Nabii Mswahili Part 5 - Madebe Lidai, Hawa Litala, Havit Makoti (Official Bongo Movie)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 22 авг 2024
  • Subscribe to Africha Entertainment: bit.ly/AfichaSubs
    The Best Of African Music: Kadogo Kamu: New Ugandan Music: New Zambian Music: New Rwanda Music: New Kenyan Music: New Taarab Music: New Gospel Music: New Tanzania Music: New Zanzibar Music: Kenya gospel music: Tanzania Gospel Music: Zambia Gospel Music: ugandan Music

Комментарии • 290

  • @avidiuselias4126
    @avidiuselias4126 6 лет назад +133

    kwa upande wangu naona madebe ni mmoja wa kutengeneza muv za kuelimisha sijui wenzangu mnasemaje

  • @eliudchubwa6277
    @eliudchubwa6277 5 лет назад +132

    Madebe the great
    Kama wewe ni team Madebe gonga like hapa. ⏰

    • @semenmickdad1704
      @semenmickdad1704 5 лет назад +2

      Uyu jamaa lidai yuko juu mungu amjalie uzima milele naitwa oga daddy time madebe

    • @sadickmwansumbule8816
      @sadickmwansumbule8816 5 лет назад +1

      madebe salut kwako acha awa wengne wanaigiza upuuz

    • @kelvinmellah3864
      @kelvinmellah3864 5 лет назад

      Jamani tupo pamoja mana huyu jamaaa kiukweli tupo vizuri na anatukumbusha mambo mazuri sana

    • @abuuhmohd
      @abuuhmohd Год назад

      5though to the

  • @josephnzomo4287
    @josephnzomo4287 Год назад +2

    Hii series freshi Sana lakini sauti ni sawa na kushuka mchongoma.

  • @ibrahimmkala4336
    @ibrahimmkala4336 5 лет назад +58

    Waaaah!!!! Nabii we ni msanii uliyetumwa na Mungu....nakubaliii wacha...wakenya wenzangu hizi ndio filamu tunazozitaka nyinyi muzitoe...kwelii kanumba kazaliwa upya na ishara yao kuu ni madebe

  • @allyhasan911
    @allyhasan911 5 лет назад +63

    Kama unampenda madebe mpgie kura kwenye sinema zetu aweze shinda tunzo kama nimdau wa madebe

    • @victormwamba635
      @victormwamba635 5 лет назад

      akunaga kama huyu jamaaa ni shidaaa

    • @vanykalinga180
      @vanykalinga180 5 лет назад

      Kama kuna m2 ambae azielewa mvi za madebe lidai bc uyo ana uganjwa wa akili jaman madebe ni mmoja wapo anaye juwa kwalemisha jmn daah ebu mpeni kula madebe lidai jmn ??

    • @amosnyakundi8494
      @amosnyakundi8494 4 года назад

      madebe ako xawa ila sauti ndo inasumbua

  • @termparkmerickyori2492
    @termparkmerickyori2492 5 лет назад +37

    Hakuna fundi wa move Kali za kibongo kama madebe anaebsh abishe...

  • @mzeahmwake1461
    @mzeahmwake1461 Год назад +1

    Madabe baba yangu nakukubali sana kwenye tasnia ya filamu tanzania na africa

  • @JocktanMwatoa
    @JocktanMwatoa Месяц назад

    Mimi Si shabiki wa bongo movie,ila hapa kwa madebe ndipo nimetia nanga

  • @daudikoroso9214
    @daudikoroso9214 5 лет назад +3

    Heri kumwamini Mungu yupo ukaenda usimkute, lakini kuliko kuamini kuwa hayupo ukaenda ukamkuta. hiii nimeipenda kiukweli Madebe, a.k.a Nabii Mswahili. Piga kazi.

  • @raphaelmunga547
    @raphaelmunga547 5 лет назад +16

    Hongera sana madebe lidai,kwa kuikuza nchi ya Tanzania, mungu akuzidishie mengi hapa duniani,kwani ile elimu unayotupa wengi tunafumbua macho na kuona mbele.

    • @nasriallyswalehe9053
      @nasriallyswalehe9053 5 лет назад

      Raphael Munga ur

    • @obedygandye3411
      @obedygandye3411 5 лет назад

      ukitaka kujua thamani ya uhai wako hudhuria misiba mingi. asante sana madebe aka chizi msomi

  • @amocomedian3901
    @amocomedian3901 2 года назад +1

    Watanzania nabii mswaili sio kindogo 🤏🤚

  • @mariammussa4593
    @mariammussa4593 3 года назад +1

    Usitegemee kupata jino lenye afya ilihali mdomo umeoza, we noma madebe lidai 😍😍😍😍😍😍

  • @omaryjuma3274
    @omaryjuma3274 5 лет назад +23

    Madebe wewe ni shiiida nazielewa sana kazi zako

  • @jacksonmulei8049
    @jacksonmulei8049 5 лет назад +8

    Tamthilia iko sawa il kuna mahali padogo tu umeteteleka Mr.Lidai ila pole kwa kukukosoa,Brian Deacon alizaliwa 1949 ila sio 1946....

