Vaileth Mwaisumo - Nitamwambia Mungu (Official Music Video) SMS: Skiza 5441207 to 811

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • Nitamwambia MUNGU Ni wimbo unaokukumbusha kuwa chini ya jua penda kusema na MUNGU kupitia maombi, mueleze sana MUNGU kuliko watu, maana watu wamejaa maumivu badala ya msaada hivyo wimbo huu ukukumbushe kuwa kimbilio na msaada wa kweli ni MUNGU peke yake.
    #VailethMwaisumo #NitamwambiaMungu

Комментарии • 894

  • @KRITICALTANKHD
    @KRITICALTANKHD Месяц назад +8

    If you are From TikTok hit like , so Blessing 🙏

  • @Linetandega
    @Linetandega Месяц назад +5

    Thanks kwa hii song ndio huwa naiweka kila saa tisa ya asubuhi nikitambee kila mahali watu huwa wananiita tasa but kupitia kwa huu wimbo najua nikimwambia Mungu tatizo langu atanijibu kama venye alijibu Sara kwa bibilia hata yeye aliitwa tasa but Mungu ni nani Sara akapata mtoto najua wakati wangu ukifika nitapewa Samweli ubarikiwe kwa huu wimbo wa kunitia nguvu am linet from kenya mama napenda nyimbo zako sana pia hiyo wimbo wako wa Imeisha hiyo na mkono wa bwana umeniondolea aibu

  • @stellalenengwesi2534
    @stellalenengwesi2534 Год назад +12

    Ni mungu tu pekee yake,kweli ni yeye tu wa kuambia....marafiki wamenicheka na kushangilia .... rafiki wa kweli ni mungu

    • @ImanRamadhani-z2u
      @ImanRamadhani-z2u 13 часов назад

      Ni mungu pekee ndo anajua maumivu yako asante sana dada

  • @lemuelkilalo3089
    @lemuelkilalo3089 Год назад +8

    😭hizi ndio nyimbo za gospel.zinagusa moyo wa ibada.ubarikiwe Violeth.

  • @KissaMsongella
    @KissaMsongella Год назад +6

    Nimejifunza kitu siku zote mwambie Mungu maadui zako apambane nao ni hakika wataangamizwa

  • @zephaniahoange2429
    @zephaniahoange2429 Год назад +60

    Ukweli ni Mungu pekee. Asante kwa wimbo mtamu. USA tunakupata vizuri na tunakupenda sana

  • @christinendinda6500
    @christinendinda6500 Год назад +1

    Mungu pekee mtetezi wa wanyonge Mimi nitamwambia Mungu Barikiwa sana dadangu🥰🥰Nakupenda sana

  • @LennisBarasa-kl6zb
    @LennisBarasa-kl6zb Год назад +2

    Ni yy tu hawezi choka na habari yangu

  • @janeachieng5869
    @janeachieng5869 Год назад +2

    Nko na machungu mazito moyoni mwangu lakini huu wimbo umenipa nguvu ,,,nitainuka Tena kwa kumwambia Mungu,,tnku so much 🙏

  • @scolakiwale2055
    @scolakiwale2055 Год назад +1

    Kazi nzuri sana, ujumbe mzuri, umetisha sana mywii, hongera sana

  • @lucynjeru9508
    @lucynjeru9508 Год назад +2

    New subscriber asap..peda nyimbo zako sana

  • @JulianaBwana-bu9rl
    @JulianaBwana-bu9rl Год назад +2

    Nabarikiwa mno

  • @catherinetenga9648
    @catherinetenga9648 Год назад +1

    Bonge la wimbo...naupiga mpk basi...hongera kwa kazi nzuri mtumishi

  • @naomipieter4627
    @naomipieter4627 Год назад +1

    😢nitamwambia yeye pekee na ujane wangu.huu wa mapema hivi ..unanifariji sana Vai

  • @judithsingano1018
    @judithsingano1018 Год назад +2

    Silali had nisikilize hii nyimbo kwa habar ya mapitoyangu nitamwambia Mungu inanibariki

