BINTI ATOA MACHOZI AKISIMULIA MAISHA ALIYOYAPITIA MPAKA KUWA DEREVA BAJAJI MKOANI GEITA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 июл 2022

Комментарии • 187

  • @shailabushiri4578
    @shailabushiri4578 Год назад +21

    Very bright and intelligent nimempenda ni mvumilivu mcha Mungu na ana upendo na familia yake Mwenyezi Mungu azid kumpa nguvu

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 Год назад +16

    Mwanamke mwenye akili akipata mume bora maisha yanakuwa raha sana.

  • @josephkulija293
    @josephkulija293 Год назад +15

    Dada hujafa hujaumbika, hongera sana kwa kutunza utu wako na kumheshimu mmeo. Kikubwa Mng'ang'anie Mungu. Yule baba aliyekuita marehemu unayetembea naamini Mungu alishakujibia. Mabinti wengine waige moyo wako.

  • @mkuluwaukae2221
    @mkuluwaukae2221 Год назад +24

    Mungu akusimamieni wajameni, bright woman! Utatoboa hakika

  • @Sarahsaid2648
    @Sarahsaid2648 Год назад +29

    Huyu ndie mke sasa siyo hawa wabandika kope na mikucha

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 Год назад +13

    💪💪💕💕, hutalia tena. Mwenyezi Mungu akujaaliye Kila lakheri Insha Allah 🤲

  • @nicholausmakundi2663
    @nicholausmakundi2663 Год назад +20

    Anajielewa sana Mungu hamtupi mja wake..hongera sana dada

  • @uajeupe4299
    @uajeupe4299 Год назад +8

    Waoooo! She is so bright for sure. Mwanamke mwema

  • @agnellapius8142
    @agnellapius8142 Год назад +13

    Super women 💪💪💪💪🙌🙌🙌🥰

  • @peruthyshideko2379
    @peruthyshideko2379 16 дней назад

    Nimewah kupanda bajaji ya huyu dada kwanza anastor kama zote abiria unaenjoy😂😂😂...Keep going dada

  • @wellbrand3415
    @wellbrand3415 Год назад +3

    Dada upo njema sana.
    Piga kaziii na Mungu ni mwema atakupigania utayafikia malengo yako.
    🔥🔥❤

  • @jaypolmc1861
    @jaypolmc1861 Год назад +7

    Aliemuoa huyu dada amepata bahat sana

  • @chamimdesa148
    @chamimdesa148 Год назад +3

    Waitwao ni wengi, watendakazi ni wachache. Daaaa Mungu akubariki hasa kwa kujitambua, big up

  • @NellyWaKidato
    @NellyWaKidato Год назад +19

    Daaaa!!!!. Huyu Dada Nimetamani Abgekuwa Mke Wangu Maana Anamtaja Mume Wake Kila Sekunde Na Kila Dakika

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Год назад +6

    Mzuri mashalllah 💙congratulations 💪💪💪my

  • @daliamkwamba683
    @daliamkwamba683 Год назад +7

    Mwanaume ukifanikiwa hapa jeuri ongera mwanamke mwenzangu.

  • @arafakiloli749
    @arafakiloli749 Год назад +7

    In shaa Allah Allah awazidishie rizki mtimize ndoto zenu.

  • @danielmakunganya6928
    @danielmakunganya6928 Год назад +1

    Huyu dada ni sawa tu na mke wangu, wanawake Kama Hawa wanaojitambua wachache Sana hongera sana Mungu atawafanikisha kwenye safari yenu ya maisha wewe mumeo na watoto wenu

  • @yumbujackson869
    @yumbujackson869 Год назад +8

    Hongera sana, mungu muweza wa yote, endelea kupambana malengo yako yatatimia

  • @yahyachande3009
    @yahyachande3009 Год назад +2

    Niwachache Sana wenye uvumilivu wa hari ya juu sana hongera Sana dada mungu atakujaalia

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 Год назад +9

    Hii ndo maana halisi ya Couple Goals Hongereni sana Mungu awatangulie mtafika mbali

    • @husseinyappi9330
      @husseinyappi9330 Год назад

      Mume wako ikija kukuwacha atajuta mpaka kaburini hongela sana

  • @matildajonasmboya5320
    @matildajonasmboya5320 Год назад +2

    Majaribu ni mtaji mshukuru yule mzee aliye kutukana amefanya uongeze nguvu za utafutaji zaidi na Mungu atakubariki sana

  • @annastaziandatulu7899
    @annastaziandatulu7899 Год назад +13

    Dada unaongea vizuri sana ,,,Mungu awafanikishe

  • @lucylucy3678
    @lucylucy3678 Год назад +3

    Daa pole dada san mungu akupe maisha marefu san pamoja na mume wako unajituma san hawa ndo mawif tunaotak.

