Obby Alpha Ft Guardian Angel -Pigana na Mungu FOR Skiza Dial 6936423 To 811
HTML-код
- Опубликовано: 17 янв 2024
- Yoshua 1:5
Hapatakuwa mtu ye yote atakayeweza kusimama mbele yako siku zote za maisha yako kama nilivyokuwa pamoja na Musa, ndivyo nitakavyokuwa pamoja na wewe sitakupungukia wala sitakuacha. - Видеоклипы
Bwana atawapigania ninyi, nanyi mtanyamaza kimya. [Kutoka 14;14]
Yes Amen ❤️❤️ barikiwa saaana
Amen
Kutoka 14
14 Bwana atawapigania ninyi, nanyi mtanyamaza kimya.
Wowowow kwelii wewe unakusudii unalolifanya hapa dunianii na mungu anajivunia wew broo
🙏🙏
Wale mmetoka tiktok hadi huku pita na likes za guardian and alpha, strong message be blessed guys much love
From ticktock to here, to get enough of it🥰🙏🧎♀️🙌
ruclips.net/video/fKdsLkIg_Pc/видео.htmlsi=Syhk1Pt6btfpn2Cs
Here iam
Good job to my brother Guardian .
Mm hapa nakudownload juu
Nani mwingine ako hapa juu ya guardian Angel anipe like
For God we do praise
@Romans_12141 always encouraged by his songs..
GUARDIAN ANGEL is carrying Kenya's Gospel Industry on his back.
True
Very true
Niukweli bro
Facts 👌🏿
Napitia wakati Mngumu sana😢nimeokoka huu mwaka but vita imekua mingi katika huu wokovu, napigwa vita mpaka na familia yangu,,, Hii vita nimeachia Mungu apigane na wao😢😢😢😢
Amina....endelea kuamini, Mungu Anafanya kazi kwa namna ya Ajabu sana hadi utashangaa.. punde tu atarekebisha. Wazazi wangu walikuwa na mtizimo kama huo nilipookoka nikiwa nina miaka 14 leo nina miaka 31....Mungu alibadilisha mtizamo wao mapema tu nikiwa nina miaka 17 na wakaniacha niabudu nnapotaka. Sio tu wameona Mungu anavyofanya kazi maishani mwangu, bali wao wamekuwa mabalozi wazuri katika kushuhudia wema wa Mungu maishani mwangu. Usijaribu kufanya lolote, mwachie Mungu...relax tu na endelea kusali.
Asante sana Kaka
VIJANA KUOKOKA MAPEMA NI RAHA SANA ASIKWAMBIE MTU KITU YESU NI UZIMA WA MILELE UTAISHI BILA HOFU ❤
Kaka yaanii ukijuaa kusudii lakoo hapa dunianii ni rahaaa mnoo yanii jamaaa anauaaa mnoo yaniii ni 💥🔥🔥🔥
God Ni kila kitu🙏 nakwambia
Huyo anaaevaa Heleni na kusuka nywele ,siyo poa kwA mwanaume Aise MUNGU hapendi
True
Amen,,,tell them
Milly cheby brought me here......achia mungu vita zingine
😂😂😂bwanake anampigania
The chemistry between these severnts of God is on another level👏👏.🇰🇪🇷🇼🇹🇿🇺🇬 let's gather here to support our own
❤❤❤
🎉@@magdalinejuma2028
The collab we didn't think of kenyans lets show this guys some love ❤❤❤✅👍
🔥🔥😂
Hatriii
Yes, for sure! I didn't even know who he was, till this song. I like him already. Showing him ❤ 💯
This is a heat Song☀️☀️☀️show love to these great men of God,,,,kila moja wetu tuache mungu atupiganie
Vitasa yetuu Sisi bwanaaa ndio anatupiganiaaaa
🔥🔥🔥
🔥🔥🔥❤️
Basi pigana na Mungu
🔥🔥
What a beautiful song...I can't stop replaying it ....ukinigusa kwa mema atakubariki...pigana na mungu ...SONG OF THE YEAR
This song came exactly when I needed it, I have learnt that I should let God fight for me, I have been struggling with so many things and I forgot that there's someone who fights all my battles. I can't get enough of Guardian Angel's verse, it resonates so much with me.