  • @tonyboyofficial2542
    @tonyboyofficial2542 Год назад +1

    Me wewe utabakii kuwa kielelezo changu wakati wote Vai may God continue using you❤❤

  • @TerenceKubeshe-dd1pd
    @TerenceKubeshe-dd1pd Год назад +3

    Kweli ni Mungu pekee,, i remember trusting my dear friend too much 😭😭😭but he later disappointed me 😢😢 abusing me 🙏

  • @Godfrey_lusekelo
    @Godfrey_lusekelo 3 месяца назад +2

    Nitamwambia MUNGU Barikiwa sanaa Mama angu Wimbo mzur sanaa

  • @catherinewanjiru6880
    @catherinewanjiru6880 Год назад +1

    God bless you more grace huu nyimbo zako Huwa zanibariki sana

  • @KissaMsongella
    @KissaMsongella Год назад +1

    Ubarikiwe Kwa wimbo mzuri wenye ujumbe mzuri pia tumwambie Mungu shida zetu tumwambie Mungu watesi wetu apambane nao

  • @lukasmaro4280
    @lukasmaro4280 Год назад +1

    Achanana huo wimbo kwanza mtetemo wa hiyo sauti inapenya mpaka Moyoni hongera kea sauti yenye upako💝🙏

  • @joyceabdallah4363
    @joyceabdallah4363 Год назад +1

    Nakupenda Sana mom...unagusa maisha yangu ..unanitia moyo Sana na kuzid kumtegemea Mungu..ubarikiwe Sana mom

  • @silviamigarusha3179
    @silviamigarusha3179 Год назад +2

    Nyimbo zangu sinanipa nguvu ya kuendelea kuomba na kuamini ni yy asiyechoka na mm God bless you mum

  • @alphiamwendwa5116
    @alphiamwendwa5116 Год назад +1

    Wow nitamwambia mungu kila kitu ninachokipitia

  • @violahchepkemei1525
    @violahchepkemei1525 Год назад +5

    Mungu azidi kukufunulia nyimbo nyingi ,twabarikiwa kupitia nyimbo

  • @meshark4161
    @meshark4161 Год назад +2

    Hit after hit💥💥🫶 Kenya tunakupenda

  • @mary-cm5je
    @mary-cm5je Год назад +1

    Nitamwambia mungu wimbo wakuabudu ameen 🙏🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪💃💃💃

  • @IkwabeMarwa-v5m
    @IkwabeMarwa-v5m Месяц назад +1

    Hakika wimbo wako nimekupenda Sana, mungu akutie nguvu ,karibu mwanza kongamano lolote nitahidhulia hakika dadaangu vaileth,

  • @calvinhood2202
    @calvinhood2202 Год назад +1

    Ukwelii huyu ma anajua sana tena sana Mungu azid kukubariki mama angu

  • @kyfnajamiitv
    @kyfnajamiitv Год назад +1

    NI Mungu tu atalia pamoja nami wakati wa mapito yangu... Barikiwa sana *Vaileth Mwaisumo kwa ujumbe wako wa nguvu*

  • @officialtryton
    @officialtryton Год назад +1

    Nyimbo Nzuri, siku haipiti kabla sijaiweka

  • @jeropstella4848
    @jeropstella4848 Год назад +1

    Baraka nyingine,asante Dada kwa wimbo huu,kweli ni mungu pekee
    Baraka

  • @romonakoplo4721
    @romonakoplo4721 Год назад +1

    Hongera mama ❤ 💕 💖 💓 ♥ pongezi kutoka Kenya

  • @christinemwasimbe3386
    @christinemwasimbe3386 Год назад +1

    Kweli ni Mungu tu.
    Mungu ndiye mwenye jibu kamili la matatuzo yote duniani. GOD bless you.

