MWANAMKE ALIYEKUWA DEREVA BAJAJI HADI UKONDAKTA WA DALADALA GEITA, NA MAMBO ANAYOKUMBANA NAYO KAZINI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 фев 2025

Комментарии •

  • @Globalpeace123
    @Globalpeace123 6 месяцев назад +4

    Yaani mwanamke ukijitambua hakuna atakaye kubabaisha
    Nakuunga mkono Riziki
    You’re beautiful in and out
    Kazana kuchapa kazi wenye kuleta za kuleta wazidi kushangaa mwenzao utakapo kuwa unahamia kwenye nyumba yako na unafungua biashara ambayo wao hataelewa umewezaje
    Una akılı sana Riziki
    Mungu awabariki na kuwalinda pamoja na familia yako ❤
    All the way from USA 🇺🇸

  • @mariamkibindo1741
    @mariamkibindo1741 6 месяцев назад

    MashaAllah hongera sana Da Riziki unapambana sana super woman, asanteee sana kipenz nimejifunza sana mengi

  • @lovenessmwamengo7090
    @lovenessmwamengo7090 6 месяцев назад

    Unakili sana we mtoto, yaani nakupenda buree dadako, yaani kumweshimu mume tu mungu mungu atakubariki sana

  • @theodorealex2193
    @theodorealex2193 6 месяцев назад

    Nakupenda mnooo dada angu😂😂😂😂Mungu atakupa hitaji la moyo wako usikate tamaa pambana❤❤❤❤

  • @suleimanbalemba3348
    @suleimanbalemba3348 6 месяцев назад +1

    History nzuri sana kila mwanaume ndoto yake kupata mwanamke kama huyu anatia faraja na matumaini kwa mmewe

  • @Dafetty
    @Dafetty 6 месяцев назад +3

    Good woman ❤❤❤

  • @vero57
    @vero57 6 месяцев назад

    Piga kazi riziki piga kaziii, 2024 hiii wanawake tunaleta pesa nyumbani!! Hatusubiri tena kuletewaa!!!👍👏🤸👌💪💪

  • @nasraswakala
    @nasraswakala 6 месяцев назад +2

    Manshaa Allah ❤ ❤ ❤

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 6 месяцев назад +1

    Mashaallah tabarak ❤❤

  • @lovenessmwamengo7090
    @lovenessmwamengo7090 6 месяцев назад

    Nimekupenda sana kwakuwa na heshima kwa mumeo , mungu akubariki sana mdogo wangu.

  • @FridaMagomba-lj4zc
    @FridaMagomba-lj4zc 6 месяцев назад

    Hongere sana, ni upendo wa kweli bora mnapamba wote na mr.kutafuta maisha acha wanaochelewa kusubiri wakute vimetimia waingie kustarehe.

  • @jacquelinemwakasala9563
    @jacquelinemwakasala9563 6 месяцев назад +1

    Hongera sana mdada ww ni mwanamke wa shoka

  • @vero57
    @vero57 6 месяцев назад

    Huyu dada ni mfano mzuri sana, hongereni sana na mumeo

  • @Irenes_Kitchen
    @Irenes_Kitchen 6 месяцев назад +1

    Hongera Sana dada yangu ❤

  • @Jamesmahende
    @Jamesmahende 6 месяцев назад +1

    Hongera sana riziki, ww ni mwanamke shupavu

  • @khamisshee803
    @khamisshee803 6 месяцев назад

    MashaAllah
    AKA BACHUCHU MOMBASA 001
    🇰🇪+254🇰🇪

  • @shanimbaruku2071
    @shanimbaruku2071 6 месяцев назад +1

    Masha Allah 🎉

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 6 месяцев назад +1

    Hongera mdada

  • @zawadimasamki246
    @zawadimasamki246 6 месяцев назад

    Mwanamke wa shoka huyo ndiye mwanawake anaestahili tunzo sio hao wengine wa mitanadaoni ❤❤❤

  • @shanimbaruku2071
    @shanimbaruku2071 6 месяцев назад

    Mungu amuongezee huyo tajiri wako❤

  • @askariwabwana
    @askariwabwana 6 месяцев назад

    Safi sana umenifunza dada!

  • @eagtkibangu124
    @eagtkibangu124 6 месяцев назад +1

    Super woman

  • @MonadiNadi-j6s
    @MonadiNadi-j6s 6 месяцев назад +1

    Safi❤❤

  • @deonicemollel4205
    @deonicemollel4205 6 месяцев назад

    Hiyo ndyo inaitwa maisha halisi achana na akina mwajuma ndala ndefu,,, tungekuwa na wanawke kama hawa hakika maisha tungetusua sio hawa magolkipa

  • @kamarhelo
    @kamarhelo 6 месяцев назад

    mwanamke wa nguvu hongera sana binti mwenzangu nimejifunza kitu

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 6 месяцев назад +2

    Dada endelea kukomaa ila ukipata kiasi cha pesa badilisha kazi fanya biashara utasonga mbali.

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 6 месяцев назад +1

    ❤️💖🌹

  • @kabulamugurusibartsch3200
    @kabulamugurusibartsch3200 6 месяцев назад +2

    Hongera sana

  • @mankajonh299
    @mankajonh299 6 месяцев назад

  • @jacquelinemwakasala9563
    @jacquelinemwakasala9563 6 месяцев назад

    Una akili ww riziki yaan acha

  • @zainab8251
    @zainab8251 6 месяцев назад

    Kaka naomba unisaidie ile hospital ya matibabu ya masikio kuna siku moja uliwahoji wangojwa

  • @gracelutumo6911
    @gracelutumo6911 6 месяцев назад

    Hongera sana