komando wa Yesu - Hawanielewi (Official Music Video) SMS: Skiza 6983738 to 811
HTML-код
- Опубликовано: 27 июл 2023
- #0679772248 #Komandowayesu #tanzaniagospel
Yapo mambo ambayo wanadamu hawawezi kuelewa, Ashukuriwe Mungu anae tuelewa zaidi. Mungu Awabriki - Видеоклипы
Hello ndugu zangu. kwanza nitangulize shukurani kutoka moyoni kwa kuendelea kunishika mkono kila ninapo toa nyimbo mpya. nimekuja kwenu kwa mara nyingine tena. tarehe 29 jumamosi hii tukutane hapa . kisha ku like ku shere na ku comment. Mungu awabariki sana 🙏🙏🙏
Amen. Tupo pamoja Mt 🙏🙏
@@gracekunambi7438 Amen 🙏
Niko nasubr brother
@@brotherhoodtz Ahsante 🙏
P1 San mkui
Kenya 🇰🇪🇰🇪 tunakuelewa sana 🙏🙏 WAPI LIKES ZA WAKENYA WENZANGU ❤❤
Ahsante sana 🙏🙏🙏
ruclips.net/video/2zuzD2GPKfw/видео.htmlsi=zzECjZESshJwVZiX
🙏🇰🇪🇰🇪
watu wa kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 nimeanza kuwaelewa😃
Kabisa..
@@philipwachira9111 🙏🙏🙏
Hapo sasa ❤❤❤
Kenya twakupenda. More blessings
@@vainesmwacharo6484 Amen 🙏🙏🙏
tz 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 nione like zenu hapa 😃😃😃😃
Mungu akubariki kwa wimbo huu.Joyce from The Netherlands
Kama unamkubari @komandowayesu Kama mimi weka like hapa
Wanadamu hawanielewi🤔🤗😘
@ZablonMukungKenya 🇰🇪,,, kazi Maridhawa Komando💪💪, na ninachokijua Wakumwamini ni Mungu tu🙏🙏
🙏🙏🙏
@@komandowayesu3642 🙋♂️🙋♀️
Wanao subiri,kabla ya wimbo upostiwe tujuane ❤❤❤❤
Kesho mapema sana. jamani mnisamehe tu nimewasubiri shana 🙏
Sema kuingoja
@@komandowayesu3642 its worth the waitting, my number one song now, ubarikwe sana kwa massage hii nime upenda sana tu
Kenyans🇰🇪🇰🇪🇰🇪 in diaspora 🇶🇦🇶🇦🇶🇦tunakuelewa saaanah kaka congratulations 👏👏👏👏🎉🎉🎉🎉
🙏🙏🙏
Twende kazi sasa
Pokea shukuran za thati kutoka moyoni mwangu huu wimbo umenifariji moyo wangu
@@katemathias2583 Amen 🙏
Kenya tuonyeshe upendo wetu kwa ma likes
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kaka angu hii nyimbo imehusisha historia ya maisha ya familia yangu Mungu akubariki sana na daima tuko pamoja 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Huu wimbo unaimba kwa akili yangu.❤❤❤ listing from 🇰🇪🇰🇪
Ahsante sana 🙏
Nimebarikiwa Sana na wimbo umebeba majibu ya mtu mwenye maswali. Nitamtegemea MUNGU daima.🙏
Amen 🙌
Waoooo hii ni Kali ya mwaka kaka ,, MUNGU akubariki sana mtumishi wa MUNGU
Amen 🙏
Ubarikiwe sana mtumishi na uzidi kuwainua walio pondeka mioyo hipo siku watakuelewa tu.Amina
Amen 🙏🙏🙏
From Kenya 🇰🇪 i love the song🙏
🙏🙏🙏🙏
Amina
Napenda sana nyimbo zako mungu akubariki na akuinue kihuduma
Amen 🙏
This song just came the right time, I'm passing through alot😢 but huu wimbo umenifunza kitu.Thanks alot, listening from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
May Almighty God see you thru your bitter tears and turn them into tears of happiness ☺️☺️☺️
Kenyans support good music like this ❤️🔥
🙏🙏🙏🙏
hongera San bro mungu yupo nawe
