SIMULIZI ya Kijana Aliyeacha Kazi Polisi na Kuwa Dereva wa Bodaboda hadi Kumiliki Nyumba na Gari

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • Subscribe kutazama video nyingine nzuri kwa kubofya… www.youtube.co....
    FACEBOOK: / . . TWITTER: / dar24news Tembelea dar24.com/,
    WEBSITE: dar24.com FACEBOOK: / dar24tz
    TWITTER: / dar24news
    INSTAGRAM: / h. . ... FACEBOOK: / . . TWITTER: / dar24news Tembelea dar24.com/, Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… www.youtube.co.... WEBSITE: dar24.com FACEBOOK: / dar24tz
    TWITTER: / dar24news
    --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali tembelea www.dar24.com
    #Dar24 #Dar24Media

Комментарии • 266

  • @abelsabibi6192
    @abelsabibi6192 6 лет назад +25

    Duh,,big up bro,so impressive story, hizi ndo hbr za kusikiliza sio rotten politics kila siku.

  • @mkwavi
    @mkwavi 5 лет назад +15

    Naona jamaa mna mpa promo sana ni vzr ila mmesahau mke wake ame pata mke muelewa sana anae jielewa hongera kwa kupata mke bora mpe hongera zake shemeji! kikubwa kuomba mungu!

  • @makangeomary8052
    @makangeomary8052 5 лет назад +8

    I'm inspired a lot

  • @ashuramhando5285
    @ashuramhando5285 3 года назад +1

    Halaf wewe ni kamanda wahalif unawatambua kwa kuwatizama sio Rais kukabwa Hongera sana 🔥🔥🔥♥️♥️🙏🙏🙏🙏

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 2 года назад +1

    Hongera Sana Kwa juhudi na maarifa uliyo nayo.Umepitia changamoto nyingi.Mwenyezi mungu akufanyie wepesi

  • @jhayparism5987
    @jhayparism5987 5 лет назад +6

    Una Akili sana dogo, Ajira ni Utumwa, Maishani huwezi kuwa na ndoto za kuwa Tajiri kama ni muajiliwa..

  • @mbarakafitina8255
    @mbarakafitina8255 5 лет назад +5

    Congratulation Dogo&Congratulations 24..so haya ndo ambayo wadau wa hizi blogs tunayapekuagaa..

  • @iviejustified8109
    @iviejustified8109 5 лет назад +2

    You are an asset they didn't notice...
    Keep You head up young fellow!

  • @athumanmatunu7640
    @athumanmatunu7640 4 года назад +1

    Hongera sana wajina tuendelee kupambana nami pia mpambanaji kama wewe japo changamoto ni nyingi ila kuna hili neno huwa linanipa nguvu "never give up "

  • @sarahgiriad237
    @sarahgiriad237 5 лет назад +2

    Good

  • @samateryussuf5938
    @samateryussuf5938 5 лет назад +1

    safi sana

  • @jensennashon6147
    @jensennashon6147 5 лет назад +2

    inspiring story... big up

  • @amanipmassam
    @amanipmassam 3 года назад

    Great

  • @muddysaid1391
    @muddysaid1391 5 лет назад +1

    Nakubaliiii xana

  • @joasitz9559
    @joasitz9559 5 лет назад +3

    Big up

  • @ratifahabibu7003
    @ratifahabibu7003 5 лет назад +2

    rofa ajiamini brow hongela na mbele utakuwa na mafanikio makubwa sana big up hongera brathar

  • @hawajuma8606
    @hawajuma8606 5 лет назад +1

    Safi

  • @oscarmtavangu3053
    @oscarmtavangu3053 5 лет назад +2

    Ni mfano wa kuigwa, hongera sana.

