Dada hujafa hujaumbika, hongera sana kwa kutunza utu wako na kumheshimu mmeo. Kikubwa Mng'ang'anie Mungu. Yule baba aliyekuita marehemu unayetembea naamini Mungu alishakujibia. Mabinti wengine waige moyo wako.
Huyu dada ni sawa tu na mke wangu, wanawake Kama Hawa wanaojitambua wachache Sana hongera sana Mungu atawafanikisha kwenye safari yenu ya maisha wewe mumeo na watoto wenu
If we could look into each other’s hearts and understand the unique challenges each of us faces, I think we would treat each other more gently, with more love, patience, tolerance, and care.
Aiseeee dada anatema madini na anajitambua imagine angebahatika kupitia shule angekuwa hatari zaidi ya ivi,dada ubarikiwe Mungu akakujazie kikombe chako mpk kimwagike,bro umepata mwanamke wa shoka hongera Kwa mume
Riziki Paul nisikilize kidogo dadangu kama utapata fulsa ya kuona comment yangu Mungu mkubwa katika maisha ya binadam ujasili ulio nao. Ndo mafanikio yako endelea kupambana tu never give up
Hakika katika Maisha kila kitu ni kumuomba Mungu Mimi niliwah kusukumwa katika Daraja na Vijana wawili waendesha Boda boda kisa wamenitongoza nimekataa majira ya Jioni natoka Shule wakisema wamesoma wangapi na wako wapi 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Uyo jamaa ampende sana mkewe.Kaka mke umepata usije ukamliza siku laana haitoki Kwa wazazi tu.Mke anaye kutaja mara tatu tatu hiyo ni mwanamke kweli kweli.Hata cku moja moja Rudi hata na maua
@@aminah3346 ukisoma ivyo ujue unapenda maisha ya juu bila changamoto,na una chagua waume,msikilize uyo dada vzr utagundua Jambo hasa ukikutana na mwanaume mwenye maisha ya chini lkn anatamani afike mbali hasa akipata mwanamke anaemwelewa
Hongera sana kwa uvumilivu wako mungu ni mwema endelea kumwamini utafika mbali,hongera pia kwa mumeo na wote waliokusaidia.huyo aliyekutukana sio baba na hata kama ni baba hahitajiki kuitwa baba.
Sasa ngoma dar kaka milard tunateseka sana eti ukipata abiria wa kwenda kariakoo au posta unakamata eti hamna kuingia mjini wanakutoza faini laki moja tunanyanyaswa sana hatufanyi kazi kwa raha yaani wakati hatuibi wa hatuli cha mtu na hii habari ya kutoingia mjini waziri alikataza
Very bright and intelligent nimempenda ni mvumilivu mcha Mungu na ana upendo na familia yake Mwenyezi Mungu azid kumpa nguvu
Mwanamke mwenye akili akipata mume bora maisha yanakuwa raha sana.
Kama mm vile 😜
Sanaaaaa
Dada hujafa hujaumbika, hongera sana kwa kutunza utu wako na kumheshimu mmeo. Kikubwa Mng'ang'anie Mungu. Yule baba aliyekuita marehemu unayetembea naamini Mungu alishakujibia. Mabinti wengine waige moyo wako.
Mungu akusimamieni wajameni, bright woman! Utatoboa hakika
Huyu ndie mke sasa siyo hawa wabandika kope na mikucha
🤣🤣🤣🤣🤣
🤪🤪🤪
Swadakta
😂😂🤣🤣🤣🤣🤣
💪💪💕💕, hutalia tena. Mwenyezi Mungu akujaaliye Kila lakheri Insha Allah 🤲
Anajielewa sana Mungu hamtupi mja wake..hongera sana dada
Waoooo! She is so bright for sure. Mwanamke mwema
Super women 💪💪💪💪🙌🙌🙌🥰
Nimewah kupanda bajaji ya huyu dada kwanza anastor kama zote abiria unaenjoy😂😂😂...Keep going dada
Dada upo njema sana.
Piga kaziii na Mungu ni mwema atakupigania utayafikia malengo yako.
🔥🔥❤
Aliemuoa huyu dada amepata bahat sana
Waitwao ni wengi, watendakazi ni wachache. Daaaa Mungu akubariki hasa kwa kujitambua, big up
Daaaa!!!!. Huyu Dada Nimetamani Abgekuwa Mke Wangu Maana Anamtaja Mume Wake Kila Sekunde Na Kila Dakika
hahaha
😂😂😂😂
Kabisaaaa
😂😂kwan wa kwako hakutaji jamn watajeni waume zenu
@@Sharifarajabudebe aise sikumbuki ilikuwa lini kinitaja mbele za watu😀😂😂😂
Mzuri mashalllah 💙congratulations 💪💪💪my
Mwanaume ukifanikiwa hapa jeuri ongera mwanamke mwenzangu.