Wacha Dunia ikose kunielewa ila nikaeleweke na Mungu tu maana ni yeye nliebakia tu nae,,, Neema ikazidi kukubeba ndugu yetu komando
Amen 🙏
Mungu akubariki ,tunasubiria Masaa tu .Machache tupate wimbo wetu tuzidi ma sisi kusikia raha na kuinuliwa kwa Mungu
Amen
Sijawahi Choka kufuatilia nyimbo zako toka enzi za wimbo huu ufike enzini Pako Kila nyimbo ni bora hazichoshi masikio tunaburudika mno barikiwa Sana mtumishi tunakupenda sana
Amen
Wanadamu wanaweza kosa kukuelewa lakini Mungu anakuelewa siku zote. Wimbo nzuri sn
hawanielewiii oooh mungu wangu ...mwanadamu ni mwanadumu tu😢😢😢😢😢😢
Amen 🙏
Kaka upo vizuriii huo wimbo mpya nausubiriii
Amen 🙏. tukutane jumamosi
This song has gone viral in Kenya,more blessings komando
Amen
This song 😢😢😢😢,,, Mungu azidi kukuinua kaka ,, mtumishi ❤❤ ubarikiwe mno
Amen
Kenya piteni na likes apa💃🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ubarikiwe kwa kazi nzuri mtumishi❤
Amen 🙏
Ujumbe wako ni mzito sana😭😭
Mi na family yng.tunapenda nyimbo zako kk.
Ahsante sana nashukuru Mungu ni mwema 🙏
Jamani mimi katika huu wimbo nilicho kipenda ni kile kipande cha Amebaki peke yake na kile kimziki cha mwisho wa wimbo aliepiga kale kagita daa fundi sana
😂😂😂😂😂😂
Siwezi kumaliza siku bila kusikiliza huu wimbo,naupenda sana , nasikiliza nikiwa ugiriki, penda sana nchi yangu ❤❤❤
Mungu akubariki sana
Ila kwa kweli Mungu tuu peke yake ndiye anayetuelewa wanadamu hawawezi tuelewa kamwe, santiii kwa ujumbe huu mtumishi wa Mungu, God bless you 🙏🙏🙏
Amen
Hallelujah 🎉
Much love from kenya...napenda hii song ...inafanya natulia kwa mungu..ubarikiwe sana
Amen
@@komandowayesu3642 Asante kijana wangu kwa wumbo nzuri love from uk 🇬🇧
Wow!ukweli kabisa,huu wimbo unatia moyo na umeitoa at the right time,the same situation I'm in right now lakini mungu ndio egemeo
Wanadamu hawanielewi
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu.
Kaza mwendo.
Tunakupenda
Ahsante 🙏
Story of ma life...usimuegemee mwanadamu kwa lolote...our God is awesome.ukimuegemea Mungu unanawiri zaidi❤🙏thanks bro for this awesome song🥰
This Song makes me cries for sure Let God be God for sure🙏🏻❤️
Ubarikiwe Sana kiukweli hongera Sana Mtumishi wa Mungu , kweli kabisa wakumtegemea ni Mungu tu.
Amen 🙏
Wimbo mzuri sana Mungu aendelee kukupa maono zaidi na zaidi BARIKIWA.
Wow I really like listening to your gospels songs they are really touching Amen love from Kenya blessed blessed 🎉🎉🎉🎉🎉🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
🙏🙏🙏
Mimi nlikwama kwa moyo wangu,na sina uende...I know poa hii itakuwa hit,napia itabariki moyo wangu, 🎉❤Mungu azidi kukuinua,unapoendelea kumtumikia..much love from 🇰🇪kenya
Can't get enough of this song ooh my 🎧🎧🎧🎵🎵🎵 Love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mimi nimekwama hapo kwa " unayemwegemea anaeza anguka puuh, Mwanadamu ni mwanadamu tu, msaada wetu unatoka juu🔥🔥💯" I wish hiyo ndo ingekuwa chorus maana imebeba uzito wa huu wimbo...