  • @ruthmbuthia685
    @ruthmbuthia685 Год назад +2

    Am passing through alot and it's only God whom I can acknowledge.
    In the absence of my parents 😢its been tough and pple will always judge you.

  • @AnnWanjala-zz5uq
    @AnnWanjala-zz5uq Год назад +5

    Ni ukweli dada ubarikiee na mungu huu wimbo

  • @GraceAnyitike
    @GraceAnyitike 3 месяца назад +1

    YESU unikumbuke.kupitia huu wimbo.Mungu peke yake ndiye wakumwambia.binadamu ni binadamu

  • @dainaambuka1181
    @dainaambuka1181 Год назад +1

    Wimbo mzuri Sana nimebarikiwa Asante na Mungu azidi kukutumia zaidi.

  • @piliibrahim4057
    @piliibrahim4057 Год назад +1

    Ameen Ameen mtumishi wa Mungu nambariki Mungu na kumtukuza kwaajili yako Mungu akubariki sana .from morogoro

  • @rachaelwambua5649
    @rachaelwambua5649 Год назад +1

    Mama taifa Asante sana mungu akubariki sana mama ♥️ Asante Samuel

  • @heriethinnocent3283
    @heriethinnocent3283 Год назад +2

    Hakika ni Mungu pekee, Mimi nitamwambia Mungu tu, Kwa habari ya yanayoutesa moyo wangu

  • @LindaBarakael-sh5qk
    @LindaBarakael-sh5qk Год назад +1

    Uko vizuri dada angu mungu andele kukusaidia

  • @kennedybutiko7651
    @kennedybutiko7651 Год назад +1

    Safi kabisa....Wimbo na mafunzo...nitamwambia mungu tuu

  • @elizabethmlay2280
    @elizabethmlay2280 Год назад +1

    Ubarikiwe sana wimbo mzur sana 😘😘😘😘🙏🙏🙏

  • @lovegodwine7868
    @lovegodwine7868 Год назад +1

    🥲🥲🥲 barikiwa tu dada

  • @talal-uf6ni
    @talal-uf6ni Год назад +1

    Amen amen ni mungu pekee barikiwa sana nyimbo zako zimmenitoa mbali sana❤❤❤❤❤❤

  • @ikungasyamwakitalu6540
    @ikungasyamwakitalu6540 4 месяца назад +1

    Shem huu wimbo umeutendea hakkii

  • @christinewanjohi8844
    @christinewanjohi8844 Год назад +1

    Wow , nice song kweli ni MUNGU tu hakuna mwingine

  • @militocalito7422
    @militocalito7422 Год назад +1

    ❤❤❤❤❤❤kesi closed

  • @richardstirnemann7682
    @richardstirnemann7682 Год назад +1

    Heshima;kwa hisia nyingi 🌹👍🏾!

  • @teddynjau9595
    @teddynjau9595 Год назад +1

    Asante dada kwa nyimbo nzuri, imenibariki Sana ,Mungu azid kukuinua tubarikiwe site🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @carolsammy4811
    @carolsammy4811 Год назад +1

    Blessed morning ❤nitakwambia mungu sababu machozi yangu ni machozi yake

  • @ErickMukachi
    @ErickMukachi 4 месяца назад +1

    kwa kweli huu wimbo umenijenga maadam ubarikiwe

  • @LilianMushi-xt3nh
    @LilianMushi-xt3nh Год назад +2

    Asante mama mung akutie nguvu nimefarijka Sana Kwa wimb huu

  • @lemuelkilalo3089
    @lemuelkilalo3089 Год назад +1

    véry touching😭Mungu akubariki Vaileth.umefanyika faraja kwangu wakati wote.najitia nguvu kwa Bwana.

