mjomba madebe

  • @uzchieveuzivert5160
    @uzchieveuzivert5160 5 лет назад +13

    Madebe uko juu ....gonga like apo kutoka +245

    • @dimobigiji5173
      @dimobigiji5173 5 лет назад

      vijana tujiangarie ujumbe unakuja Kwetu. Madebe. uko sawa

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 3 года назад

    Kutembea namwanafunxii huo niujingaa kweli tena ukjisahau kutumia kinga sasa unaua

  • @angelangel-wq4sx
    @angelangel-wq4sx 5 лет назад +1

    Nice muvie

  • @hamisiabdallah4872
    @hamisiabdallah4872 6 лет назад +9

    Saaf inafundisha saana
    Madebe piga kazi Allah akuongozeeee na ujumbe mzuuuri unaoutoagaaaaaaaaaaaa

  • @timetravellor5367
    @timetravellor5367 3 года назад

    Nakubali misemo

  • @8151mussakudely
    @8151mussakudely 5 лет назад +1

    Big up madebe cause wew ni muigizaj wa kwanza kuwa mwanamapinduz god bless you

  • @gaspermlay6963
    @gaspermlay6963 5 лет назад +1

    kubeba mzigo wa mawazo kama hauhitaji ngata .......Madebe umefufua bongo movie kabisa

  • @msanzyahamisstv6184
    @msanzyahamisstv6184 6 лет назад +92

    😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹 nishidaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa gonga lake kama unamkubali madebe

  • @abdalahasssni4759
    @abdalahasssni4759 4 года назад +1

    Kiswahili kizur jmn

  • @nickmsangaa8506
    @nickmsangaa8506 5 лет назад +1

    Mm Cna LA zaid 100% kwko madebe lidai

  • @babaridhiradhia2790
    @babaridhiradhia2790 5 лет назад +2

    Madebe nakukubari sana brother

  • @omaryissah5335
    @omaryissah5335 6 лет назад

    Ahxante xana madebe najarbu kufuatilia xanaaa maigizo yakoooo maana alipopita kanumba alienifanya nirud kuangalia movie za kibongo ni ww big up my brother

  • @solomonedward3379
    @solomonedward3379 5 лет назад +1

    Kiukweli kikundi chenu kinafanya vyema nazipenda movie zenu haswa hii nabii mswahi dah napata raha sana kuziangalia napateje movies zenu niko kilimanjaro nielewesheni plz yaan zote alizocheza madebe lidai kiukweli zinaelimisha

  • @hassanmjukuu823
    @hassanmjukuu823 9 месяцев назад

    Safi mwanagu

  • @eliassicherias8566
    @eliassicherias8566 3 года назад

    Mkojani

  • @deenassormoretv4885
    @deenassormoretv4885 5 лет назад +1

    Madebe nakuonaga mbalii sana
    Big
    Brother

  • @jameskomba9013
    @jameskomba9013 5 лет назад +2

    Hizi ndomuvi zakuangaria

  • @juniorleonard9140
    @juniorleonard9140 6 лет назад +2

    Madebe got talent keep it up utafika mbali sana I wishe you all the best

  • @hemedimkufya8208
    @hemedimkufya8208 6 лет назад +2

    Hakika ww Tanzania one

  • @nurusaid4698
    @nurusaid4698 Год назад

    Kweli Watto Wanaumiza Yani Mtu Akikataa Kusoma Kwa Manufaa Yake Ya Baadae Mi Mwezenu Kilinikuta Ata Cna La Kusema Anaekataa Kusoma 😢😢😢😢😢

  • @shuasaishuasai4108
    @shuasaishuasai4108 5 лет назад +2

    Madebe big up Walah umeongea main point , hivi kweli mtu Anasoma hadi master thn anaenda kutfuta kaz , unaambiwa eti shrt uwe na uzoefu 😞duh yaan kwwli 🙌🏻

  • @maximilianmatongo6617
    @maximilianmatongo6617 4 года назад +1

    Nieleweshe madebe huo ujinga wa kiwango cha fly over

  • @yohanamapunda2654
    @yohanamapunda2654 5 лет назад +1

    Vitabu vya kezirahabi sivisikii madebe

  • @mndolwabuiko7341
    @mndolwabuiko7341 5 лет назад +1

    Move ya shupa na shupanz part t tunapataje

  • @majagongoo1177
    @majagongoo1177 3 года назад

    Uwez madebe

  • @nobertnyunze2934
    @nobertnyunze2934 6 лет назад +5

    mungu azidi kuwapa nguvu

  • @kachagirl1528
    @kachagirl1528 3 года назад

    Nabii mswahili neno yes linatoka wapi tena???

  • @damasmilinga7541
    @damasmilinga7541 6 лет назад +10

    Ofcoz unaelimisha

  • @elisabroni5686
    @elisabroni5686 6 лет назад +2

    Hongera saaana kaka madebe uko powa

    • @pendomwandambo79
      @pendomwandambo79 5 лет назад

      Hongera sana madebe lnakukubaki mno aclimia mia kwako

  • @nyotamy3678
    @nyotamy3678 6 лет назад +16

    This is amaizing.

  • @ibrahimmkala4336
    @ibrahimmkala4336 5 лет назад +4

    Daah!!! kwelii marehemu kanumba kazaliwa upya...