  • @abdrizackadanali5047
    @abdrizackadanali5047 Год назад +14

    If we could look into each other’s hearts and understand the unique challenges each of us faces, I think we would treat each other more gently, with more love, patience, tolerance, and care.

  • @kassebo
    @kassebo Год назад +13

    MUNGU akupe kuishi miaka mingi Dada # maana wewe Ni mke mwema

  • @yusrasalum
    @yusrasalum Год назад +3

    Mungu mkubwa hakuna kutafuta kwa rahisi lazima upitie changamoto ndio uwe mshindi hongera dada 😍

  • @sikudhanimoshi6967
    @sikudhanimoshi6967 Год назад +3

    Mm mwenyewe ndoto yangu kuja kuendesha bajaji inshallaha

  • @babaloisethan7010
    @babaloisethan7010 Год назад +2

    Very inspirational! MILARD AYO TUFANYIE INTERVIEW NA MUME WA HUYO DADA....#SuperWoman💪

  • @faridaaloyce4330
    @faridaaloyce4330 Год назад +5

    Dada siyo wewe tu Kuna mtu alishawahi kunidharau na kunikataa lakini Leo hii hata hanifikii. MUNGU NI MUNGU TU

  • @ireneflorence2232
    @ireneflorence2232 Год назад +2

    Aiseeee dada anatema madini na anajitambua imagine angebahatika kupitia shule angekuwa hatari zaidi ya ivi,dada ubarikiwe Mungu akakujazie kikombe chako mpk kimwagike,bro umepata mwanamke wa shoka hongera Kwa mume

    • @anzania3663
      @anzania3663 Год назад

      Ni kweli kabsaa nampenda dada huyu sanaaa

  • @zainabkazige7388
    @zainabkazige7388 Год назад +3

    Woow, hadi raha! Mungu azidi kuwafanikisha🙏💪

  • @fatumaibrahim8973
    @fatumaibrahim8973 Год назад +2

    Pole Dada mungu akupe maisha marefu ✍️

  • @pachamalota4455
    @pachamalota4455 Год назад +1

    Dah! Pole sana Dada Mungu akutie nguvu Mungu akufanikishe Mungu aifadhiri ndoa yako.

  • @richardbubani7070
    @richardbubani7070 Год назад +4

    Mungu akisaidia sana uendelee kufanikiwa

  • @super_boy_tz
    @super_boy_tz Год назад +1

    Riziki Paul nisikilize kidogo dadangu kama utapata fulsa ya kuona comment yangu
    Mungu mkubwa katika maisha ya binadam ujasili ulio nao. Ndo mafanikio yako endelea kupambana tu never give up

    • @sheagraphics269
      @sheagraphics269 Год назад

      Bichwa bovu Leo umetoa ushauri mzuri inaonekana umeanza kupona🤣🤣

  • @hizamwaimu3918
    @hizamwaimu3918 Год назад +8

    Daaaah😭😭😭 eti we nimarehemu unaetembea ...

    • @amockkalinga1520
      @amockkalinga1520 Год назад

      Inauma Sana 💔 kuitwa marehemu huku upo hai 🤔😭😭😭😭😭😭😭

  • @rubensaitoti6839
    @rubensaitoti6839 Год назад +4

    Hongera sana Mungu akubariki

  • @fabiankasu8138
    @fabiankasu8138 Год назад +5

    Dada yuko vizur sana.

  • @davidmagambo3001
    @davidmagambo3001 Год назад

    Mama hongera uko vizuri Mungu akuongoze na kukuangazia

  • @user-uu6ei1ys3k
    @user-uu6ei1ys3k 3 месяца назад

    Hongera sanaa dada piga kz
    Mungu bado anampango nyie wacha kulia

  • @petromsomba4523
    @petromsomba4523 Год назад +1

    dada nmefikilia kitu gani ntacommenti hap kizuri kikufikie ira sjaona nakuombea mungu akupe afia njema

  • @josephatmathiasgalagalabuh786
    @josephatmathiasgalagalabuh786 Год назад +1

    HAKUNAGA MTU WA GEITA MJINGA MJINGA. BIG UP MWANAGEITA MWENZETU UNA AKIILI TIMAMU SANA

  • @onesmoelias2285
    @onesmoelias2285 Год назад

    Hongera sana shemej ang kwakwel unajtma nakpata sana umeuza sana matunda kichwan

  • @wiliminawiliams9384
    @wiliminawiliams9384 Год назад +1

    Hongera sana Dada,Mwenyezi Mungu akutimize ndoto zako

  • @angelkavishe5240
    @angelkavishe5240 Год назад +4

    Hakika katika Maisha kila kitu ni kumuomba Mungu Mimi niliwah kusukumwa katika Daraja na Vijana wawili waendesha Boda boda kisa wamenitongoza nimekataa majira ya Jioni natoka Shule wakisema wamesoma wangapi na wako wapi 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @rudhwanjumbe2970
    @rudhwanjumbe2970 Год назад +3