Exactly,Wacha akupiganie
Kama umeikubali back vocal ya dada weka likes za kutosha then hii song ni kali mno jamani aloooh wee pigana na Mungu 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Watanzanzania kwa pamoja hatulali tukiusubiri wimbo huu mpya najua wamekutana mafundi na ngoma itakuwa ya kiufundiufundi #pigananaMungu🎉🎉🎉
Yaaaaniii balaaa yaaanii ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Sana
Nice song
This song comes as an encouragement to me.
Naishi uni miaka Saba bila kupeana kashimo at great deals(juu at some point I was a students leader and had contact with these politicians). Then nikaenda kutengenezewa simu time ya lockdown mtu akataka kunibaka..
You try to rape a virgin whose virginity is covenant sealed with the heavens??
Nilimpeleka adi IPOA coz I had the medical report(evidence) but still didn't get help. Nilipomuachia Mungu alikaa mwezi moja na wiki moja akashikwa..
Akaishi remand miezi sita. And I'm still leaving it to God. Let him fight with my Dad.. Man to man..
Exodus 14:13-14;
13’ And Moses said to the people, “Fear not, stand firm and see the salvation of the LORD, which He will work for you today; for the Egyptians whom you see today, you shall never see again. 14’ The LORD will fight for you, and you only have to be still.”
Blessings🎉
🙏🏾🙏🏾 Amen.
Ukipigana na mimi nikuachie MUNGU bas jua yako imeenda,huu wimbo umenibariki sana,may GOD bless you more servants.of the most HIGH 🙏🙏🙏.
Much blessed 🙏🙏🙏, thanks for blessing me servants of God
From TikTok all the way to RUclips n can't get enough of this song siwezi pigana na wewe pigana na mungu
This song came out when am really fighting unknown battles in my life 😭😭 am learning to let God fight for me all in his own time he will make it good
I'm blessed by this song and God bless you @Obby Alpha and Guardian Angel. Many times we feel the urge to fight back when faced with challenges, forgetting that there is strength in surrender. Exodus 14:14, "The Lord will fight for you, and you shall hold your peace...for the battle is not yours, but God's." Embracing this truth allows us to relinquish our burdens, trusting that divine intervention is more powerful than our own efforts. So, in moments of struggle, let's find solace in releasing control, knowing that the battle is not ours but God's.
Am from Canada and I want to say that this song made my day because when I listen to it make me feel proud in front of my enemies ooh I wish this gonna be the trending on my Country Tanzania 🙏
Ameen
AMEEEN
Me watching this masterpiece after mungu amenipigania 🙏🙏🙏 jamani mungu amenipigania na familia yangu we are glad 💯
We thank God for the grace upon Guardian angel.He has stayed true to this journey of gospel music.More grace to you Sir
This song is on fire,Nilifutwa job Monday,nikafungiwa nyumba Thursday,nikamove kwa mtu tulipatana naye Monday jioni,but today God amenipigania
Amen 🙏🙏
Amen! He is a true God
Amen 🙏🙏
Kaziii nzur sanaaa watumishiiii mung awatunzee na kuwafikishaaa mbali kam umekubalian na mimi like yako muhimu
Waletulio piganiwa na Mungu pita na like hapa juu sio rahisi ni Mungu tu🙏
Yes! MUNGU ametupigania
GUARDIAN ANGEL IS THE GUY WHO HAS MAINTAINED RELEASING GODLY MUSIC THAT'S WHY HE IS GOING FAR EVEN THE VIEWS THEY ARE HIGH