  • @babalois7240
    @babalois7240 5 лет назад +1

    So impressive

  • @mohammediallykaboza5862
    @mohammediallykaboza5862 5 лет назад +2

    aise pongezi

  • @anafisuleimani7083
    @anafisuleimani7083 5 лет назад

    Safi Sana hongera

  • @ibrahimkhamis4857
    @ibrahimkhamis4857 5 лет назад

    Dah inspiration story

  • @mwanajumaomahundumla6504
    @mwanajumaomahundumla6504 6 лет назад +13

    Nimejifunza kitu kwakweli hongera sana

    • @emanueljtluway1265
      @emanueljtluway1265 6 лет назад +3

      Mwanajuma Mahundumla Maisha ni Kutafuta Siyo kutafutana

    • @mwanajumaomahundumla6504
      @mwanajumaomahundumla6504 6 лет назад +1

      Emanuel JTluway hakika nalijua hilo ila kikubwa ni kutokukata tamaa unaweza ukawa mtafautaji lakini ikiwa mtu wa kukata tamaa mbaya sana

    • @athumannchullah2086
      @athumannchullah2086 6 лет назад

      Asante sana

    • @MrSaidi57
      @MrSaidi57 5 лет назад

      @@mwanajumaomahundumla6504 Huwa wengi tunadanganywa na starehe, nakuunga mkono Mwanajuma tujiwekee mipaka ya matumizi matumizi yasizidi mapato

  • @ochumpochi125
    @ochumpochi125 5 лет назад +27

    Upambanaji wa huyu Dogo ni tangu tunasoma kirinjiko safi sana Leo nakuona hapa

  • @emmanuelmagigee9608
    @emmanuelmagigee9608 3 года назад +1

    Wewe usitudanganye hapa watu si maboya Ulichukuwa mkopo POLISI ndo ukasepa ukaendelea na mishe zako kwaiyo usituaminishebkwamba umefite mwenyewe.

  • @gusonyusto9740
    @gusonyusto9740 3 года назад +2

    Na sasa ni mkurugenzi wa nchula company

  • @abdallahkitwana8471
    @abdallahkitwana8471 5 лет назад

    Hongera sana

  • @geofreymwaijonga
    @geofreymwaijonga 5 лет назад +4

    Athumani, simulizi ya maisha yako inasisimua sana. Wapo watu hawataamini lakini kwangu Mimi ambaye ulinitafuta kwa ushauri baada ya kunisikia nikiongea Clouds Radio FM. Naweza kukuita mpambanaji.
    Nakufuatilia sana na ninafurahi kwamba unapiga hatua moja baada ya nyingine kwenda mbele.
    Daima kumbuka kuwapenda maadui zako kwani wanapokuombea mabaya Mungu anajibu kwa kukupa mema.

    • @athumannchullah2086
      @athumannchullah2086 5 лет назад +1

      Nashukuru sana boss wangu na kiukweli umekuwa kiongozi wa kwanza kunisikiliza na kunipa nafasi ya kukueleza na baada ya wewe nimekutana na CEOs wengine na MDs, na wote nimekutana nao kupitia social media kama nilivyowasiliana nawe. Na namshukuru Mungu kwa kunipa nafasi mbalimbali mara zote. Naamini mno katika kazi zenu Data Vision na ID Cards. Naendelea kujifunza zaidi kutoka kwako tena kwa kujituma, kiukweli wapo watakaobeza na wapo hawataamini ila mimi binafsi naamini katika kufanya kazi kwa bidii na kujituma mno huku nikimtanguliza Mungu mbele.

    • @jumanneshabani9920
      @jumanneshabani9920 5 лет назад

      ll

    • @zainaburamadhan5079
      @zainaburamadhan5079 2 года назад

      Hongera sana kaka pia umepata make mwemye akili

  • @johnmartine8745
    @johnmartine8745 3 года назад

    Oyoooooooooooo

  • @elishaworkout6116
    @elishaworkout6116 5 лет назад +2

    nimekuelewa kaka angu big up Sana

  • @ashuramhando5285
    @ashuramhando5285 3 года назад

    Nimeipenda historia ya kijana kuhusu miznguko yake kibiashara Big up to you 🐘🐘🔥🔥🔥🙏🙏🙏🙏

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 6 лет назад +7

    Congratulations

  • @beautywithnay5974
    @beautywithnay5974 5 лет назад +4

    Duh big up bro

  • @fabianfaustine444
    @fabianfaustine444 5 лет назад +4

    Dar safi blow your story is good hakika nimejifunza kitu

  • @victorymaganga1485
    @victorymaganga1485 5 лет назад +1

    Kwakwelly @Dar 24 asante sana kwa kutu sogezea habari kama hizi kwetuu, ila nina Swali, jee Huoo Mkopo wa bajaji ni kwa Muda Ganii mpka urejeshwe kamili?