    Ongera sana sana my Dada

  • @jumarajab5316
    @jumarajab5316 Год назад +4

    pole sana pambana

  • @abdultandala6576
    @abdultandala6576 Год назад +2

    Uyu dada anaakili sana 🥰

  • @florianhashimu1370
    @florianhashimu1370 Год назад +11

    Uyo jamaa ampende sana mkewe.Kaka mke umepata usije ukamliza siku laana haitoki Kwa wazazi tu.Mke anaye kutaja mara tatu tatu hiyo ni mwanamke kweli kweli.Hata cku moja moja Rudi hata na maua

    • @aminah3346
      @aminah3346 Год назад

      Mim nimesha lizw san

    • @neemacharles5502
      @neemacharles5502 Год назад +1

      @@aminah3346 ukisoma ivyo ujue unapenda maisha ya juu bila changamoto,na una chagua waume,msikilize uyo dada vzr utagundua Jambo hasa ukikutana na mwanaume mwenye maisha ya chini lkn anatamani afike mbali hasa akipata mwanamke anaemwelewa

    • @aminah3346
      @aminah3346 Год назад

      @@neemacharles5502 we nawe hujaelewa nilicho manish kaa kimy man siwez kuanik niliyo pitia hap hazarani

    • @aminah3346
      @aminah3346 Год назад

      @@neemacharles5502 kuna wanaume wengine unaanz nae chin akisha fanikiwa tu anaanz vitimbi

    • @khadijamohamedy4492
      @khadijamohamedy4492 Год назад

      @@aminah3346 kweli dada we ndiyo mm nawaogopa Sana wanaume ambao hana kitu wanabadilika vibaya san

  • @lgdnce8309
    @lgdnce8309 Год назад +3

    Hongera dada n'a ujasiri wako

  • @emmanueldaniel1781
    @emmanueldaniel1781 Год назад +1

    Hongera Sana dada, hongera kwa mume wako pia.

  • @ramadhaniadam553
    @ramadhaniadam553 Год назад +3

    hongera sana unajitambua

  • @kimsamespa8490
    @kimsamespa8490 Год назад +6

    Pole Sana omba Mungu Sana na ufute hayo maneno alio ongea huyo baba mchawi

  • @mwakwelisaid3152
    @mwakwelisaid3152 Год назад +4

    Wow amazing interview 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @msukuma1
    @msukuma1 Год назад +5

    Sema wanaume sometime viumbe vya ajab sana apo wanehangaika wote wakij kupat mali tu ataanza na michepuko😭😭

  • @ladysasty
    @ladysasty Год назад +2

    Hongelaa sana dada👏

  • @samwelhechei8537
    @samwelhechei8537 Год назад +2

    Mungu aendelee kuwapigania

  • @mtaalamwamambo2099
    @mtaalamwamambo2099 Год назад +1

    Big up kwa Muwe wa uyu dada👏

  • @theresiamartin3008
    @theresiamartin3008 Год назад +1

    Mungu azidi kuwabariki mtafika mbali sana

  • @stellah3844
    @stellah3844 Год назад +1

    Maskin dah pole sana dada mungu atakufungulia zaidi.

  • @onemuzungu7291
    @onemuzungu7291 Год назад

    Hongeraaa sana dada and never give. Up

  • @mwinukafundibombanjombe
    @mwinukafundibombanjombe Год назад

    Interested😘

  • @robesongvictor
    @robesongvictor Год назад

    Hongera mwenyezi Mungu akutangulie

  • @r14kgroup68
    @r14kgroup68 Год назад +1

    Pole na hongera sana

  • @thadeusmarkiminja2282
    @thadeusmarkiminja2282 Год назад +5

    Hongera sana kwa uvumilivu wako mungu ni mwema endelea kumwamini utafika mbali,hongera pia kwa mumeo na wote waliokusaidia.huyo aliyekutukana sio baba na hata kama ni baba hahitajiki kuitwa baba.

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 Год назад +5

    Safi sana dada,maana wanawake wengi wao wanategemea kujiuza au kutumia mwii wao kupata fedhaa...yaani udangaji

  • @mejakimaro2773
    @mejakimaro2773 Год назад

    Love 💕.....