In shaa Allah Allah awazidishie rizki mtimize ndoto zenu.
Huyu dada ni sawa tu na mke wangu, wanawake Kama Hawa wanaojitambua wachache Sana hongera sana Mungu atawafanikisha kwenye safari yenu ya maisha wewe mumeo na watoto wenu
Hongera sana, mungu muweza wa yote, endelea kupambana malengo yako yatatimia
Niwachache Sana wenye uvumilivu wa hari ya juu sana hongera Sana dada mungu atakujaalia
Hii ndo maana halisi ya Couple Goals Hongereni sana Mungu awatangulie mtafika mbali
Mume wako ikija kukuwacha atajuta mpaka kaburini hongela sana
Majaribu ni mtaji mshukuru yule mzee aliye kutukana amefanya uongeze nguvu za utafutaji zaidi na Mungu atakubariki sana
Dada unaongea vizuri sana ,,,Mungu awafanikishe
Daa pole dada san mungu akupe maisha marefu san pamoja na mume wako unajituma san hawa ndo mawif tunaotak.
If we could look into each other’s hearts and understand the unique challenges each of us faces, I think we would treat each other more gently, with more love, patience, tolerance, and care.
💯
MUNGU akupe kuishi miaka mingi Dada # maana wewe Ni mke mwema
Mungu mkubwa hakuna kutafuta kwa rahisi lazima upitie changamoto ndio uwe mshindi hongera dada 😍
Mm mwenyewe ndoto yangu kuja kuendesha bajaji inshallaha
Very inspirational! MILARD AYO TUFANYIE INTERVIEW NA MUME WA HUYO DADA....#SuperWoman💪
Dada siyo wewe tu Kuna mtu alishawahi kunidharau na kunikataa lakini Leo hii hata hanifikii. MUNGU NI MUNGU TU
Aiseeee dada anatema madini na anajitambua imagine angebahatika kupitia shule angekuwa hatari zaidi ya ivi,dada ubarikiwe Mungu akakujazie kikombe chako mpk kimwagike,bro umepata mwanamke wa shoka hongera Kwa mume
Ni kweli kabsaa nampenda dada huyu sanaaa
Woow, hadi raha! Mungu azidi kuwafanikisha🙏💪
Pole Dada mungu akupe maisha marefu ✍️
Dah! Pole sana Dada Mungu akutie nguvu Mungu akufanikishe Mungu aifadhiri ndoa yako.
Mungu akisaidia sana uendelee kufanikiwa
Riziki Paul nisikilize kidogo dadangu kama utapata fulsa ya kuona comment yangu
Mungu mkubwa katika maisha ya binadam ujasili ulio nao. Ndo mafanikio yako endelea kupambana tu never give up
Bichwa bovu Leo umetoa ushauri mzuri inaonekana umeanza kupona🤣🤣
Daaaah😭😭😭 eti we nimarehemu unaetembea ...
Inauma Sana 💔 kuitwa marehemu huku upo hai 🤔😭😭😭😭😭😭😭
Hongera sana Mungu akubariki
Dada yuko vizur sana.
Mama hongera uko vizuri Mungu akuongoze na kukuangazia
Hongera sanaa dada piga kz
Mungu bado anampango nyie wacha kulia
dada nmefikilia kitu gani ntacommenti hap kizuri kikufikie ira sjaona nakuombea mungu akupe afia njema
HAKUNAGA MTU WA GEITA MJINGA MJINGA. BIG UP MWANAGEITA MWENZETU UNA AKIILI TIMAMU SANA
Hongera sana shemej ang kwakwel unajtma nakpata sana umeuza sana matunda kichwan
Hongera sana Dada,Mwenyezi Mungu akutimize ndoto zako
Hakika katika Maisha kila kitu ni kumuomba Mungu Mimi niliwah kusukumwa katika Daraja na Vijana wawili waendesha Boda boda kisa wamenitongoza nimekataa majira ya Jioni natoka Shule wakisema wamesoma wangapi na wako wapi 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Ongera sana sana my Dada
pole sana pambana
Uyu dada anaakili sana 🥰
Uyo jamaa ampende sana mkewe.Kaka mke umepata usije ukamliza siku laana haitoki Kwa wazazi tu.Mke anaye kutaja mara tatu tatu hiyo ni mwanamke kweli kweli.Hata cku moja moja Rudi hata na maua
Mim nimesha lizw san
@@aminah3346 ukisoma ivyo ujue unapenda maisha ya juu bila changamoto,na una chagua waume,msikilize uyo dada vzr utagundua Jambo hasa ukikutana na mwanaume mwenye maisha ya chini lkn anatamani afike mbali hasa akipata mwanamke anaemwelewa
@@neemacharles5502 we nawe hujaelewa nilicho manish kaa kimy man siwez kuanik niliyo pitia hap hazarani
@@neemacharles5502 kuna wanaume wengine unaanz nae chin akisha fanikiwa tu anaanz vitimbi
@@aminah3346 kweli dada we ndiyo mm nawaogopa Sana wanaume ambao hana kitu wanabadilika vibaya san
Hongera dada n'a ujasiri wako
Hongera Sana dada, hongera kwa mume wako pia.
