We need more fashion events like this.. Waalikwa wote wamependeza sana.. Hongera sana Designer Shuu .. Hongera kwa washindi pia wa best look na best entrace..Nimeenjoy kuangalia..
Muandaaji matambo na mdomo mwingi huku hakuwa na uwezo wakuandaa seemu nzuri ya red carpet na sehemu safi ya kupiga picha wageni.(floor chafu).kawafuja watu wamevaa Mashaalah na wamependeza kweli.....number 1. Halima kopwe...miss Tz kumbe alikuwepo kapendezaaa 2.Jojo gauni la mauwaa . 3 Kitasa Hivi muandaaji ndiyo ulikuwa unataka shughuli iwe mapema ya saa kumi na moja kwa carpet hilooo hata alivutii🤓
We need more fashion events like this.. Waalikwa wote wamependeza sana.. Hongera sana Designer Shuu .. Hongera kwa washindi pia wa best look na best entrace..Nimeenjoy kuangalia..
HAMISA NI NEXT LEVEL❤❤❤❤❤
Mbona nguo makorokoro mengi like......
It’s extravaganza
ooh my God, Hamisa amependeza sana
Entrance ya hovyoo floor chafuuuu background 2/10 ,, watu wamependeza though
Aunt very nice❤
Muandaaji matambo na mdomo mwingi huku hakuwa na uwezo wakuandaa seemu nzuri ya red carpet na sehemu safi ya kupiga picha wageni.(floor chafu).kawafuja watu wamevaa Mashaalah na wamependeza kweli.....number 1. Halima kopwe...miss Tz kumbe alikuwepo kapendezaaa 2.Jojo gauni la mauwaa . 3 Kitasa
Hivi muandaaji ndiyo ulikuwa unataka shughuli iwe mapema ya saa kumi na moja kwa carpet hilooo hata alivutii🤓
Red carpet aisee ingenoga zaidi
😂😂uyo jojo atashikilia icho cha nyuma mpaka sangap jmn, hata ajapendeza
Next time fanya ww tuone uwzo wko utakapoishia
Watu wanaongeza sifuri tuu jojo kasema nguo m7 shuu alie design anasema no m5
😂😂😂😂et ulichagua hvi...yan mtangazaj bwana
Ngoz nyeuc tuna mambo 😂😂😂😂😂
Shuu you're a star 🌟
By then???
Kwel fation lkn mtafika mbinguni mmechoka kwa hiÿ mizigo mlio vaa😂😂😂
Kazi munayo kwakweli 😂
😂😂Design mill 5 mvaaji mill 7 huu ni uongo
huyu Aunt Ezekiel ni mrembo kwel kweli
Nani ameandaa hivi event?
Anko t
@@steveabel5819sorry ndo nani huyu anko t,maana sijamfahamu
Always too much of everything is harmful 😮😮
Kitasa kama kitasa