Vaileth Mwaisumo - Nitamwambia Mungu (Official Music Video) SMS: Skiza 5441207 to 811
HTML-код
- Опубликовано: 3 окт 2024
- Nitamwambia MUNGU Ni wimbo unaokukumbusha kuwa chini ya jua penda kusema na MUNGU kupitia maombi, mueleze sana MUNGU kuliko watu, maana watu wamejaa maumivu badala ya msaada hivyo wimbo huu ukukumbushe kuwa kimbilio na msaada wa kweli ni MUNGU peke yake.
#VailethMwaisumo #NitamwambiaMungu
If you are From TikTok hit like , so Blessing 🙏
Thanks kwa hii song ndio huwa naiweka kila saa tisa ya asubuhi nikitambee kila mahali watu huwa wananiita tasa but kupitia kwa huu wimbo najua nikimwambia Mungu tatizo langu atanijibu kama venye alijibu Sara kwa bibilia hata yeye aliitwa tasa but Mungu ni nani Sara akapata mtoto najua wakati wangu ukifika nitapewa Samweli ubarikiwe kwa huu wimbo wa kunitia nguvu am linet from kenya mama napenda nyimbo zako sana pia hiyo wimbo wako wa Imeisha hiyo na mkono wa bwana umeniondolea aibu
Amina
Ni mungu tu pekee yake,kweli ni yeye tu wa kuambia....marafiki wamenicheka na kushangilia .... rafiki wa kweli ni mungu
Ni mungu pekee ndo anajua maumivu yako asante sana dada
😭hizi ndio nyimbo za gospel.zinagusa moyo wa ibada.ubarikiwe Violeth.
Nimejifunza kitu siku zote mwambie Mungu maadui zako apambane nao ni hakika wataangamizwa
Ukweli ni Mungu pekee. Asante kwa wimbo mtamu. USA tunakupata vizuri na tunakupenda sana
Shukrani sana
Karibu. Zidi kumtukuza Mungu nazi tutaendelea kukupa support. Plan uje Marekani
🥰
Thank u 4 your gd song lt touch my life l love it❤❤❤
Nitamwambia mungu pekee.
Mungu pekee mtetezi wa wanyonge Mimi nitamwambia Mungu Barikiwa sana dadangu🥰🥰Nakupenda sana
Shukrani sana ❤️❤️
Ni yy tu hawezi choka na habari yangu
Nko na machungu mazito moyoni mwangu lakini huu wimbo umenipa nguvu ,,,nitainuka Tena kwa kumwambia Mungu,,tnku so much 🙏
Thanks much
Kazi nzuri sana, ujumbe mzuri, umetisha sana mywii, hongera sana
Shukrani sana my wii❤️
New subscriber asap..peda nyimbo zako sana
Nabarikiwa mno
Bonge la wimbo...naupiga mpk basi...hongera kwa kazi nzuri mtumishi
Shukrani
😢nitamwambia yeye pekee na ujane wangu.huu wa mapema hivi ..unanifariji sana Vai
Silali had nisikilize hii nyimbo kwa habar ya mapitoyangu nitamwambia Mungu inanibariki
Amen
Me wewe utabakii kuwa kielelezo changu wakati wote Vai may God continue using you❤❤
Kweli ni Mungu pekee,, i remember trusting my dear friend too much 😭😭😭but he later disappointed me 😢😢 abusing me 🙏
Nitamwambia MUNGU Barikiwa sanaa Mama angu Wimbo mzur sanaa
God bless you more grace huu nyimbo zako Huwa zanibariki sana
Ubarikiwe Kwa wimbo mzuri wenye ujumbe mzuri pia tumwambie Mungu shida zetu tumwambie Mungu watesi wetu apambane nao