  • @fadhilaurassa1523
    @fadhilaurassa1523 5 лет назад +4

    Hongera kaka kwa ujasiri

  • @asiaokeay1654
    @asiaokeay1654 5 лет назад +2

    👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👍👍👍👍👍👍

  • @jacksonmkome439
    @jacksonmkome439 5 лет назад

    Hongera sanaaaah Kaka

  • @agneschuwa7699
    @agneschuwa7699 3 года назад

    Ndugu yangu umenitia moyo Sana mungu akubariki sana

  • @mtanzaniamzalendo7001
    @mtanzaniamzalendo7001 6 лет назад +2

    Hongera Sana,umepigana

  • @modotygamsafi919
    @modotygamsafi919 5 лет назад

    Ongera sana kaka

  • @omlongotaishengomaomlangir9198
    @omlongotaishengomaomlangir9198 5 лет назад

    mungu akuzidishie unajituma mno

  • @jeremiahmwasapilicharlie2926
    @jeremiahmwasapilicharlie2926 6 лет назад +2

    dah

  • @mohamed.hassani9917
    @mohamed.hassani9917 5 лет назад +1

    👍👍👍👍👍👍

  • @jacobtitus5867
    @jacobtitus5867 6 лет назад +2

    Vizuri bro
    Nimejifunza kitu pia

  • @shibonemathias1153
    @shibonemathias1153 5 лет назад

    Hongera bro , nmejifunza kitu kutoka kwako

  • @Robay146
    @Robay146 5 лет назад +3

    Nimempenda huyu mkaka. Ni mpambanaji hatari.

  • @barakayohana4681
    @barakayohana4681 5 лет назад +1

    Safi broo maisha ni popote pale

  • @mwanajumaomahundumla6504
    @mwanajumaomahundumla6504 6 лет назад +22

    Hizi ndio habari sasa sitamani hata amalize kuongea

  • @adamkindole9734
    @adamkindole9734 6 лет назад +2

    Hizo ndo kazi

  • @robbyamani6601
    @robbyamani6601 Год назад

    Ubahili Sametime unachangia kufanikiwa Jamaa alikuwa hashiliki michango ya harusi na mengine kama hayo

  • @salumjuma3152
    @salumjuma3152 5 лет назад

    Hongera sana ww ni jasiri
    Jitahidi sana utafika tu

  • @emilydavidmdoe3552
    @emilydavidmdoe3552 5 лет назад

    Safi sana kijana.nimekufurahia,wewe ni mpambanaji

  • @essaujoel4807
    @essaujoel4807 5 лет назад +2

    Broo ushawahi kuagiza hata mbuzi choma kweli.?ukashshia na kili hata moja
    Uko ki economics zaid

  • @muhidinshafii9253
    @muhidinshafii9253 5 лет назад +2

    big up life has no formula

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 5 лет назад

    Safi sana

  • @jeremiahmwasapilicharlie2926
    @jeremiahmwasapilicharlie2926 5 лет назад +4

    dah njia yangu nyuma yako brooo

  • @kachawakikazi1217
    @kachawakikazi1217 5 лет назад +2

    hawa ndio wakishindwa na maisha uhaga wanajiingiza kwenye uhalifu maana siraha wanazijua vzr tu uaskari ni wito ndugu cy kujikurupukia tu

  • @alfredmandia312
    @alfredmandia312 6 лет назад +3

    Hongera sana bro.siku zote maisha ni kuchagua fungu sahihi na kua risk takers kuanguaka na kunyanyuka yote ni maisha. Vijana tujifunze kupambana kimaisha kama kijana huyu alivyojitoa.bigup bro

  • @kaziabasi2146
    @kaziabasi2146 5 лет назад +3

    Kuptia hii stor nimeona Kua maisha ni kama kioo ukikichekea nacho kinakuchekea big up dog endelea kuangalia fursa ziko nying