hongera sana unajitambua
Pole Sana omba Mungu Sana na ufute hayo maneno alio ongea huyo baba mchawi
Wow amazing interview 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Sema wanaume sometime viumbe vya ajab sana apo wanehangaika wote wakij kupat mali tu ataanza na michepuko😭😭
Akiwa na michepuko si afadhali wanawafukuza kabisa wake zao
@@aishaomarry6996 jaman 😭😭
Yani ni shiida sana
Imeisha hiyo haha
Hongelaa sana dada👏
Mungu aendelee kuwapigania
Big up kwa Muwe wa uyu dada👏
Mungu azidi kuwabariki mtafika mbali sana
Maskin dah pole sana dada mungu atakufungulia zaidi.
Hongeraaa sana dada and never give. Up
Interested😘
Hongera mwenyezi Mungu akutangulie
Pole na hongera sana
Hongera sana kwa uvumilivu wako mungu ni mwema endelea kumwamini utafika mbali,hongera pia kwa mumeo na wote waliokusaidia.huyo aliyekutukana sio baba na hata kama ni baba hahitajiki kuitwa baba.
Safi sana dada,maana wanawake wengi wao wanategemea kujiuza au kutumia mwii wao kupata fedhaa...yaani udangaji
Love 💕.....
*u have a good speach cctercongraturation dou to this Enterviw*
Hongera mdg wangu wew ni malkia wa nguvu
Hongera mdada
Waooooh anajieliwa sanaaa
Interview nzuri Sana inspired
Heeee Dunia hii kumbe Bado wapo wanawake km hawa
Sasa ngoma dar kaka milard tunateseka sana eti ukipata abiria wa kwenda kariakoo au posta unakamata eti hamna kuingia mjini wanakutoza faini laki moja tunanyanyaswa sana hatufanyi kazi kwa raha yaani wakati hatuibi wa hatuli cha mtu na hii habari ya kutoingia mjini waziri alikataza
Anajua Kujielezeaa sanaaa
Sanaaa anajua kujielezaa munoo
Nice 👍
Mhh ubarikiwe dada maana wengine duh
Wabarikiwe wazazi wako
Pole
Mungu ni mwema mamangu
Huyu ndo Super women
Ndo maisha yalivyo
Mko very smart wewe na mme wako mtafika mbali sana
Safii
Vzr pambana
Kila mtu anasafari yake katka maisha hata waliofanikiwa Kuna history kubwa behind their life Cha msingi ni kufight tu hakuna sababu yakukata tamaa
Hv kameraman huwa hamna Kairi hee?!!
Hebu tazama jinsi ulivomtoa sura umeiharibu sana utadhani analia
Kwakweli huyu mdada ni wa mfano Sanaa hakika wanawakewote wangekuwa Kama huyu dada hii dunia na amani Sana
Hapn anabahati kapat mwanaume mwelewa wengine tumejaribu tumebak tunaumia tu
Kweli dada
Muombeee Mungu huyo mume ll shetani asije pita hapo
👏👏👏👏💪💪💪
😮
Naenderea pambana jaman
SoMo kubwa sn hapa🙌🙌
Ni kwel namfaham saana uyu dada
Milima na mabonde 😢
Safi sana we nimke bora
Dadeki eti marehemu anayetembea mpuuuz sana
Mungu awalinde na mumeo
Wife material ndo huyu sasa
Kwakweli
Pambana dada heshima pesa Mungu yupo pamoja na wewe waliokudharu watakusalimia kwa heshima
Huyo mwanaume akifanikiwa cjui km atakua hvy labda wanaume wa geita uko
Nakweli tunatoka mbali san usione mtuy kafanikiw ukasem huyu firimason muache hizo