Amina
Achanana huo wimbo kwanza mtetemo wa hiyo sauti inapenya mpaka Moyoni hongera kea sauti yenye upako💝🙏
Amina
Nakupenda Sana mom...unagusa maisha yangu ..unanitia moyo Sana na kuzid kumtegemea Mungu..ubarikiwe Sana mom
Amen
Nyimbo zangu sinanipa nguvu ya kuendelea kuomba na kuamini ni yy asiyechoka na mm God bless you mum
Amen
Wow nitamwambia mungu kila kitu ninachokipitia
Mungu azidi kukufunulia nyimbo nyingi ,twabarikiwa kupitia nyimbo
Amen
Hit after hit💥💥🫶 Kenya tunakupenda
Shukrani
Nitamwambia mungu wimbo wakuabudu ameen 🙏🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪💃💃💃
Amen
Hakika wimbo wako nimekupenda Sana, mungu akutie nguvu ,karibu mwanza kongamano lolote nitahidhulia hakika dadaangu vaileth,
Amen
Ukwelii huyu ma anajua sana tena sana Mungu azid kukubariki mama angu
Amen
NI Mungu tu atalia pamoja nami wakati wa mapito yangu... Barikiwa sana *Vaileth Mwaisumo kwa ujumbe wako wa nguvu*
Amen
Nyimbo Nzuri, siku haipiti kabla sijaiweka
Shukrani
Baraka nyingine,asante Dada kwa wimbo huu,kweli ni mungu pekee
Baraka
Amen
Hongera mama ❤ 💕 💖 💓 ♥ pongezi kutoka Kenya
Shukrani sana
Kweli ni Mungu tu.
Mungu ndiye mwenye jibu kamili la matatuzo yote duniani. GOD bless you.
Amen
Am passing through alot and it's only God whom I can acknowledge.
In the absence of my parents 😢its been tough and pple will always judge you.
Ni ukweli dada ubarikiee na mungu huu wimbo
YESU unikumbuke.kupitia huu wimbo.Mungu peke yake ndiye wakumwambia.binadamu ni binadamu
Wimbo mzuri Sana nimebarikiwa Asante na Mungu azidi kukutumia zaidi.
Amen
Ameen Ameen mtumishi wa Mungu nambariki Mungu na kumtukuza kwaajili yako Mungu akubariki sana .from morogoro
Amen
Mama taifa Asante sana mungu akubariki sana mama ♥️ Asante Samuel
Hakika ni Mungu pekee, Mimi nitamwambia Mungu tu, Kwa habari ya yanayoutesa moyo wangu
Amen
Uko vizuri dada angu mungu andele kukusaidia
Amen
Safi kabisa....Wimbo na mafunzo...nitamwambia mungu tuu
Amen
Ubarikiwe sana wimbo mzur sana 😘😘😘😘🙏🙏🙏
Shukrani
🥲🥲🥲 barikiwa tu dada
Amen amen ni mungu pekee barikiwa sana nyimbo zako zimmenitoa mbali sana❤❤❤❤❤❤
Amen
Shem huu wimbo umeutendea hakkii
Wow , nice song kweli ni MUNGU tu hakuna mwingine
Amen
❤❤❤❤❤❤kesi closed
Heshima;kwa hisia nyingi 🌹👍🏾!
Asante dada kwa nyimbo nzuri, imenibariki Sana ,Mungu azid kukuinua tubarikiwe site🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Amen
Blessed morning ❤nitakwambia mungu sababu machozi yangu ni machozi yake
Amen
kwa kweli huu wimbo umenijenga maadam ubarikiwe
Asante mama mung akutie nguvu nimefarijka Sana Kwa wimb huu
Amen
véry touching😭Mungu akubariki Vaileth.umefanyika faraja kwangu wakati wote.najitia nguvu kwa Bwana.