  • @khalidjafary1120
    @khalidjafary1120 Год назад

    Happy 😁😁😁

  • @imanichibaya5435
    @imanichibaya5435 6 лет назад +5

    Kwel madebe nomaaa

  • @ZenaAlly-jg3yy
    @ZenaAlly-jg3yy 3 месяца назад

    Unaupiga mwingi brooo,nakupa saloot

  • @mr.kibwena9097
    @mr.kibwena9097 5 лет назад +4

    kwl hii sheria nmeielewa mpokea rushwa na anaetoa rushwa wote watuhumiwa
    ila anae tia mimba na anaye pokea mimba mtuhumiwa n yule anae tia😂😂😂😂😂😂😂😂madebe wee kiboko👍👍👍👍👍👊

  • @rahazamjini898
    @rahazamjini898 5 лет назад +3

    Nilisema kimoyomoyo sisemi najikuta nasema sasa

  • @joshuaandrew386
    @joshuaandrew386 5 лет назад +1

    Da!BG up

  • @dizzoboy4597
    @dizzoboy4597 3 года назад

    state sana iiib no moto

  • @aboubakarmassooud6908
    @aboubakarmassooud6908 6 лет назад +7

    Ni utani wa ngumi

  • @majarwaamxisi9533
    @majarwaamxisi9533 5 лет назад +1

    Rahat

  • @charlestsuma7451
    @charlestsuma7451 6 лет назад +6

    Hongera madebe lidai kwa kazi nzuri

  • @asia2073
    @asia2073 4 года назад

    Napend Sana hii filam

  • @pesspesa6202
    @pesspesa6202 3 года назад

    Lp midia seeem ya nne aionesh

  • @ashamusa1626
    @ashamusa1626 5 лет назад

    Dah madebe unafundisha sana haswa sisi wakinaa dada hongera kwako

  • @estherfredrick1511
    @estherfredrick1511 2 года назад

    Dah😢❤️

  • @saidiliyokakamduma9066
    @saidiliyokakamduma9066 5 лет назад +1

    Kaza mzee baba

  • @user-qh7vz4zx1v
    @user-qh7vz4zx1v 10 месяцев назад

    Madebe juusana

  • @emmanueljohaness7732
    @emmanueljohaness7732 6 лет назад +2

    Amaaaa kweliiii soma vitabu upate maaaarifa

  • @browntiger4849
    @browntiger4849 6 лет назад +1

    Wow wow I like this guy manh

  • @mashmashmkeyenge9210
    @mashmashmkeyenge9210 6 лет назад +2

    Huyu nabii mswahili ni kiboko ya hii tasnia

  • @isakadaudi514
    @isakadaudi514 5 лет назад +1

    kiroho saf nimekukubali madebe

  • @emilylembeli2456
    @emilylembeli2456 6 лет назад +6

    Hakika unaaksi Maisha halisi ya Mtanzania

  • @suhaybabeid3115
    @suhaybabeid3115 4 года назад

    Mungu akuzidishie broo kwa kuelimisha jamii .....

  • @hashimkassim2686
    @hashimkassim2686 4 года назад

    madebe wewe ni fundi

  • @poricalpylyakulwa1335
    @poricalpylyakulwa1335 5 лет назад +1

    kaz nzur mkal

  • @amogolla_2
    @amogolla_2 3 года назад +1

    I love this

  • @amogolla_2
    @amogolla_2 3 года назад +3

    Pray not only when you need something but because you have a lot to be thankful for 🙏

  • @maudassi881
    @maudassi881 5 лет назад +7

    Team madebe gonga like apa tujuane

  • @laurkosc
    @laurkosc Год назад

    ❤❤

  • @nyotamy3678
    @nyotamy3678 6 лет назад +32

    Hawa jamaa wanauwezo kama wa kanumba.

  • @ramadhanshida8697
    @ramadhanshida8697 5 лет назад +2

    Hahahaa, eti ni ujinga kiasi cha flyover, hapa naona madebe unaleta utani wa ngumi

  • @qassimjanjajanja159
    @qassimjanjajanja159 5 лет назад

    Unajuwa sana madebe

  • @joinanganunga6985
    @joinanganunga6985 3 года назад

    Hakika kuubeba mzingo wa lawama hauitaji ngata

  • @safisanamadebenakukubalihg7509
    @safisanamadebenakukubalihg7509 6 лет назад +4

    mko vizur san

  • @allendickson6372
    @allendickson6372 5 лет назад +2

    Nice

  • @reubenopuken4843
    @reubenopuken4843 Год назад

    Kwa hakika, nimetazama video mbalimbali lakini hizi za nabii zimenitia tumbo joto kwa ajili ya kunena ukweli mtupu ambiyo ni msumeno.

  • @dausonselestin5054
    @dausonselestin5054 3 года назад

    Madebe noma

  • @joycepatrick5161
    @joycepatrick5161 5 лет назад +6

    naelew san misemo yk

  • @kulwadaud4990
    @kulwadaud4990 5 лет назад

    Hongela madebe kwa kuelimisha jamiiiiii

  • @bethajohn6698
    @bethajohn6698 5 лет назад +1

    Big Up