  • @adamnguvu1020
    @adamnguvu1020 Год назад

    *u have a good speach cctercongraturation dou to this Enterviw*

  • @shameemrashid5219
    @shameemrashid5219 Год назад

    Hongera mdg wangu wew ni malkia wa nguvu

  • @veronicangwesa3273
    @veronicangwesa3273 Год назад

    Hongera mdada

  • @euniceyalledy1745
    @euniceyalledy1745 Год назад

    Waooooh anajieliwa sanaaa

  • @benjaminkapelah7664
    @benjaminkapelah7664 Год назад

    Interview nzuri Sana inspired

  • @mcmrtichaentertaimentgudi7331
    @mcmrtichaentertaimentgudi7331 Год назад +9

    Heeee Dunia hii kumbe Bado wapo wanawake km hawa

  • @geofreymaina3838
    @geofreymaina3838 Год назад +1

    Sasa ngoma dar kaka milard tunateseka sana eti ukipata abiria wa kwenda kariakoo au posta unakamata eti hamna kuingia mjini wanakutoza faini laki moja tunanyanyaswa sana hatufanyi kazi kwa raha yaani wakati hatuibi wa hatuli cha mtu na hii habari ya kutoingia mjini waziri alikataza

  • @pendokissatu937
    @pendokissatu937 Год назад +1

    Anajua Kujielezeaa sanaaa

  • @sarhiabenson2683
    @sarhiabenson2683 Год назад

    Nice 👍

  • @onlinemateustv1925
    @onlinemateustv1925 Год назад +1

    Mhh ubarikiwe dada maana wengine duh
    Wabarikiwe wazazi wako

  • @veronicamayenga9531
    @veronicamayenga9531 Год назад

    Pole

  • @michaelselis8531
    @michaelselis8531 Год назад

    Mungu ni mwema mamangu

  • @timothkalega1333
    @timothkalega1333 Год назад

    Huyu ndo Super women

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Год назад +2

    Ndo maisha yalivyo

  • @namsamson3443
    @namsamson3443 Год назад

    Mko very smart wewe na mme wako mtafika mbali sana

  • @denniskado3990
    @denniskado3990 Год назад

    Safii

  • @enickosanga4921
    @enickosanga4921 Год назад

    Vzr pambana

  • @jrsaid4270
    @jrsaid4270 Год назад +1

    Kila mtu anasafari yake katka maisha hata waliofanikiwa Kuna history kubwa behind their life Cha msingi ni kufight tu hakuna sababu yakukata tamaa

  • @rahimaaaaa8699
    @rahimaaaaa8699 Год назад

    Hv kameraman huwa hamna Kairi hee?!!
    Hebu tazama jinsi ulivomtoa sura umeiharibu sana utadhani analia

  • @yahyamkone5601
    @yahyamkone5601 Год назад +3

    Kwakweli huyu mdada ni wa mfano Sanaa hakika wanawakewote wangekuwa Kama huyu dada hii dunia na amani Sana

  • @anethjoseph4542
    @anethjoseph4542 Год назад

    Muombeee Mungu huyo mume ll shetani asije pita hapo

  • @linamacha7686
    @linamacha7686 Год назад +1

    👏👏👏👏💪💪💪

  • @jacksongidione-yo8vg
    @jacksongidione-yo8vg 8 месяцев назад

    😮

  • @babazungu9098
    @babazungu9098 12 дней назад

    Naenderea pambana jaman

  • @naimanuran2663
    @naimanuran2663 Год назад

    SoMo kubwa sn hapa🙌🙌

  • @janethzacharia7967
    @janethzacharia7967 Месяц назад

    Ni kwel namfaham saana uyu dada

  • @jamesobedy3940
    @jamesobedy3940 Год назад +2

    Milima na mabonde 😢

  • @marcondunguru618
    @marcondunguru618 Год назад

    Safi sana we nimke bora

  • @emes602
    @emes602 Год назад +1

    Dadeki eti marehemu anayetembea mpuuuz sana

  • @salmaalimusa6809
    @salmaalimusa6809 Год назад

    Mungu awalinde na mumeo

  • @muhambwetvonline
    @muhambwetvonline Год назад +8

    Wife material ndo huyu sasa

    • @josephmarwa7212
      @josephmarwa7212 Год назад

      Kwakweli

    • @devotafrances1876
      @devotafrances1876 Год назад

      Pambana dada heshima pesa Mungu yupo pamoja na wewe waliokudharu watakusalimia kwa heshima

    • @janethmwanda357
      @janethmwanda357 Год назад

      Huyo mwanaume akifanikiwa cjui km atakua hvy labda wanaume wa geita uko

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 26 дней назад

    Nakweli tunatoka mbali san usione mtuy kafanikiw ukasem huyu firimason muache hizo