    • @MrSaidi57
      @MrSaidi57 5 лет назад +1

      Unasema kweli ndugu yangu

  • @abuubakarmohammed3404
    @abuubakarmohammed3404 5 лет назад +3

    Ni vizuri blog kutuwekea vitu kama hivi sio udaku tu, binafsi napenda sana hizo kazi alizoziacha ila nahisi vijana tujitume na kuepuka matumizi yasiokua ya lazma siku tutatoka tu kimaisha, hivi vyeti vyetu tuviweke tu vitatynufaisha kwa mengine insha Allah

    • @hijjafakky569
      @hijjafakky569 3 года назад

      Mm nafrah cna chet Cha school maana hzo kz za kijesh zinaenda mpka uwe na mtu mkubwa ndan ya serikal ndio uajiriwe ila kwass bc tna umri umeshaenda😭😭😭😭😭

  • @dr.hamiduibrahim1307
    @dr.hamiduibrahim1307 5 лет назад +11

    Ikumbukwe kuwa alianza kuajiriwa Kwanzaa! Na huko akapata mtaji.
    Sasa akili kumkichwa

    • @mabubakitambi6599
      @mabubakitambi6599 3 года назад

      @gada west mbona povu umeambiwa Kuna mashindano ya gari na nyumba ,,, jamaaa anasimulia kwa nafas yake,,,,,Kama imekuuma naww kasimulie Kama so ulimbuken ww Nani kakuomba usimulie historian yako

    • @jemamhagama4978
      @jemamhagama4978 3 года назад

      Watu bwana. MTU anasimulia story wao INA wauma shida iko wapi !

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 3 года назад

      @gada west Wewe ndio limbukeni unasema hapa unanyumba na gari je nina mbaye amekuuliza , sasa wewe ndio limbukeni unajifunua hapa wazi wazi

  • @amanyosia5394
    @amanyosia5394 5 лет назад +1

    Nmekukubal sana

  • @monicajulius905
    @monicajulius905 5 лет назад +3

    Nimerudia hii interview mara 5 🤦🏿‍♀️🤦🏿‍♀️🤦🏿‍♀️Mungu ni Mungu tuu na usikate tamaa wewe ni jembe (Mungu akubariki uwe mbali mpk watu wajiulize

  • @athumanimganga370
    @athumanimganga370 5 лет назад

    maisha ni safari ndefu brother nimejifunza

  • @rashidbakar9195
    @rashidbakar9195 5 лет назад +1

    Pole kijana kwa changamoto za maisha, ila umejitahidi na mungu anakupigania history yako imenivutia na inataka kufanana na yangu

  • @adanletoo2530
    @adanletoo2530 5 лет назад +1

    Wallahi m naonaTZ maisha si magumu kama kenya

    • @adanletoo2530
      @adanletoo2530 5 лет назад

      @Sylvia Ngunya Ethiopia na Tz ndo kiboko yao

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 3 года назад

      Ni kweli kabisa ndugu yangu we acha tu

  • @staviusbagambilana867
    @staviusbagambilana867 5 лет назад

    fiter sanaa huyuuu jembeee

  • @aloycemnyenyelwa9177
    @aloycemnyenyelwa9177 5 лет назад +4

    sidhan kwa miaka hyo ukipata division two usichaguliwe kwenda advance

    • @athumannchullah2086
      @athumannchullah2086 5 лет назад +1

      Nilipata bahati ya kutochaguliwa, na nilifuatilia wizarani nao walishangaa wakasema niandike maombi, nitatoka second selection lakini napo sikutoka

    • @sharifunyengedi6322
      @sharifunyengedi6322 5 лет назад +1

      Inawezekana kuna marafiki zangu watatu walikuwa na div 2 na hawakuchaguliwa mwaka 2007....
      Angalia matokeo ya sino sec mwaka 2007 utaona Asfu na Ndelekeni walikuwa na div 2 lakn hawakuchaguliwa au st Anne Maria Henry Godfrey hakuchaguliwa na wote hao walikuwa na div two

    • @berithaandersonn2234
      @berithaandersonn2234 5 лет назад

      Kuna kitu pia kinaitwa penalty ambapo hata kma una "A" masomo yote na umepata "F" somo moja muhimu huchaguliwi shule ya serikali...