Song gives me strength to pray for my evil aunt and son who are really fighting me
Mmmmh sawa watoto wa MUNGU zabur 133:1 Tazama jinsi ilivyo vyema nakupendeza NDUGU wakae PAMOJA kwa UMOJA .❤ MBARIKIWE SANAA WATUMISHI
🔥🔥🔥
🔥🔥🔥
🔥🔥🔥
Wow this song has come in the right time in my life wananipiga vita borth spiritual and facial mimi nabeba mikono juu mungu apigane na wao blessings 🙌 brothers in christ 🙌🙌🙌
Acha Mungu apigane nao
I can't get enough of the song😍 How can I like it multiple times 😊 NAPIGANIWA NA MUNGU🙏
Guardian sikuhukumu ila hizo nywele kwa mtumishi Wa MUNGU hazifai kabisa mwonekano wenu usifanane na Dunia nyimbo nzuri ila umeondoa utukufu wa MUNGU kwa mwonekano wako
Kenyans 🇰🇪 let's gather here❤🎉
Nice song I like it
You made my day .keep saving God .Hakika vita yangu ni ya Mungu,shindana na Mungu
Obby Alpha umeimba kwa kukutulia na hisia nzuri!!Safi sana utafika mbali sana na mungu akubariki ❤❤❤from Tanzania 🇹🇿
What a touching hit song, I listen to it only God knows how many times, when I listen to it all my known and unknown enemies come in my mind.
Sipigani tena!!!!! Comes in at the right time 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌. I surrender it all to Jesus 🙏
I surrender to Jesus all.
World this is big let's support this amazing brother from 🇰🇪🇰🇪 music doctor and obby alfa🇹🇿
Gods plan
True..
The best way forward
ruclips.net/video/To1HzS_i5Wg/видео.htmlfeature=shared
Listening for the 10th time what this song carries is abundant favor n grace
From TikTok...this is a Masterpiece
I'm blessed
ruclips.net/video/fKdsLkIg_Pc/видео.htmlsi=Syhk1Pt6btfpn2Cs
Wow,wow,wow,Pigana na Mungu ni wimbo mkubwa umeenda international sana huu🔥🔥🔥🔥🔥,Mungu awabariki sana wapendwa
Amina
I believe this will bless everyone because it is a great song made by great servants with anointing oil 🙏🙏 may God bless every ear that will listen to this song,, ameen
🔥🔥🔥
❤
Amen
I've loved this song so much it strengthens me and makes me aware that God is in control even in times of pain and enemies he's always working on everything 🙏💪
Am Kenyan and am here for guardian angel 😇❤🇰🇪🔥
All time Obby Alpha your blessed my blood
Anaga kazii mbayaa
From TikTok to RUclips ❤. A song at the right time in my life 🙏🙏🙏
This song is on another level, that voice ❤❤❤❤🎉🎉
Guardian angel All the way ,Kenyans Love you ❤❤🔥🔥
Mtumish wa Mungu Ubarikiwee sana sana na tunaisubir Baraka hii🔥🔥🔥🔥
🔥🔥🔥
Yaaaniii 💥💯💥💥💥💥
🎉🎉🎉🎉
Am from instangibuli 🇧🇷 and this song penetrate in many country to reach me on my phone ooh this song is amazing 🥰 my first favorite song in this year❤️
Having a testimony of letting all your battle to God ,,,,,,,,,In love with the song ,,,, kokongole to our spiritual message ❤❤❤❤❤
Huu wimbo ni WA baraka Kwa maisha ya wengi""""❤be blessed Alpha and Gardian🙏
Mwaka huu nikuwachia Mungu atupiganie vita za mwili na za kiroho maana yeye ndiye mtetezi wetu
Kazi ya Mungu isonge mbele kaka @obbyalpha wimbo ni mzuri mnooo💥💥💥💥
🔥🔥🔥
Na mataifaa yotee wamjue mungu
I don't understand the language but am in love with the song ❤❤
After listening to this several times all my fight I surrendered to Almighty.its such a blessing ❤
Congrats🥳👏🎉
Welcome to the Kingdom of GOD
Mungu nipiganie hivi vita maana bila wewe siwezi🙏Powerful.