Amina
Mungu ndiye rafiki wa ukweli, ubarikiwe sana mtumishi
Amen
Kweli kabisa mungu ndio tegemeo letu ubarikiwe sana kwa kazi nzuri ya mungu
Amen
Mum hizi song zako zimenipatilisha kabisa thanks may god bless u
Wow,barikiwa mum 🙏 🙏 hakikka ni mungu pekee😢😢
Amen
Kweli Mungu ndiye mtetezi wa pekee asanty mum kwa wimbo nzuri
Shukrani
Hii ni ukweli kabisa heri umwambie Mungu ana jibu la moyo
Am too late to like but am here now, ni Mungu to 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amen
😊 aki ni mungu tu anaweza kuskiza na kufungua njia be blessed my sister
Amen
this is going to be my first time commenting on yutube,,niruhusu nikiite mum,mum youve been a blessing to my life.tangu nikugundue😢
Amen
Umenibariki sana dada,ntamwambia Mungu barikiwa sana
Amen
Mungu anajibu kila hoja ya mioyo yetu
Ni mungu pekee hawezi choka kunisikiza AMEN HALLELUYAH
Amen
Yani beat peke ndyo inafanya mm nilie 😭😭kabla sijasikia wimbo, Mungu usiniache
Amina
Amina Mungu nitamwambia Mungu asiyechoka kusikia maombi yangu😢, ubarikiwe mtumishi wimbo unagusa 🎉
Amen
ruclips.net/video/_4zLBwMczzU/видео.html
Kweli n mungu pekee
Napenda sana nyimbo zako God bless you my sister
Amen
wacha Mungu mkuu aendelee kukungulia ili uzidi kutubariki kwa nyimbo zako
Kweli mungu pekee asante mungu wangu wimbo mtamu sana
Madam I have never seen my role model in Kenya you're becoming my role model 💪
Wanadamu ni wanadamu tuu 😪😪😪heri kumwambia mungu ndie ananijua zaidi 🙏🙏 be blessed mummy may almighty God keep an eye on you everyday,, from kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Amen
Amen 🙏
Mungu ndio kila kitu ukimwambia anasikia na kujibu kwà wakati
Kweli.nimungu.pekee.yake.mwenye.huruma
Amen
Mungu ndiye mtetezi wate barikiwa sana kwa wimbo wa kutia moyo
Amen
Ameeen barikiwa sana Kwa wimbo mtamu martha from kenya
Thanks
Kweli kabisa Mungu pekee ndiye awezaye. Ubarikiwe kwa wimbo mzuri wenye ukweli
Amen Amen..ni Mungu pekee tu asikiaye kilio
Amen
Nasubiri sana wimbo wako na guardian angel
Amen
Nakupenda Sana dada nikisikilza nyimbo zako mungu akubarik sana
Amina
Ukweli ni Mungu pekee,May God bless you
Much love mammy ❤️ touching song
Ni Mungu pekeake anatuelewa kiukweli mimi nitamwambie yeye
Keep it up ❤❤❤mom nyimbo zako zinabariki sana.
Amen
Kweli ni Mungu wakuambia
Mungu unitetea sana akika ni mungu tu tumwambie yy wimbo mtamu😢😢😢😢😢😢
Amina
Nitamuambia Mungu 🙏🙏🙏powerful Mungu akubariki Mama
Amen
Huu wimbo hunibariki
Aminaaa hakika Mimi nitamwambia ...barikiwa Dada Mzuri
Amina mpendwa wangu
Am in tears when I remember what am going through,ni Mungu tu anayeweza kuniskiza😭😭😭
Amen
Me as well my dear tears on my eyes mmm groly to God 😭😭😭
Same to me but take hrt it shall be well🙏🙏😭😭😭
Same here, I've been crying for one month, tried drinking alcohol daily lakini wapi,hii wimbo imenitia moyo,wacha niamuambie Mungu sasa mambo yangu
Mung pekee tuu
Nitamuambia Mimi ninayo pitia🙏🙏🙏🙏🙏
Ni MUNGU pekee yupo nasii nyakati zote🙏🙏
Amen
🎉 another one ❤
Thanks
Ni mungu pekee kabsa😥😥😥😥🇰🇪🇰🇪🇰🇪🤸
Amen
Mungu pekee ndo anaweza kutusikiliza🙏🤲,more blessings dada @Vaileth🙏🥰
Amen
Kweli ni mungu pekeee