    • @athumannchullah2086
      @athumannchullah2086 5 лет назад +2

      @@berithaandersonn2234 Hesabu nilikuwa nina C 😀😀 Iikuwa fungu la kukosa. Na ukipigwa penalt inakuwa sio DIV 2 tena, inakuwa 3

    • @berithaandersonn2234
      @berithaandersonn2234 5 лет назад +2

      @@athumannchullah2086 Ale Muwaha

  • @sebastiansalamba8236
    @sebastiansalamba8236 5 лет назад

    Kazi sio kuajiriwa serikalini tu jamani hata kujiajiri kama utaamua,big up kijana

  • @ziadaalute6836
    @ziadaalute6836 5 лет назад +9

    Hakuna kitu kinarudisha nyuma kama michango harusi

  • @samalanga1
    @samalanga1 5 лет назад +1

    Hongera kwa jinsi unavyo upiga umasikini.

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 5 лет назад +1

    Hawa ndio Wa madili mengi

  • @albertlukoo7196
    @albertlukoo7196 5 лет назад +2

    Hizi ndizo shuhuda na taarifa zenye mashiko na sio teheeee!

  • @tahirnephessalum3678
    @tahirnephessalum3678 3 года назад

    Athman Mohammed nchura, classmate wangu kirinjiko Islamic alikuwa vzur Sana darasani na mkumbuka Dem wake pale shule aitwae fadhira😅😅😅

  • @Sebastian-to4qd
    @Sebastian-to4qd 5 лет назад +2

    Oyooo kama Wewe ni zao la T.I.A hebu gonga like tusongeee.....

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 2 года назад +1

    Vijana wengi siku hizi hawahongi ila wanabeti na kufilisika.

  • @kvkenzo
    @kvkenzo 5 лет назад

    HAKUNA KAZI YENYE DHARAU NA PESA NYINGI KAMA BAJAJI NA BODABODA HAWA WANAINGIZA PESA KULIO BAADHI YA WATU WA SERIKALINI

  • @josephnyahoza8580
    @josephnyahoza8580 5 лет назад +9

    Nina uhakika alichukua mkop uko polisi ndio akaacha kazi uwez acha kazi kizembe hivyo labda lakini.........?

    • @geazielemia9512
      @geazielemia9512 5 лет назад

      Joseph nyahoza nikweli ndugu yangu

    • @glorygadielmshana1070
      @glorygadielmshana1070 5 лет назад +2

      Kwaakili yako,ulivyo kariri ila sio yake,

    • @hassanmatata9335
      @hassanmatata9335 5 лет назад +2

      Ameacha kizembe au wewe ndio mzembe wa kuelewa? Ameacha kazi ya police kwasababu alifanya makosa ikapelekea kushitakiwa katika mahakama za kijeshi unasemaje Ameacha kazi kizembe

    • @bjzee1981
      @bjzee1981 5 лет назад

      Ali kiuka maadili yaku anza vimada kambini na hawatakiwi ku oa kabla yaku timiza miaka 3 kazini

    • @iviejustified8109
      @iviejustified8109 5 лет назад

      He he he chukiiiiii....
      Mkopo mtu unaupataje??
      Mkopo una vigezooo babulaiii...
      Myself niliacha kazi 2012 hadi Leo nipo mtaani nachanua step by step dogoo

  • @ndingohassan5317
    @ndingohassan5317 5 лет назад +2

    big up brother umepambana

  • @muhidinshafii9253
    @muhidinshafii9253 5 лет назад +2

    brother umeni encourage sana

  • @brownjumbe9
    @brownjumbe9 5 лет назад +1

    Allah ndo.alipanga kuwa hapo ulipo na kupata riski yako

  • @casttraining1575
    @casttraining1575 5 лет назад

    Ana maamuzi ya haraka katika kutafuta fursa hiyo ni spirit ya wenye mafanikio

  • @iviejustified8109
    @iviejustified8109 5 лет назад

    Umejitahid saana mdogo wangu...
    Kuliko ubabe bora uendelee na mipango yako...

  • @geofreypaul9503
    @geofreypaul9503 5 лет назад

    Nkubali

  • @franciscowilliam2575
    @franciscowilliam2575 6 лет назад +4

    Safi sana mdogo wangu nitaisambaza clip hii kwa ndugu zangu ambao wana tabia ya uvivu na kuilauu serikali bure tu

    • @franciscowilliam2575
      @franciscowilliam2575 6 лет назад +1

      Pia usisahau kwamba huyo mke wako wa kwanza ndio chanzo cha mafanikio yako.