Barikiwa sana Mkuu kazi njema sana
Amina
Am in love with this song from the first time I had it yesterday,from presenter Kai TikTok brought me here❤#Siwezi pigana nawe nanyosha mikono juu 🙌Basi pigana na Mungu 🥰
Hatulali mpaka tuusikie huo wimbo
Im so blessed by this song this morning🙏🙏God bless y'll🙏
The way I love Guardian Angel ❤.. He's my favorite gospel artist. God bless
Love from Tanzania 🇹🇿 and Kenya, mnaimba saaaana
The jam has already been my ringtone what a masterpiece
Pigana na MUNGU 🙏🙏🙌🙌🔥🔥
Mungu ni mwema kaka anajua sana
Amina
Kabisa
Amen a wise person never talks more and silence sounds more than words ,learn to be silence ❤❤
Our Great God Contends with those who contend with us. He is our great refuge and defender.
My January is blessed by this song
Now we go international 🎉 obby with God the Alpha
Mataifaaa yakabarikiweee mnooo yaaniiii Kaka songa mbelee mnoo
Jamaaaa WA kimataifaaaa mnooo sanaaaa
🔥🔥🔥
Ameen.
Each time I get to my phone I have to listen to this song,We thank God for this
God blessed Tanzania with you Obby🙏
Hongera sana mtumishi nyimbo nzuri sana
Yaanii mpk rahaaa sanaaa
Pigana na mungu
Pigana na mungu
Yes
Sifa na Utukufu Kwa Mwenyezi Mungu 🙏🙏🥳🎁❤️
Halleluya mungu azidi kuwabariki na sauti tamu mzidi kutubariki ....GOD BLESS YOU ALL.
Yaaanii watuu wamebarikiwaaa mnooo na hiii track ina ujumbeee mzuriii sanaaaaa
Kakaa kazii njema sana MUNGU azidi kukuinua juu zaidii🙌🙌
Landed straight outta tiktok ❤❤❤❤❤❤God fights our battles 💪💪🙏🙏. Sipigani tena, I surrender all battles to Jesus
Huwa nkata tamaa kwenye safari ya wokovu bt nkisikiza hizi songs l feel kuendelea
Much love from Kenya ❤❤❤
Woooh were waiting
Glory to GOD!!! Through this song many battles will be worn by our loving father in heaven ❤
Guardian touches it and becomes something else.
An Awesome collaboration, lots of love from 🇰🇪🇰🇪
My favorite song... U should do another project togather... Guardian never lets us down... The vocals and blend are on another level
Am in love with this song good vibes.
The battle belongs to God..... Jehovah nissi..... Amen I surrender
Mtumishi wa Mungu.
Amen kaka barikiwa mnoo
Glory be God that there are still some genuine Gospel artists in Kenya.
God thank you for giving us Guardian Angel, such a blessing in the gospel industry. Molding upcoming artist in the right way.
Nyimbo nzuri mungu Azidi kukuinua🙏🙏
Kwa Kiwango cha juuuu mnooo
Obby songs always lift my spirt..this is a hit song.thank you
Ukipigana Na Mimi nikuachie Mungu Basi jua yako imeenda.....
Natamaningi nikutane day Moja Na huyu mwimbaji....
God bless you Bro.
❤Wimbo naukupenda sana,Mungu azidi kukutumia na akuinue kwa viwango vya juu sana,🎉🎉
Ameen
Just the thought of GOD 🔥🔥🙏🏾🫶🏾fighting for me I feel sorry for our enemy Lucifer 🔥🔥🔥🎤
Yaani nimekua addicted na huu wimbo ,barikiweni sana watumishi wa mungu
Acha Mungu atupiganie kaka mkubwa 🕊🕊🕊🕊🙏
I'm waiting ✋️ broooo
@obbyalpha you have done it again it's a great and a blessing song 💪💪🙏