  • @getrudeatieno8753
    @getrudeatieno8753 Год назад +1

    Mungu ndiye rafiki wa ukweli, ubarikiwe sana mtumishi

  • @patrickrobert1614
    @patrickrobert1614 Год назад +3

    Kweli kabisa mungu ndio tegemeo letu ubarikiwe sana kwa kazi nzuri ya mungu

  • @ElizabethnasambusimiyuSimiyu
    @ElizabethnasambusimiyuSimiyu Год назад +1

    Mum hizi song zako zimenipatilisha kabisa thanks may god bless u

  • @elizabethmusimbi432
    @elizabethmusimbi432 Год назад +1

    Wow,barikiwa mum 🙏 🙏 hakikka ni mungu pekee😢😢

  • @maureenotieng7085
    @maureenotieng7085 Год назад +1

    Kweli Mungu ndiye mtetezi wa pekee asanty mum kwa wimbo nzuri

  • @mariaakinyi4086
    @mariaakinyi4086 Год назад +1

    Hii ni ukweli kabisa heri umwambie Mungu ana jibu la moyo

  • @silviamigarusha3179
    @silviamigarusha3179 Год назад +1

    Am too late to like but am here now, ni Mungu to 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @damarismwikali6082
    @damarismwikali6082 Год назад +1

    😊 aki ni mungu tu anaweza kuskiza na kufungua njia be blessed my sister

  • @lindahafanda9313
    @lindahafanda9313 Год назад +2

    this is going to be my first time commenting on yutube,,niruhusu nikiite mum,mum youve been a blessing to my life.tangu nikugundue😢

  • @makala-vu9ov
    @makala-vu9ov Год назад +1

    Umenibariki sana dada,ntamwambia Mungu barikiwa sana

  • @judithlejalearnmore2236
    @judithlejalearnmore2236 Год назад +1

    Mungu anajibu kila hoja ya mioyo yetu

  • @catherineodongo7329
    @catherineodongo7329 Год назад +1

    Ni mungu pekee hawezi choka kunisikiza AMEN HALLELUYAH

  • @EuniceTipsy
    @EuniceTipsy 11 месяцев назад +1

    Yani beat peke ndyo inafanya mm nilie 😭😭kabla sijasikia wimbo, Mungu usiniache

  • @justerkamala3933
    @justerkamala3933 Год назад +1

    Amina Mungu nitamwambia Mungu asiyechoka kusikia maombi yangu😢, ubarikiwe mtumishi wimbo unagusa 🎉

  • @cathycate5297
    @cathycate5297 Год назад +1

    Kweli n mungu pekee

  • @ANNEAKIFUNA
    @ANNEAKIFUNA Год назад +1

    Napenda sana nyimbo zako God bless you my sister

  • @Apimah
    @Apimah 2 месяца назад +1

    wacha Mungu mkuu aendelee kukungulia ili uzidi kutubariki kwa nyimbo zako

  • @AlexAnyonge
    @AlexAnyonge Год назад +1

    Kweli mungu pekee asante mungu wangu wimbo mtamu sana

  • @bensonmaina2733
    @bensonmaina2733 Год назад +1

    Madam I have never seen my role model in Kenya you're becoming my role model 💪

  • @mercyakech
    @mercyakech Год назад +1

    Wanadamu ni wanadamu tuu 😪😪😪heri kumwambia mungu ndie ananijua zaidi 🙏🙏 be blessed mummy may almighty God keep an eye on you everyday,, from kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @patriciamasawe5256
    @patriciamasawe5256 Год назад +1