What a blessing song🙏 Mungu akubariki kwa huduma yako.
More love from Kenya🇰🇪
Kweli kabisa hata mimi nimewaza hivyoo
😃😃😃🙏🙏🙏
Mungu pekee ndie anae kuelewa❤❤❤❤❤🙌🙌🙌
Amen 🙏🙏🙏
Team 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 this song should be a national song
This song has a very strong massage..never relay on people trust and believe In God
Amen
Mungu akuinue Zaid ilinaeewwe uwainue waliochin yako 2:53
Amen sana
This song has really blessed me....nimeskiza mara 100 leo tuu...nilikuwa nahisi moyo wangu ukiwa chini sana... lakini huu wimbo imefanyika baraka...Komando wa Yesu wacha Mungu akubariki zaidi na huduma yako kwake iwe na mafanikio.
Amen 🙏. Napokea 🙏
This song is so touching,it's a blessing to us,someone to like my comment so that I can come back to listen anytime.
From Kenya you never disappoints Mr komando hawanielewi kabixa I get ...it ohhh no....
Amen 🙏🙏🙏
@@komandowayesu3642 am just in love with your music it really blesses my bad bad days
Hakika mwanadamu will always disappoint you,our God never fails ,he is ever there for his people
Amen
Kutoka Kenya... This is Clarice.. You truly have an angelic voice.. blessed music.. More grace komando...
Amen
Zambia🇿🇲🇿🇲🇿🇲 in the house people will never understand us only the one in heaven
🙏🙏🙏🙏
From mambo yabadilika to hawanielewi🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Indeed only God can understand us, even though u try explaining urself, they don't understand
Amen
The message I have learnt from this song, God is my best friend, mwanadamu nimeachana naye. Msaada wangu u katika Bwana, aliyeumba mbingu na nchi. Congratulations bro
Mungu akubariki sana kaka,nyimbo nzuri sana .nikweli wanadamu wawezi kutuelewa zaidi ya mungu wetu
Amen 🙏
Barikiwa sana kaka this song is my favourite kila asubui nikiamka lazima niusikize. Hallelujah ❤❤❤
Wanijua zaidi ya wanavyonijua, wanielewa zaidi ya wanavyonielewa, wanadamu hawanielewi, Dunia Iko busy hainielewi, Dunia inachat hainielewi.....this song🔥🔥🔥🔥
Amen
Mungu atatenda majambu ju ya nyimbo zako
Amen 🙏🙏🙏
Those of as from tiktok hello, a lovely and giving hope song
🙏🙏🙏🙏
“ unamuegemeya anaweza kuanguka puu,” that really touched my inner heart😢😢😢😢. I was depending on my husband of 23 years in USA , trusted him with all my heart & soul . One day in august 2023 , he decided to end everything
I can't get enough of this song...🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪👌💪👍👍
Anatujua koluko wanavo tujua barikiwa sana mtumshi wamungu
I declare this song an international hit❤❤❤❤❤
🙏🙏🙏🙏
So it is already in Jesus Name.🙏🙏👍👍❤️❤️
Wawoo ❤🎉mungu akubarki san ainue hudma yko
Mungu mkubwa 😊😊😊😢😢 lovely song ❣️🥰🥰🥰🥰🤗😘🥰
Amen 🙏
Natamani hata kuokoka nianze himba zangu gospel kwajili ya huyu jamaa komando❤️❤️🤞🙏
😃😃😃😃 itapendeza sana. Karibu sana katika ulimwengu wa amani 🙏
@@komandowayesu3642 amen🙏🙏❤️❤️❤️
Nice and touching song brathee ,congrats from 254 ❤❤❤❤ May Almighty God Bless you🙏🙏🙏🙏🙏
🙏🙏🙏
Amen 🙏🙏🙏 😊ukweli mwanadamu u change but God we put our trust
Amen
Barikiwa katika huduma ndugu yangu,kenya we approve this one❤❤🎉
Human beings are difficult to understand. Only God who understands us better ❤️❤️❤️❤️❤️❤️ nice song
Kaka Mungu akubariki sana kazi nzuri sana hii nimeipata nikiwa Canada ❤❤❤❤❤❤❤❤
Barikiwa sana 🙏
Asante ❤️❤️❤️
Kazi nzuri kaka,ni heri mungu kutuelewa kabisa.