    • @athumannchullah2086
      @athumannchullah2086 6 лет назад

      @@franciscowilliam2575 Ni kweli chief, shukran sana

    • @muhidinshafii9253
      @muhidinshafii9253 5 лет назад

      +Francisco William kwel kabisa

    • @ziadaalute6836
      @ziadaalute6836 5 лет назад

      Francisco William ,Na kungojea mtu mmoja afanye kazi wale

  • @emmanuelbonifas3517
    @emmanuelbonifas3517 5 лет назад +1

    hilo lilikuwa daraja lako mtu mwingn asije kuthubutu kwa sasa atajuta kuzaliwa na atajua kumbe maharage nayo ni mboga

  • @agnessmetta8305
    @agnessmetta8305 6 лет назад +8

    hajabuki chochote maisha ni kuchagua hongera xanaa bro hata hao walio kazin hawana hata nyumba

    • @keelidgeenetv2066
      @keelidgeenetv2066 5 лет назад

      Kutwa kudaiwa amekataa kuwa mtumwa

    • @bleztv7011
      @bleztv7011 5 лет назад

      Watu wanamiliki standard gauge unashangaa nyumba

    • @ziadaalute6836
      @ziadaalute6836 5 лет назад

      Agness Metta ,kazi zingine zinalaana

  • @paullubida8058
    @paullubida8058 2 года назад

    Dah jamaa nimemkubali

  • @rudhboazi743
    @rudhboazi743 5 лет назад

    hongera sana ujasiri nikitu kizuri

  • @evaristmandilindi6147
    @evaristmandilindi6147 5 лет назад +3

    Maisha ni safar asee poa bro na mm naja

  • @filbertnashon7160
    @filbertnashon7160 5 лет назад

    The fighter never fail ,no matter what problems facing you you have a good story,

  • @mandyfitnesstv6738
    @mandyfitnesstv6738 5 лет назад +6

    Maisha ni hatua. Kila mtu ana hatua zake.

  • @hajiathumani1532
    @hajiathumani1532 5 лет назад

    we kweli Ulichukua mkopo ndo ukaacha kazi na hiyo nyumba ni hela uliyochukua Ukiwa police la cvyo ulipiga Dili ukavunga Hali ya hewa itulie ufanye yako unazuga na boda na hiyo uba Kwan ukiw police ucngeweza kujenga na kununua bajaji na Hcho kivits? Mbna vitu vya kawaida xana Ukiwa police officer na ukistaafu unapata pension na unatibiw na serikali na Mshahara nuxu hadi mwisho wa maisha yako kwahiyo uc2danganye dogo

  • @imanibhihogola7891
    @imanibhihogola7891 5 лет назад

    Kutoka ni kurisk maisha

  • @MrSaidi57
    @MrSaidi57 5 лет назад +1

    Mvumilivu hula mbivu, ajazakum kher Mwenyezimungu akujalie unaonyesha ulivyokuwa na tabia njema, tutakuombea dua. Nisalimie familia yako.

  • @danielkembo2177
    @danielkembo2177 2 года назад

    Sasa mbn ameanzia mbali mwandishi nae anashindwa kuchambua content za muhimu

  • @misschagga8042
    @misschagga8042 5 лет назад

    Kwa siku ni 20000 (elfu ishirini)
    Kwa siku 7 ni 140000(laki na arobaini)
    Kwa mwezi 1 560000(laki tano na stini)
    Kwa miezi 12 ni 6,720,000(milioni sita laki saba na ishirini.
    ANAKUA AMEMALIZA MKOPO KWA HUO MWAKA.

  • @ericalexandre2166
    @ericalexandre2166 2 года назад

    Nafikiri maisha yanaitaji Kuchanganya Akili na hasa kuondoa Ujinga wa kufikiria kwamba lazima mtu afanye Kazi Ofisini ndo aonekane kua ni mwenye Akili.

  • @adamtzmbogo1694
    @adamtzmbogo1694 5 лет назад

    story nzur ilasauti ndogo