  • @costantinejoseph3950
    @costantinejoseph3950 6 лет назад +35

    Nakuelewa sana mungu akuzidishie baraka ufikie malengo yako

  • @jydsonnzanzu1090
    @jydsonnzanzu1090 Год назад +2

    Nitajitahidi kukuonye wengine hapo Congo iliwafunzwe

  • @kennedywanyama
    @kennedywanyama Год назад +2

    My favorite

  • @BarnabasWafula
    @BarnabasWafula 10 месяцев назад

    Nakubaliana nawe kwa lugha kaka Nabii

  • @gaspermlay6963
    @gaspermlay6963 5 лет назад +12

    wapishi punguzeni kuonja lasiivyo walaj watalala njaa....asante Madebe

  • @shabanmfangavo9643
    @shabanmfangavo9643 5 лет назад +6

    We we ndio maana halisi ya kioo cha jamii...big up sana madebe pamban y ela yote....unaifanya bongo muvie Iwe na ladha tena

  • @edwardsalee3402
    @edwardsalee3402 5 лет назад +16

    Madebe mwalimu mzuri wa mafunzo

  • @ladistech9261
    @ladistech9261 5 лет назад +3

    Mungu akusaidiye kwa hiyi kipaji aliweka ndani yako Baba Madebe !!
    Hongera sana !!

  • @ramadhanshida8697
    @ramadhanshida8697 5 лет назад +5

    Wapishi punguzeni kuonja vinginevyo walaji watalala nzaa

  • @adiliwasanga4521
    @adiliwasanga4521 4 года назад +1

    namkubali sana mabii mswahili kati yawatu wote duniani napenda hata cku moja nije nipige nawe stori hata dakika moja tuu

  • @yhywisuvvy2175
    @yhywisuvvy2175 5 лет назад +1

    Jamani mm ni mgeni kwa kumjua nabii mswahili.. natumai wote ni mashabiki zakee.. nilikua nauliza kwa anaemfatilia je kwenye azam tv anaoneshwa saangap na kwa siku gani na gani

  • @jamuhuriali6183
    @jamuhuriali6183 5 лет назад +1

    Jamuhuli apa mozambique daaa asate kk kweli nhimbo mzuri si zenhe matus nawala filamu bola si kuigiziya kumbi za staree ispokuwa ni.....

  • @tolumnyama3935
    @tolumnyama3935 5 лет назад +4

    Nabii mswahili ki ukweli unajua sana mpk raha mustareheeeeee...!

  • @eliudchubwa6277
    @eliudchubwa6277 5 лет назад +12

    Black pasco nice nimeipenda sana

  • @calvinceotieno8606
    @calvinceotieno8606 5 лет назад +6

    I have never seen such wisdom ,watanzania mko tu sawa.....love from Nairobi
    Madebe is incredible in this

  • @aishajuma712
    @aishajuma712 5 лет назад +8

    Madebe mi nakupendaga tu mungu akupe umri mrefu inshaallah

  • @amirphilip135
    @amirphilip135 5 лет назад +5

    ninapokaa na kutafakari maneno yako braza napat ujasiri na werevu ulojaa hekima na busara,yananifny niwe mwepes wa fikra km nafasi hesabu za magazijuto.
    Naiman uko nafasi nzur na unakua na nafasi bora sana,kazi nzur na yanye mafanikio braza

  • @jacobolucas6356
    @jacobolucas6356 5 лет назад +5

    respect for you brother madebe tunae kanumba kwenye ulimwengu mpya

  • @sheilachepkorir2711
    @sheilachepkorir2711 3 года назад

    Ukifa na ugonjwa watu watakuzika na ugonjwa yako🤜🤜🤜

  • @angelsambaya1992
    @angelsambaya1992 2 года назад

    Wapishi punguzeni kuonja lazivyo walaji watalala njaaa

  • @deavagadros7715
    @deavagadros7715 4 года назад

    Najifunza mengi Sana kutoka kwa huyu jamaa mungu akulinde kwa akuonekanie uendele na haya mafunzo... Kenya 🇰🇪 here I watch 🎓

  • @TumainiBraytoni
    @TumainiBraytoni 13 дней назад

    Madeley ungekuwa mwanasiasa ungetoboa

  • @calvinmaimu6791
    @calvinmaimu6791 6 лет назад +16

    Madebe lidai nimripenda hii movie ifanyie substitute na uifanye full movie I think utatoboa zaidi