Amen
Kiukweli mwanangu MUNGU akufikishe kwenye hatima,yaani sauti ilivyo jaa radha dah,hongera sana.🎉🎉🎉🎉
😃😃🙏🙏🙏
Balikiwa sana nyimbo zako zina nibaliki sana
Amen 🙏🙏🙏
I can't wait for this powerful song Ubarikiwe sana ❤
Amen 🙏🙏🙏
Nimefarijika mno kwa kuusikiza huu wimbo,barikiwa sana kaka
Amen 🙏
Mwanadamu ni mwanadamu tu. Msaada wetu watoka juu. Wakumwamini ni Mungu tu🙏🙏🙏
Only God can understand what we are going through,,, more grace brother❤❤,
Wow, can't get enough of this 😊😊😊
Sending love from 254 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏🙏🙏
Hawaelewagi kamwe, Yesu akituelewa inatosha
Amen 🙏🙏🙏
❤❤❤❤pia mimi napenda nyimbo zako kbs mungu akubari sana
Ahsante sana 🙏
Asante ndugu kazi nzuri,nyimbo inamafunzo mazuri na kututia moyo maana ni mungu pekee ndiye anatufahamu barikiwa na Wacha neema hikujalie izidi kuhubiri katika mataifa na Dunia.
Amen 🙏🙏🙏
Such a powerful song 🔥🔥🇰🇪🇰🇪🇰🇪
🙏🙏🙏
Tiktok imenileta uku😊 can't wait
Ahsante sana tukutane tena jumamosi hii saa 3 asubuhi 🙏
Nimefika bila kuchelewa
Hii song n yangu imegusa story yangu be blessed Komando.from Kenya😢
Barikiwa sana 🙏🙏🙏
Thank you....
Msaada wetu unatoka Juu....
Wa kumwamini ni Mungu tu.
This part hits differently.
It's a combination of Assurance, Confidence, Encouragement, Hope and still a Reminder to just let God be God and Him Glorified.
Msaada Wetu unatoka juu❤❤❤
Wa kumwamini ni Mungu tu ❤❤❤
Am blessed .
Barikiwa Kaka.
Amen 🙏🙏🙏
Powerful song,much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Amen
Unayemwegemea anaweza anguka puu,my trust is always in you God 🙏🙏
Amen 🙏
Mziki wako hunipa tumaini sana, ubarikiwe. More likes from kenya
Amen 🙏🙏
You have done it again... Congrats and Big up.... Kenya enjoys and are blessed by your music....
Amen 🙏🙏
Naingoja huo nyimbo
Ahsante sana 🙏
Wimbo mzuri sana
Nakufatilia nikiwa Kenya huu wimbo uneweza kaka be blessed
Amen
Napenda sana nyimbo zako mungu akubariki na akuinue
Amen 🙏
A wonderful song .....ujumbe mwafaka kwa wakristu❤
Amen 🙏
Ndivyo walivyo Wanadamu kuelewa nikitu kigumu kwao hata ukijieleza ni bure acha Mungu atuelewe yeye tu... Barikiwa sana kaka
Amen 🙏
I appreciate you bro' from kenya.🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏🙏🙏
We appreciate as Kenyans God bless you
🙏🙏🙏
Amen. Thank you for this timely message. Am blessed.
🙏🙏🙏
The hit is super high.Dunia haiwezi kukuelewa ni mungu tu anatuelewa.Im blessed from Nairobi kenya
Hongera sana kwa kaz nzur hii unatoa moto inakuja Moto zaidi✅
Amen 🙏🙏🙏