Tumefika LA,California. kumejaa watu fake!! Homeless wamejaa road🇺🇸maduka kama Dar. Foleni OMG 😳

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2024

Комментарии • 48

  • @gudaguda2170
    @gudaguda2170 6 месяцев назад +1

    Tatizo la homeless people kwa Marekani Sio la umasikini wa kuzaliwa nao. Wengi walikuwa vizuri kwa kipato ila ndio hivyo walipoteza pesa kwa sababu zao. Kwahiyo umasikini wa huko hausababishwi na serikali unatokana na watu wenyewe

  • @GodfreyMdemu-uw2lv
    @GodfreyMdemu-uw2lv 6 месяцев назад +2

    Ushauri mzuri sana Mzee wa kazi

  • @GodfreyMdemu-uw2lv
    @GodfreyMdemu-uw2lv 6 месяцев назад +2

    Safi sana ndg jitaidi ukutane na Jackson yupo anaishi Los Angeles apo

  • @binabeid3980
    @binabeid3980 6 месяцев назад

    Hongera sn broo kw kutusanua Endelea wl usichoke mkuu kazi mzr sn

  • @salehkhamis-ob8ln
    @salehkhamis-ob8ln 5 месяцев назад

    Nakupata sana broo

  • @salehkhamis3000
    @salehkhamis3000 6 месяцев назад +1

    Hahahaha, nimecheka et watu wa ajab wote wako hapo, km South Africa vile

  • @husrisanchez9781
    @husrisanchez9781 4 месяца назад

    We jamaa unauzi kitu kimoja punguza kuponda sana eew we hauna hela yakuish LA sasa mongwa ya nini😂

  • @JamesLaizerMoko-l8t
    @JamesLaizerMoko-l8t 6 месяцев назад

    Unawezaje kuja USA ukiwa mwanafunzi kujiunga na universities ya uko marekani..

  • @edmondchege7381
    @edmondchege7381 5 месяцев назад

    Walae tutawai fika uku bro

  • @ayoubimam7271
    @ayoubimam7271 5 месяцев назад

    Kwani mshana unaishi mji gani?

  • @annonmnzava728
    @annonmnzava728 6 месяцев назад

    Hiyo LA ya Kigoma Bro!....😂😂😂😂

  • @gudaguda2170
    @gudaguda2170 6 месяцев назад

    Welcome to Downtown L. A the City of Angeles

  • @Madizizi
    @Madizizi 6 месяцев назад +4

    Bro nilitaka kujiunga jeshi la marekani nikaambiwa mpaka ni katae uraiya wa tanzania nikweli maana mzee wangu anakaauko

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  6 месяцев назад

      Ndio kwasababu lazima uoneshe uzalendo na 🇺🇸 hasa wanakupa kila kitu and only to be loyal to 🇺🇸

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  6 месяцев назад +2

      Good thing hawakuombi kubadili dini yako kk 😃😊

    • @Madizizi
      @Madizizi 6 месяцев назад

      Na ninabidi nikae miaka 5 uko ilikujiunga

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  6 месяцев назад +2

      @@Madizizi no ukiwa na Green Card tu unaweza kujiungwa mm nimefika hata mwaka cjamaliza na nimejiunga

    • @Madizizi
      @Madizizi 6 месяцев назад

      Umenipa hamasa maana niliambiwa kupata green card mpaka nikae miaka 5 😂

  • @Winstonfying
    @Winstonfying Месяц назад

    To live and die in LA, mkuu usiuponde huu mji aisee, kaa kidogo walau miezi 6 kwanza

  • @salumsalum8866
    @salumsalum8866 6 месяцев назад +2

    LA wazaaneeeee

  • @IbrahimKimath-u9z
    @IbrahimKimath-u9z 6 месяцев назад +1

    Aisee nauliza tu ww unatokea tzd mkoa gani.

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  6 месяцев назад +1

      Dar born and rise. Lakini nilikaa mda flani znz Ila asili yangu ni mpare

    • @rasnchimbi
      @rasnchimbi 6 месяцев назад

      Urewedi avae ?🤣🤣​@@mshanatheblacksmith

  • @MkuziSaha-ll6ex
    @MkuziSaha-ll6ex 6 месяцев назад

    Huko Kwa wenye mafaranga kaka sio mchezo

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  6 месяцев назад +1

      Mafaranga? Ndio nini

    • @daviddonatus8121
      @daviddonatus8121 6 месяцев назад

      Hii ni pesa ya kinyarwanda​@@mshanatheblacksmith

    • @Jurbeg
      @Jurbeg 6 месяцев назад +1

      ​@@mshanatheblacksmithpesa Hilo neno laki kongo

  • @mchiziwamtwapa3739
    @mchiziwamtwapa3739 6 месяцев назад +1

    Mbona wateseka bro na maisha ya watu si urudi kwenu uka park gari bure 😂😂

  • @avitrugakingirajr1669
    @avitrugakingirajr1669 6 месяцев назад

    Mshamba huyu analolote kenge tu

    • @Jurbeg
      @Jurbeg 6 месяцев назад

      Tuache sisi washamba wenzie namakenge wenzie 😡

  • @baltazaryjoseph5893
    @baltazaryjoseph5893 6 месяцев назад

    kwa hyo unataka kusemaje mangi

  • @mbarikiaally2814
    @mbarikiaally2814 3 месяца назад

    Wewe tafuta content za kueleweka kazi kuponda tu acha mtu aishi anavyotaka kukaa mji mdogo sio kufanikiwa

  • @mohammedmussa6740
    @mohammedmussa6740 2 месяца назад

    Live and Die in L.A kama Machavelli

  • @JuniorMatagi-fp7uk
    @JuniorMatagi-fp7uk 6 месяцев назад +1

    Acha ushamba wa kuongea kingereza mbona unakuwa mshamba sana. Alafu kingereza chenyewe cha kawaida sana yaani kibovu

    • @mshanatheblacksmith
      @mshanatheblacksmith  6 месяцев назад +2

      Angalia Wasafi hawaongei kingereza😂😂

    • @SamiaRashid-up6cg
      @SamiaRashid-up6cg 6 месяцев назад +2

      Mbona una makasiriko sana mjomba kwan kingereza ndo nn wee chako kisafi lakin bado upo bongo unakula ugali dagaa

    • @musailimu202
      @musailimu202 6 месяцев назад +2

      Acha kukasirikia mafanikio ya watu, kwan ye alihusika kukufanya usiende shule?😢

    • @Jurbeg
      @Jurbeg 6 месяцев назад +1

      ​@@SamiaRashid-up6cg Duu ugali dagaa 🤣🤣🤣🤣

    • @devanse9718
      @devanse9718 5 месяцев назад

      Umasikini unatia hasira za kipuuzi sana tafuta hela maana kingereza hata bongo unakiongea ukinywa pombe za bei kali

  • @GodfreyMdemu-uw2lv
    @GodfreyMdemu-uw2lv 6 месяцев назад

    Safi sana ndg jitaidi ukutane na Jackson yupo anaishi Los Angeles apo