  • @victormbuti4999
    @victormbuti4999 5 лет назад +5

    Nimependa hapo Nchi hii wamejaa weng wawakilishi kuliko Viongozi

  • @halimayassin3455
    @halimayassin3455 4 года назад +1

    Hongera nabii mswahili nakuelewa sana

  • @kenmulika6698
    @kenmulika6698 2 года назад +1

    May the almighty God bless u

  • @sarahkapinga8194
    @sarahkapinga8194 2 года назад +1

    Kaz nzur

  • @sharifahamada8140
    @sharifahamada8140 5 лет назад +4

    Mh Madebe ni shida ni mwelimishaji kwa wanaofikikiri💪

  • @daudpius3075
    @daudpius3075 5 лет назад +20

    Huuunimuda wako wakupewa tuzo braza

  • @evanswambua-i7m
    @evanswambua-i7m Год назад

    Ubunifu wa Hali ya juu

  • @hijakuyu3432
    @hijakuyu3432 3 года назад

    Wewe ndio unaelimisha jamii

  • @chrismutisya
    @chrismutisya 5 лет назад +5

    Huu ndio usanii wenye mafunzo. Hongera kaka Madebe.

  • @bonifaceoglukavilo1149
    @bonifaceoglukavilo1149 5 лет назад +5

    Respect you unaweza nabii

  • @robywansambor3902
    @robywansambor3902 5 лет назад +11

    Nakukubali sana kaka naishi kwa mfano wako

  • @abdikhan8908
    @abdikhan8908 6 лет назад +7

    Hata #Kenya anatambuka

  • @mussamohamed2858
    @mussamohamed2858 10 месяцев назад

    Sikupenda kujita nabii tu mm

  • @user-kn7ec7tn9c
    @user-kn7ec7tn9c 7 месяцев назад

    This guy remember me my grand mother's wise.❤❤❤

  • @kulwasaid4388
    @kulwasaid4388 2 года назад

    Upande wa sauti mnafeli wallahi

  • @edwardlemayian427
    @edwardlemayian427 5 лет назад +5

    Kiswahili nafikiri Madebe alimeza Kamusi

  • @paulsimonjr3777
    @paulsimonjr3777 5 лет назад +5

    ukikubal kuitwa mheshimiwa unakarbisha nafas ya wengine kutokuheshimiwa king madebe

  • @mohamedjuma5684
    @mohamedjuma5684 5 лет назад +1

    Iko juu brotha

  • @Dorcas445
    @Dorcas445 5 лет назад +1

    I can hear a rwandese song from the background 🙌🏽 i learn a lot from Madebe aka nabii mswahili 😘🙏🏾

  • @t.o8098
    @t.o8098 5 лет назад +1

    umetisha kaka no one like u east africa

  • @reginolnyenza3934
    @reginolnyenza3934 2 года назад

    Ukovizuri pambana jamii inakukubari

  • @jamesminja3609
    @jamesminja3609 2 года назад

    Kazi nzuri

  • @chachatz1682
    @chachatz1682 5 лет назад +1

    Madebe Lidia.. Wewe ndiye msanii unafaa kwa jamii..tuzo zinakuhusu congrats**

  • @deusymyenda5217
    @deusymyenda5217 2 года назад

    Unaigiza vizuri sana cijawahi ona lakin Kuna sehem hakuna sauti kabisa

  • @salymomar9793
    @salymomar9793 5 лет назад +9

    Hata kama kanumɓa angekuwepo ɗunia ɓasi ungempa changamoto kuɓwa kweny tunzo kuliko msanii yyt yule tanzania

  • @swalehomary1135
    @swalehomary1135 4 года назад +1

    Hata mimi nakubali kazi yamadebe lidai

  • @omarimtamajika5646
    @omarimtamajika5646 5 лет назад +4

    Namkubali sana uyu jamaa madebe

    • @hassansalim5263
      @hassansalim5263 Год назад

      Hata Mm pia Nafrai Sana kuona Video zake Zina mafundisho Makubwa Sana Hapa Duniani mpaka kesho Akhera Nipo Nje ya African Namtakia kila la khery Mr Madebe lidai

  • @EricRutulira
    @EricRutulira Год назад

    Vizuri sana madebe

  • @wemanatenda214
    @wemanatenda214 6 лет назад +10

    Namkubal sana madebe lidai

  • @tsavisyengo7595
    @tsavisyengo7595 4 года назад +1

    Nabii Mswahili may the lord bless you. You have helped me a lot

  • @bernardmaganga7540
    @bernardmaganga7540 5 лет назад +2

    hongera madebe kazi mzuri Mungu akubariki

  • @imbrosmadeghe6948
    @imbrosmadeghe6948 4 года назад

    kama u amkubali huyu jamaa gonga like

  • @aghanwekesa9836
    @aghanwekesa9836 Год назад

    Kaka wewe balaa Nakwambia,kiswahili kizuri nabii.

