Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Tatizo la homeless people kwa Marekani Sio la umasikini wa kuzaliwa nao. Wengi walikuwa vizuri kwa kipato ila ndio hivyo walipoteza pesa kwa sababu zao. Kwahiyo umasikini wa huko hausababishwi na serikali unatokana na watu wenyewe
Ushauri mzuri sana Mzee wa kazi
Safi sana ndg jitaidi ukutane na Jackson yupo anaishi Los Angeles apo
Nishaondoka LA so sikubahatika kukutana nae
Hongera sn broo kw kutusanua Endelea wl usichoke mkuu kazi mzr sn
Nakupata sana broo
Hahahaha, nimecheka et watu wa ajab wote wako hapo, km South Africa vile
We jamaa unauzi kitu kimoja punguza kuponda sana eew we hauna hela yakuish LA sasa mongwa ya nini😂
Unawezaje kuja USA ukiwa mwanafunzi kujiunga na universities ya uko marekani..
Walae tutawai fika uku bro
Kwani mshana unaishi mji gani?
Hiyo LA ya Kigoma Bro!....😂😂😂😂
Welcome to Downtown L. A the City of Angeles
Bro nilitaka kujiunga jeshi la marekani nikaambiwa mpaka ni katae uraiya wa tanzania nikweli maana mzee wangu anakaauko
Ndio kwasababu lazima uoneshe uzalendo na 🇺🇸 hasa wanakupa kila kitu and only to be loyal to 🇺🇸
Good thing hawakuombi kubadili dini yako kk 😃😊
Na ninabidi nikae miaka 5 uko ilikujiunga
@@Madizizi no ukiwa na Green Card tu unaweza kujiungwa mm nimefika hata mwaka cjamaliza na nimejiunga
Umenipa hamasa maana niliambiwa kupata green card mpaka nikae miaka 5 😂
To live and die in LA, mkuu usiuponde huu mji aisee, kaa kidogo walau miezi 6 kwanza
LA wazaaneeeee
Aisee nauliza tu ww unatokea tzd mkoa gani.
Dar born and rise. Lakini nilikaa mda flani znz Ila asili yangu ni mpare
Urewedi avae ?🤣🤣@@mshanatheblacksmith
Huko Kwa wenye mafaranga kaka sio mchezo
Mafaranga? Ndio nini
Hii ni pesa ya kinyarwanda@@mshanatheblacksmith
@@mshanatheblacksmithpesa Hilo neno laki kongo
Mbona wateseka bro na maisha ya watu si urudi kwenu uka park gari bure 😂😂
Mshamba huyu analolote kenge tu
Tuache sisi washamba wenzie namakenge wenzie 😡
kwa hyo unataka kusemaje mangi
Wewe tafuta content za kueleweka kazi kuponda tu acha mtu aishi anavyotaka kukaa mji mdogo sio kufanikiwa
Live and Die in L.A kama Machavelli
Acha ushamba wa kuongea kingereza mbona unakuwa mshamba sana. Alafu kingereza chenyewe cha kawaida sana yaani kibovu
Angalia Wasafi hawaongei kingereza😂😂
Mbona una makasiriko sana mjomba kwan kingereza ndo nn wee chako kisafi lakin bado upo bongo unakula ugali dagaa
Acha kukasirikia mafanikio ya watu, kwan ye alihusika kukufanya usiende shule?😢
@@SamiaRashid-up6cg Duu ugali dagaa 🤣🤣🤣🤣
Umasikini unatia hasira za kipuuzi sana tafuta hela maana kingereza hata bongo unakiongea ukinywa pombe za bei kali
Tatizo la homeless people kwa Marekani Sio la umasikini wa kuzaliwa nao. Wengi walikuwa vizuri kwa kipato ila ndio hivyo walipoteza pesa kwa sababu zao. Kwahiyo umasikini wa huko hausababishwi na serikali unatokana na watu wenyewe
Ushauri mzuri sana Mzee wa kazi
Safi sana ndg jitaidi ukutane na Jackson yupo anaishi Los Angeles apo
Nishaondoka LA so sikubahatika kukutana nae
Hongera sn broo kw kutusanua Endelea wl usichoke mkuu kazi mzr sn
Nakupata sana broo
Hahahaha, nimecheka et watu wa ajab wote wako hapo, km South Africa vile
We jamaa unauzi kitu kimoja punguza kuponda sana eew we hauna hela yakuish LA sasa mongwa ya nini😂
Unawezaje kuja USA ukiwa mwanafunzi kujiunga na universities ya uko marekani..
Walae tutawai fika uku bro
Kwani mshana unaishi mji gani?
Hiyo LA ya Kigoma Bro!....😂😂😂😂
Welcome to Downtown L. A the City of Angeles
Bro nilitaka kujiunga jeshi la marekani nikaambiwa mpaka ni katae uraiya wa tanzania nikweli maana mzee wangu anakaauko
Ndio kwasababu lazima uoneshe uzalendo na 🇺🇸 hasa wanakupa kila kitu and only to be loyal to 🇺🇸
Good thing hawakuombi kubadili dini yako kk 😃😊
Na ninabidi nikae miaka 5 uko ilikujiunga
@@Madizizi no ukiwa na Green Card tu unaweza kujiungwa mm nimefika hata mwaka cjamaliza na nimejiunga
Umenipa hamasa maana niliambiwa kupata green card mpaka nikae miaka 5 😂
To live and die in LA, mkuu usiuponde huu mji aisee, kaa kidogo walau miezi 6 kwanza
LA wazaaneeeee
Aisee nauliza tu ww unatokea tzd mkoa gani.
Dar born and rise. Lakini nilikaa mda flani znz Ila asili yangu ni mpare
Urewedi avae ?🤣🤣@@mshanatheblacksmith
Huko Kwa wenye mafaranga kaka sio mchezo
Mafaranga? Ndio nini
Hii ni pesa ya kinyarwanda@@mshanatheblacksmith
@@mshanatheblacksmithpesa Hilo neno laki kongo
Mbona wateseka bro na maisha ya watu si urudi kwenu uka park gari bure 😂😂
Mshamba huyu analolote kenge tu
Tuache sisi washamba wenzie namakenge wenzie 😡
kwa hyo unataka kusemaje mangi
Wewe tafuta content za kueleweka kazi kuponda tu acha mtu aishi anavyotaka kukaa mji mdogo sio kufanikiwa
Live and Die in L.A kama Machavelli
Acha ushamba wa kuongea kingereza mbona unakuwa mshamba sana. Alafu kingereza chenyewe cha kawaida sana yaani kibovu
Angalia Wasafi hawaongei kingereza😂😂
Mbona una makasiriko sana mjomba kwan kingereza ndo nn wee chako kisafi lakin bado upo bongo unakula ugali dagaa
Acha kukasirikia mafanikio ya watu, kwan ye alihusika kukufanya usiende shule?😢
@@SamiaRashid-up6cg Duu ugali dagaa 🤣🤣🤣🤣
Umasikini unatia hasira za kipuuzi sana tafuta hela maana kingereza hata bongo unakiongea ukinywa pombe za bei kali
Safi sana ndg jitaidi ukutane na Jackson yupo anaishi Los Angeles apo