    Mungu ndio kila kitu ukimwambia anasikia na kujibu kwà wakati

  • @daudimhoha320
    @daudimhoha320 Год назад +2

    Kweli.nimungu.pekee.yake.mwenye.huruma

  • @nillynyevu6041
    @nillynyevu6041 Год назад +1

    Mungu ndiye mtetezi wate barikiwa sana kwa wimbo wa kutia moyo

  • @marthamukoya2201
    @marthamukoya2201 Год назад +1

    Ameeen barikiwa sana Kwa wimbo mtamu martha from kenya

  • @catherinenyamko7540
    @catherinenyamko7540 10 месяцев назад

    Kweli kabisa Mungu pekee ndiye awezaye. Ubarikiwe kwa wimbo mzuri wenye ukweli

  • @valentinemutheu7179
    @valentinemutheu7179 Год назад +1

    Amen Amen..ni Mungu pekee tu asikiaye kilio

  • @lastykeron6446
    @lastykeron6446 Год назад +1

    Nasubiri sana wimbo wako na guardian angel

  • @MarthaLasteck
    @MarthaLasteck 10 месяцев назад +1

    Nakupenda Sana dada nikisikilza nyimbo zako mungu akubarik sana

  • @alicekemunto4301
    @alicekemunto4301 Год назад +1

    Ukweli ni Mungu pekee,May God bless you

  • @maggykim832
    @maggykim832 8 месяцев назад +2

    Much love mammy ❤️ touching song

  • @akhamuyanora
    @akhamuyanora 4 месяца назад +1

    Ni Mungu pekeake anatuelewa kiukweli mimi nitamwambie yeye

  • @gracenyambura9753
    @gracenyambura9753 Год назад +1

    Keep it up ❤❤❤mom nyimbo zako zinabariki sana.

  • @alvinmuruka8921
    @alvinmuruka8921 Год назад +1

    Kweli ni Mungu wakuambia

  • @innocensiamokaya3337
    @innocensiamokaya3337 Год назад +1

    Mungu unitetea sana akika ni mungu tu tumwambie yy wimbo mtamu😢😢😢😢😢😢

  • @hopekaluma6579
    @hopekaluma6579 Год назад +1

    Nitamuambia Mungu 🙏🙏🙏powerful Mungu akubariki Mama

  • @carolineiminza5682
    @carolineiminza5682 11 месяцев назад +1

    Huu wimbo hunibariki

  • @neemajackson4076
    @neemajackson4076 Год назад +1

    Aminaaa hakika Mimi nitamwambia ...barikiwa Dada Mzuri

  • @faithmutanumblessed6053
    @faithmutanumblessed6053 Год назад +21

    Am in tears when I remember what am going through,ni Mungu tu anayeweza kuniskiza😭😭😭

    • @vailethmwaisumo
      @vailethmwaisumo  Год назад +1

      Amen

    • @MaryPensulo-r9d
      @MaryPensulo-r9d 7 месяцев назад +1

      Me as well my dear tears on my eyes mmm groly to God 😭😭😭

    • @mercykisanya9306
      @mercykisanya9306 5 месяцев назад

      Same to me but take hrt it shall be well🙏🙏😭😭😭

    • @SusanKamau-m3e
      @SusanKamau-m3e Месяц назад

      Same here, I've been crying for one month, tried drinking alcohol daily lakini wapi,hii wimbo imenitia moyo,wacha niamuambie Mungu sasa mambo yangu

  • @SophyBosco
    @SophyBosco Год назад +1

    Mung pekee tuu

  • @carennaututu2936
    @carennaututu2936 Год назад +6

    Nitamuambia Mimi ninayo pitia🙏🙏🙏🙏🙏

  • @eddamwakyusa5995
    @eddamwakyusa5995 Год назад +1

    Ni MUNGU pekee yupo nasii nyakati zote🙏🙏

  • @joyslinewakuthii8531
    @joyslinewakuthii8531 Год назад +2

    🎉 another one ❤

  • @nellynzisa3628
    @nellynzisa3628 Год назад +1

    Ni mungu pekee kabsa😥😥😥😥🇰🇪🇰🇪🇰🇪🤸

  • @lilianjohn9656
    @lilianjohn9656 Месяц назад +1

    Mungu pekee ndo anaweza kutusikiliza🙏🤲,more blessings dada @Vaileth🙏🥰

  • @annwambui1503
    @annwambui1503 Год назад +1

    Kweli ni mungu pekeee