  • @abdulrazakabdallah3336
    @abdulrazakabdallah3336 5 лет назад +3

    Usitegemeee jino bora kwa kiywa kilichooza

  • @deusymyenda5217
    @deusymyenda5217 2 года назад

    Mm ningekuwa mtoa tuzo nabii mswahili ungepata zote

  • @ellymecky5616
    @ellymecky5616 5 лет назад +10

    Kwa kipaji hichi Tanzania tutatengeneza kizazi kilicho bola

  • @filemonmoji3503
    @filemonmoji3503 3 года назад

    yan huyu jamaa anaelimisha sna

  • @angelangel-wq4sx
    @angelangel-wq4sx 5 лет назад +1

    Nice muvie D.R.congo

  • @saidichaka3536
    @saidichaka3536 2 года назад

    Siku zote wapishi wapunguze kuonja vinginevyo walaji watalala njaa

  • @niyongabo83
    @niyongabo83 3 месяца назад

    Hongera sana

  • @allymawimbi17
    @allymawimbi17 5 лет назад +2

    Hongera xana kk kwa kaz zako zenye kuelimisha jamii

  • @nafisamohammed9064
    @nafisamohammed9064 5 лет назад +9

    Madebe umenifanya kupenda movie za Bongo sana.Hongera kwa kazi nzuri.Hii misemo waipata wapi?

  • @majaliwampika5417
    @majaliwampika5417 5 лет назад +1

    Nabii mswahili anaelimisha na kufikirisha

  • @tausitausi8282
    @tausitausi8282 3 года назад

    Madebe nikiboko sana hayomaneno umeipata wapi duu

  • @rophassifuna5765
    @rophassifuna5765 2 года назад

    So nice nabii nakuelewa

  • @bejos845
    @bejos845 5 лет назад +7

    Allan Stanley Watching from Australia.I am really touched by wisdom words spoken in this movie keep it up my Bro Na
    bii Mswahili.

  • @SadickIssa-bc8zv
    @SadickIssa-bc8zv Месяц назад

    Napenda sana

  • @georgesianje5493
    @georgesianje5493 5 лет назад +5

    nakubali maneno yako lakini tatizo moja sielewi mifano yako

    • @wadukuwesai700
      @wadukuwesai700 5 лет назад

      Nisawa na mlixho mpoto

    • @harithhaitham64
      @harithhaitham64 5 лет назад +1

      Hahahahahah lazma uwe umezama nakukipenda kiswahili ukiendekeza kingereza hapo kwa madebe hautafua dafu

    • @deodatusvedasto4047
      @deodatusvedasto4047 5 лет назад

      George Sianje msikilize vizuri blazaaaa

  • @rahmaahmusah5878
    @rahmaahmusah5878 4 года назад

    vizur sana madebe tufundishe bhana wala usihof tupo nyuma yako.

  • @jofreyjulius296
    @jofreyjulius296 5 лет назад +5

    Pass kiziwi umetisha

  • @salmawaoooh.santee3437
    @salmawaoooh.santee3437 3 года назад

    Kama kanumba huyu jamaa

  • @MalengaMchokozi
    @MalengaMchokozi 19 дней назад

    Madebe uko sawa

  • @jumawajuma3589
    @jumawajuma3589 5 лет назад +6

    Nakukubari Sana Kiongozi

  • @godfreykyando3345
    @godfreykyando3345 5 лет назад +2

    madebe x Gabo mambo na vijambo

  • @theclassicone7470
    @theclassicone7470 5 лет назад +4

    safi sana madebe lidai

  • @joblucky4999
    @joblucky4999 6 лет назад +5

    Noma

  • @hakiimkayima7153
    @hakiimkayima7153 3 года назад

    Kanini sauti kengine inna potea

  • @jumannezubery5778
    @jumannezubery5778 5 лет назад +1

    safiiiiiii!!!!!!!

  • @saidmuhama9846
    @saidmuhama9846 6 лет назад +4

    You are the Best

  • @Lumegilemukata
    @Lumegilemukata 4 года назад +1

    utani wa ngumi huo kaka

  • @dasafadanford5806
    @dasafadanford5806 5 лет назад +4

    Mimi madebe nafrahi sana kuona movie zake na ninamuelewa sana

  • @halimasssomar8793
    @halimasssomar8793 5 лет назад +9

    Usitegemee kupata jino lenye afya kwenye mdomo ulo oza

  • @aloycebaraka2250
    @aloycebaraka2250 5 лет назад +2

    Madebe unajua Sana pongez kwake